Tulia upate Shule:-
1. Weight ninayoongelea mimi ni ile weight before nadharia ya gravity,
Ni ipi hiyo mbona hauielezei?? Lete maana ya weight before Nadharia ya gravity, au Kuna maneno huwa hayana maana?
...kwa maana kwamba kadri kitu kinavyoongezeka (Mass) na uzito (Weight) wake unaongezeka,...hakuna force yoyote ya kubuni inayo determine uzito wa kitu apart from particles za object husika.
Sasa hapa unajichanganya, hujajibu tofaut ya Mass na Weight😀😀
2. Uthibitisho kwamba Dunia ipo flattened na stationary hauhitaji katuni ni vitu ambavyo hata wewe una observe kila siku,...
Huu sio uthibitisho, hata mm naweza kukwambia tumia akili yako, lakin akili yako haiwezi kuona umbo la dunia (as a whole) unahitaji picha iliyopigwa umbali mrefu kutoka Duniani kama ambayo nimekupa.
anaetakiwa ku prove otherwise ni yule anaesema Dunia ipo tofauti na vile tunavyoiona na kuihisi.
Kama umeshaiona Dunia(as a whole) ni tambarare basi tupia ka picha hapa tuone na sie.
3. Unarudia swali lako,...nimeshasema as a natural law object yenye uzito zaidi itaenda chini mpaka pale ambapo itakutana na object nyingine yenye uzito sawa au zaidi.,
Kwahy ww uelewa wako umeishia hapo kuwa "
object yenye uzito zaidi itaenda chini mpaka pale ambapo itakutana na object nyingine yenye uzito sawa au zaidi" kitu ambacho upo sawa lakin jibu la kwann vinaenda chini huna si ndio??
so movement ya kitu sio lazima iwe kuna external force
Mfano???
.......kwa mfano ukiwa umekaa kwenye kiti then ghafla usingizi ukujie,.. kitakachotokea utashindwa ku control kichwa chako kiasi ambacho utaona kichwa kinataka kuanguka,.
Kwahy kutaka kuanguka ndio kumove kutoka point Moja to nyingine? Hii bangi ya 2025 Kali sana😀😀.
Poor Brain Heri ya mwaka mpya😀😀😀
..Sasa jiulize kwenye scenario kama hiyo kuna external force yoyote hapo iliyo influence movement ya kichwa,
Unaakili kisoda😀😀, ndo maana Kuna mahali nilikuwekea Notation: "Locomotion na movement" ulielewa hapa sidhani kama kichwa yako itakuwa ngumu tena.
Mfano wako Hauna tofaut na kuchezesha mkono hiyo ni movement ya mkono lakini sio movement ya mwili wako mzima(Locomotion)
.. au ni misuli tu ime relax ukiwa usingizini kiasi cha kushindwa kuhimili uzito wa kichwa?
Nadhani hapo juu ukisoma utanielewa
👆👆👆
4. Object zina weight,..na kila kitu chenye weight kina internal force ndani yake na hiyo internal force ndiyo ina determine magnitude of effect ya hiyo object ikianguka au kupiga sehemu,..
Soma maelezo hapo juu bwa mdogo!!
Heri ya mwaka mpya 2025
hateeb10,
Chosen Rich, Dunia hatimae imekamilishazunguko wake kwenye Jua tangu mwaka Jana dec, 😀😀😀😀