Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Nikikosa hoja ya nini? kwamba na mimi nikileta uthibitisho wa katuni ndiyo nitakua na hoja?
Ndio ukileta mfano wa Dunia tambarare ambao unafanania na nilikupa Mimi unaoita katuni nakuamini.
Ni bora Mtu useme sina uthibitisho kuliko kuleta vitu ambavyo havi make sense,. picha na video ulizoleta ni Memes na sio uthibitisho.
Sasa unanilazimisha nisiwe na uthibitisho na wakati nimekupa?πŸ˜ƒπŸ˜ƒ.

Embu imagine ndo mahakamani sasa, umeniomba uthibitisho nikakupa clip ikionesha tukio ukiwa unaua (tufanye niwe nimeitengeneza sio ya kweli), pindi utakapo ikataa hiyo clip na kudai sio ya kweli imeeditiwa lazima utoe uthibitisho kuwa hiyo video ni fake, na sio kusema tu clip ni fake.
 
Ni kwanini ?
1-Haujui ?
2-Unajua ila hauna uhakika na unachokijua ?
Sababu ya kukuambia siwezi kukupa jibu la moja kwa moja ni kwamba., ili mtu uhitimishe kwa kusema kwamba Dunia ni flat ya aina fulani,..unatakiwa uwe na uwezo wa kuiona Dunia nzima at once,

So,.kwa observation na kuhusisha akili tunaiona Dunia ipo flattened lakini kuhitimisha kwamba Ni flat ya aina gani still ni changamoto.
 
hateeb10
Mpaka Sasa hujajibu;πŸ‘‡
1. Weight unayoongelea ww ni ipi?
2. Mfano wa kitu kinachoweza kumove as a whole bila external force.
3. Tofaut ya Mass na Weight.
 
1: Unamaanisha hata uthibitisho wa kuwa Dunia ni flat hauna ?

2: Na unamaanisha unachokiita "flat" ni sehemu ndogo tu ya Dunia uliyoiona au kuishuhudia kwa macho yako ukaamua kuhitimisha ndivyo Dunia nzima jinsi ilivyo ?
 
Sasa huko ndio kumove as a whole? Mbona hata wewe mwenyewe huelew unaandika nn,


Unarudi kulekule tu, ndo maana nikakwambia nipe mfano(mwingine) wa kitu kinachoweza kumove(as a whole) bila external force lakin umeshindwa.
Kwani kitu kikianguka inakua hakija move as whole?......kwa mfano wewe ukianguka kutoka kwenye kitanda chako, utasema kuna external force imehusika hapo?

Mfano niliokupa wa misuli kushindwa ku control uzito wa kichwa ukiwa usingizini ni mzuri sana ungeamua kufikiria zaidi,..cause unakuonyesha wazi kwamba uzito ndiyo una play part ya kufanya kitu chenye uzito kwenda downward.....una shindwa kuelewa kwamba at first kabla ya usingizi kukuchukua kichwa chako kilikua kinakaa upright lakini baada ya usingizi misuli ina relax na kupelekea kushindwa ku control uzito wa kichwa chako hence utaona kichwa kinaenda downward.
 
Kwani kitu kikianguka inakua hakija move as whole?......kwa mfano wewe ukianguka kutoka kwenye kitanda chako, utasema kuna external force imehusika hapo?
Akili yako ndogo sana, yaani issue ambayo ndio 'Debate' halafu wewe unaitolea mfano tenaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ.

Zingatia neno (Mwingine), Kwa sabab kwenye hii Debate ya kuanguka(fall) wewe unadai hakuna force, Mimi nadai Kuna force Sasa ukirudisha tena mfano ule ule(wa kuanguka) namimi ntakujibu simple tu kuwa "KUNA FORCE YA GRAVITY" mwisho wa siku hatutafika.
Huu mfano wako haufai kabisaa, kichwa hakianguki bana
 
1: Unamaanisha hata uthibitisho wa kuwa Dunia ni flat hauna ?

2: Na unamaanisha unachokiita "flat" ni sehemu ndogo tu ya Dunia uliyoiona au kuishuhudia kwa macho yako ukaamua kuhitimisha ndivyo Dunia nzima jinsi ilivyo ?
1. Mtu anaesema Dunia ni tofauti na vile tunavyoona ndiyo anatakiwa alete uthibitisho, Kwani wewe huoni kwamba Dunia ipo flattened & stationary? primarily huwezi ukasema Dunia sio flat wakati hicho ndiyo unachokiona mbele yako......

2. Hapana,.. Ninaposema Dunia ipo flattened namaanisha Dunia nzima na sio sehemu ndogo,.... miongoni mwa vitu vinavyoonyesha wazi kwamba Dunia ni flat ni jinsi Ndege zinavyosafiri horizontally kwenye anga cause Dunia ingekua sio flat hata Ndege zisinge move kwa mtindo huo bali ungeziona ziki move vertically kuelekea destinations tofauti tofauti 🌎 .
 
Kwanza debate ya gravity ilishaisha,..kumbuka ulikiri mwenyewe kwamba tokea uzaliwe hujawahi kuhisi unavutwa na gravity,. That means hakuna hiyo force inayovuta vitu chini ni nadharia tu.
 
Elezea hii phenomena
 

Attachments

  • 20250102_150043.jpg
    91.8 KB · Views: 4
jinsi Ndege zinavyosafiri horizontally kwenye anga cause Dunia ingekua sio flat hata Ndege zisinge move kwa mtindo huo bali ungeziona ziki move vertically kuelekea destinations tofauti tofauti
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Unajua maana ya GREAT CIRCLE ROUTES???
 
Kwanza debate ya gravity ilishaisha,..kumbuka ulikiri mwenyewe kwamba tokea uzaliwe hujawahi kuhisi unavutwa na gravity,. That means hakuna hiyo force inayovuta vitu chini ni nadharia tu.
Umeanza siasa tenaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ, kutohisi hakumaanishi hiko kitu hakipo, na nilikujibu vile kutokana na kulinganisha na mfano wa sumaku.

Kikubwa jibu maswali hapo juuπŸ‘†πŸ‘†
 
Umeanza siasa tenaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ, kutohisi hakumaanishi hiko kitu hakipo, na nilikujibu vile kutokana na kulinganisha na mfano wa sumaku.

Kikubwa jibu maswali hapo juuπŸ‘†πŸ‘†
Hhahh kwamba unaweza ukahisi huvutwi kumbe unavutwa? haya lete mfano tuone kama inaingia akilini.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Unajua maana ya GREAT CIRCLE ROUTES???
Great circle route haijibu hoja niliyoweka hapo,..... Wewe kama unaweza jibu hili swali, Je, Ndege zinasafiri Vertically au Horizontally over the earth's surface?
 
Na ukielewa mfumo wa ndege haitakusumbua, wewe unategemea ndege itangulize kichwa ndo ujue Inafata curvature πŸ˜ƒπŸ˜ƒ, ila ndege haifanyi hivo bwa mdogoπŸ‘‡πŸ‘‡
 
Great circle route haijibu hoja niliyoweka hapo,...
Jibu swali huo ndo utaratibu...
.. Wewe kama unaweza jibu hili swali, Je, Ndege zinasafiri Vertically au Horizontally over the earth's surface?
Umeuliza nini hapa sasa?? Ndege inapotua au kuanza kupaa inamove both vertically na horizontally( yaani wakati huo huo inaenda juu wakati huo huo inaenda mbele). Ikiwa angani ndege inamove horizontally while maintaining altitude from the Earth's surface.
 
Vizuri sana,..ndiyo nakufundisha kwamba ingekua Dunia ipo hivi πŸ‘‰ 🌎basi Ndege zisingekua zina move horizontally just imagine Ndege inatoka Lesotho ikitaka kwenda bara Asia unategemea itafikaje destination husika kwa kutumia horizontal movement?

Na ndiyo maana ukifuatilia hata maps wanazotumia pilots ni flat lakini pia., kuna assumptions(kwa mujibu wao) zao mbili huwa wanafanya 1. Assumption that earth is flat 2. Assumption that Earth is stationary.
 
Hhahh kwamba unaweza ukahisi huvutwi kumbe unavutwa? haya lete mfano tuone kama inaingia akilini.
Bila shaka,,
1. Wakati gari unakata Kona kwenye curved road huwa Kuna centripetal force ina ACT ambayo huvuta gari kuelekea kwenye centre, lakin huwez kuhisi.


2. Kitu kilichofungwa kwenye kamba na kuzungushwa. Jiwe linavutwa kuelekea katikati.

3. Ukiwa kwenye gari inayomove at constant speed, kimsingi unavutwa/unasukumwa lkn hauhisi hiyo nguvu na unaweza kufanya activities zako kama kawaida bila bughuza, untill the car changes its motion or stops ndo utahisi nguvu ya mvuto au msukumo.
 
Unaelewa nini kuhusu horizontally???

Unaelewa nn kuhusu "Maintaining altitude"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…