hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Dunia inaonekana kwa senses zetu kwamba ni flat na imetulia,...mtu ambae ata claim tofauti na hivyo ndiyo anatakiwa alete uthibitisho.Wewe uthibitisho wako uko wapi ?
So kimsingi watu wa Dunia tufe inayozunguka ndiyo mnatakiwa mmalize huu mjadala kwa kuweka uthibitisho ambao mtu akiangalia anasema yes hii inafuta doubts zote.