Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kwahiyo kitu kikiwa sphere maana yake hakina mwisho.?

Unajua maana ya mwisho?


Mwisho ni nini?
Ndio hakina mwisho, Kwa maana ya kwamba ukizunguka around it, hakuna mahali utafika utakwama kwamba huwezi kuendelea tena Bali utarudi kwenye point uliyilokuwepo awali na Bado unaweza kuzunguka hata Kwa awamu 1000+++,

lakin flat ukienda straight line bila kupinda, kwanza huwezi kurudi ulipokuwa(unless u turn back) na utafika mwisho ambapo huwezi kuendelea tena.
 
Kwahiyo kitu kikiwa sphere maana yake hakina mwisho.?

Unajua maana ya mwisho?

Mwisho ni nini?
  • Kikomo au ukomo: Hii inamaanisha sehemu ya mwisho au pointi ambayo kitu kinaishia au kinakoma. Mfano: "Mwisho wa barabara," "Mwisho wa mwezi."
  • Hitimisho au tamati: Hii inamaanisha sehemu ya mwisho ya tukio, mchakato, au hadithi. Mfano: "Mwisho wa filamu," "Mwisho wa vita."
  • Kusitisha au kukomesha: Hii inamaanisha kumaliza kitu au kukifanya kisifanyike tena. Mfano: "Kukomesha uhasama," "Mwisho wa enzi."
Kitu chenye umbo la tufe kina mipaka, lakini hakina mwisho kwa maana ya pointi ya mwisho.

Ukichukua sisimizi ukamuweka kwenye Mpira(assume upo hewani), huyo sisimizi atazunguka huo Mpira bila kurudi nyuma mpk achoke, lkn ukichukua ubao let say wa urefu wa 1 metre, ukamuweka huyo sisimizi akianzia mwanzo wa ubao atafikia mwisho wa ubao ambapo hawezi kuendelea tena unless arudi nyuma.
 
  • Kikomo au ukomo: Hii inamaanisha sehemu ya mwisho au pointi ambayo kitu kinaishia au kinakoma. Mfano: "Mwisho wa barabara," "Mwisho wa mwezi."
  • Hitimisho au tamati: Hii inamaanisha sehemu ya mwisho ya tukio, mchakato, au hadithi. Mfano: "Mwisho wa filamu," "Mwisho wa vita."
  • Kusitisha au kukomesha: Hii inamaanisha kumaliza kitu au kukifanya kisifanyike tena. Mfano: "Kukomesha uhasama," "Mwisho wa enzi."
Kitu chenye umbo la tufe kina mipaka, lakini hakina mwisho kwa maana ya pointi ya mwisho.

Ukichukua sisimizi ukamuweka kwenye Mpira(assume upo hewani), huyo sisimizi atazunguka huo Mpira bila kurudi nyuma mpk achoke, lkn ukichukua ubao let say wa urefu wa 1 metre, ukamuweka huyo sisimizi akianzia mwanzo wa ubao atafikia mwisho wa ubao ambapo hawezi kuendelea tena unless arudi nyuma.
Kwa logic hiyo hata ubao flat nao unaweza ukasema hauna mwisho?,..,...chukua mfano wako kisha tuseme ubao flat wa 1m ukimuweka huyo sisimizi akianzia mwanzo ataweza kuzunguka ubao (kumbuka ubao una pande mbili).... yaani sisimizi akifika point ya mwisho wa ubao (upande 1) ataendelea na mzunguko wake (upande 2) hivyo tutasema ubao hauna mwisho cause anaweza kuzunguka hata mara 50000++++.,.... wakati huo sisimizi anavutwa na gravity asitoke away from ubao 😀.



Ukiona hiyo haiiingii akilini,..basi ndiyo unatakiwa ufahamu kwamba kitu chochote kina mwisho wake hata kiwe na umbo la mviringo,.,.

TUHITIMISHE KWA KUSEMA KAULI YAKO KWAMBA SPHERE HAINA MWISHO NI UONGO,......
 
We kilaza kweli, 👇👇 air condition/ temperature haibadiriki??? Hakuna bahari ambazo ni cold mpk kunakuwa na barafu?? Sasa unataka unidanganye vipi hapo??🤣🤣
Mimi na wewe nani kilaza,.... unashindwa hata kujua kwamba Mwanga unapokutana na maji basi itaathiri jinsi unavyo observe kitu.

sasa wewe umekariri hiyo temperature condition,..kisha hutaki tena kufikiria zaidi ya hapo.....Mwanafunzi mgumu wa kuelewa unanichosha Lecturer wako.
 
Kwa logic hiyo hata ubao flat nao unaweza ukasema hauna mwisho?,..,...chukua mfano wako kisha tuseme ubao flat wa 1m ukimuweka huyo sisimizi akianzia mwanzo ataweza kuzunguka ubao (kumbuka ubao una pande mbili).... yaani sisimizi akifika point ya mwisho wa ubao (upande 1) ataendelea na mzunguko wake (upande 2) hivyo tutasema ubao hauna mwisho cause anaweza kuzunguka hata mara 50000++++.,.... wakati huo sisimizi anavutwa na gravity asitoke away from ubao 😀.



Ukiona hiyo haiiingii akilini,..basi ndiyo unatakiwa ufahamu kwamba kitu chochote kina mwisho wake hata kiwe na umbo la mviringo,.,.

TUHITIMISHE KWA KUSEMA KAULI YAKO KWAMBA SPHERE HAINA MWISHO NI UONGO,......
🤣, sisimizi atafikia ukingoni mwa ubao, Ili kitokee unachosema ni lazima akate Kona apite side nyingine na nyingine ya chini ndo arudi pale alipokuwa.

Sasa je wewe Dunia yako ndio ilivyo????
 
Kwa logic hiyo hata ubao flat nao unaweza ukasema hauna mwisho?,..,...chukua mfano wako kisha tuseme ubao flat wa 1m ukimuweka huyo sisimizi akianzia mwanzo ataweza kuzunguka ubao (kumbuka ubao una pande mbili).... yaani sisimizi akifika point ya mwisho wa ubao (upande 1) ataendelea na mzunguko wake (upande 2) hivyo tutasema ubao hauna mwisho cause anaweza kuzunguka hata mara 50000++++.,.... wakati huo sisimizi anavutwa na gravity asitoke away from ubao 😀.



Ukiona hiyo haiiingii akilini,..basi ndiyo unatakiwa ufahamu kwamba kitu chochote kina mwisho wake hata kiwe na umbo la mviringo,.,.

TUHITIMISHE KWA KUSEMA KAULI YAKO KWAMBA SPHERE HAINA MWISHO NI UONGO,......
Na utambue utofauti kati ya mfano wangu na wako, wangu there's no change in direction wakati wako there's change in direction🤣🤣🤣
 
🤣, sisimizi atafikia ukingoni mwa ubao, Ili kitokee unachosema ni lazima akate Kona apite side nyingine na nyingine ya chini ndo arudi pale alipokuwa.

Sasa je wewe Dunia yako ndio ilivyo????
Unazidi kujikaanga,.. nikitulia nitarudi
 
🤣, sisimizi atafikia ukingoni mwa ubao, Ili kitokee unachosema ni lazima akate Kona apite side nyingine na nyingine ya chini ndo arudi pale alipokuwa.

Sasa je wewe Dunia yako ndio ilivyo????
Hata Kwenye tufe ndiyo hivyo hivyo,... sisimizi atatembea mpaka afike kwenye mkunjo (curvature),.atafuata mkunjo huo atokee upande wa pili kisha atajikuta at the same point aliyokua mwanzo.

Kwenye ubao flat pia,.. sisimizi atatembea mpaka afike kwenye mkunjo (curvature),..atafuata mkunjo huo atokee upande wa pili kisha atajikuta at the same point aliyokua mwanzo.


kwahiyo objects zote zina mwisho na sio kama unavyoamini kwamba object ya round haina mwisho.,.. ukilazimisha kwamba object fulani haina mwisho kwa kuangalia within the object itself na sio ukomo wa space occupied by it,.basi tutajikuta hata ubao flat pia hauna mwisho.
 
Na utambue utofauti kati ya mfano wangu na wako, wangu there's no change in direction wakati wako there's change in direction🤣🤣🤣
Kwenye objects zote kuna change of direction,... utasemaje hakuna change of direction?,... kama ulitoka Point A ili urudi point A lazima ubadilishe direction (i.e moving in the opposite direction of your original one,...
 
Hata Kwenye tufe ndiyo hivyo hivyo,... sisimizi atatembea mpaka afike kwenye mkunjo (curvature),.atafuata mkunjo huo atokee upande wa pili kisha atajikuta at the same point aliyokua mwanzo.
🤣🤣🤣 Mkunjo upo sehemu zote kwenye Mpira, hakuna point maalum ambayo ni mkunjo Kila sehem Pana mkunjo.
Kwenye ubao flat pia,.. sisimizi atatembea mpaka afike kwenye mkunjo (curvature),..atafuata mkunjo huo atokee upande wa pili kisha atajikuta at the same point aliyokua mwanzo.
Curvature tena kwenye ubao????🤣🤣🤣
kwahiyo objects zote zina mwisho na sio kama unavyoamini kwamba object ya round haina mwisho.,.. ukilazimisha kwamba object fulani haina mwisho kwa kuangalia within the object itself na sio ukomo wa space occupied by it,.basi tutajikuta hata ubao flat pia hauna mwisho.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwenye objects zote kuna change of direction,... utasemaje hakuna change of direction?,... kama ulitoka Point A ili urudi point A lazima ubadilishe direction (i.e moving in the opposite direction of your original one,...
Nadhani ilimaanishwa kumove kwenye Mstari mmoja mnyoofu

Na wewe maelezo yako hujabase kwenye sisimizi kumove kwenye mstari mnyoofu
 
Ndiyo kwenye uhalisia cornered path inaweza kuwa fupi kuliko direct one.......sasa hapa kuliko kukutafunia unaweza ukaenda kujifunza zaidi kisha utaleta majibu au tafakari mwenyewe hujawahi kukutana na scenario ambayo kunyoosha moja kwa moja ni mbali kuliko kupita njia ya mzunguko?,.

kama ukishindwa sema nikufafanulie,.
Nimekuomba ufafanue naona yamekushinda🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nadhani ilimaanishwa kumove kwenye Mstari mmoja mnyoofu

Na wewe maelezo yako hujabase kwenye sisimizi kumove kwenye mstari mnyoofu
Sasa uki move kwenye mstari mnyoofu huwezi ukarudi point uliyotokea,.

Ili urudi point uliyotokea ni lazima u badilishe direction,.. Kama ulikua unatoka Kask- Kus, basi ili urudi Kaskazini itabidi ubadilishe direction now itakua Kus-Kas.

So, kauli kwamba unaweza kurudi Point ya awali bila kubadilisha muelekeo si ya kweli.
 
Na wewe maelezo yako hujabase kwenye sisimizi kumove kwenye mstari mnyoofu
Nime base kwamba Sisimizi ana move kwa mstari gani?

Narudia ukisema round object haina mwisho,..basi hiyo statement unaweza pia ukaiweka kwenye object nyingine yoyote na ikaleta maana.
 
Back
Top Bottom