Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kama unakumbuka vzr point ya kwamba density ndo hufanya vitu kuanguka ukiachananayo kabisa (maana ilikushinda) unakimbilia WEIGHT🤣,

Sasa namm naweza kukuuliza hapo hapo Sasa kwann WEIGHT imeshindwa kufanya yai lizame kwenye maji ya chumvi wakati uzito wa yai ni ule ule???
 
Haya lete uthibitisho Ndege ikiwa ina move vertically,.. hapa ukichomoka nitaamini kijana umeiva kwenye ubishi..
Kwahy hiki ndio unachokitaka??


Unashida Kubwa sana ya uelewa!! Nimekwambia kitu kikiwa kina curve kinamove both horizontally na vertically.

Mfano ndege ikiwa inaanza kupaa utaona at the same time Inaenda mbele (horizontally) na hapo hapo inanyanguka juu(vertically).

Hivyo, ndege inapokuwa Inafata curvature ya Dunia unafanya both things.
 
Kwahiyo ni kitu gani hasa kinafanya Yai lielee kwenye saltwater na lizame kwenye freshwater? apart from density hicho kitu kingine ni kipi?
Umesoma ukaelewa??
Nimeelezea sabab za yai kuelea kwenye salty water na kuzama kwenye fresh water kuwa ni density. Hapa hakuna maelezo au uhusiano na vitu kuanguka.

Kinachotokea ni kwamba upthrust au bouyant Force inakuwa Kubwa kuliko gravity force, hivyo kufanya yai lielee kwenye salty water.

Note: Buoyant force is an upward force exerted on an object immersed in a fluid (liquid or gas). This force is the result of the pressure difference between the top and bottom surfaces of the object.
 
Niliachana nayo wapi? unatengeneza imagination zako mwenyewe......... mimi nilisema density na weight ya object zinahusika kwenye ku determine kipi kielee na kipi kiende chini na sio kwamba weight au density peke yake inatosha kutafsiri scenario husika.....


Swali lako kuhusu weight kushindwa kufanya Yai lizame kwenye maji ya chumvi nimeshalijibu kwa maelezo hapo juu kwamba weight ya object pekee haitoshi kufanya utambue kipi kizame na kipi kielee,.. so hata kama Uzito wa Yai ni ule ule lakini kitendo cha Maji ya chumvi kuwa na density kubwa compared to Yai inafanya Yai lielee and vice versa is true.
 
Wewe ushawahi kuiona Ndege ikifuata curvature? umejuaje kama inafanya both things?

NB: Lete video na picha halisia.
 
Niliachana nayo wapi?
Pale ulipoanza kutoa sabab za kitu kuanguka ni weight.
unatengeneza imagination zako mwenyewe.........
Hapana ni wewe mwenyewe.
mimi nilisema density na weight ya object zinahusika kwenye ku determine kipi kielee na kipi kiende chini na sio kwamba weight au density peke yake inatosha kutafsiri scenario husika.....
Sawa, lkn je kwanini vitu huanguka ?? Maana maelezo yako yanaelezea tu kudetermine kipi kiende kielee na kipi kiende chini lkn swali la kwann vitu huanguka hujajibu.
Exactly!!! Lkn swali linabaki kwann ulipoweka yai juu ya maji lika/likataka kwenda chini na sio other side?? Why chini?? Kwa maana ukiyatoa hayo maji Bado yai litaenda chini, na hata ukiitoa hewa Bado yai litaenda chini.

Na kuongezea kutoka kwenye maelezo yako, unadai weight ndo hufanya vitu vianguke na zaidi unadai chenye uzito mkubwa huanguka haraka kuliko chenye uzito mdogo sivyo? Lkn ukweli ni kwamba regardless ya uzito, vitu vyote huanguka at the same rate, 9.81 m Kwa second ya Kila second.
 
Maelezo uliyotatoa yatakubaliwa na kukataliwa na watu kulingana na kiwango chai cha elimu. Enzi za ujima, ambao bado imo, ikieleweka hivyo kuwa dunia ni duara na chini imeshikiliwa na mihimili. Jiendeleze kielimu kupata uelewa zaidi. Na usipotoshe jamii kubwa yenye uelewa mdogo wa science.
 
Hii umeikimbia kabisa??🤣🤣 Kwamba imekushinda??? Au nani aliyesema kuwa inawezekana hata kwenye Dunia flat?? Si ww??

Usikimbie mada tumalizane hapa kwanza.
 
Huwezi kuona ndege ukifata curve,
Kwahiyo una dhania tu?

Kwani ukifata curvature unakuwa hufanyi both things??? (Vertical na horizontal movements)???
Wewe lini uliona unafata curvature?
Yaani nikuletee video ya ndege ikifata curvature 🤣🤣😎🤣

Basi hazifati curve, zinaicha zinatoka nje ya Dunia.

View attachment 3208772
Tatizo huna uthibitisho wa madai yako unaongea tu,... there's no curvature.
 
Uzuri siku hizi ushaanza kuelewa,..ndiyo maana kwenye maelezo yako yote haya hujathubutu kutaja gravity.

Exactly!!! Lkn swali linabaki kwann ulipoweka yai juu ya maji lika/likataka kwenda chini na sio other side?? Why chini??
Hii nilishawahi kukuambia ila nitarudia kwamba kinachofanya object ianguke chini na si upande mwingine ni kwasababu The burden of an object is directly proportional to what is below..Na hiyo ni Natural law!
 
Hii umeikimbia kabisa??🤣🤣 Kwamba imekushinda??? Au nani aliyesema kuwa inawezekana hata kwenye Dunia flat?? Si ww??

Usikimbie mada tumalizane hapa kwanza.
Sasa kwanini isiwezekane kwenye Dunia flat? kwani angani kuna obstacle yoyote let's say Milima ambayo itazuia Ndege isiende kwenye curved path? yaani kimsingi anga la flat earth halizuii Ndege kufuata route yoyote be it straight/curved,....so sio lazima Dunia iwe tufe ndiyo great circle route iwepo, a route can be circle even in an empty sky of the flat earth.

Lakini pia kumbuka angani curvature of the earth haipo taken into consideration na ndiyo maana miongoni mwa concepts muhimu kwenye urubani ni:-
a. Assumption that earth is flat

b. Assumption that earth is stationary.
 
Unazidi kujifanganya mwenyewe na kudhihirisha hujui chochote!! Bora ukubali hujui.

Mimi sijakataa kuwa kwenye flat ndege haiwezi ku curve(kupita njia ya mkunjo) au kwenda straight Ili kufikia destination yake. Bali nahoji hiyo njia ya mkunjo(curved route/great circle route) ni kivipi inaweza kuwa ndio route fupi zaidi kuliko straight route?? SIJUI UMENIELEWA SASA??


Yaani hii👇👇 ni route fupi


Kuliko hii👇👇
 
Lakini pia kumbuka angani curvature of the earth haipo taken into consideration na ndiyo maana miongoni mwa concepts muhimu kwenye urubani ni:-
a. Assumption that earth is flat

b. Assumption that earth is stationary.
ASANTE SANA hateeb10
Umemaliza Kila kitu Sina haja ya kuendelea tena!! Chosen Rich

Kumbe unaakili timamu ila huwa unajitoa tu. Huwa unajua Kwa uhakika kabisa kuwa Kuna curvature ya Dunia, na Dunia ni duara??

1. curvature of the earth haipo taken into consideration
👆👆
Haya maneno yamedhihirisha kiasi Gani sasa umeiva mwanafunzi wangu🤣.

Kwamba curvature ya Dunia haiwi considered angani. Safi kabisaa!! Kumbe ipo ila ukiwa angani haiwi considered. Hii point inashabihiana na point yangu niliyosema at short distance ndege hazina ulazima wa kufa curvature ya dunia👏👏
 
Uzuri siku hizi ushaanza kuelewa,..ndiyo maana kwenye maelezo yako yote haya hujathubutu kutaja gravity.
Kwasababu sijaelezea Kwann vitu huanguka, Bali nimeelezea Kwann yai limelea.
Hii nilishawahi kukuambia ila nitarudia kwamba kinachofanya object ianguke chini na si upande mwingine ni kwasababu The burden of an object is directly proportional to what is below..Na hiyo ni Natural law!
And why is it that? Why the burden is always to what is below?? Why below?? Not upper? Then gravity answers that!!!
 
hateeb10
Na labda nikuulize swali la mwisho;
Vitu huanguka katika rate (acceration) sawa au inategemea na uzito wa kitu?-kwamba chenye uzito mkubwa huanguka Kwa haraka kuliko chenye uzito mdogo.
 
a. Assumption that earth is flat

b. Assumption that earth is stationary.
Hapa unaweza kuwa sahihi pia, kwamba ni assumption tu, lkn sio kweli Kwa maana pia in relation to movement of the earth with its atmosphere including hiyo ndege, the earth is stationary, so ni sawa tu kwako kuweka assumption kwamba Dunia haizinguki.

Kwenye flat, hapa ita apply only Kwa sababu Map lazima iwe kwenye flat surface, na pia kwenye route ambazo ni fupi
 
Hahh naona umeamua kujifariji,....

Najua umeelewa vizuri tu kwamba nini nimemaanisha regarding whether curvature inakua considered/not kwenye anga,.ila umeamua kuiweka kwamba Ina support idea yako ya imaginary curvature of the earth,...

Kimsingi nimetoa hiyo statement kukuelewesha assumptions mbili (wao wanaziita assumptions, I thought ungejiongeza kwamba what if huo ndiyo uhalisia & not assumptions kama wanavyosema) yaani kwenye piloting wana assume kwamba :-
1. Dunia ni flat
2. Dunia haifanyi movement (stationary).


Nilijua ungedadisi kwamba je hizo assumptions ni assumptions kweli au ndiyo uhalisia ulivyo,..but sadly umezibeba kama unavyofundishwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…