Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Oya veΓ©p acha kuwaamsha waliolala eboo,Siri,Siri,Siri
Utakufa Kwa presha shauri zako hii
Unawajua ANNUNAKI?
Tuanzie hapo kwanza halafu tutajadili Hiyo ya mashimo ya migodi!
Ila kausha mwamba najua umenipata ila vunga nitaongea Kwa code,
Ila jua tu Dunia Duara sio flat kamwe!
 
Naomba tafadhali uelezee juu ya kupata USIKU & MCHANA kunatokeaje iwapo dunia yetu ni FLAT???
 
Lengo la kuficha ni nini? Ili iweje? Tuanzie hapo kwanza
 
Mkuu umetoa somo zuri, ila kwemye INTRO umenichanganya! Umewaponda wazungu na elimu waliyotuletea na wanavyoendelea kutudanganya na kutuficha mambo, wakati huo huo unatuelimisha kwa kutumia lugha, vyombo na elimu hiyo hiyo ya hao jamaa..!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unge jua huku watu wengi taarifa zote wanazo sema bado hatuna pa kuchagua. We Leta ujuaji
 
Utaposema kutoka usawa bahari unamaana gan?
 
Dunia ni tambarare mimi nimewahi kufika kwenye kingo za mwisho, ni hatari tupu
 
Uwezo tu wa kufahamu mambo ya ulimwengu na ya kielimu na reserves za elimu dunia. Huna hata aptitude ya kuzungumza mambo rahisi kama shape ya globe
Kwahiyo untataka kuwema uwezo wangu wa kufahamu mambo ya ulimwengu na ya KIELIMU na reserves za ELIMU DUNIA sina kabixa??
 
Naomba tafadhali uelezee juu ya kupata USIKU & MCHANA kunatokeaje iwapo dunia yetu ni FLAT???
Huu mjadala nimeufatilia miaka mingi sana naona pande zote kuna vitu wana miss.

Hili swali la usiku na mchana limeulizwa sana na sijaona majibu yake,ila kuna mdau alijibu kwa concept ya kwamba..

Jua ni dogo kuliko dunia sahani,yaani chukulia sahani ya kula watu 10 ndio dunia na jua ni kama kitenesi cha watoto.

Hivyo inakuwa ni vigumu sana jua kumulika pande zote za dunia kwa sababu jua ni dogo na dunia ni kubwa.

Hivyo kwa kuwa jua ni dogo basi mwanga wake utakuwa haufiki baadhi ya sehemu,na hizo sehemu ndizo zitakuwa ni usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…