Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Walio propose ndiyo wanasema hivyo, hata wewe naamini unafahamu kwamba gravity ni theory ila unataka kubisha tu,....

Ngoja nikuwekee ujikumbushe hapa...⬇️
Sir Isaac Newton proposed the theory of gravity in the late 17th century. His theory, outlined in his work "Philosophiæ Naturalis Principia Mathematica" (Mathematical Principles of Natural Philosophy), stated that every particle of matter in the universe attracts every other particle with a force directly proportional to the product of their masses and inversely proportional to the square of the distance between their centers.

Many scientists, including Edmond Halley and Robert Hooke, supported Newton's theory. However, there were critics, such as Gottfried Wilhelm Leibniz and some Cartesian philosophers, who questioned aspects of Newton's ideas, leading to debates and discussions within the scientific community during that time.
Ilikua ni theory, baadae Ikawa proved kwahiyo sio theory tena.
 
Kabla sijasoma! Kuingiza data za Flat Earth kichwani ni kumaliza disk space

Moja kati ya kazi ngumu sana

Kupatwa kwa mwezi ama kupatwa kwa jua panatokeaje kama dunia ni tambarare!!?

Mwezi kua nusu kwanini kwanini upande wenye mwanga na upande wenye giza visitenganishwe na mstari ulio nyooka!? Kama ni tambarare

Hayo ni moja kati ya maswali machache tu

Ninachowaza kingine ni upeo wa macho kuona ungekua mbali zaidi kama ingekua tambarale
images%20(1).jpg
images.jpg
 
Tarehe 9

sehemu

Tarehe 9 sehemu ya milky way galaxy ( hii yetu ) itaonekana kwa uzuri upande wa mashariki bila kutumia darubini.

Usikose kukaa nje siku hiyo ujifunze mambo mengi alafu tutakuja kuulizana maswali hapa.
Sawa tusubiri,.... Ni jambo zuri endapo kupitia tukio hilo tutaweza kupata solution ya maswali yanayotatiza ndani ya uzi huu.
 
INTRO
Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili.

Tafakari ni mambo mangapi ambayo ulifundishwa shuleni lakini hukuwahi kuyatumia maishani mwako, na ni mambo mangapi hukuridhishwa na majibu yake ukiwa mtoto au hata ukiwa mtu mzima ni mengi , How many laws, principals, theories and formulas that you did not actually understand at all but actually agreed to them just to get along with the system or just to answer the exam. or how many things that do not make sense in real life till now.. a lot!!

Ni wazi kwamba mfumo wa sasa wa maisha kiujumla hauna tofauti kubwa sana dunia nzima. UTANDAWAZI
Kwa mfano mfumo wa mfanya kazi aliesoma wa Marekani ,Europe,Asia nk hauna tofauti sana na huku kwetu Africa na kwengineko ,,Tukiweka pembeni mambo ya mshahara na customs nyingine...

Yani namaanisha msomi mwisho wa siku lazma uspecialize kwenye kwenye kitu ambacho utakifanyia kazi maishani mwamko ,mfano utakua either ,Daktari, Mwanasheria, Wakili, Rubani, Mwandishi wa habari, Engineer, Karani nk.... Na kazi hizi ndio maisha yako. Nikimaanisha kwa asilimia kubwa sana katika kazi uliyo somea . ndipo utakapo patia mkate wako wa kila siku, ili uweze kuendesha maisha yako na watu wa karibu yako.

Na hii ndio point kubwa ya elimu,,kukufundisha kusurvive ndani ya system kiujumla.kwa mawazo yangu.
Na mara nyingi hivi vitu tunavyo visomea huchukua muda mrefu sana katika maisha yetu

na ni vigumu sana kujifunza vyote maana vinachukua muda na uwezo. Hata kama una IQ gani ..ndo system ilivyo.
Hivyo kwakua kila mtu yupo busy kufanikisha malengo yake kielimu na kimaisha ,kuna vitu vingi tunaviacha nyuma bila kuwa na ujuzi navyo kamili kwasababu havitusaidii katika kusurvive katika system.... Ila tatizo ndo lipo hapo katika vitu tunavyoona havitusaidii katika maisha.

all in all being educated with a diploma ,bachelor,or masters is not all in life.
it just means that you master being a Good worker/slave to the system.

Okay tuachane na haya mambo maana there's a lot to talk about in the subject matter

No one is smarter we are just simply sharing information and ideas ,,because we often judge according to how we where taught .

JARIBU KUA OPEN MINDED NA UTAFAKARI KWA KUTUMIA UTASHI ULIOPEWA.

Tuongelee Dunia


Nadhani kila mtu hapa alifundishwa kuhusu umbo la DUNIA
according to wikipedia (Muundo wa dunia
unafanana na tufe kubwa yenye rediasi ya 6370 km kwa wastani[1]. Tufe la dunia yetu imeundwa na mabara kwa tabaka mbalimbali. Sayansi ina njia kuzitofautisha kufuatana na tabia zao.) hivi ndivyo wote tumefundishwa swali muhimu ni kujua maana ya tufe ni nini ?

(picha na maelezo kutoka wikipedia)



Picha ya tufe
Rediasi au nusukipenyo (= r) cha tufe
Tufe ni umbo la gimba linalofanana na mpira au chungwa. Lakini wala mpira wala chungwa ni tufe kamili.

Mwaka huu 2016 tunashuhudia ssa hivi DUNIA ipo katika maendeleo na mafanikio makubwa ya technolojia na sayansi (dunia ya utandawazi)

According to NASA {nadhani wote mnatambua NASA ni nini !!!} safari ya kwanza ya mafanikio kwa binadamu kutua mwezini ilkua mwaka 1969 jully kinachonishangaza pamoja na mafanikio yote ambayo mwanadamu ameyapata mpka sasa hakuna picha halisi ya Dunia duara au tufe picha zote za dunia tufe au duara ni CGI (computer generated image) mara nyingi picha za aina hii huwa na muonekano kama picha halisi lakin sio halisi kwa sababu zinatengenezwa na photoshop au program nyingine za kutengeneza CGI nadhani watu wenye ujuzi wa media na graphics mnaelewa nnachojaribu kuelezea hapa.

Dunia duara (spherical earth) iligunduliwa na (The discovery that the Earth is round is most commonly ascribed to the ancient Greek philosopher Pythagoras, while the credit for proving it is usually given to Aristotle. It appears that most ancient Greek philosophers that followed him believed in a round Earth. Since the records from that time are not perfect, it is quite possible that someone before him was aware of the Earth's round shape.)

Kwa ufupi tunaona kwamba dunia duara ipo mda mrefu sana lakin mpaka leo hakuna picha halisi ya DUNIA yenyewe unaweza kugoogle tafta '' picture of earth from space'' AMBAYO SIO CGI


PICHA YA DUNIA KUTOKA MWEZINI ANGALIA TOFAUTI ZILIZOPO
images


images


Na pia kumbuka kwamba Dunia ina mizunguko miwili according to science na hizo spidi ni kali sana. Kwa mfano mzunguko wa usiku na mchana ni kilometer 1000 kwa lisaa hii ni spidi kubwa sana. Mara nyingi tulipokua wadogo tulkua tukiuliza inawezekanaje dunua inazunguka kwa spidi kubwa sana lakin hatuoni chochote, WAALIMU walitwambia ni GRAVITY au gravitation force ndo inavishikilia vitu vyote visidondoke kutoka duniani.... mara nyingi katika topic hii mwanafunzi anakua anajaribu kutafakari haya yote yanawezekanaje lakin jibu kamili hua halipatikani.


rounwrld.jpg

Nadhani mpaka ssa hvi utakua atleast umepata mwelekeo kidogo.. hili swala lipo deep sana na lipo connected mambo mengine mengi ulimwenguni.

Ukweli mwizito ni kwamba dunia ni tambarare na haina mzunguko wowote yani imetulia (fixed) na wanaojulikana kama (ELITES =a select part of a group that is superior to the rest in terms of ability or qualities.) hawa ni watu wanaoiongoza dunia kiutawala kiuchumi kidini na mambo mengine mengi kupitia mitandao yao ilioenea dunia nzima ..hili swala la elites pia linaweza kuzungumziwa separate kwasababu nalo lilpo deep na nivizuri kutambua njinsi media pia zinavotumiwa na viongozi katika uongozi.. kabisa kama nlivosema mwanzo mambo mengi yana husiana (everything is connected) ivi ulishawahi kujiuliza kwanini ramani ya dunia ambayo ipo kwenye bendera ya umoja wa mataifa ipo tofauti kabisa.
images

Bendera ya umoja wa mataifa

Jiulize kwanini ramani ambayo inatumiwa na umoja wa mataifa ni tofauti kabisa na ramani za kawaida? na ijulikane kwamba alama zote za bendera duniani au michoro yoyote kwene bendera inamaana flani au inaashiria kituflamni katika jamii au katika historia kiujumla.

Hii inamaanisha kwamba umoja wa mataifa wanajua kitu kuhusu dunia tambarare. Lakini kwanini wanatuficha?

un.png


Okay tuzungumie kuhusu dunia kua tambarare kwa undani kabisa na ushaidi
ngoja nielezee kwanza muundo wa dunia kutokana na reerch ya flatearth society.

Hoja ni;

Dunia ni tambarare na haizunguki yenyewe wala haizunguki jua bali jua na vitu vyote angani vinaizunguka dunia na milango yetu yote ya fahamu inatuambia hivyo maana jua tunaliona kila siku linavyotuzunguka kwasababu tunaliuona mizunguko yake na pia mwezi na nyota vyote vinatuzunguka hivi ndivyo fahamu zetu zitatuambia na ndio ukweli in short THE EARTH IS THE CENTER OF THE UNIVERSE. Na hili jambo lilikua linajulikana miaka 500 iliopita na pia DINI zote za kale na sasa walizungumzia kuhusu dunia kua katikati ya kila kitu. mfano mzuri ni katika BIBLIA katika kitabu cha mwanzo mungu alielezea vuzuri tu umbo la dunia yetu

Flat-Earth-Memes-57-6.jpg
images


Lakini chakushangaza binadamu tunakataa jinsi fahamu zetu tano zinavyotutuma achilia mbali milango yetu ya fahamu pia katika dini hili swala limezungumziwa lakini bado watu waaamini picha za NASA kwamba wameenda mwezini embu jaribu kukaanje sikumoja usiku alafu angaliua mwezi vizuri kwa macho yako na unambie kama kuna mtu kaenda kwenye mwezi
  • Dunia ni tambarare na maji yote ya bahari yameshikiliwa na kuta za barafu zilizozunguka dunia nzima
  • images
    images
    images
kama kuna mtu yoyote duniani anae weza kutuonesha na kuthibitisha kua dunia ni duara maana yake dunia sio duara na

HII infahamika toka zamani na itambulike vita kati ya dini na wanasayansi na wanafilosofia wa zamani
DINI ZA DUNIA ZILINAJUA DUNIA NI TAMBARARE

1318069305657.png



ACCORDING TO ERIC DUBAY AND OTHER FREE THINKERS


Dunia [/ B] ina eneo la takriban maili 3965. Kutumia nadharia ya Pythagorean, ambayo huhesabu kwa wastani curvature [/ B] ya inchi 7.98 kwa maili au takriban inchi 8 kwa maili.

Hii inamaana kua dunia inaanza kupinda au ku curve kwa nchi 8 kwa mile moja hii inamaanisha kwamba kwamfano kuna point mbili A na B mtu wa A hatoweza kumuona mtu wa B alie mile kumi au hata ishirini je hii ni kweli?
angalia kwa makini uelewe

bedford-experiment.jpg
bedford-rowbotham.jpg


Hii ilijulikana sio kweli kwasababu ya uwepo wa camera na vifaa vyenye nguvu kwa watu tofauti na zamani hizi zifuatazo ni picha zinazoonesha umbali mkubwa ulioweza kuonekana katika camera na vifaa vingine na zote hizi hazioneshi curveture yoyote angalia

bedford-level.jpg
flat-earth-is-flat.jpg

Nimejaribu kutoa mwanga tu kwa wataopenda kujua ukweli na kufatilia kuhusu flat earth nenda utapata kila kitu IFERS

Ukitaka kuelewa hili swala pamoja na mambo mengine usiyoyajua na agenda za dunia fatilia kuhusu
JARIBU KUFATILIA UKWELI SSA HVI KUNA MAKUNDI MENGI YA WATU WANAAMKA NA KUGUNDUA HAYA MAMBO KIMSINGI HUU NDIO UKWELI WA MSINGI WA KWANZA .. SABABU ZA HAWA ELITES NA INTERNATINALISTS KUFICHA HUU UKWELI PIA ZIPO ,,,,,,, CATCHUP TO REALITY FATILIA KUHUSU DUMBING DOWN OF THE SOCIETY NA THE USE OF MEDIA ON MASS CONTROL
HAYA YOTE NI KUTUFUNGA TUSIJUE UKWELI?/
KUMBUKA THOSE WHO CLAIM TO HAVE THE TRUTH ARE EASILY DECEIVED

  1. PIA FATILIA KUHUSU WHY NO ONE IS ALLOWED TO GO TO ANTARTICA
  2. FLATEARTH YOU TUBE INA VIDEO NYINGI KUHUSU HILI SWALA
  3. THE BEST NARRATOR IS ERIC DUBAY ACCORDING TO ME
  4. PIA FATILIA KUHUSU CHEMTRAILS AND FOOD POISONING
  5. KIKUBWA FATILIA KUHUSU UWEZO WA BINADAMU KIROHO/NAFSI PIA KUHUSU PINEAL GLAND NA THIRD EYE HII HAINA MAUSIANO NA DINI ZETU INFACT KILA MTU ANATEZI KATIKATI YA UBONGO INAITWA PINEAL HII NDIO HUMFANYA MWANADAMU KUA NA UWEZO WA KIROHO NA NAFSI ...HAYA MAMBO YAPO LAKIN HATUFUNDISHWI ..
  6. PIA FATILIA KUHUSU NEW WORLD ODER KIUNDANI
  7. PIA JARIBU KUFATILIA ANCIENT HISTORY AND KNOWLEDGE ( ANCIENT CIVILAIZATION)
  8. FATILIA ATLANTIAN CONSPIRACY
  9. NASA IS A HOAX
  10. GLOBAL WORMING AND CLIMATE CHANGE IS A HOAX
  11. PIA FATILIA GEORGIA GUIDE STONES
  12. KIUFUPI BINADAMU TUNAUWEZO MKUBWA SANA LAKINI HATUJITAMBUI
  13. MANY OF THE THINGS WE KNW ARE JUST ALLEGORIES AND PLANE FACE LIES
  14. HII HAIWEZEKANI.......

WE ALL LIVE FOR A PURPOSE AND THE EARTH IS THE CENTER OF THE UNIVERSE
BIG BANG NA EVOLUTION THEORIES NI UMBEA NA PROPAGANDA


COPY and paste from.....

THIS POST WAS PUBLISHED BY ERIC DUBAY @ATLANIAN CONSPIRACY BOOK
For daring to spread this most important and overlooked truth, I have received death threats, lost friends and family members, had my forum shut down, and been kicked off Facebook thrice and counting. As damning and easily provable as is this fact of Jewish Freemason control, there is one other incredible fact which has also been held from humanity for 500 years now. This fact is even more damning and more easily provable, and is also a direct result of the Jewish Freemason control over the minds of the masses worldwide. It is the most marginalized, ridiculed, censored and hidden fact in history. If this fact was made known to the world at large, just this one fact, has the power to completely transform the world and everyone in it for the better, holistically, in a myriad of ways. Our rulers are well aware of this, and that is exactly why this truth has been held from us so expertly for so long. It is about the truth of who we are, where we come from, the actual position and significance of humans, Earth, the Sun, Moon, and stars.

The fact is: The Earth is flat and motionless. That is all. And that is the revelation that will finally break the matrix. You have been taught from the earliest ages that you live on a spinning ball. That NASA has sent men to the Moon, that satellites are hovering in perpetual orbit overhead, that an International Space Station contains astronauts free-floating above us, that the Earth is a ball that tilts, wobbles, spins on its axis and revolves around the Sun, and that all these and you are the result of a Big Bang cosmogenic explosion 14 billion years ago which created everything out of nothing. Yet nothing could be farther from the truth.

13254105_10154190157034293_7954312585114140960_n.jpg


The truth is simple and easily proven. You can see for yourself the horizon is always flat and you can measure using sextants, theodolites, and lasers to prove the Earth and its massive oceans have absolutely no curvature whatsoever. You can feel for yourself that the Earth beneath you is motionless and you can measure as Michelson, Morley, Gale, Sagnac, Airy and other scientists have to prove that the Earth is completely motionless. That's right. It has been long proven by several scientific experiments, even in the elitist "peer-reviewed journals" you critics constantly harp on about, that the Earth is a stationary plane. The reason you haven't heard about it before is because the media is controlled by the same people who created this deception. The only time you have ever heard a "Flat Earther" mentioned in the media, it was in jest or ridicule. The only thing you have ever heard about "Flat Earth" is that its adherents are ignorant idiots. Sorry to burst your space bubble, but if you still think you're living on a spinning ball in 2016, you my friend, are the ignorant one.

13615254_10154988989848916_7297770299845639125_n.jpg


Millions of people worldwide are waking up to this incredible re-discovery and this "Flat Earth movement" has the potential to bring about positive change on a unprecedented level. Like a balloon held underwater for 500 years, the momentum of truth rising to the surface is causing and will continue to cause huge ripples in the control system. As the spinning ball-Earth is finally being exposed worldwide for the 500 year deception it was, Earth's entire population is suddenly being faced with the reality that every government, every space agency, university, secret society, religious organization, mainstream and alternative media outlet have ALL been duplicitous in propping up a monstrous manipulation to fleece and control the masses. The resulting mass mental exodus away from the control system is exactly what humanity needs. Once the flat Earth truth gets out, these lying politicians, spokesmen, reporters and teachers suddenly change from being heralded voices of authority to being ridiculed, shunned and denounced as they deserve. Once the flat Earth truth gets out, these governments, universities, media outlets and other entangled organizations which have long been hard at work weaving this multi-generational cosmological myth, suddenly and completely lose all credibility. Once the truth of our flat Earth gets out, so does the truth of these few elite families/societies who have kept this most important and fundamental reality from us for these hundreds of years! Essentially, once the flat Earth truth gets out, so does every other important truth by proxy, because this "mother-of-all-conspiracies" holds under its umbrella literally ALL of the other conspiracies, and exposes them.

As a result of deeply understanding this and wanting to bring about a better world, it has become my life mission to spread the flat Earth truth to everyone. I have written two books on the subject, "The Flat Earth Conspiracy" and "200 Proofs the Earth is Not a Spinning Ball." I have re-started the International Flat Earth Research Society and maintain a website with hundreds of articles on the subject. I have done flat Earth radio interviews, made flat Earth FAQs, flat Earth shirts, written flat Earth rap songs, audio/video books, documentaries, and created every other kind of media I can think of to try and promote this message.

Now in just a few short years, thanks to the efforts of the rapidly growing flat Earth community, this has gone from a completely unknown, undiscussed topic to one of the highest ranked google search terms on the internet with tens of millions of hits monthly. If you still haven't done your due diligence in researching to know for yourself 100% that you are living on a flat, stationary plane, please look into the links provided. And for those of you who do know, I implore you to help my mission Operation: Spread Flat Earth Truth.

Simply knowing the truth yourself will not and cannot save the world. The only way to save the world is for the whole world to know the truth. As a means to that end, the most important type of activism anyone can be doing right now is spreading these important truths on a mass scale. There are innumerable creative ways to help achieve this; the following are several effective methods myself or friends have had success with:

1. Conversation: One of the best ways to engage people with the flat reality is through conversation. Asking leading questions, dropping hints, or just telling people various proofs and evidences is a great way to wake people up. This only works, however, if you are very knowledgeable about the subject yourself and able to answer every possible question without hesitation like the liars at NASA do.

2. Viewing Parties: Another good way to engage people is by getting them to agree to sit down and watch an informative documentary on the subject such as my videos "The World's Biggest Secret," or "The Masonic Matrix Manipulators" After watching you can then do your best to field any questions people may have.

3. Book Gifting: A great indirect way of engaging people is by buying and giving them copies of "The Flat Earth Conspiracy" and "200 Proofs the Earth is Not a Spinning Ball" or other good books on the subject. If you own flat Earth books yourself, be sure to let friends and family borrow them as well.

4. School Projects: If you are currently in school or university, a great way to expose this information is by writing essays or doing projects which tackle various aspects of ball-Earth pseudo-science or expose true flat Earth findings.

5. Social Media: I have had great success using social media to spread flat Earth truth. Simply create accounts with all the big social media sites like Facebook, Google+, Twitter, LinkedIn, Instagram, Reddit, StumbleUpon etc., join relevant groups and pages, follow people interested in related subjects, and post the best flat Earth material you can find to as many places as you can, as often as you can. Don't bother arguing with the trolls and closed-minds that will inevitably hound you, but rather focus on dissemination, spreading the message far and wide. If people ask genuine questions, be sure to answer, but anyone merely looking to ridicule should be left alone to talk with themselves.

6. Use YouTube and Other Video Sharing Sites: With 13 million hits and growing, my YouTube channel has done an excellent job spreading this message. We need more people to start flat Earth YouTube and other video sharing site channels, however, either creating original content or just re-uploading other good content. I personally have given everyone permission to use any/all of my content to help spread the word. Once you upload a new video to YouTube, then go to all your social media accounts and post each new video to all the relevant pages, groups and timelines you can.

7. Translations: For multi-lingual flat Earthers, one of the best things you can do is help translate good flat Earth material into your native tongue. My book "200 Proofs Earth is Not a Spinning Ball" has now been translated into 12 different languages and counting, reaching people who would otherwise never have a chance of understanding this material, the majority of which currently exists only in English.

8. Graffiti/Artwork: Another great method of spreading the word is through artwork or graffiti. Writing important search terms or keywords and phrases on paper money is also very effective. On the borders of your dollar bills, simply write AtlanteanConspiracy.com, IFERS.123.st, the Earth is Flat!, Google Flat Earth, Google Eric Dubay, or other such messages.

9. Pamphleteering/stickers: Creating small brochures or stickers with flat Earth information on them and handing them out in public spaces is an excellent way to spread the word. Compile several photo proofs or text proofs and put them in an easily printable and readable format then hand out as many as you can.

10: Radio/TV Show Call ins: Many different TV and radio shows give their viewers/listeners the opportunity to call in and talk with the host about certain subjects. A great way to spread the word is either by calling into these shows and engaging them on the subject on the spot, or contacting their producers before-hand and seeing if you could actually be interviewed.

There are an infinite number of creative ways we can spread this most important message, but the key is numbers and consistency. We need to hit a critical-mass tipping-point of awakened individuals dedicated to helping unplug everyone else from the spinning ball-Earth matrix. If you have figured out the truth of our flat Earth and realize the amazing positive implications of this being exposed worldwide, please join me on my mission to help spread flat Earth truth to the entire flat world

empty.gif
by Cannalive on Sat Oct 29, 2016 11:25 pm

I was told about this in jest. But once I got curious, I openly learned more and became awake. If you truly want to wake up and find the edges of your cage, you eventually cannot get over the hurdle of flat earth. Even when meeting a new friend and getting high together we both subconsciously brought up flat earth during our discussion, not really taking it seriously...until I said something that blew his mind. A simple truth about time zones if the sun was so far away. That was when I realized we have so much ability to slip into someone's conscious thought by redirecting away from the subject itself head on and slip through one of the many backdoors of logical.u

Sio kweli vinginevyo kutoka Japan mpaka Marekani pangekuwa mbali sana, sababu dunia ipo flat, hujiulizi kwanini pako karibu?

Haya hapo labda tuseme haipo, lakini sayari zote zimeumbwa au kuumbika kwa jinsi moja

Nikiabgalia Jua la Duara, mwezi japo unaonekana kwa mchongo nao Duara agu dunia nayo isiwe ya duara, huu si utakuwa ufala??

Anyway, hivyo ndivyo navyofikiri
 
Mkuu nimejaribu sana kuvaa viatu vya waamini dunia tambarare sijashawishika bado

Labda kabla hatujaanza kudadafua zaidi naomba kujua kwanini NASA wadanganye dunia? Nadharia ya dunia duara haikuanza na NASA ilianza na wagiriki kama sijakosea

Leo hii maasimu na maadui wakubwa kabisa wa USA kama Iran Korea ya Kim, Russia nk wote wanapeleka vyombo vya anga mbali na dunia, kwanini waendelee kuushikilia uongo wa NASA? Kwa maslahi gani
Kwasababu kimsingi hakuna kitu rahisi kama kuthibitisha dunia ni tambarare ina ukingo kuliko kuthibitisha dunia ni duara

Why akina China Iran Russia india Korea nk waangukie kuendelea kuidanganya dunia?

Tukitoka hapa ndio tuanze kujadili sasa
emoji120.png
Mkuu., kuhusu umbo la Dunia sio lazima tusubiri shirika fulani kama NASA ndiyo lituambie.... kwakuwa tayari tuna macho tunaweza kuyatumia kuchunguza ili kuchunguza Dunia ina umbo gani...... ngoja nikuulize swali ➡️Je,wanachosema NASA kwamba Dunia ni Tufe 🌍 kinaendana na kile ambacho macho yako yanaona kwenye uhalisia?
 
Ilikua ni theory, baadae Ikawa proved kwahiyo sio theory tena.
Hapa unatupanga mkuu,... gravity bado ni theory.

Ni kama umelazimisha tu ili kuridhisha akili yako., au una ushahidi kwamba gravity sio theory tena?
 
Kabla sijasoma! Kuingiza data za Flat Earth kichwani ni kumaliza disk space

Moja kati ya kazi ngumu sana

Kupatwa kwa mwezi ama kupatwa kwa jua panatokeaje kama dunia ni tambarare!!?

Mwezi kua nusu kwanini kwanini upande wenye mwanga na upande wenye giza visitenganishwe na mstari ulio nyooka!? Kama ni tambarare

Hayo ni moja kati ya maswali machache tu

Ninachowaza kingine ni upeo wa macho kuona ungekua mbali zaidi kama ingekua tambaraleView attachment 2894050View attachment 2894051
Kupatwa Kwa Mwezi&Jua una uhakika kwamba matukio hayo yana uhusiano na Dunia na umbo lake?
 
Mkuu, akili yangu ipo huru na sijaifunga kwenye box la ubishi wala ujuaji,..kuna vitu jaribu kufanya observation wewe kama wewe achana na vyote ulivyofundishwa kisha tumia akili yako tu na utazame Dunia yetu hii,.....jiulize Kwa mfano ukitumia usafiri wa majini kuzunguka Dunia nzima,...Je utaweza kugundua any bend of water towards the curve of the earth? Kumbuka Inasemekana maji yanachukua karibia 71% ya earth's surface,...na kanuni ya maji haya bend na huwa yanatafuta horizontal level kama tuonavyo Kwa macho yetu,..Sasa, Je unaona horizontal level yoyote kwenye Tufe la aina hii➡️🌍?
mhhh,mkuu hivi unadhani ili bacteria aliyepo juu ktk ngozi ya kichwa chako,anahisi kama kichwa ni cha mviringo??hawezi sababu haoni kingo sio kwa sababu kingo hazipo.

Unasema camera zilizopo kwenye space zinakimbia pamoja na Dunia...... jiulize "Are there any unedited pictures & videos of Earth from space that show it as a Tufe"
kama zipo nionyeshe tuone jinsi Dunia Tufe linavyokimbia kwenye njia yake.
utatazama picha pale chini,nadhani unataka kuona njia ya dunia pia😂😂.
wakati umeambiwa ni njia ya kufikirika ambayo dunia hupita sio kwamba ni barabara.
Dunia ukichunguza wewe mwenyewe utagundua kama haizunguki,....Kwa mfano watu wa Dunia Tufe wanasema mawingu yapo Attached na Dunia, hivyo Dunia na mawingu yanazunguka pamoja same direction,......Sasa wewe kama unapenda kudadisi chukua hata wiki dadisi mwenendo wa mawingu,..kisha njoo ulete majibu hapa kwamba Je, mawingu movements zake zinaendana na movement ya Dunia kama inavyoelezewa???!
kwanza unachanganya concepts hapa.
kuna mawingu kuwa ndani ya miliki ya dunia,na kuna mawingu kuzunguka uelekeo mmoja na dunia.
hayo ni mambo mawili tofauti.
mawingu yako ndani ya ozone layer ya dunia,yanakwenda na dunia pamoja kwa mizunguko yake yote miwili,unaona yanatembea tofauti sababu ya upepo na mabadiliko ya hali ya hewa.
 

Attachments

  • 20240205_070156.jpg
    20240205_070156.jpg
    63.4 KB · Views: 6
mhhh,mkuu hivi unadhani ili bacteria aliyepo juu ktk ngozi ya kichwa chako,anahisi kama kichwa ni cha mviringo??hawezi sababu haoni kingo sio kwa sababu kingo hazipo.
Kwanini Bacteria asione kingo,na uhakika kama haoni kingo tumeupatia wapi,.huoni kama tunakua tuna guess tu?!,..hiyo Imani kwamba huoni Tufe Kwasababu Dunia ni kubwa sana, imekua indoctrinated kwenye akili yako ndiyo maana na wewe unaamini hauwezi kuona kama Dunia ni Tufe au la......unajua kwanini nasema hivyo? Ipo hivi zipo njia mbalimbali unaweza kuzitumia kujua kama Dunia ina umbo gani,. Njia hizo ni pamoja na:-

a. Macho yako - Hii ni njia ya kwanza kabisa ambayo kabla ya kusikiliza na kumuamini yoyote yule,.inatakiwa uyatumie macho yako kama Primary source ya tafiti yako..,Je, ukitumia macho yako unaona Tufe?
NASA wasingekuambia Dunia ni Tufe,..wewe binafsi ungekua na maoni gani kuhusu umbo la dunia?


b. Tumia logic - Kwa mfano unaweza ukajiuliza logically kwamba ikiwa Dunia ina umbo la tufe kama hivi ➡️🌍,..basi hiyo inamaanisha lazima kuna sehemu dunia ina curve ili kutengeneza shape yake ya Tufe...sasa Jiulize,..Je hiyo curve ipo? Ipo location gani exactly kwenye uso huu wa ardhi?,
Kisha jiulize kama Dunia ina curvature,... kwanini water body kama Ocean ipo level horizontal kabisa na haionyeshi curve yoyote?
utatazama picha pale chini,nadhani unataka kuona njia ya dunia pia😂😂.
wakati umeambiwa ni njia ya kufikirika ambayo dunia hupita sio kwamba ni barabara.
Hujajibu swali mkuu,..niliuliza kuna authentic video yoyote inayoonyesha Dunia yenye umbo la tufe ikiwa inafanya movement(rotation)?,.masuala ya njia achana nayo sio ishu.
kwanza unachanganya concepts hapa.
kuna mawingu kuwa ndani ya miliki ya dunia,na kuna mawingu kuzunguka uelekeo mmoja na dunia.
hayo ni mambo mawili tofauti.
mawingu yako ndani ya ozone layer ya dunia,yanakwenda na dunia pamoja kwa mizunguko yake yote miwili,unaona yanatembea tofauti sababu ya upepo na mabadiliko ya hali ya hewa.
Dah Kwamba mawingu yana rotate na Dunia pamoja kwenye mizunguko yote miwili?
Sawa ngoja nikuulize swali,...kama mawingu yanafanya rotation pamoja na Dunia kwa mizunguko yote miwili kama ulivyosema kwanini kuna muda yanatulia? Kumbuka wakati huo yanapotulia Dunia yenyewe constantly ina rotate kama unavyoamini,....Je, huoni hoja yako ina contradiction.
 
Kwanini Bacteria asione kingo,na uhakika kama haoni kingo tumeupatia wapi,.huoni kama tunakua tuna guess tu?!,..hiyo Imani kwamba huoni Tufe Kwasababu Dunia ni kubwa sana, imekua indoctrinated kwenye akili yako ndiyo maana na wewe unaamini hauwezi kuona kama Dunia ni Tufe au la......unajua kwanini nasem
pamoja na madai yako yote kinyume.na hili bado umeshindwa kuthibitisha dunia ni kama meza,na hutaweza wala kujaribu.
hivyo? Ipo hivi zipo njia mbalimbali unaweza kuzitumia kujua kama Dunia ina umbo gani,. Njia hizo ni pamoja na:-

a. Macho yako - Hii ni njia ya kwanza kabisa ambayo kabla ya kusikiliza na kumuamini yoyote yule,.inatakiwa uyatumie macho yako kama Primary source ya tafiti yako..,Je, ukitumia macho yako unaona Tufe?
NASA wasingekuambia Dunia ni Tufe,..wewe binafsi ungekua na maoni gani kuhusu umbo la dunia?
labda mwenzetu visivility yako iko tofauti inafanana na ya nyoka,watu wote tunajua na kukubali ithibati kwamba dunia ni duara kutokana na jinsi tunavyoiona,umepewa mfano kidogo tu nenda baharini ukaone umekataa eti ndio kiwango cha mwisho mtu kuona😂😂.

tukikuuliza kwanini jua magharibi linaonekana kuingia chini na mashariki kuonekana linachomoza chini huku makali yake yakiwa dhaifu sijui utatuambia nini!!
b. Tumia logic - Kwa mfano unaweza ukajiuliza logically kwamba ikiwa Dunia ina umbo la tufe kama hivi ➡️🌍,..basi hiyo inamaanisha lazima kuna sehemu dunia ina curve ili kutengeneza shape yake ya Tufe...sasa Jiulize,..Je hiyo curve ipo? Ipo location gani exactly kwenye uso huu wa ardhi?,
mkuu hata basic knowlege ya haya mambo huna,swali gani sasa hili umeuliza.
hili ni swali nilitakiwa kukuuliza wewe,kwamba huko meza yako inapofika mwisho ktk kingo za barafu ni point ipi ya dunia exactly,
sisi waumini wa dunia duara,dunia ni mviringo inakuwaje na point sehemu fulani ya mkunjo!!!

Kisha jiulize kama Dunia ina curvature,... kwanini water body kama Ocean ipo level horizontal kabisa na haionyeshi curve yoyote?
wewe unapoishi hakuna hata ziwa,usingeandika hii hoja😂😂
Hujajibu swali mkuu,..niliuliza kuna authentic video yoyote inayoonyesha Dunia yenye umbo la tufe ikiwa inafanya movement(rotation)?,.masuala ya njia achana nayo sio ishu.
ipi sasa hizi unazosema ni za kuundwa na NASA,au unataka za kutoka mars?
Dah Kwamba mawingu yana rotate na Dunia pamoja kwenye mizunguko yote miwili?
Sawa ngoja nikuulize swali,...kama mawingu yanafanya rotation pamoja na Dunia kwa mizunguko yote miwili kama ulivyosema kwanini kuna muda yanatulia?
nimekupa sababu ya mawingu kutembea au kutokaa sehemu moja kwamba ni hali ya hewa,joto na upepo,
hali hizo ziki ya favour mawingu basi hupunguza kasi ya kutembea na si husimama kabisa kama unavyodhani kama unavyouliza.
Kumbuka wakati huo yanapotulia Dunia yenyewe constantly ina rotate kama unavyoamini,....Je, huoni hoja yako ina contradiction.
hakuna hoja iliyoji contradict hapo,nisome kwa utulivu tu.
ukiwa ndani ya basi linalotembea na kipepeo pia ndani yake,akawa anaruka point A-B humo ndani ya gari,bado kipepeo ni sehem ya vilivyomo ndani ya gari.
 
pamoja na madai yako yote kinyume.na hili bado umeshindwa kuthibitisha dunia ni kama meza,na hutaweza wala kujaribu.

labda mwenzetu visivility yako iko tofauti inafanana na ya nyoka,watu wote tunajua na kukubali ithibati kwamba dunia ni duara kutokana na jinsi tunavyoiona,umepewa mfano kidogo tu nenda baharini ukaone umekataa eti ndio kiwango cha mwisho mtu kuona😂😂.

tukikuuliza kwanini jua magharibi linaonekana kuingia chini na mashariki kuonekana linachomoza chini huku makali yake yakiwa dhaifu sijui utatuambia nini!!

mkuu hata basic knowlege ya haya mambo huna,swali gani sasa hili umeuliza.
hili ni swali nilitakiwa kukuuliza wewe,kwamba huko meza yako inapofika mwisho ktk kingo za barafu ni point ipi ya dunia exactly,
sisi waumini wa dunia duara,dunia ni mviringo inakuwaje na point sehemu fulani ya mkunjo!!!


wewe unapoishi hakuna hata ziwa,usingeandika hii hoja😂😂

ipi sasa hizi unazosema ni za kuundwa na NASA,au unataka za kutoka mars?

nimekupa sababu ya mawingu kutembea au kutokaa sehemu moja kwamba ni hali ya hewa,joto na upepo,
hali hizo ziki ya favour mawingu basi hupunguza kasi ya kutembea na si husimama kabisa kama unavyodhani kama unavyouliza.

hakuna hoja iliyoji contradict hapo,nisome kwa utulivu tu.
ukiwa ndani ya basi linalotembea na kipepeo pia ndani yake,akawa anaruka point A-B humo ndani ya gari,bado kipepeo ni sehem ya vilivyomo ndani ya gari.
Sasa ili kuufanya mjadala uweze kueleweka na kuondoa janja janja ya kukimbia maswali,. nadhani tuanze kuulizana maswali magumu Kwa njia rahisi....

Kanuni ya maswali haya ni moja tu, kama hujui jibu la swali husika sema sijui,...usilete ujanja na maneno mengi,...

Nitaanza na swali la Kwanza.

1. Curvature ya Dunia ipo Nchi/location gani exactly, ikiwa dunia ni Tufe 🌍?
 
sisi waumini wa dunia duara,dunia ni mviringo inakuwaje na point sehemu fulani ya mkunjo!!!
Hapa umenishangaza kidogo,... kwamba hujui kama kwenye duara kuna an exact point ambapo duara linaanza Ku curve kutengeneza umbo duara? Hahh kuwa makini na Imani yako Mkuu.
 
Hapa umenishangaza kidogo,... kwamba hujui kama kwenye duara kuna an exact point ambapo duara linaanza Ku curve kutengeneza umbo duara? Hahh kuwa makini na Imani yako Mkuu.
wala sikushangai,bado uko mbali sana.

sisi tunajua dunia ni duara,so sehemu yoyote ni point ya kuanzia mkunjo.
 
Sasa ili kuufanya mjadala uweze kueleweka na kuondoa janja janja ya kukimbia maswali,. nadhani tuanze kuulizana maswali magumu Kwa njia rahisi....

Kanuni ya maswali haya ni moja tu, kama hujui jibu la swali husika sema sijui,...usilete ujanja na maneno mengi,...

Nitaanza na swali la Kwanza.

1. Curvature ya Dunia ipo Nchi/location gani exactly, ikiwa dunia ni Tufe 🌍?
kwa aina hii ya maswali usitegemee jibu la moja kwa moja,tegemea jibu la swali kwa swali.

kwani curvature ya puto au mpira inakaa wapi?ukizingatia ni 360*
 
kwa aina hii ya maswali usitegemee jibu la moja kwa moja,tegemea jibu la swali kwa swali.

kwani curvature ya puto au mpira inakaa wapi?ukizingatia ni 360*
Sasa huoni unatoa mifano ambayo haipo relevant?
Walio propose Dunia Tufe wanasema Dunia sio completely round,..yaani sio 360° kama mfano wako wa mpira wenye 360°.

Lete mifano relevant,....au labda useme umeamua kutofautiana na wenzako,.. kwamba Kwa upande wako Dunia ni completely sphere yenye 360° na haina curvature., is this what you mean?
 
Sasa huoni unatoa mifano ambayo haipo relevant?
Walio propose Dunia Tufe wanasema Dunia sio completely round,..yaani sio 360° kama mfano wako wa mpira wenye 360°.

Lete mifano relevant,....au labda useme umeamua kutofautiana na wenzako,.. kwamba Kwa upande wako Dunia ni completely sphere yenye 360° na haina curvature., is this what you mean?
hili la nyuzi bado pia ni kubwa kwako,inabidi twende na nyuzi hizo hizo 360*,ili uelewe.
si unajua hata mtoto wa standard two anaambiwa 1-2 haiwezekani??

hata ukiambiwa haiko 360 exactly si kwa sababu sio duara kama unavyodai wewe.
 
Back
Top Bottom