Yap kuwa na maswali mengi ni kitu kizuri,...lakini ushauri wangu usiwe distracted na hizo videos sana Kwasababu hiyo ni model tu imetengenezwa ili kuelezea possible movements of sun kwenye flat earth,......Nasema hivyo Kwasababu kwenye uhalisia huenda Jua halifanyi movement ambayo ipo the same Kwa 100% kama ilivyokua displayed hapo kwenye hiyo video........
Kitu cha uhakika ambacho Unaweza Ku observe Kwa macho yako ni kwamba:-
1. Jua linafanya movement(sio lazima movement hiyo iwe kama ilivyokua displayed kwenye hiyo video hapo juu)
2. Dunia ipo fixed imetulizana,.....unaweza ukachukulia mawingu kama reference point yako ili uthibitishe hili,... Kwa mfano movement ya mawingu Kwa kuwa yapo attached na Dunia kama wanavyosema theorist wa dunia tufe,.tunaweza tukajua movement ya Dunia kwa kuangalia movement ya mawingu...(Sasa fanya research hapo,.. utapata majibu).
3. Hamna curve yoyote inayothibitisha kwamba Dunia ni tufe,... Jiulize Tu Kwa level ya technology iliyopo tunashindwaje kujua exactly nchi au specific location ambayo kutokea hapo Dunia inaanza Ku curve?
4. Maji hayawezi kustick kwenye ball....na yapo level( chukulia ukubwa wa bahari na jinsi ilivyochukua eneo kubwa la Dunia lakini maji hayo yote yapo level kabisa...) Water never curves [emoji724]!!
NB:- Dunia Tufe [emoji288] hata Mimi nilisoma kuihusu,.... Lakini kadri ninavyojaribu kufikiria akili inakataa kwa sasa until further notice.