Kwani wanaodai Dunia Tufe ina curvature ni kina nani?unadhani nimekosea kuandika au nimejibu kwa kubahatisha!!!
ndio maana nikakwambia swali lako halina maana kwenye hoja za upande wetu,lina maana kwenu nyinyi wa dunia tambarale.linatakiwa lielekezwe kwenu.
nyinyi ndio mnaamini huna sehem ni tanbarale na kuna sehemu kuna kingo na hizo curvature zimeanzia.
Yani unajua kwanini napinga kuhusu ship visibility.,..NI Kwasababu ipo aligned na concept ya Curvature of the earth.Hauna majibu umeanza porojo,
Nlikupa mfano halisi wa meli ambayo nlikua naitizama ikiwa inaondoka nadhani unakumbuka, Wewe ulipinga sana kuwa macho yana uwezo mdogo kuwa nlichokiona sio uhalisia,
Sasa hivi upo kutetea hili ambalo ulipinga siku za nyuma.
I'm done with you bro, Nmeshafahamu wewe ni mtu wa aina gani.
wanasayansi wote wanadai dunia ni tufe,sasa ukiuliza curvature inaanzia point ipi ktk tufe,unakuwa umeuliza swali la kupuyanga.Kwani wanaodai Dunia Tufe ina curvature ni kina nani?
hunisaidii,bali unazidi kujiweka pambaya sababu uliuliza swali la ajabu kama unajua ni mkunjo.Kwa kukusaidia curvature maana yake ni "Mkunjo"β¦....
labda hujui msingi wa imani yako(flattened earth),imani ya watu wanaoamini flattened earth ni pamoja na kuamini dunia ina kingo,au mpaka kwa maana nyingine,yaani inapoishia ardhi kuna mkatiko,mfunjiko,mkunjo,sasa tunaomba kujua ni point ipi ktk dunia ina hiyo hali.Sasa huoni kama Inakua haiingii akilini unapodai kwamba flattened earth inahitaji kuwa na curvature?
,wewe unang'ang'ania kuwa mpumbavu wakati tunataka ukikaa na watoti wa standard 5 ufiche aibu ndogo ndogo hizi.Kingo na curvature ni vitu viwili tofauti,..usirudie tena kufananisha.
Sasa kumbe unajua kama Dunia Kwa ujumla wake ni tambarare kama ulivyosema hapo juu,... kwanini unaamini vitu ambavyo havipo mkuu.? Nadhani mada ilipaswa iishie hapa.CURVATURE
The Earth is too large to notice curvature
Pia "kumbuka dunia kwa ujumla wake ni tambarare" lakini uso wake una mabonde mabonde.........
Sasa tuje hapa kwenye suala la Curvature..., miongoni mwa vitu muhimu kabisa unachotakiwa ufahamu ni hii principle ya maji "Water never curves"....Water always maintain a horizontal level at the surface especially In a very large body of water like ocean....CURVATURE
The Earth is too large to notice curvature
Pia kumbuka dunia kwa ujumla wake ni tambarare lakini uso wake una mabonde mabonde......... Dhana hii sio ya kubishania labda ukatae kwamba dunia sio kubwa kiasi hicho
Sehemu pekee tunayoweza kujadili kuhusu curvature ya dunia kwa naked eyes ni sehemu tambarare ambayo ni majini
Umetolewa mfano ukiwa baharini meli inavyozidi kwenda mbali inaanza ku curve na inaonekana kama inatumbukia kwa kuanza kupotea kuanzia chini hadi mwishoni utaona minara yake kisha itapotea....... ukaja na hoja kwamba macho yana danganya
Lakini mbona hata ukichukua darubini inayoona mara 10000 ya macho ya binadamu bado utaiona meli inazama the same na unavyotumia macho?
Na kwanini meli hiyo ukiwa gotofa ya kwanza utaona imezama completely lakini ukipanda gotofa ya 50 unaiona?
Kabla hatujafika kweny GRAVITY ambayo ndio ngumu zaidi kumeza hebu tuwekane sawa kwanza kwenye curvature kwa uono wa macho
kingo hizo hawajawahi kutuonesha, wameshindwa kuungana kurusha satelite moja tu ya kwenda kuleta feed ya kingowanasayansi wote wanadai dunia ni tufe,sasa ukiuliza curvature inaanzia point ipi ktk tufe,unakuwa umeuliza swali la kupuyanga.
hunisaidii,bali unazidi kujiweka pambaya sababu uliuliza swali la ajabu kama unajua ni mkunjo.
labda hujui msingi wa imani yako(flattened earth),imani ya watu wanaoamini flattened earth ni pamoja na kuamini dunia ina kingo,au mpaka kwa maana nyingine,yaani inapoishia ardhi kuna mkatiko,mfunjiko,mkunjo,sasa tunaomba kujua ni point ipi ktk dunia ina hiyo hali.
,wewe unang'ang'ania kuwa mpumbavu wakati tunataka ukikaa na watoti wa standard 5 ufiche aibu ndogo ndogo hizi.
haya swali,hizo kingo hazina mwisho??
Hahh mkorinto acha bangi mkuu,...Globers ndiyo mnasema Dunia ina curve,. Sasa inakuaje unataka Mimi nithibitishe hiyo curvature wakati nyie ndiyo mnadai hivyo????????wanasayansi wote wanadai dunia ni tufe,sasa ukiuliza curvature inaanzia point ipi ktk tufe,unakuwa umeuliza swali la kupuyanga.
hunisaidii,bali unazidi kujiweka pambaya sababu uliuliza swali la ajabu kama unajua ni mkunjo.
labda hujui msingi wa imani yako(flattened earth),imani ya watu wanaoamini flattened earth ni pamoja na kuamini dunia ina kingo,au mpaka kwa maana nyingine,yaani inapoishia ardhi kuna mkatiko,mfunjiko,mkunjo,sasa tunaomba kujua ni point ipi ktk dunia ina hiyo hali.
,wewe unang'ang'ania kuwa mpumbavu wakati tunataka ukikaa na watoti wa standard 5 ufiche aibu ndogo ndogo hizi.
haya swali,hizo kingo hazina mwisho??
Kama hujui waafrika wengi ndiyo wanaamini Dunia Tufe Kwa kuwa wengi ni wavivu wa Ku reason,.... Great thinkers wengi hii idea ya round-ball haiwaingii akilini mpaka sasa Kwa kuwa haina ushahidi wowote zaidi ya CGI.Kuna watu wajinga sana hasa hasa waafrika, kung'amua, kwa hiyo mercury, mars, jupiter tufanye na jua nazo pia ni flat πππ
Kama hujui waafrika wengi ndiyo wanaamini Dunia Tufe Kwa kuwa wengi ni wavivu wa Ku reason,.... Great thinkers wengi hii idea ya round-ball haiwaingii akilini mpaka sasa Kwa kuwa haina ushahidi wowote zaidi ya CGI.
NB:- Usirudie tena kufananisha Dunia na Mars, Jupiter wala Mercury Kwa kuwa Dunia ipo tofauti Sana,...kama DUNIA ingekua sawa na hivyo ulivyovitaja basi huenda saa hizi ungekua Jupiter huko umelala,..You are here because this is a flat home, that supports life!
Kwanini tukiruka juu tunarudi chini according to flat earthers theory yenu ipoje hapa?Kama hujui waafrika wengi ndiyo wanaamini Dunia Tufe Kwa kuwa wengi ni wavivu wa Ku reason,.... Great thinkers wengi hii idea ya round-ball haiwaingii akilini mpaka sasa Kwa kuwa haina ushahidi wowote zaidi ya CGI.
NB:- Usirudie tena kufananisha Dunia na Mars, Jupiter wala Mercury Kwa kuwa Dunia ipo tofauti Sana,...kama DUNIA ingekua sawa na hivyo ulivyovitaja basi huenda saa hizi ungekua Jupiter huko umelala,..You are here because this is a flat home, that supports life!
Sasa kumbe unajua kama Dunia Kwa ujumla wake ni tambarare kama ulivyosema hapo juu,... kwanini unaamini vitu ambavyo havipo mkuu.? Nadhani mada ilipaswa iishie hapa.
Sasa tuje hapa kwenye suala la Curvature..., miongoni mwa vitu muhimu kabisa unachotakiwa ufahamu ni hii principle ya maji "Water never curves"....Water always maintain a horizontal level at the surface especially In a very large body of water like ocean....
Naamini unafahamu na unakubaliana na principle hiyo,..si ndiyo?
sasa Kwa kuwa maji yana maintain horizontal level baharini:-
1. Meli haiwezi Ku descend towards the so called curvature Kwasababu maji yapo at the horizontal level.
2. Kwa kukusaidia pia,. Unaweza fanya laser test over an Ocean and prove by yourself if water indeed curves or not.... cause utaweza kuona a straight line beyond sehemu ambayo unaamini Meli ina descend towards the so called curvature.
NB:- Curvature of the earth,.haipo Kwa kuwa mpaka sasa hivi ninavyoandika hapa, hakuna uthibitisho wowote kwamba a specific point/location ndiyo curvature inapoanzia.......labda kama wewe Una ushahidi huo unaweza kutusaidia ili tuondoe utata.... Narudia tena Where's the curvature?
Elimu yako inatia wasiwasi, kwa hiyo hapo unajiona bonge la great thinker π Nyie ndiyo wale mnabisha mpaka jinsia zenu mkitaka mpaka ushahidi alafu mnajiita great thinker! Kwanza unaelewa maana ya CGI? Unazijua satellites? Unajua any space mission? Naposema elimu yako inatia mashaka ni hapo unaposema dunia ni tofauti! Inaonyesha hauna uelewa wa mambo mengi sana USHAURI: jikite kwenye kujifunza kwanza na kuelewa mambo kwa upana wake sio kugoogle na kukusanya viandiko vya wanafunzi wa field wa huko marekani mwisho unafanya conclusion ambazo zinakufanya uonekane mjinga huku wewe ukijiona great thinker.Kama hujui waafrika wengi ndiyo wanaamini Dunia Tufe Kwa kuwa wengi ni wavivu wa Ku reason,.... Great thinkers wengi hii idea ya round-ball haiwaingii akilini mpaka sasa Kwa kuwa haina ushahidi wowote zaidi ya CGI.
NB:- Usirudie tena kufananisha Dunia na Mars, Jupiter wala Mercury Kwa kuwa Dunia ipo tofauti Sana,...kama DUNIA ingekua sawa na hivyo ulivyovitaja basi huenda saa hizi ungekua Jupiter huko umelala,..You are here because this is a flat home, that supports life!
Elimu yako inatia wasiwasi, kwa hiyo hapo unajiona bonge la great thinker π Nyie ndiyo wale mnabisha mpaka jinsia zenu mkitaka mpaka ushahidi alafu mnajiita great thinker! Kwanza unaelewa maana ya CGI? Unazijua satellites? Unajua any space mission? Naposema elimu yako inatia mashaka ni hapo unaposema dunia ni tofauti! Inaonyesha hauna uelewa wa mambo mengi sana USHAURI: jikite kwenye kujifunza kwanza na kuelewa mambo kwa upana wake sio kugoogle na kukusanya viandiko vya wanafunzi wa field wa huko marekani mwisho unafanya conclusion ambazo zitakufanya uonekane mjinga huku wewe ukijiona great thinker.Kama hujui waafrika wengi ndiyo wanaamini Dunia Tufe Kwa kuwa wengi ni wavivu wa Ku reason,.... Great thinkers wengi hii idea ya round-ball haiwaingii akilini mpaka sasa Kwa kuwa haina ushahidi wowote zaidi ya CGI.
NB:- Usirudie tena kufananisha Dunia na Mars, Jupiter wala Mercury Kwa kuwa Dunia ipo tofauti Sana,...kama DUNIA ingekua sawa na hivyo ulivyovitaja basi huenda saa hizi ungekua Jupiter huko umelala,..You are here because this is a flat home, that supports life!
Hakuna mwanasayansi mpuuzi wa karne hii anayekuwa confused na shape ya dunia, acha kukuza mambo! Labda nyie watoto wa nursery ndiyo bado ujinga mwingi vichwanifuatilia mkuu it's very interesting and very confusing at the same time. wanaobisha sio watu wa dini ni wana sayansi pia.
Yaani hata hili mleta mada kashindwa kujiongeza! Hapo anajiona bonge la great thinker πππKitu kinachonifanya niendelee kuamini kuwa dunia ni duara ni usiku na mchana, yaani huku kukiwa usiku nchi zingine kunakuwa mchana........kama dunia ingekuwa flat au nusu duara, jua lingekuwa linafika katikati basi dunia nzima yaan nchi zote ingekuwa mchana lakini hiki ktu hakiwezekani lazima kwingine kuwe usiku kwingne mchana, halafu UN bendera yao waliitoa hivo ili mabara yote yaonekane vizuri (yaani picha imechukuliwa juu ya dunia na sio pembeni kama picha zingine zinavyoonesha)
Ngorunde,
Ushahidi au evidence ninayo! wewe nina uhakika huna uhakika na unachong'ang'ana nacho...umefundishwa na kukaririshwa kama mtoto asiyejitambua.
Ushahidi kuwa dunia ni flat upo dhahiri na wazi
1. Maji naturally ni flat haiwezekani bahari na maziwa yakae kwenye round ball. Wewe kwa ujinga utasema yanakaa kwa nguvu za uvutano wa dunia, sio kweli.
2. Maji pia hufuata mkondo, yaani yanatoka kwenye miiniko kwenda bondeni mfano maji ya Victoria kuelekea Mediteranian, dunia isingekuwa flat yasingefika huko.
3. Ungekuwa rubani wa ndege ungetambua kuwa unapokuwa hewani akiisha kaa kwenye degree zone fulani hakuna muda unabadilisha angle kufuatia bending.
Unataka kuendelea kuamini ujinga wa kukaririshwa kuwa dunia ni sphere kwa sababu tu ya upatikanaji wa usiku na mchana?
Mungu mwenyewe namna alivyoitengeneza mifumo ya jua na mwezi hakuna binadamu anayejua. Hao NASA na CERN wanatumabia kutoka Big bang theory kuwa the Universe is Expanding, na hizo nyota tunazoziona juu ni makundi ya nyota yaani galaxies, na umbali wake ni milions of light years, hii yote ni uongo kama ilivyo uongo kwenye kipimo cha carbon14, Hizi zote theory knowledge ni global agenda na imefanikiwa sana. Wapagani sasa ndo wameshika hatamu.
Na siwasingizii Vatican kuwa wapo behind yote haya, nadhani kwa kuwa huielewi historia ya hizi dini na historia ya ulimwengu na empire zake. Na kwa sababu huelewi hayo hujui sasa hivi tupo wapi katika historia na hivyo basi hujui tunapopelekwa na hii historia. Wakati wewe kazi yako ni kula, kunywa na kulala wapo wanaume duniani wanaishi wakifikiria wakufanyie nini ili uwe mtumwa wao. Tafakari, naamini muda sio mrefu moderators wataambiwa wauondoe uzi huu.
Duh elimu yako tafadhali?Kuna swali moja ambalo huwa najiuliza kila siku.
Kama kweli dunia inazunguka inakuaje nchi zingine barafu huwa zinaanguka miaka yote na wakati huo kwa tanzania barafu hazijawahi kuanguka hata siku moja.
Kwa mantiki hiyo,....mtu akisema Meli huwa zina descend towards the curve,...anakua yupo sahihi?So kutaka kujua ni wapi haswa dunia inapoanza kujikunja haswa kwenye aridhi ni vigumu kwasababu ya ukubwa wa dunia na dunia haipo perfectly and smoothly round.
Usiongee sana,....ili uthibitishe kwamba Dunia ni Tufe lete ushahidi usio na shaka.Elimu yako inatia wasiwasi, kwa hiyo hapo unajiona bonge la great thinker π Nyie ndiyo wale mnabisha mpaka jinsia zenu mkitaka mpaka ushahidi alafu mnajiita great thinker! Kwanza unaelewa maana ya CGI? Unazijua satellites? Unajua any space mission? Naposema elimu yako inatia mashaka ni hapo unaposema dunia ni tofauti! Inaonyesha hauna uelewa wa mambo mengi sana USHAURI: jikite kwenye kujifunza kwanza na kuelewa mambo kwa upana wake sio kugoogle na kukusanya viandiko vya wanafunzi wa field wa huko marekani mwisho unafanya conclusion ambazo zitakufanya uonekane mjinga huku wewe ukijiona great thinker.
Chakujiuliza zaidi kwanini tulifundishwa dunia ni tufe, bila hiyo elimu tungekosa nini maishani au imetusaidia nini mpaka sasa ikiwa kwa uwezo wetu hatuwezi kuthibitisha.
Kwa mantiki hiyo,....mtu akisema Meli huwa zina descend towards the curve,...anakua yupo sahihi?
Kama yupo sahihi,.... kwanini basi tusihitimishe Kwa kusema kwamba "Pale ambapo Meli zinaanza ku descend towards the curve,. Ndiyo an exact point ambayo Curvature of the earth inaanzia?"
NB:- Umesema hapo kwenye maelezo yako kwamba Dunia haipo perfectly round,...sasa picha zinazoonyesha ipo perfectly round [emoji288] zimetoka wapi? Maana globers wengi wanategemea picha za NASA., picha ambazo zinaonyesha a perfect round-ball.
Nimesema hapo juu kwamba Dunia ni duara kwa ujumla wake lakini surface yake ina milima na mabonde
Na kwa ukubwa wa Dunia nivigumu sana kuona curvature
So kutaka kujua ni wapi haswa dunia inapoanza kujikunja haswa kwenye aridhi ni vigumu kwasababu ya ukubwa wa dunia na dunia haipo perfectly and smoothly round.
Lakini kwenye maji popote pale utakapo kuwa umesimama basi tambua upande wowote utakao elekea basi kuna mkunjo unaanza lakini kwa sababu ya ukubwa wa dunia huwezi ku notice, itaonekana ipo tambarare tu (MUHIMU... Mkuu kama concept ya Earth is too large with rough surface to notice curvature hujailewa hata kama hukubaliani nayo auimekuzidi upeo wako wa kuelewa basi huu mjadala utakua hauna TIJA)
Nani kakudanganya kwamba water can not curve?...... water can curve in any shape itβs forced into because itβs a fluid
Wakati mwingine hata tone la maji linaweza kuwa sehemu na likatengeneza shape ya mviringo
Hata ukiweka maji kwenye glasi nyembamba pale yanapoishia yatapinda
Katika Bwawa la kuogelea saizi ya olimpiki kama ukichukua vipimo sawa vimenyooka toka mwanzo hadi mwisho wa bwawa basi kipimo cha katikati ya bwawa kitakuwa juu zaidi ya kipimo cha mwanzo na mwisho wa bwawa kwa chini ya 50 micrometers.... hii sio kitu unaweza kuona na kubaini kwa macho