Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
1. Kupaa ni kitendo cha kufanya mwendo(movement ) kwenye hewa (air) kwa kutumia either wings, like birds, or through the use of aircraft such as airplanes, helicopters, or other flying machines.

2. Miongoni mwa kitu cha muhimu ili kitu kuweza kupaa ni LIFT (NGAZI)..... kwenye kupaa hewa (air) ndiyo inatumika kama ngazi...na ndiyo maana utaona hata Ndege(birds) wakipiga mbawa zao ili kutengeneza lift ya kuwafanya wapae,...


Birds flap their wings in a specific way called the wing beat, which creates a difference in pressure between the top and bottom of the wing. Above the wing, the pressure is lower than below the wing.....This creates lift, which raises the bird into the air!

3. Kitu kitarudi chini endapo:-

kitapoteza uwezo wa Ku generate lift,. Ambapo hapo zinaweza kutokea sababu tofauti tofauti,.mfano Ndege (bird) akipata shida kwenye mbawa yake moja hatoweza Ku generate lift kitu ambacho kitamfanya arudi chini.
(a) sababu nyingine ni kukosa umbo sahihi,.Kwa mfano mnyama kama Tembo hana umbo sahihi la kumfanya apae.

(b) Hali ya hewa, mf. Upepo mkali,..Upepo ukizidi sana huweza kupelekea kurudi chini kwa kiumbe au objects iliyopaa.
Hebana, sasa mfano unalijua like jengo la burj khalifa maarufu sana lipo dubai ndo wanasema kwa record kwa sasa ndo refu so kwa nadharia hiyo uliyoweka ukipaa alafu ukifika pale nchani ukashikilia tuswmw nondo uwe kama unaning'inia , je ukiachia unabaki hapo hapo au unarudi chini au utaendelea kupaa? Na kama ukiendelea kupaa nini kinasababisha hivo, na ukibaki hapo hapo nini kinasababisha hivo na mwisho kabisa ukirudi chini nini kinasababisha hivo?
 
Brother ushawahi kurusha coin kutoka mkononi mwako wakati gari ipo speed? Je coin iliangukia nyuma yako au iliangukia mkononi mwako?
Weka swali lako vizuri,...kuirusha coin wapi juu, mbele, nyuma,pembeni?
 
Hebana, sasa mfano unalijua like jengo la burj khalifa maarufu sana lipo dubai ndo wanasema kwa record kwa sasa ndo refu so kwa nadharia hiyo uliyoweka ukipaa alafu ukifika pale nchani ukashikilia tuswmw nondo uwe kama unaning'inia , je ukiachia unabaki hapo hapo au unarudi chini au utaendelea kupaa? Na kama ukiendelea kupaa nini kinasababisha hivo, na ukibaki hapo hapo nini kinasababisha hivo na mwisho kabisa ukirudi chini nini kinasababisha hivo?
Maswali yako mbona yanajirudia?
Yani hapo kama umebadilisha maneno ili uulize swali lile lile......ila sio kesi acha nikujibu swali lako kama ifuatavyo:-

Kitendo cha kuweza kupaa mpaka kufika juu kwenye ncha ya Burj Khalifa tayari inaonyesha una uwezo wa kupaa vizuri,..(yaani umeweza Ku generate lift ambayo imekufikisha kwenye ncha ya Jengo la Burj Khalifa).

Hivyo basi Kwa kuwa tayari una uwezo wa kupaa:-
(i) ukiachia hiyo nondo uliyoshikilia hautoanguka chini, bali utaweza kupaa kama kawaida Kwa kuwa mwili wako una mechanism ya Ku generate lift.

(ii) Kinachosababisha uendelee kupaa ni uwezo wako wa kuweza Ku generate lift,. ambayo itakufanya uendelee kupaa.

(iii) Kitachosababisha ubaki hapo ni maamuzi yako Kwa kuwa una mechanism zote za kukufanya either upae kwenda juu au urudi chini,.. kumbuka tayari uliweza kupaa mpaka kwenye ncha ya Burj Khalifa.

(iv) Kwa kuwa tayari una uwezo wa kupaa mpaka kwenye ncha ya Burj Khalifa,...basi kitu kitakachofanya urudi chini ni maamuzi yako, as long as hakuna hitilafu yoyote iliyokufanya upoteze uwezo wako wa kupaa.

Bila shaka umeelewa maelezo haya,..🤝🏼
 
Maswali yako mbona yanajirudia?
Yani hapo kama umebadilisha maneno ili uulize swali lile lile......ila sio kesi acha nikujibu swali lako kama ifuatavyo:-

Kitendo cha kuweza kupaa mpaka kufika juu kwenye ncha ya Burj Khalifa tayari inaonyesha una uwezo wa kupaa vizuri,..(yaani umeweza Ku generate lift ambayo imekufikisha kwenye ncha ya Jengo la Burj Khalifa).

Hivyo basi Kwa kuwa tayari una uwezo wa kupaa:-
(i) ukiachia hiyo nondo uliyoshikilia hautoanguka chini, bali utaweza kupaa kama kawaida Kwa kuwa mwili wako una mechanism ya Ku generate lift.

(ii) Kinachosababisha uendelee kupaa ni uwezo wako wa kuweza Ku generate lift,. ambayo itakufanya uendelee kupaa.

(iii) Kitachosababisha ubaki hapo ni maamuzi yako Kwa kuwa una mechanism zote za kukufanya either upae kwenda juu au urudi chini,.. kumbuka tayari uliweza kupaa mpaka kwenye ncha ya Burj Khalifa.

(iv) Kwa kuwa tayari una uwezo wa kupaa mpaka kwenye ncha ya Burj Khalifa,...basi kitu kitakachofanya urudi chini ni maamuzi yako, as long as hakuna hitilafu yoyote iliyokufanya upoteze uwezo wako wa kupaa.

Bila shaka umeelewa maelezo haya,..🤝🏼
🤣🤣🤣 sawa mkuu. Na kila la kheri
 
Ushaelewa sema una roho ya kubisha uhalisia ....mtu Kama. Wewe sikuwezi
That's not how to think rationally mkuu.....ni muhimu kufafanua mazingira ya swali ili kupata jibu sahihi. Swali lako halina uwazi wa kutosha. Ili kupata jibu sahihi, tunahitaji kujua mambo kadhaa including direction ya coin iliyorushwa....

Hapa kuna mifano ya jinsi jibu linaweza kutofautiana kulingana na scenarios tofauti :

1. Ikiwa coin ilirushwa juu moja kwa moja, itatua mahali pale pale iliporushwa, bila kujali kasi ya gari.

2. Ikiwa coin ilitupwa mbele, itatua mbele ya mahali iliporushwa.

3. Ikiwa coin ilirushwa nyuma, itatua nyuma ya mahali iliporushwa.

4. Ikiwa coin ilitupwa pembeni, itatua upande wa mahali iliporushwa.


NB:- Mimi ni shabiki wa uhalisia,. hivyo siwezi kubisha uhalisia,. hopefully maelezo yangu yameeleweka.
🤝🏼
 
That's not how to think rationally mkuu.....ni muhimu kufafanua mazingira ya swali ili kupata jibu sahihi. Swali lako halina uwazi wa kutosha. Ili kupata jibu sahihi, tunahitaji kujua mambo kadhaa including direction ya coin iliyorushwa....

Hapa kuna mifano ya jinsi jibu linaweza kutofautiana kulingana na scenarios tofauti :

1. Ikiwa coin ilirushwa juu moja kwa moja, itatua mahali pale pale iliporushwa, bila kujali kasi ya gari.

2. Ikiwa coin ilitupwa mbele, itatua mbele ya mahali iliporushwa.

3. Ikiwa coin ilirushwa nyuma, itatua nyuma ya mahali iliporushwa.

4. Ikiwa coin ilitupwa pembeni, itatua upande wa mahali iliporushwa.


NB:- Mimi ni shabiki wa uhalisia,. hivyo siwezi kubisha uhalisia,. hopefully maelezo yangu yameeleweka.
🤝🏼
Maneno yasiwe mengi jadiri namba moja hapo
 
1. Kupaa ni kitendo cha kufanya mwendo(movement ) kwenye hewa (air) kwa kutumia either wings, like birds, or through the use of aircraft such as airplanes, helicopters, or other flying machines.

2. Miongoni mwa kitu cha muhimu ili kitu kuweza kupaa ni LIFT (NGAZI)..... kwenye kupaa hewa (air) ndiyo inatumika kama ngazi...na ndiyo maana utaona hata Ndege(birds) wakipiga mbawa zao ili kutengeneza lift ya kuwafanya wapae,...


Birds flap their wings in a specific way called the wing beat, which creates a difference in pressure between the top and bottom of the wing. Above the wing, the pressure is lower than below the wing.....This creates lift, which raises the bird into the air!

3. Kitu kitarudi chini endapo:-
kitapoteza uwezo wa Ku generate lift,. Ambapo hapo zinaweza kutokea sababu tofauti tofauti,.mfano Ndege (bird) akipata shida kwenye mbawa yake moja hatoweza Ku generate lift kitu ambacho kitamfanya arudi chini.
(a) sababu nyingine ni kukosa umbo sahihi,.Kwa mfano mnyama kama Tembo hana umbo sahihi la kumfanya apae.

(b) Hali ya hewa, mf. Upepo mkali,..Upepo ukizidi sana huweza kupelekea kurudi chini kwa kiumbe au objects iliyopaa.
Nafuatilia mjadala.
Shida yako unagoogle ndio unakuja kujibu maswali unayoulizwa.

Nashangaa hata ambavyo huwa unasema sisi tunaoamini dunia ni duara tumekaririshwa.
 
Nafuatilia mjadala.
Shida yako unagoogle ndio unakuja kujibu maswali unayoulizwa.

Nashangaa hata ambavyo huwa unasema sisi tunaoamini dunia ni duara tumekaririshwa.
Hapana sio Google hiyo,...endapo ukiruhusu akili yako ifikirie on it's own bila kuwa triggered na ideas za wengine utaweza kufikia conclusion yenye mantiki kama hiyo au zaidi ya hapo!

Au kuthibitisha kama nimetoa Google,.. simple kabisa lete link ya hiyo source ili tuone kama unasema kweli mkuu.
 
Haihitaji Ku Google ili ujue kama huu ⬇️NI UONGO. akili ya kuzaliwa tu Inatosha.
Screenshot_20240210-163041.png
 
Maana hapa umetumia picha ya wazee wa tufe, flat earthers hamna picha hata moja?
Flat earth haihitaji picha,...wewe talii Dunia nzima utaona Kwa macho yako kwamba Dunia kiuhalisia ipo flattened.

Wazee wa Tufe ndiyo wanategemea picha zao hizi 🌍 ambazo kwenye uhalisia hazionekani.
 
Flat earth haihitaji picha,...wewe talii Dunia nzima utaona Kwa macho yako kwamba Dunia kiuhalisia ipo flattened.

Wazee wa Tufe ndiyo wanategemea picha zao hizi [emoji288] ambazo kwenye uhalisia hazionekani.
Kama Dunia ni flat
Kuta/Kingo za Dunia zipo wapi mkuu ? Ni mji au nchi gani imepakana na hizo kingo ?
 
Back
Top Bottom