Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kama Dunia ni flat
Kuta/Kingo za Dunia zipo wapi mkuu ? Ni mji au nchi gani imepakana na hizo kingo ?
Kutokuona kingo za Dunia hakuifanyi Dunia isiwe flat kama tunavyoiona...what if Dunia ni infinity na tunaishi sehemu ndogo tu ya Dunia? Kumbuka sehemu kubwa ya Dunia ni maji yaani eneo ambalo lipo covered na maji with reference to nchi kavu,. utakuta eneo la nchi kavu ni kama kisiwa Tu.

Hivi kwanini tunashindwa kukubaliana na ukweli huu ulio wazi kwamba Dunia ipo flattened na sio tufe?

Nani ashawahi kuona Tufe Kwa macho yake?

Nani ashawahi kuthibitisha Dunia inazunguka Kwa kutumia milango yake ya fahamu?,.

Kwanini hakuna real authentic picha au video(NON CGI) ambayo inaonyesha Dunia Tufe ikizunguka.

NB:- Ukifanya research on your own,..hautoacha ku doubt Dunia tufe.
 
Kutokuona kingo za Dunia hakuifanyi Dunia isiwe flat kama tunavyoiona...what if Dunia ni infinity na tunaishi sehemu ndogo tu ya Dunia? Kumbuka sehemu kubwa ya Dunia ni maji yaani eneo ambalo lipo covered na maji with reference to nchi kavu,. utakuta eneo la nchi kavu ni kama kisiwa Tu.

Hivi kwanini tunashindwa kukubaliana na ukweli huu ulio wazi kwamba Dunia ipo flattened na sio tufe?

Nani ashawahi kuona Tufe Kwa macho yake?

Nani ashawahi kuthibitisha Dunia inazunguka Kwa kutumia milango yake ya fahamu?,.

Kwanini hakuna real authentic picha au video(NON CGI) ambayo inaonyesha Dunia Tufe ikizunguka.

NB:- Ukifanya research on your own,..hautoacha ku doubt Dunia tufe.
Dunia ni infinity🤣🤣 flat earther nyi hamtaki research wala uwekezaji wa exploration ila mna theory za infinity🤣
 
Kutokuona kingo za Dunia hakuifanyi Dunia isiwe flat kama tunavyoiona...what if Dunia ni infinity na tunaishi sehemu ndogo tu ya Dunia? Kumbuka sehemu kubwa ya Dunia ni maji yaani eneo ambalo lipo covered na maji with reference to nchi kavu,. utakuta eneo la nchi kavu ni kama kisiwa Tu.

Hivi kwanini tunashindwa kukubaliana na ukweli huu ulio wazi kwamba Dunia ipo flattened na sio tufe?

Nani ashawahi kuona Tufe Kwa macho yake?

Nani ashawahi kuthibitisha Dunia inazunguka Kwa kutumia milango yake ya fahamu?,.

Kwanini hakuna real authentic picha au video(NON CGI) ambayo inaonyesha Dunia Tufe ikizunguka.

NB:- Ukifanya research on your own,..hautoacha ku doubt Dunia tufe.
Non cgi ndo tumewaachie flat earthers mtuletee ila hamtaki hata kusikia neno tafiti,
 
Dunia ni infinity🤣🤣 flat earther nyi hamtaki research wala uwekezaji wa exploration ila mna theory za infinity🤣
Research inaonyesha Dunia ni flat......licha ya kuwa flat mwisho au it's edge is still unknown. That's why sio kosa kufanya assumption of whether it's infinity or not.

Kwa akili kubwa uliyonayo hukutakiwa kunasa kwenye mtego wa Tufe Lax .....au na wewe ndiyo wale miongoni mwa mnaoamini watu wametokana na Apes?
 
Non cgi ndo tumewaachie flat earthers mtuletee ila hamtaki hata kusikia neno tafiti,
Non CGI,..ni hii ambayo unaweza ukatoka na baiskeli yako ukaendesha mpaka kaskazini mwa Afrika Morocco,.kisha uvuke bahari uingie Ulaya pale Spain....bila kuona curvature yoyote inayoashiria dalili za Dunia Tufe 🌍.,yaani mwanzo mwisho ni tambarare tu.
 
hateeb10
To observe Earth’s curved horizon, one must be at least 10,668 metres (about 35,000 feet) above its surface. Since the technology of ancient cultures was insufficient to allow people to reach such heights, the world around them appeared to be flat and stationary.
 
hateeb10
To observe Earth’s curved horizon, one must be at least 10,668 metres (about 35,000 feet) above its surface. Since the technology of ancient cultures was insufficient to allow people to reach such heights, the world around them appeared to be flat and stationary.
Okay, you're talking about ancient cultures, but you forgot that as I am writing here with the technology that we have, no one has ever been able to show the exact point at which the Earth starts to curve. Also, no one has ever seen that the Earth rotates.

Am I making myself clear?

NB: People should start to use their own sense to come up with sensitive conclusions.🤝🏼
 
Research inaonyesha Dunia ni flat......licha ya kuwa flat mwisho au it's edge is still unknown. That's why sio kosa kufanya assumption of whether it's infinity or not.

Kwa akili kubwa uliyonayo hukutakiwa kunasa kwenye mtego wa Tufe Lax .....au na wewe ndiyo wale miongoni mwa mnaoamini watu wametokana na Apes?
Mkuu airplanes zote hizi mwisho wa dunia haujajulikana , okay basi kwenyw kuutafuta mwisho walifika wapi reseachers wa flat earth ??
 
Okay, you're talking about ancient cultures, but you forgot that as I am writing here with the technology that we have, no one has ever been able to show the exact point at which the Earth starts to curve. Also, no one has ever seen that the Earth rotates.

Am I making myself clear?

NB: People should start to use their own sense to come up with sensitive conclusions.🤝🏼
Curvature wewe huwezi elewa achana nayo, flat earthers tumieni ndege, meli, rockets mtuletee mwisho wa dunia ni wapi, kama ndege inatoka afrika kusini mpaka china, mnasubiri nini kuanza safari ya kutafuta mwisho wa dunia ni wapi kwa sababu mnasema ni flat so inawezekana kunavigate , nini kinakwamisha?
 
Okay, you're talking about ancient cultures, but you forgot that as I am writing here with the technology that we have, no one has ever been able to show the exact point at which the Earth starts to curve. Also, no one has ever seen that the Earth rotates.

Am I making myself clear?

NB: People should start to use their own sense to come up with sensitive conclusions.🤝🏼
Ingia Youtube kuna live stream za NASA from space.
Screenshot_20240218-213927_YouTube.jpg
 
Mkuu airplanes zote hizi mwisho wa dunia haujajulikana , okay basi kwenyw kuutafuta mwisho walifika wapi reseachers wa flat earth ??
Kwa Airplanes zote hizi zilizopo lakini mwisho wa space haujajulikana,... kwanini ushangae Kwa Dunia sasa?
 
Curvature wewe huwezi elewa achana nayo, flat earthers tumieni ndege, meli, rockets mtuletee mwisho wa dunia ni wapi, kama ndege inatoka afrika kusini mpaka china, mnasubiri nini kuanza safari ya kutafuta mwisho wa dunia ni wapi kwa sababu mnasema ni flat so inawezekana kunavigate , nini kinakwamisha?
Hahh Kwanini nisielewe curvature?

Au huwezi kuelezea na ukaeleweka?
 
Kwa Airplanes zote hizi zilizopo lakini mwisho wa space haujajulikana,... kwanini ushangae Kwa Dunia sasa?
Kwa dunia si ipo wazi kuwa ukianza safari kuanzia point A katika mstari mnyoofu bila kusimama utarudi pale pale point A sababu dunia ni tufe. Kwa space bado sababu tecknolojia haijaruhusu.
 
Sawa, kwanini video za NASA hazionyeshi Dunia ikizunguka?

Ukitazama video za NASA hutaona ikizunguka moja kwa moja ila utaona location ikibadilika kutokana na effect ya movements za dunia na kifaa kilichopo kwenye orbit.
 
Kwa Airplanes zote hizi zilizopo lakini mwisho wa space haujajulikana,... kwanini ushangae Kwa Dunia sasa?
nyinyi hamtaki kufanya tafiti, kazi yenu kupinga theory za wenzenu, space ni kubwa sana mkuu sasa hizi nadharia mimi siwezi jadili nawewe maana huzitaki kwa sababu kitu kama gravity unakipinga huko mbele itakua shida., okay sio kesi achana na kwenda space nyinyi mnasema tambarare ina mwisho ama ni infinity sawa tumekubali je nyi mshafika wapi kwamba mseme tumefika mpaka umbali flani tumekuta hiki na hiki????? au hamna uwezo huo?
 
Km dunia ni flat naomba kuona picha yoyote inayoonyesha base yake yaani kama sahani naomba kuona kule palipoandikwa made in China,sehemu km hiyo kwa muktadha wa dunia.
 
Kwa dunia si ipo wazi kuwa ukianza safari kuanzia point A katika mstari mnyoofu bila kusimama utarudi pale pale point A sababu dunia ni tufe. Kwa space bado sababu tecknolojia haijaruhusu.
Hakuna Mtu au taasisi yoyote iliyowahi kuthibitisha officially Kwa vitendo kwamba ukitoka point "A" Let's say Tanzania ukasafiri Kwa mstari mnyoofu utarudi tena Tanzania.

Hiyo statement yako ipo Kinadharia zaidi,.haijawa proved labda kama una ushahidi ulete.

NB: kumbuka pia kwamba hata kwenye Usafiri wa anga Pilots wanaichukulia Dunia kama flat hawazingatii curvature yoyote wala kwenda upside down kufuata muundo wa Tufe.
 
Ukitazama video za NASA hutaona ikizunguka moja kwa moja ila utaona location ikibadilika kutokana na effect ya movements za dunia na kifaa kilichopo kwenye orbit.
Sawa,...so hapa tumepata kufahamu kwamba
1. Video za NASA hazionyeshi Dunia ikizunguka ✔️

2. Vipi video za NASA zinaonyesha curvature?
 
Back
Top Bottom