Experience now
Member
- Dec 12, 2023
- 56
- 14
Usiongee sana,....ili uthibitishe kwamba Dunia ni Tufe lete ushahidi usio na shaka.
1. Lete authentic picha, ambayo sio Computer generated (CGI).
2. Au lete video halisia kutoka hizo satellite unazosema zikionyesha, Dunia Tufe inayozunguka.
Yes sahihi kabisa mjadala huu, utakua na tija endapo tutautumia kuelimishana na sio kubishana.......Mkuu naamini tunaelimishana na HATUBISHANI......
Naomba rudi kwenye post uliyo quote na ufafanue hoja kwa hoja, usi quote kakipande na kufanya diversion kukwepa kutoa ufafanuzi hoja ya msingi
Naomba nifafanulie hoja kwa hoja kama nilivyo jitahidi kufafanua hoja zako ZOTE nilizozi quote hapa chini
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Nikija kwenye hoja hii ya pili,. Unasema kwamba "Dunia ni kubwa sana that's why it's impossible to notice curvature"......Lakini kwenye maji popote pale utakapo kuwa umesimama basi tambua upande wowote utakao elekea basi kuna mkunjo unaanza lakini kwa sababu ya ukubwa wa dunia huwezi ku notice, itaonekana ipo tambarare tu (MUHIMU... Mkuu kama concept ya Earth is too large with rough surface to notice curvature hujailewa hata kama hukubaliani nayo auimekuzidi upeo wako wa kuelewa basi huu mjadala utakua hauna TIJA).
Naomba nijibu hoja hii ya mwisho kabisa....Nani kakudanganya kwamba water can not curve?...... water can curve in any shape itβs forced into because itβs a fluid
Wakati mwingine hata tone la maji linaweza kuwa sehemu na likatengeneza shape ya mviringo
Hata ukiweka maji kwenye glasi nyembamba pale yanapoishia yatapinda.
Ukiruka juu lazima urudi chini,... Kwasababu kikanuni ili usirudi chini inabidi "upae" na sio "uruke"Kwanini tukiruka juu tunarudi chini according to flat earthers theory yenu ipoje hapa?
Ndo shida yenu mkuu, mimi nimeuliza logic ama ile framework au mechanism yote ya kuruka na kurudi kwa ground according to nyie mnavoamini.Ukiruka juu lazima urudi chini,... Kwasababu kikanuni ili usirudi chini inabidi "upae" na sio "uruke"
Kwa kuwa akili yako ishaamini gravity ndiyo inafanya hivyo,.. ngoja nikuulize swali:-
Kama gravity ndiyo inafanya Mtu arudi chini,..... kwanini force ya gravity ishindwe kumzuia Nyuki na udogo wake asipae, iweze kumzuia Binadamu ????! Ukipata jibu tafakari.
Kukuongezea zaidi, ili upae na usirudi chini kadri ya muda utakaoutaka inabidi ujiulize:-
1. Ni vitu gani vinawezesha viumbe wengine kupaa wanavyotaka,.na wanarudi chini wanavyotaka bila kuzuiwa na the so called gravity.....ukishajua vitu hivyo hautorudia "kuruka" tena bali 'utapaa" ili usirudi chini mpaka muda unaoutaka.
2. Ukishamaliza hapo chunguza tena umuhimu wa hewa "air" + Wind kwenye kupaa,..ukikariri gravity hutoweza kufikiria beyond., utaishia kusema Papai linaanguka chini kwa kuwa linavutwa na gravity.
"Bird and insect flight: The principles of lift and drag apply to all flying creatures, not just airplanes. Birds and insects use their wings or other body parts to manipulate air and generate lift in similar ways."
zingatia hapo kwenye neno "generate lift "
NB: ELIMU NI BAHARI....
Inachukua masaa 23 na dk 56 (24 hours ) kukamilisha rotation,Sawa ,let's say hii video ni ya kweli..... kwanini video haionyeshi Dunia iki rotate?
Maana tukiwa kwenye earth's surface,... tunaambiwa Dunia ni kubwa sana ndiyo maana hatuhisi rotation na kwamba ina move at a constant rate.....umejaribu Kujiuliza hilo?
Au hata ukiwa kwenye atmosphere pia,. huwezi uka notice rotation? Eti mkuu Experience now
Hapo unaamini umetetea hoja yako lakini kumbe umezidi kujiweka kwenye angle ngumu......Inachukua masaa 23 na dk 56 (24 hours ) kukamilisha rotation,
Na clip ina sec 25 tu.
Bro are you serious unataka uuone huo mzunguko unavyofanyika kwenye sec 25 ya hii clip ???
Hili swali ungejiuliza hata kwa nadharia yako hiyo hiyo ya jua kuizunguka dunia, Je umewahi kunotice jua linavyofanya huo mzunguko ?? Na unaweza ukanionyesha clip jua likiwa linazunguka ?
Kuna umuhimu wa wewe kujifunza kuhusu muda,Kasi na umbali ( Time, Speed and Distance )
Angalau utakua makini kwenye maswali unayoyauliza.
POROJOHapo unaamini umetetea hoja yako lakini kumbe umezidi kujiweka kwenye angle ngumu......
Hivi unafahamu kwamba, Earth is in constant movement according to those who claimed that the earth is moving?
Kiasi kwamba hata kwenye hiyo video yenye 25 seconds still Dunia ipo kwenye rotation,.?
Earth is in constant movement kama unavyoamini, so logically even in 25 seconds, We should notice/see about 75 meters (246 feet) of earth's movement.
Nakupa mfano wa kawaida tu,.... let's say Treni linachukua masaa 10 kufika Kigoma,...na Treni hilo lipo kwenye constant movement hakuna kuchimba dawa muda wote lipo kwenye mwendo....Nikirekodi video yenye japo 15 seconds zitatosha kabisa kuonyesha kwamba hiyo Treni ina move na sio mpaka safari ya kufika Kigoma ikamilike ndiyo tujue kwamba Treni ina move.... Naamini umeelewa.
NB:- Kwa upande wa Jua unaweza ukachukua video na ukaeleweka hata kama video hiyo ikionyesha Jua limesimama,... Kwasababu hakuna Mtu anaesema Jua lina move constantly kama isemwavyo kwa Dunia,...may be Jua lina move Kwa vituo with
some rests, who knows ?π.
Mfano ulioutoa tu unathibitisha wewe ni mtu mwenye kiwango gani cha ufikiri, Ngoja nkuache mkuu.Hapo unaamini umetetea hoja yako lakini kumbe umezidi kujiweka kwenye angle ngumu......
Hivi unafahamu kwamba, Earth is in constant movement according to those who claimed that the earth is moving?
Kiasi kwamba hata kwenye hiyo video yenye 25 seconds still Dunia ipo kwenye rotation,.?
Earth is in constant movement kama unavyoamini, so logically even in 25 seconds, We should notice/see about 75 meters (246 feet) of earth's movement.
Nakupa mfano wa kawaida tu,.... let's say Treni linachukua masaa 10 kufika Kigoma,...na Treni hilo lipo kwenye constant movement hakuna kuchimba dawa muda wote lipo kwenye mwendo....Nikirekodi video yenye japo 15 seconds zitatosha kabisa kuonyesha kwamba hiyo Treni ina move na sio mpaka safari ya kufika Kigoma ikamilike ndiyo tujue kwamba Treni ina move.... Naamini umeelewa.
NB:- Kwa upande wa Jua unaweza ukachukua video na ukaeleweka hata kama video hiyo ikionyesha Jua limesimama,... Kwasababu hakuna Mtu anaesema Jua lina move constantly kama isemwavyo kwa Dunia,...may be Jua lina move Kwa vituo with
some rests, who knows ?π.
Sawa Ahsante .....π€πΌPOROJO
Mfano ulioutoa tu unathibitisha wewe ni mtu mwenye kiwango gani cha ufikiri, Ngoja nkuache mkuu.
π€£π€£π€£ na siku mambo yakija kua hadharani tutasema wanatuzungukahakuna mzungu wala nani alieenda mwezini wala sayari ya mars
ni michongo ya uongo wanatupiga
Kwahiyo hizo ndiyo hoja zisizo na shaka,...? Acha masihara mkuuBinafsi naamini ya kuwa dunia ni duara, nitatoa sababu ambazo kwangu sina kabisa chembe ya shaka kwa hoja zifuatazo:-
Ijulikane kuwa zipo aina nyingi za ramani, wengi tumezoea hii tuliyosoma tangu shule ya msingi. (Sijui kwa jina inaitwaje), ramani ambayo inaanza na bara la America kisha Africa na Europe ikifata Asia na mwisho ni Australia kama sijakosea.
Kama utakua unaifahamu hii tu basi kuna mambo mengi utaona haiwezekani. Nina atlas ya collins-longman ambayo bara la Africa linaanza kisha Asia, Australia na mwisho ni bara la America.
Kwa hiyo nitajikita sana kwenye hii ramani ya pili. Bahari ya Pacific imetenganisha bara la America na bara la Asia. Lakini kwa ramani ya kwanza hili unaweza usilione.
Jibu jepesi ambalo halihitaji hata kuumiza kichwa ni hili:- mnamo tarehe 7/12/1941 kikosi cha anga kutoka japan kilifanya shambulizi la kustukiza katika bandari ya pearl (pearl harbour) iliyokua kambi ya jeshi la maji la marekani. katika jiji la Honolulu kisiwa cha Hawii. Mantiki ya kuandika hili ni kwamba umbali wa japan na hawii ni 6,604km ambayo ni safari ya sasa 8.5. Japan na na San Francisco ni 3,701km. Maana yake mtu aliye japan anaweza kwenda bara la America ama kupitia mashariki ama mahharibi.
Japan aliunda bomu la Fu-Go baloon bomb, mabomu ambayo yalielea kwa upepo kuelekea USA, mengi yalitua katika maeneo mbalimbali ya US ikiwemo Montana na Alaska. Nimeandika nikiwa na lengo la kujifunza, kuna watu wakiangalia ramani hii tuliyozoea kuna mambo yatakua magumu kueleweke.
Matharani; tunaona jinsi korea kaskazini anavyotamba kuwa makombora yake yanauwezo wa kufika USA, lakini wengi tukipiga picha kwa kutumia ramani tuliyo zoea utaona ni ngumu sana... ni kitendo cha kuvuka tu bahari ya Pacific.
Sent using Jamii Forums mobile app
Reply post #1445 mkuuKwahiyo hizo ndiyo hoja zisizo na shaka,...? Acha masihara mkuu
Sawa,,.. kwenye post #1444 kuna majibu ya swali lako endapo utasoma Kwa makini... Kumbuka uliuliza kwamba ππΌ "Kwanini tukiruka juu tunarudi chini according to flat earthers theory yenu ipoje hapa?"Reply post #1445 mkuu
Kupaa ni nini, na vitu gani vikiwepo kitu kinapaa, na je kwenye kuruka viyu gani vinasababisha kurudi chini au vitu gani, kwamba kukiwa na condition hii kitu kitakua kimeruka na kurudi chiniSawa,,.. kwenye post #1444 kuna majibu ya swali lako endapo utasoma Kwa makini... Kumbuka uliuliza kwamba ππΌ "Kwanini tukiruka juu tunarudi chini according to flat earthers theory yenu ipoje hapa?"
Nikakujibu kwamba ili usirudi chini, unatakiwa "upae" na sio "kuruka"
Kabla hatujaenda mbali,..mpaka hapo umeelewa kwamba kwanini ukiruka unarudi chini?
Ikiwa mtu aliye japan, korea, Australia philippine n.k anaweza kwenda USA kupitia route ya magharibi ama mashariki iweje dunia isiwe duara?Kwahiyo hizo ndiyo hoja zisizo na shaka,...? Acha masihara mkuu
1. Kupaa ni kitendo cha kufanya mwendo(movement ) kwenye hewa (air) kwa kutumia either wings, like birds, or through the use of aircraft such as airplanes, helicopters, or other flying machines.Kupaa ni nini, na vitu gani vikiwepo kitu kinapaa, na je kwenye kuruka viyu gani vinasababisha kurudi chini au vitu gani, kwamba kukiwa na condition hii kitu kitakua kimeruka na kurudi chini
NB: tafadhali sana usitaje concept yoyote ambayo utasema kitu flani mnadanganywa,
Hiyo sio sababu ya kusema Dunia ni Tufe la namna hii β‘οΈπ,..... Kwasababu hiyo scenario ya Mtu aliye Japan, Korea n.k kwende USA kupitia route ya Mashariki au Magharibi ina apply vizuri tu hata kwenye flat earth yenye umbo duara....Ikiwa mtu aliye japan, korea, Australia philippine n.k anaweza kwenda USA kupitia route ya magharibi ama mashariki iweje dunia isiwe duara?
Brother ushawahi kurusha coin kutoka mkononi mwako wakati gari ipo speed? Je coin iliangukia nyuma yako au iliangukia mkononi mwako?Sawa ,let's say hii video ni ya kweli..... kwanini video haionyeshi Dunia iki rotate?
Maana tukiwa kwenye earth's surface,... tunaambiwa Dunia ni kubwa sana ndiyo maana hatuhisi rotation na kwamba ina move at a constant rate.....umejaribu Kujiuliza hilo?
Au hata ukiwa kwenye atmosphere pia,. huwezi uka notice rotation? Eti mkuu Experience now