Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hakika wewe Ni mjinga

Hizo kuta zinazoshikilia maji ya bahari uliziona wapi..Zina urefu gani, uliwahi jaribu kupanda utokee upande wa pili?

Kama Ni flat manake Kuna mwisho unafika unadondoka


Umewahi panda ndege inayopita anga za juu kabisa mbona Hilo swala liko wazi
 
Ona sasa, Umeshaanza kuchanganya na vitu vingine ( Hali ya hewa )

Hii ni topic nyingine.
Pumzika kidogo Mkuu,..maana naona ushakua frustrated na Imani yako juu ya Tufe linalozunguka imetikisika tayari,..


Kimsingi lengo si kubishana au kuonyesha mshindi Nani,...lengo ni kujifunza zaidi na zaidi,. Na Ku question vile ambavyo tumeaminishwa kama ni kweli ama laa🤝🏼
 
Ingekuwa tambarare tusingepata usiku na mchana, kuhusu uduara wa dunia vipi picha live zinazopigwa ISS na zile za voyager 1 na 2 na bado satellite kibao zinaonyesha uduara wa dunia
YouTube Kuna mtu alitengeneza kite (tiara) akafunga camera iliweza kwenda juu umbali ambao dunia Inaonekana Ni duara
 
Nina mwezi sasa nafuatilia hii theory ya flat earth kwa kweli inaumiza kichwa sana. kwa sasa nimeiweka kapuni. baada ya kichwa kuanza kwenda mlama.
Unafatilia kwa kusoma makala za wenzako ? Are you mad ? Umewahi waza tengeneza hata kitu Cha kupaa uthibitishe au umekaa una gugo tu
 
Ingechukuliwa kwa juu isiongeonekana hivo

Chora mpira afu piga picha kwa juu Kama itakuwa hivo! Lkn unaeza kata mpira na kisu ikaonekana kama ilivo picha ya UN
 
Dumia
Dunia Ina move na vitu vyake,, vilivo ndani ya atmosphere yake ukitoka inakuacha
 
Kuna swali moja ambalo huwa najiuliza kila siku.

Kama kweli dunia inazunguka inakuaje nchi zingine barafu huwa zinaanguka miaka yote na wakati huo kwa tanzania barafu hazijawahi kuanguka hata siku moja.
Mstari wa ikweta uko wapi? Kuna maeneo mfano chini ya dunia na juu hayapati mwangaza wa kutosha hivo baridi Ni Kama kawa
 
Huu upuuzi wako utakuwa Hadi kwenye korodani na ukam mwagia mtu akazaa


Wewe Ni hasara kwa dunia kwa ujumla
 
Humu ndani bana..
😂😂😂😂😂😂😂😂 Yaani mambo ya form one na two
 
Min

Kwa hio kingo za dunia ziko kwa wapi baby?
 
Hapo atasema ndege inajichanganya yenyewe
 
Ivi huyo mtu ambaye alikudanganya kwamba dunia inaelea yeye alisimama wapi hadi akaona kwamba dunia inaelea.
Mm ninakuuliza hivyo sio kwamba nimesoma sana ila natumia akili yangu ya kuzaliwa.
Watu wakiwa mars mbona dunia Inaonekana inaelea
 
huwa tunasema jua limechomoza au kuzama but it doesn't mean jua linatembea

Hivo hata walioandika stori za kale hawakuwa wanajua Wala hawakuwahi hata kupaa Kama sisi Wala kwenda kwa space ..hivo waliona tu jua liko pale pale ila ukweli ni kwamba kilichosimamishwa Ni dunia
 
Kingo za Dunia hujaniambia zilipo hadi muda huu..



Watu wanapoteza mabillion na mabillion kufanya research kila siku,

Wanatuma vyombo kila siku ila ndugu yangu unaamka asubuhi umevimbiwa kande za jana ukiona nje kulivyo unasema dunia ni tambarare,
 

Kwanza kabisa nataka nikwambie kuwa GRAVITY HAIPO! na haijawahi kuwepo hapa duniani toka kuumbwa Kwa hii dunia. TUNAPANGWA SANA! Yes najua inasound crazy! Twende taratibu [emoji116]

GRAVITY sio force halisi, ni kitu cha kufikirika tulichoingiziwa kwenye akili zetu tu! Concept ya Gravity ililetwa ili kujustify uongo wa BIG BANG THEORY, kuwa Dunia ni a spinning ball inayosafiri na madude mengine mengi kwenye space bila vitu vyote hivi kuanguka!

Na bila huu uongo wa GRAVITY tungehoji kwanini Dunia inasafiri kwenye space Kwa speed ya 66000 miles per hour na bado hatuanguki? Wangekosa jibu! Tungehoji kwanini maji yanajikunja kwenye lile limpira? Wangekosa jibu! Tungehoji kwanini maji yanahitaji container na siku zote yanatafuta level yake huo ndio uhalisia kitu ambacho kwenye lile li sphere la Globe hakiezekani? Wangekosa jibu! Mwisho wa siku BIG BANG ingekua fake! So wakaamua wainstall theory inaitwa GRAVITY kwenye akili zetu na wakafanikiwa.

Ukweli ni kwamba GRAVITY ni illusion iliojadiliwa na kupangwa tu na akachaguliwa mtu mmoja kujifanya ndio mgunduzi then akapresent GRAVITY, CALCULUS NA TRIGONOMETRY. Masonic master alietumiwa kuigiza kama mtu wa kwanza kugundua theory ya gravity (NEWTON) hata yeye hakuwahi kuweza kuelezea vizuri theory yake wala kuiprove na haijawahi kuwa proved wala haitawahi maana hakuna hicho kitu.

Gravity kwenye MATH MODEL haiapply kabisa na imeumbuliwa mara nyingi tu na kuonekana ni ya UONGO na watu wenye akili na hekima!

Hata general theory ya relativity by Einstein, ilipojaribiwa kutumika kupresent GRAVITY FORMULA geometrically, iligeuka kuwa 4 dimension space time. Inaonesha vitu haviendeshwi na force ya GRAVITY, ila ni sababu viko hewani kwenye curved region around space time inayofanya viwe kama an illusion ya attraction force! (Ona hata wao tu wanapingana)

Tangu watoto tunafundishwa kuhusu GRAVITY, hiyo ni moja ya installations ya system ya MATRIX kwenye ubongo wa mtoto wakijua anachoshika mtoto mara ya kwanza ndio ataishi nacho, hiyo system anakua nayo mpaka anakua mzee na ni ngumu sana kuiuninstall kuingiza kitu kingine ambacho ndio TRUTH!

Hakuna Gravity means hakuna BIG BANG, Kuna FLAT ROUND SURFACED EARTH WITH A DOME na vitu vinavyosaidia Kila kitu kina operate ni vitatu tu; DENSITY, BUOYANCY NA ELECTROSTATIC! Na hivi vyote vitatu vimekua proved a million times unlikely GRAVITY!

The thing is, Kama kitu ni kizito kuliko hewa lazima kitadondoka chini (DENSITY), na kama kitu ni chepesi kuliko hewa lazima kitaelea (BUOYANCY).

Lakini pia kitu chenye negative charges na kitu chenye positive charges lazima vinavutana kukutana pamoja Right? Ok Ground ya Dunia ina Neutral negative charges all around na kitu chochote above the ground kina positive charges na inaatract each Kila kitu kinachotuzuguka ni electric hata mwili wa binadamu. So Kila kitu kina seak equilibrium kwenye ground level based to the ELECTROSTATIC.

Sasa hivi vyote: Density, Buoyancy na Electrostatic! Nenda katafute hata kwenye page za hao hao watu unaowaamini vimekua proved scientifically, practically na theoretically mara mamilioni. Lakini Cha kushangaza hakuna sehemu nimewahi ona GRAVITY imekuaje proved tofauti na theoretically kwenye makaratasi tu! SHTUKA!

Wanafahamu na wanajua ila wameficha ukweli. Kukuingizia mitazamo ya kukuweka mbali na MUNGU wa kweli MUUMBAJI wako subconsciously!

HAKUNA GRAVITY, HAKUNA BIG BANG, DUNIA NI FLAT, HAITEMBEI IKO STATIC TUKO NDANI YA GOD'S FIRMAMENT!
 

Umeshawai kukaa chini na ukafanya research kwanini unakatazwa kwenda Antartica?, why Antartica treaty??.
 
Watu wakiwa mars mbona dunia Inaonekana inaelea

Kwanini wewe huioni Mars?[emoji23][emoji23]

Kama Dunia inaonekana kutoka Mars bhasi hata sisi ilitakiwa tuione kama tunavyoona jua, mwezi na nyota.

Ukweli ni kwamba hakuna anayeweza kutoka kwenye hii Dunia wala hakuna space kama tunavyodanganywa. Tunadanganywa sana kwamba tunaweza kutoka nje ya hii dunia lakini sio kweli. Dunia ni enclosed system hakuna anayeweza kutoka wala kuingia kwenye hii dunia, Jua, mwezi na nyota, vyote viko ndani ya dunia.
 
Nna swali hapo mkuu

Dome imewahi kuwa proved ?

Na tambarare mwisho wake ni wapi ?
na je imewahi kuthibitishwa bila shaka yoyote kuwa mwisho wake ni sehemu fulani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…