MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,607
- labda nikurekebishe hakunaga space craft inayoenda vertically upward kwann?
marakebisho hayaeleweki weka sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- labda nikurekebishe hakunaga space craft inayoenda vertically upward kwann?
aliposema flati hakumaanisha kama meza bali ni kama sahani flani hivi ila na ww nikuulize swali inakuwaje watu walio at north pole na at south pole wote wanakuwa ata same position kwamba wote wamesimama na wala sio kwamba eti mmoja wa north kichwa kitaaangalia juu na wa sourth kitaangalia chiniNilikuwa koko beach, nikaona meli inaibuka kanakwamba inatoka bondeni wewe mleta mada unaweza kuniambia iliibuka kutokea ndani ya maji au kuna nadharia gani pale.
Dunia ingekuwa kama meza tungeviona visiwa vya zanzibar kwa maana vingekuwa altitude/level moja na Dar es salaam.
Kwa uongo unavyokukondesha huwezi kuweka mchoro unaoonyesha ni vipi jua hutiwa giza mchana kweupe (kupatwa kwa jua)
Mito yote humwaga maji baharini/ziwani, pana utambarale gani sasa hapo?
-ukiweka uzi huo uni tagHuu uzushi umejipatia umaarufu karne ya 19 baada ya kuzimwa na Galileo. Hivi karibuni wameupload maelfu ya video zao YouTube kama sehemu ya mission ya kutanua hii myth.
Wenda huko ndiko walipomuokotea mleta Mada.
Kuficha ujinga watasema kwenye kingo za hiyo disk kumezingirwa na barafu so mtu hawezi kwenda kuona huko wala hapafikiki wanasahau kitu kidogo tu ndege inayopaa anga za juu haiwi limited na hiyo structure. Kwa hiyo tungukuwa tumeshaona huo utupu.
Hiyo akili alikuwa nayo bushman katika Ile movie god must be crazy. Akawa anachukua chupa akaitupe kwenye ukingo wa disk dunia maana iliwaletea shida.
Huu ni ujima wa kiwango cha uprofessor. Wapeleke huko jukwaa la dini maana movement hii inajulikana na agenda yao inajulikana nitaweka thread oneday.
Sisimizi akiikwea nazi au boga hakuna mahali huona amening'inia kichwa chini au kichwa juu.aliposema flati hakumaanisha kama meza bali ni kama sahani flani hivi ila na ww nikuulize swali inakuwaje watu walio at north pole na at south pole wote wanakuwa ata same position kwamba wote wamesimama na wala sio kwamba eti mmoja wa north kichwa kitaaangalia juu na wa sourth kitaangalia chini
Najua wameshakujibu. Siku ya pili kiliumbwa nini na niniKuna hii mada inasema Quran and BILBLE in the light of morden science bible inaonekana imefel sana kwenye scientific fact kuna theory tu ndio zimejaa ikiwemo hii ya dunia kuwa flat au mwez kuwa unawaka kwa mwanga wake wenyewe ukiangalia kwemye siku sita za uumbaji inasema iliumbwa miti na mimea kabla ya jua kisayans mimea haiwez kusurvive bila jua zipo nyingi hiiada ni katika juhud za kutaka kuprove kuwa dunia ni flat kama ilivyo kwenye bible ndio maana karud kule kule kwenye genesis ambayo kiasili ni theory za wagiriki..!..na ishu hii ilianzia America.!
Hiyo mifano inafaa kutumiwa kwa watoto..... Labda nikuulize huyo ccmiz anapokuwa anakwea boga ama nazi kiasi cha kutokuona uduara, akiangua kichwa chini miguu juu nini kitatokea? Na wewe ukianguka hivyo nini kitatokea.Sisimizi akiikwea nazi au boga hakuna mahali huona amening'inia kichwa chini au kichwa juu.
Na sisi binadamu ni wadogo kwenye uso wa dunia kuliko visisimizi kwenye uso wa nazi, ni kama vumbi chini ya gari, usilitarajie kuanguka chini kwa kuwa liko anga za chini ya gari, bila kujali gari linajongea au limesimama.
Hapo umeingiza concept nyingine laiti kama angeweza kujihoji huyo sisimizi na hata vumbi chini ya gari sasa je hebu ni proovie ni forces gani ambazo hufanya vumbi lisianguke chiniSisimizi akiikwea nazi au boga hakuna mahali huona amening'inia kichwa chini au kichwa juu.
Na sisi binadamu ni wadogo kwenye uso wa dunia kuliko visisimizi kwenye uso wa nazi, ni kama vumbi chini ya gari, usilitarajie kuanguka chini kwa kuwa liko anga za chini ya gari, bila kujali gari linajongea au limesimama.
-mkuu hapa utatoa jasho jingi kwa kuwa watu wameshakariri majibu yao vichwani mwao kwa hiyo wanataka uwajibu kutokana na wao wanavyotakaJamani jamani.... Kuna masuala hayahitaji kujua sana, coz hata mnaoupinga huu uzi kwa ushahidi wa maandishi, picha na video za hao wana science je ninyi kama ninyi mmewahi kuprove? Kiasi cha kutaka wanaousapoti huu uzi waprove.
Mmeambiwa ukiiona meli inaibuka chukua darubini tazama je hauioni yote?
Usiku na mchana unavyopatikana ipo video inayodemostrate hyo kitu au kwa nyongeza yangu kimfano. Chukulia saa ya mshale ndio uduara flat wa dunia, mshale wa saa ndio jua lenyewe. Je kale kamshale kakiwekewa katochi kwa chini kulingana na wembamba wake, kitamulika saa nzima au sehem tuu ya kitakapokuwepo?
Wwngi mnaobisha hamjataka kuushuhudia ushahidi wa hoja za flat earth maana humu kuna picha mpaka video.
Eti mnataka kueudishwa miaka ya kale kwani kipi mnachokijua kuhusu dunia duara kiasi muweze kujibu maswali yote yaihusuyo. Kwa mfano. Kwanini ndege hazitoki Joberg to Moscow direct bila kupitia anga la nchi nyingine za Africa.?
Hapo umeingiza concept nyingine laiti kama angeweza kujihoji huyo sisimizi na hata vumbi chini ya gari sasa je hebu ni proovie ni forces gani ambazo hufanya vumbi lisianguke chini
-mkuu labda niongezee maneno ya van allen mwenyewe ili kuwapa mwanga wazito wa akilitatizo lako pia hujafatilia hakuna ndege wala kifaa chochote kilichowahi kupita VAN ALLEN BELT ,, nadhani hili ni jibu tosha lakin watu bado hawaelewi ,,,, na hakuna ndege wala kifaa chochote kilichowahi kupita juu ya antartika kwasababu haiwezekani.....fatilia kwanza unatudanganya hapo kuhusu GALLILEO GALLILEI YEYE NDO ALIULETA MFUMO WA SPHERICAL EARTH ,,,FATILIA MAMBO ACHA KUDANGANYA WATU
Hapa hakuna aliyedanganya bali wapo waliopumbazwa.Unadhani wanadanganya ili wapate nini?
Wamarekani, waingereza, wafaransa, wakanada na wataliano watudanganye sawa unadhani warusi, wachina na wakorea wangeendeleza uongo huo? Namaanisha "KIM JONG UN"
Hao sio ccm wewe.
Dunia ni duara.
mawazo yako yatakuwa approoved 3020 mkuu .Yote ni kampeni ya kututawala kifikra,
ikianzia na kuziacha fikra zetu njia panda.
Ili kupunguza uwezo na kasi ya fikra zetu. Kwa maana ya muda mwingine kutuogofya kwa kile tunacho fikiria.
Siku ambayo tutajua ukweli ndio siku yao ya mwisho kututawala, japo ni kitu ambacho hakiwezekani kwa sasa, kwa sababu ya teknolojia.
Cha msingi ni sisi kuwekeza katika teknolojia na kuvipa vipaji vipya, muongozo wa Elimu mzuri kama Nchi.
Bila ya kusahau mila na desturi za kwetu, kama nembo yetu kuu na njia yetu kuu.
-mkuu wacha kamba nyingi si sayari zote zina atmosphere naona ume generaliseDunia ni tufe kama ilivyo sayari zote kila sayari ina anga lake lililo izunguka (atmosphere). Ambalo sayari ikiwa inazunguka na kujizunguka inazunguka na kuzunguka na anga lake.
Kwa dunia ndiyo hivyo atmoshphere imezunguka dunia ikiwa inazunguka jua na kujizungusha kwenye muhimili wake inaenda nalo sambamba
Halafu mbona hujanijibu kama dunia hailei imejishikiliwa na nini?
hahahahahahaaaaaaaa kwa kweli leo ndo nimejua kuwa duniani kuna ma dunya yaaani maswali yote uliyauliza yalishajibiwa kwenye post zilizopita sasaaa ngoja nikuulizw swali KAMA UMEKURUPUKIA POST YANINI KU-COMMENT ???????? UTAJIKUTA UNAAAIBIKA BUREEE SOMA POST ELEWA FUATILIA COMMENT ACHA KUDANDIA TRENI KWA MBELEWewe mwenyewe ni mtumwa wa fikira unawezaje kuwaponda wazungu, umejitahidi kutetea hoja yako lakini uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana unachanganya lugha hata isipotakiiwa moja kwa moja inaonyesha umbumbumbu wako.
1.Kama Dunia haizunguki ipo tambarare ni nn kinasababisha majira kutofautiana ktk msimu wa Mwaka?
2.Umewahi kusafiri na ndege kutoka mashariki kwenda kasikazini labda Tanzania- Misiri Ethiopia au popote ukautumia mda huo kujifunza?
3.Kwanini usiku na mchana unatokea kwenye Dunia tambarale inakuwaje?
4.Kama Dunia tambarale Mwezi una unajificha wapi kipindi unacho kuwa hauonekani?