The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Unatakiwa ujue Dunia ni ellipsoid na pia sio smooth surface, Inamilina na mabonde na maji yanaenda direction ambayo ni down relative to yanapotokaWazee wa Spinning Ball nina swali hapa. Kama Dunia ni globe maji ya mto nile yanawezaje kupanda mlima kwenda Egypt?? Toka lini maji yakapanda mlima?? Naombeni majibu hapa.