Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
nyinyi hamtaki kufanya tafiti, kazi yenu kupinga theory za wenzenu, space ni kubwa sana mkuu sasa hizi nadharia mimi siwezi jadili nawewe maana huzitaki kwa sababu kitu kama gravity unakipinga huko mbele itakua shida., okay sio kesi achana na kwenda space nyinyi mnasema tambarare ina mwisho ama ni infinity sawa tumekubali je nyi mshafika wapi kwamba mseme tumefika mpaka umbali flani tumekuta hiki na hiki????? au hamna uwezo huo?
Kwani nyie mmefika wapi Mkuu?

Au ndiyo mwaka 1969 mliweza kwenda mwezini Kwa teknolojia ndogo ya miaka hiyo,...lakini sasa hivi 2024 hamuwezi?

Yaani ingekua kweli mliweza kwenda mwezini mwaka 1969 basi mpaka Karne hii ilibidi mwezini kuwe kama kwenda Kariakoo Tu lakini zimebaki hadithi.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Hakuna Mtu au taasisi yoyote iliyowahi kuthibitisha officially Kwa vitendo kwamba ukitoka point "A" Let's say Tanzania ukasafiri Kwa mstari mnyoofu utarudi tena Tanzania.
Obstacles zitakazofanya uharibu safari katika mstari mnyoofu kama milima, hali mbaya ya hewa, ukungu mkali wakati wa safari ndo sababu hili limebaki kuwa katika fizikia na hesabu bila kulithibitisha kwa vitendo.

Kwani nani ameshawahi kuchimba shimo akaona kuwa kuna molten lava katika core? Does it mean kuwa haipo?

Au nani ameshawahi kutuma kifaa kukusanya types of gas zinazopatikana kwenye jua? Mbona tunafahamu?

Binadamu wanatuma rovers mars ww bado ungali kazana na masuala ya dunia ni flat.
NB: kumbuka pia kwamba hata kwenye Usafiri wa anga Pilots wanaichukulia Dunia kama flat hawazingatii curvature yoyote wala kwenda upside down kufuata muundo wa Tufe.
Jifunze kuhusu gravity hutahoji kuhusu hili.
 
Sawa,...so hapa tumepata kufahamu kwamba
1. Video za NASA hazionyeshi Dunia ikizunguka ✔️

2. Vipi video za NASA zinaonyesha curvature?
Rudia kusoma nilichokujibu utaelewa. Video zinaonyesha kuwa kuna movement ila hutaona kama unavyoona video ya gari likikimbia.
 
Obstacles zitakazofanya uharibu safari katika mstari mnyoofu kama milima, hali mbaya ya hewa, ukungu mkali wakati wa safari ndo sababu hili limebaki kuwa katika fizikia na hesabu bila kulithibitisha kwa vitendo.

Kwani nani ameshawahi kuchimba shimo akaona kuwa kuna molten lava katika core? Does it mean kuwa haipo?

Au nani ameshawahi kutuma kifaa kukusanya types of gas zinazopatikana kwenye jua? Mbona tunafahamu?

Binadamu wanatuma rovers mars ww bado ungali kazana na masuala ya dunia ni flat.

Jifunze kuhusu gravity hutahoji kuhusu hili.
Mkuu kwanini nadharia tuchukulie Kama facts?

Kama hakuna uthibitisho wa mtu yoyote kusafiri Kwenye mstari mnyoofu kutoka point fulani kisha kurudi kwenye point hiyo kwa kuwa Dunia ni Tufe,... basi inatosha kusema hiyo ni assumption tu na sio fact....

Kwa mfano,..hiyo ishu ya molten lava katika core pia ni assumption tu au theory sio kwamba ni fact,..moja Kwa moja.
Kwanini assumptions unazichukulia kama facts?

Jifunze kuhusu gravity hutahoji kuhusu hili.
Kwamba gravity ndiyo inafanya Pilots waichukulie Dunia ni flat instead of globe🌍?

Kwamba gravity ndiyo inafanya wasiende upside down?

Sidhani kama gravity inahusiana na scenario hizo., unaweza ukaelezea Kwa lengo la kujifunza.
 
Mkuu kwanini nadharia tuchukulie Kama facts?

Kama hakuna uthibitisho wa mtu yoyote kusafiri Kwenye mstari mnyoofu kutoka point fulani kisha kurudi kwenye point hiyo kwa kuwa Dunia ni Tufe,... basi inatosha kusema hiyo ni assumption tu na sio fact....

Kwa mfano,..hiyo ishu ya molten lava katika core pia ni assumption tu au theory sio kwamba ni fact,..moja Kwa moja.
Kwanini assumptions unazichukulia kama facts?


Kwamba gravity ndiyo inafanya Pilots waichukulie Dunia ni flat instead of globe🌍?

Kwamba gravity ndiyo inafanya wasiende upside down?

Sidhani kama gravity inahusiana na scenario hizo., unaweza ukaelezea Kwa lengo la kujifunza.
Mkuu, Ukizikataa nadharia za kisayansi zilizothibitishwa kimahesabu na kifizikia njoo na za kwako uzithibitishe kwa matendo otherwise unajipotezea muda wako.
 
Mkuu, Ukizikataa nadharia za kisayansi zilizothibitishwa kimahesabu na kifizikia njoo na za kwako uzithibitishe kwa matendo otherwise unajipotezea muda wako.
Hapo hawataki kusikia, dunia ni flat imagine ukiwauliza mwisho wali hawassmi. Si ni rahisi waseme ukienda mexico pale ndo mwisho kuna ukuta watu tuanze kujipanga kwenda kufanya utalii
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hapo hawataki kusikia, dunia ni flat imagine ukiwauliza mwisho wali hawassmi. Si ni rahisi waseme ukienda mexico pale ndo mwisho kuna ukuta watu tuanze kujipanga kwenda kufanya utalii
Yaani ukiona mtu anakataa jambo lililothibitishwa kisayansi, kihesabu na kuliita ni nadharia halafu yeye hana mbadala uliothibitishwa usipoteze muda naye.
 
Rudia kusoma nilichokujibu utaelewa. Video zinaonyesha kuwa kuna movement ila hutaona,. kama unavyoona video ya gari likikimbia.
Kwamba video zinaonyesha kuna movement?
Ila siwezi kuona?

Hiyo ni Imani tu,..ubongo wako unatamani uone Dunia ikizunguka kama isemwavyo lakini Kwa bahati nzuri huwezi kuona Kwa kuwa Dunia ipo stationary.
 
Yaani ukiona mtu anakataa jambo lililothibitishwa kisayansi, kihesabu na kuliita ni nadharia halafu yeye hana mbadala uliothibitishwa usipoteze muda naye.
Walete tu za kwao tuwasikilize, hapo ndo hawataki ila wanakwambia nadharia zao ni rahisi, evidence, documentation hawafanyi🤣
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwamba video zinaonyesha kuna movement?
Ila siwezi kuona?

Hiyo ni Imani tu,..ubongo wako unatamani uone Dunia ikizunguka kama isemwavyo lakini Kwa bahati nzuri huwezi kuona Kwa kuwa Dunia ipo stationary.
Rotation ya dunia kwa siku moja inaenda 24 hours, wewe kwenye zile video ushachunguza kwa masaa mangapi mfululizo?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwamba video zinaonyesha kuna movement?
Ila siwezi kuona?
Movement katika video maana yake ni nini? Ni picha zilizopigwa haraka haraka sana kwa mpangilio usioruka tukio. Kwa mfumo wa camera za space utaona location ikibadilika baada ya muda. Mfano kama umeangalia leo ukiangalia miezi 2 mbele utaona location imebadilika na sababu ni movement za dunia na station katika mhimili.
Hiyo ni Imani tu,..ubongo wako unatamani uone Dunia ikizunguka kama isemwavyo lakini Kwa bahati nzuri huwezi kuona Kwa kuwa Dunia ipo stationary.
Hili si jambo la kiimani ni jambo la kisayansi. Limethibitishwa kisayansi. Ww unatumia mihemko ya kile unachokiona kuthibitisha kuwa dunia ni flat. Sio kila unachokiona kipo namna unavyokiona ndo sayansi inapoingia.
 
Rotation ya dunia kwa siku moja inaenda 24 hours, wewe kwenye zile video ushachunguza kwa masaa mangapi mfululizo?
Anataka aone live kama anavyoangalia filamu za kaole na jumba la dhahabu.
 
Mkuu, Ukizikataa nadharia za kisayansi zilizothibitishwa kimahesabu na kifizikia njoo na za kwako uzithibitishe kwa matendo otherwise unajipotezea muda wako.
Itakuchukua muda gani kujua kwamba hesabu zinafanya kazi kwenye makaratasi tu na sio kwenye uhalisia?

Yani naweza nikafanya assumption kwamba Dunia ni Tufe kwenye paper,..kisha nikatengeneza equation ya Ku prove hilo lakini that doesn't make the earth to be globe inabaki kwenye makaratasi tu.

Kwa mfano,.in paper calculations zinaonyesha curvature of the earth inaanza Miles kadhaa,..lakini kwenye uhalisia sasa no one has ever provided the exact point/location ambapo curvature inaanzia...
 
Itakuchukua muda gani kujua kwamba hesabu zinafanya kazi kwenye makaratasi tu na sio kwenye uhalisia?
Ilichukua muda gani hesabu za kurusha ndege kubadilika na kuwa uhalisia?
Yani naweza nikafanya assumption kwamba Dunia ni Tufe kwenye paper,..kisha nikatengeneza equation ya Ku prove hilo lakini that doesn't make the earth to be globe inabaki kwenye makaratasi tu.
Umeshafanya hesabu kuwa dunia si tufe ukaziweka kwenye karatasi?
Kwa mfano,.in paper calculations zinaonyesha curvature of the earth inaanza Miles kadhaa,..lakini kwenye uhalisia sasa no one has ever provided the exact point/location ambapo curvature inaanzia...
So? Hiyo inathibitisha kuwa dunia ni flat?
 
Anataka aone live kama anavyoangalia filamu za kaole na jumba la dhahabu.
Sasa kama:-
1. Kuona with your naked eyes,.. HAIWEZEKANI.
2. Kuona Kwa msaada wa teknolojia iliyopo pia ,... HAIWEZEKANI

Huoni kwamba umeamua kuamini Tu bila uthibitisho wowote?????!

NB:- Mnafurahisha.
 
Sasa kama:-
1. Kuona with your naked eyes,.. HAIWEZEKANI.
2. Kuona Kwa msaada wa teknolojia iliyopo pia ,... HAIWEZEKANI

Huoni kwamba umeamua kuamini Tu bila uthibitisho wowote?????!

NB:- Mnafurahisha.
Wewe unaamini kuwa unapotuma huu ujumbe wako unamfikia binadamu na si AI au robot kwa sababu umeniona kwa macho au kwa technolojia iliyopo?
 
Kutokuona kingo za Dunia hakuifanyi Dunia isiwe flat kama tunavyoiona...what if Dunia ni infinity na tunaishi sehemu ndogo tu ya Dunia? Kumbuka sehemu kubwa ya Dunia ni maji yaani eneo ambalo lipo covered na maji with reference to nchi kavu,. utakuta eneo la nchi kavu ni kama kisiwa Tu.

Hivi kwanini tunashindwa kukubaliana na ukweli huu ulio wazi kwamba Dunia ipo flattened na sio tufe?

Nani ashawahi kuona Tufe Kwa macho yake?

Nani ashawahi kuthibitisha Dunia inazunguka Kwa kutumia milango yake ya fahamu?,.

Kwanini hakuna real authentic picha au video(NON CGI) ambayo inaonyesha Dunia Tufe ikizunguka.

NB:- Ukifanya research on your own,..hautoacha ku doubt Dunia tufe.
Nyie viande wa flat earthers ni wapuuzi tu ...kwani wewe wapi ulikaa ukachungulia kuwa dunia sehemu kubwa ni maji? Si ulisoma kwenye sayansi wewe? Mbona hamjawahi kutuletea live pictures za kingo za mabarafu zaidi ya kuzichora tu! Kwanza kwa ukiazi wa ubongo wenu laws za gravity hamuwezi elewa hata kidogo
Haya tueleze atmospheric pressure ipo au haipo? Kama haipo nakuja na swali
 
Kwani nyie mmefika wapi Mkuu?

Au ndiyo mwaka 1969 mliweza kwenda mwezini Kwa teknolojia ndogo ya miaka hiyo,...lakini sasa hivi 2024 hamuwezi?

Yaani ingekua kweli mliweza kwenda mwezini mwaka 1969 basi mpaka Karne hii ilibidi mwezini kuwe kama kwenda Kariakoo Tu lakini zimebaki hadithi.
Unajua pesa iliyotumika ni sh. Ngapi kwa hiyo safari moja? Yaani waendelee kupoteza mabilion ya dola kwa kitu walichofanikiwa tayari na lengo lilitimia!
 
Back
Top Bottom