Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Itakuchukua muda gani kujua kwamba hesabu zinafanya kazi kwenye makaratasi tu na sio kwenye uhalisia?

Yani naweza nikafanya assumption kwamba Dunia ni Tufe kwenye paper,..kisha nikatengeneza equation ya Ku prove hilo lakini that doesn't make the earth to be globe inabaki kwenye makaratasi tu.

Kwa mfano,.in paper calculations zinaonyesha curvature of the earth inaanza Miles kadhaa,..lakini kwenye uhalisia sasa no one has ever provided the exact point/location ambapo curvature inaanzia...
Na calculations hizo hizo ndo zimevumbua technology unayotumia kubishia hapa jf. Ama kweli once ignorant always ignorant yaani hizi vumbuzi zote unadhani zilikuja kwa bahati mbaya? Watu walikaa chini wakasugua ndonga zao hawakutumia mstari mmoja tu wa biblia.
 
Kama dunia ni tambalale, kuzama na kuchomoza kwa jua kukoje? Na inatokeaje kwa wakati mmoja sehemu nyingine kua mchana na nyingine kua usiku wakati dunia ni tambalale kwa maelezo yako?
 
Rotation ya dunia kwa siku moja inaenda 24 hours, wewe kwenye zile video ushachunguza kwa masaa mangapi mfululizo?
Umesahau kama mnasema Dunia ina move Kwa zaidi ya 1.6 miles per day yaani zaidi ya 40,075 kilometers??!

Wewe nenda kachunguze hizo video Kwa sekunde zote unazotaka,.hautoweza kuona kile ulichoaminishwa.
 
Ilichukua muda gani hesabu za kurusha ndege kubadilika na kuwa uhalisia?
Kuna baadhi ya hesabu hata upite muda gani hazitoweza kubadilika na kuwa uhalisia.
Vitu kama tufe theory, evolution theory, gravity theory mpaka sasa hazipo kwenye uhalisia na hakuna dalili za kubadilika kuwa kwenye uhalisia.
So? Hiyo inathibitisha kuwa dunia ni flat?
Absolutely,. absence of curvature inathibitisha wazi kwamba Dunia ni flat na sio tufe.

Curvature is nowhere to be seen.
 
Wewe unaamini kuwa unapotuma huu ujumbe wako unamfikia binadamu na si AI au robot kwa sababu umeniona kwa macho au kwa technolojia iliyopo?
Naamini ujumbe wangu unamfikia binadamu na si AI au robot Kwa kutumia teknolojia iliyopo.

That's why nasema through technology iliyopo bado hatuna uthibitisho wowote kwamba Dunia ni Tufe 🌍 linalozunguka.
 
Nyie viande wa flat earthers ni wapuuzi tu ...kwani wewe wapi ulikaa ukachungulia kuwa dunia sehemu kubwa ni maji? Si ulisoma kwenye sayansi wewe? Mbona hamjawahi kutuletea live pictures za kingo za mabarafu zaidi ya kuzichora tu! Kwanza kwa ukiazi wa ubongo wenu laws za gravity hamuwezi elewa hata kidogo
Haya tueleze atmospheric pressure ipo au haipo? Kama haipo nakuja na swali
Punguza jazba,.. kupiga kelele hakutoifanya Dunia iwe Tufe kama ulivyoaminishwa.

NB:- Mnamo mwaka 1915 Albert Einstein alishasema kwamba Gravity is not a force!,.wewe huku umekariri tu theory ya Newton unaona umemaliza kila kitu,..kichwa chako unatumia kufanyia nini mkuu?

eti gravity hamuwezi elewa.....

_Atmospheric pressure ipo na inathibitishika hata Kwa kutumia milango yako ya fahamu tu.
 
Unajua pesa iliyotumika ni sh. Ngapi kwa hiyo safari moja? Yaani waendelee kupoteza mabilion ya dola kwa kitu walichofanikiwa tayari na lengo lilitimia!
Walifanikiwa wapi?

Lengo gani lilitimia?

India wameshindwa kupeleka watu mwezini juzi tu hapo,.wewe unaamini miaka ya 60's huko eti kuna watu walikanyaga mwezini dah!
 
Kuna baadhi ya hesabu hata upite muda gani hazitoweza kubadilika na kuwa uhalisia.
Vitu kama tufe theory, evolution theory, gravity theory mpaka sasa hazipo kwenye uhalisia na hakuna dalili za kubadilika kuwa kwenye uhalisia.
Hii ni according to mwanasayansi hateeb10
 
Naamini ujumbe wangu unamfikia binadamu na si AI au robot Kwa kutumia teknolojia iliyopo.
Si kila kitu lazima uone? Sasa ushaniona?
That's why nasema through technology iliyopo bado hatuna uthibitisho wowote kwamba Dunia ni Tufe 🌍 linalozunguka.
soma teknolojia ya kamera iliyobebwa na chombo cha apolo.
Screenshot_20240219-211451_Chrome.jpg
 
Si kila kitu lazima uone? Sasa ushaniona?
Yes kila kitu lazima uone unless uwe kipofu,...Kwa mfano hapa nikiona muandiko wako na jinsi unavyo behave kwenye kujibu hoja napata hitimisho kwamba huyu ni binadamu,..so umefahamu kwamba kupitia kuona muandiko wako na jinsi unavyojenga hoja nimejua kama wewe ni binadamu?

that's why hata Google wametengeneza tricks za Ku confirm kama mtumiaji ni robot au Mtu halisi,.kwa kuwa behaviours za binadamu zinajulikana tu.

soma teknolojia ya kamera iliyobebwa na chombo cha apolo.
View attachment 2909333
Mkuu sorry,.hiyo picha hapo juu huoni Kama ni katuni?

umeona wapi space ikiwa na Giza la namna hiyo?! yaani hata Nyota Tu hazionekani? Giza totoro. aaah unaniangusha Tsh
 
Flat earthers lini mtaanza earth exploration ya kutafuta kingo?
 
Yes kila kitu lazima uone unless uwe kipofu,...Kwa mfano hapa nikiona muandiko wako na jinsi unavyo behave kwenye kujibu hoja napata hitimisho kwamba huyu ni binadamu,..so umefahamu kwamba kupitia kuona muandiko wako na jinsi unavyojenga hoja nimejua kama wewe ni binadamu?

that's why hata Google wametengeneza tricks za Ku confirm kama mtumiaji ni robot au Mtu halisi,.kwa kuwa behaviours za binadamu zinajulikana tu.
Kwa hiyo mpangilio wa hesabu na prove za kisayansi za structure ya dunia hujaziona ila mpangilio wangu umeuona?
Mkuu sorry,.hiyo picha hapo juu huoni Kama ni katuni?

umeona wapi space ikiwa na Giza la namna hiyo?! yaani hata Nyota Tu hazionekani? Giza totoro. aaah unaniangusha Tsh
Kafuatilie hicho chombo tech yake inayotumia, mifumo ya picha inavyokuja, nini kinafanyika mpaka uone picha halisi.
Mbona mambo mepesi unapata nayo tabu? Una tatizo la kiimani?
 
Punguza jazba,.. kupiga kelele hakutoifanya Dunia iwe Tufe kama ulivyoaminishwa.

NB:- Mnamo mwaka 1915 Albert Einstein alishasema kwamba Gravity is not a force!,.wewe huku umekariri tu theory ya Newton unaona umemaliza kila kitu,..kichwa chako unatumia kufanyia nini mkuu?

eti gravity hamuwezi elewa.....

_Atmospheric pressure ipo na inathibitishika hata Kwa kutumia milango yako ya fahamu tu.
Haya Kama ipo inatokana na Nini hiyo atmospheric pressure..halafu nitathibitishaje kwa milango ya fahamu? Kwamba inaonekana kwa macho au ninaisikia? Wewe na Mimi Nani amekariri? Mimi nimesoma theory nilizielewa inatakiwa uje uzifute kichwani kwangu kwa kuleta theory zako na siyo kuleta mipasho na vijipicha viwili vitatu
 
Walifanikiwa wapi?

Lengo gani lilitimia?

India wameshindwa kupeleka watu mwezini juzi tu hapo,.wewe unaamini miaka ya 60's huko eti kuna watu walikanyaga mwezini dah!
Kwani India ni marekani? Kama China anaweza kukutengezea toothpicks haikufanyi na wewe uweze ....Kama ni kilaza je? Kama miaka ya 45's watu Wana teknolojia ya nukes Hilo hushangai kwa sababu ulijionea
 
Kutokuona kingo za Dunia hakuifanyi Dunia isiwe flat kama tunavyoiona...what if Dunia ni infinity na tunaishi sehemu ndogo tu ya Dunia? Kumbuka sehemu kubwa ya Dunia ni maji yaani eneo ambalo lipo covered na maji with reference to nchi kavu,. utakuta eneo la nchi kavu ni kama kisiwa Tu.

Hivi kwanini tunashindwa kukubaliana na ukweli huu ulio wazi kwamba Dunia ipo flattened na sio tufe?

Nani ashawahi kuona Tufe Kwa macho yake?

Nani ashawahi kuthibitisha Dunia inazunguka Kwa kutumia milango yake ya fahamu?,.

Kwanini hakuna real authentic picha au video(NON CGI) ambayo inaonyesha Dunia Tufe ikizunguka.

NB:- Ukifanya research on your own,..hautoacha ku doubt Dunia tufe.
Kama haujui unasema tu haujui acha habari za "What if" bla bla bla

umeshindwa kujibu swali langu umeanza maelezo mengine ambayo sijakuuliza.
 
Sidhani kama kuna Mtu mwenye akili timamu anaweza kusema Australia haipo....

Hiyo ni meme Tu mmetengeneza kujifariji na Imani yenu ya Tufe [emoji288].
Unasema hii ni meme ndio ni meme ambayo ilitengenezwa kutoka kwenye habari ya ukweli..Huu ni mfano wa wazi ni kwanini mnakua wabishi kuelewa kwa vitu ambavyo mnakua hamjui.

Hii ni taarifa kamili ya habari, Watu wa flat eather's walitoa hayo madai kwamba Australia haipo Duniani..

Hizo meme zikatengenezwa baada ya hiyo habari.
 
Hakuna Mtu au taasisi yoyote iliyowahi kuthibitisha officially Kwa vitendo kwamba ukitoka point "A" Let's say Tanzania ukasafiri Kwa mstari mnyoofu utarudi tena Tanzania.

Hiyo statement yako ipo Kinadharia zaidi,.haijawa proved labda kama una ushahidi ulete.

NB: kumbuka pia kwamba hata kwenye Usafiri wa anga Pilots wanaichukulia Dunia kama flat hawazingatii curvature yoyote wala kwenda upside down kufuata muundo wa Tufe.
Nna uhakika wa 100% usafiri wa ndege hujawahi kuutumia.

Hapa umethibitisha kuwa unaandika mambo kwa kubahatisha bahatisha.
 
Back
Top Bottom