Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
1. Gravity nimelijibu ✔️
2. Eclipse✔️ & moon phase ⌛(Ni kweli moon phases sina details zaidi kuhusu, even though moon phases hai support by any means the idea kwamba Dunia ni Tufe.

3. Not only Jua & Mwezi.,..Sina details zaidi ya nini kinafanya celestial bodies zizunguke...&That doesn't mean kwamba theories ndiyo zinaelezea 100% correctly on what drives the celestial bodies.
1. Yes gravity umejibu ila hauja clarify how, umesema tu bila maelezo kitu ambacho Kila mtu anaweza kufanya.

2. Eclipse the same umejibu ila pia hauja clarify how, what are those objects and zinatokea wapi? Why hatuzioni siku za kawaida mpaka siku zinapoblock Jua?

Moon phases ni vyema umekiri, hapa hatushindani. Sasa kama huna details je umeshasoma maelezo kuhusu moon phases kutoka maybe NASA au mamlaka nyingne za Anga na ukaona havimake sense?
Unauhakika Gani moon phases haisupport umbo la Dunia kuwa sphere? Au unahisi nimeuliza Kwa bahati mbaya?

3. Vizuri pia umekiri huna details, Kwa sabab umekataa gravity. Ila kinachonishangaza unaamini bila shaka other celestial bodies zina-revolve tena bila kujua sababu ila Kwa Dunia hutaki kukubali na sabab umepewa, inashangaza sana.
 
Mbona Mimi sioni uso wa Dunia ukihama? Kwa mfano sasa hivi saa 12:10,..uso wa Dunia umeelekea wapi?

Jua na Mwezi through observation zinaonyesha kabisa zinafanya movement.... kuhusu kuzunguka kwenye realm moja scientific na religious texts kama Qur'an, Jua na Mwezi zinatajwa kuzunguka kwenye realm/orbit moja.
"Mbona Mimi sioni uso wa Dunia ukihama? Kwa mfano sasa hivi saa 12:10,..uso wa Dunia umeelekea wapi?"
..... Huoni? Je ilipokuwa saa 2 position ya Jua ilikuwa hapo ulipo sasa?


"Jua na Mwezi through observation zinaonyesha kabisa zinafanya movement.... kuhusu kuzunguka kwenye realm moja scientific na religious texts kama Qur'an, Jua na Mwezi zinatajwa kuzunguka kwenye realm/orbit moja."
....... Nilikuuliza kabla, ukiangalia Jua hata Sasa hivi, je unaliona likijingea? Naamini huwezi kuona kama unaona record video ya dk hata 10 nitumie nione mjongeo wake, kama huoni, ni nini kilichokufanya ujaconclude Jua ndo linamove?
Kuhusu moon ni kweli mwezi unamove tena around the earth.
 
kuhusu kuzunguka kwenye realm moja scientific na religious texts kama Qur'an, Jua na Mwezi zinatajwa kuzunguka kwenye realm/orbit moja.
Scientific Gani zinasema hicho unachosema? Na leta ushahidivwa hivyo vifungu vinavyosema usemavyo. Sipo deep sana kwenye mambo ya religion lakin nimeona watu wa Qur'an wanasema kuwa inasema Dunia Inaumbo la yai.
BTW.. Bado naww unalishwa details kama Mimi lakin unasema mm nakaririshwa 😄 😄
 
Scientific Gani zinasema hicho unachosema? Sipo deep sana kwenye mambo ya religion lakin nimeona watu wa Qur'an wanasema kuwa inasema Dunia Inaumbo la yai.
BTW.. Bado naww unalishwa details kama Mimi lakin unasema mm nakaririshwa 😄 😄
Duh,.kwamba Sayansi haisemi Jua na Mwezi zinaogelea kwenye orbit?

Kukariri without questioning ni pale ambapo ulichokariri na uhalisia haviendani lakini Una switch off akili yako away from what you actually see........

Kwa mfano wewe umekariri Dunia ni Tufe lakini hata siku moja hujawahi kue experience kwamba now I'm in the opposite side of the earth... Dunia nzima tunatazama the same sky hata uende mbali kiasi gani lakini hilo halikufikirishi Kwa kuwa umekariri.
 
"Mbona Mimi sioni uso wa Dunia ukihama? Kwa mfano sasa hivi saa 12:10,..uso wa Dunia umeelekea wapi?"
..... Huoni? Je ilipokuwa saa 2 position ya Jua ilikuwa hapo ulipo sasa?


"Jua na Mwezi through observation zinaonyesha kabisa zinafanya movement.... kuhusu kuzunguka kwenye realm moja scientific na religious texts kama Qur'an, Jua na Mwezi zinatajwa kuzunguka kwenye realm/orbit moja."
....... Nilikuuliza kabla, ukiangalia Jua hata Sasa hivi, je unaliona likijingea? Naamini huwezi kuona kama unaona record video ya dk hata 10 nitumie nione mjongeo wake, kama huoni, ni nini kilichokufanya ujaconclude Jua ndo linamove?
Kuhusu moon ni kweli mwezi unamove tena around the earth.
1. Yes gravity umejibu ila hauja clarify how, umesema tu bila maelezo kitu ambacho Kila mtu anaweza kufanya.

2. Eclipse the same umejibu ila pia hauja clarify how, what are those objects and zinatokea wapi? Why hatuzioni siku za kawaida mpaka siku zinapoblock Jua?

Moon phases ni vyema umekiri, hapa hatushindani. Sasa kama huna details je umeshasoma maelezo kuhusu moon phases kutoka maybe NASA au mamlaka nyingne za Anga na ukaona havimake sense?
Unauhakika Gani moon phases haisupport umbo la Dunia kuwa sphere?

3. Vizuri pia umekiri huna details, Kwa sabab umekataa gravity. Ila kinachonishangaza unaamini bila shaka other celestial bodies zina-revolve tena bila kujua sababu ila Kwa Dunia hutaki kukubali na sabab umepewa, inashangaza sana.
Hapa nikitulia baadae nitarudi
 
Duh,.kwamba Sayansi haisemi Jua na Mwezi zinaogelea kwenye orbit?

Kukariri without questioning ni pale ambapo ulichokariri na uhalisia haviendani lakini Una switch off akili yako away from what you actually see........

Kwa mfano wewe umekariri Dunia ni Tufe lakini hata siku moja hujawahi kue experience kwamba now I'm in the opposite side of the earth... Dunia nzima tunatazama the same sky hata uende mbali kiasi gani lakini hilo halikufikirishi Kwa kuwa umekariri.
Kwenye orbit kivipi? Kama ulivyosema wewe au kama NASA na science nyingne zinavyosema? Wewe umesema Jua na mwezi vina orbit kwenye realm Moja👇👇👇👇

1_HjraaEHvXQ02F-eeqBuJHA.png

Ndio unipe science Gani inaelezea hiki kitu👆👆👆.

Halafu kwann unapenda kukimbilia kuwa nakaririshwa? Au umeishiwa hoja? Nimekwambia hatushindani Bali tunajadiliana lakni lazima nihakikishe unachosema hapa ni from reliable source au umekifanyia utafiti.
 
Kwenye orbit kivipi? Kama ulivyosema wewe au kama NASA na science nyingne zinavyosema? Wewe umesema Jua na mwezi vina orbit kwenye realm Moja👇👇👇👇

View attachment 2925941
Ndio unipe science Gani inaelezea hiki kitu👆👆👆.

Halafu kwann unapenda kukimbilia kuwa nakaririshwa? Au umeishiwa hoja? Nimekwambia hatushindani Bali tunajadiliana lakni lazima nihakikishe unachosema hapa ni from reliable source au umekifanyia utafiti.
Wewe umesema na Mimi nimekariri,.. ndiyo nikakupa maana ya kukariri hapo,. Which is actually when you hold true what you have been taught even though it goes against what you actually observe.
 
Wewe umesema na Mimi nimekariri,.. ndiyo nikakupa maana ya kukariri hapo,. Which is actually when you hold true what you have been taught even though it goes against what you actually observe.
Kama Mimi nimekariri kama usemavyo basi naww umekariri, Kwa sababu unatumia maandiko kutoka Kwa watu wengine Kwa mfano hiyo ya Jua na mwezi kuzunguka kwenye realm Moja hujaobserve Bali unadai umesoma scientific informations na religious documents Sasa mimi naww tunatofauti Gani?.

What have I been taught goes against my observations?
 
Ni kitu gani nimekariri hakiendani na uhalisia?
1.Dunia kuwa Tufe la aina hii ➡️🌍... You've never gone the other side of the earth you only observe flat plane.

2. Kwamba kuna curvature, actually haipo

3. Kwamba Dunia ina spin,. Actually ipo stationary

4. Kwamba gravity ndiyo inakufanya urudi chini ukiruka.... which is not true
 
Kwa mfano wewe umekariri Dunia ni Tufe lakini hata siku moja hujawahi kue experience kwamba now I'm in the opposite side of the earth... .
Kwanza ondoa neno nimekariri how sure you are?
Kuwa opposite side of the earth unamaana Gani?
 
Dunia nzima tunatazama the same sky hata uende mbali kiasi gani lakini hilo halikufikirishi Kwa kuwa umekariri.
Hakuna kitu kama hicho? Dunia nzima tunatazama the same sky? Angalia mpangilio wa nyota haufanani na mtu alieko north pole hata siku Moja.
 
1.Dunia kuwa Tufe la aina hii ➡️🌍... You've never gone the other side of the earth you only observe flat plane.

2. Kwamba kuna curvature, actually haipo

3. Kwamba Dunia ina spin,. Actually ipo stationary

4. Kwamba gravity ndiyo inakufanya urudi chini ukiruka.... which is not true
1. Mimi kutoenda on the other side of the earth haimaniishi dunia sio sphere, wewe unavyoona Dunia ni flat? Huoni milima na mabonde? Au macho yangu hayana uhalisia?
*Tunaona only a small portion of the earth so how come uone the globe.
* Wewe nikikuuliza ukishawahi kuona mwisho wa hiyo flat earth kuona hizo Kingo? Je ulishawah kwenda kuiona hiyo glass dome ceiling? Kwahy naww unabaki kuwa umekariri tena bila scientific proof!!

2. Curvature ipo, use your common sense, angalia the sky follows the curvature of the earth, sun rise na sun sets, picha kutoka ISS na vingne vingi.

3. Dunia ina-spin nimekupa proof both observational and experimental. Wewe unaushahidi Gani kuwa Dunia haispin? Kama hujakariri?

4. Gravity ndo inasabibisha kama inavyoelezewa na kama ambavyo ina-apply to other celestial bodies, na lakini pia umeshindwa kuelezea kama sio gravity ni nn, umeshindwa kutoa majibu kwahy Bado nabaki na gravity unless unipe majibu ya what and how inasababisha vitu virudi kwenye uso wa Dunia, you only answer how to resist the so "what"and not how.

Hili hujajibu, au umeelewa?👇👇

"Enhee huu mfano wako wa gari ndo mzuri, kwahy wewe ni sawa na umejibu kwasabab gari linahitaji mafuta, ambapo Bado utaacha swali how mafta yanafanya gari lifanye safari? Sijui unaelewa lakini?"
 
1.Dunia kuwa Tufe la aina hii ➡️🌍... You've never gone the other side of the earth you only observe flat plane.
Ni kitu gani kimekufanya u-conclude kuwa Dunia ni flat? Unaweza kuona only small portion ya Dunia then una-conclude Dunia yote ni flat, kwann usiseme labda ni rectangular au square?

Wewe pia hujawahi kuzunguka Dunia nzima ukafika kwenye Kingo za Dunia ukathibitisha uflat wa Dunia. Hakuna picha au video yoyote iliyowahi kupigwa either real au CGI (kama mnavyodai) ikionesha Dunia ni flat.

Kwa maelezo yako, Bado maswali yatabaki

1. Nini kimeshikilia Dunia

2. Nini kinafanya Jua na mwezi vizunguke? (Kama mnavyodai).

3. How come other planets and celestial bodies ziwe na sphere alafu ikija Kwa Dunia useme ni sahani?

4. How satellite zinaoperate kwenye flat earth conspiracy theory?

5. Moon phases na eclipses kwenye flat earth?

6. Flat earth believers mnatofautiana sana kwenye majibu yenu,

mfano: mnakataa gravity, mnasema ni bouyancy na density, lakni ww umekuja na majibu yako tena saivi maana mwanzoni ulisema ni density saivi unasema ni Kwa sabab hakuna mechanism ya kufanya vitu vipae😄😄 ilimradi tu ukwepeshe, Kwasababu ukihusisha tu bouyancy lazima uongelee gravity😄😄.
Fb = density ×gravity×volume.

download.png



7. Majibu kuhusu Dunia kuwa sphere yamejibiwa na yamenyooka zaidi kuliko majibu ya flat earth,

mtu huwezi kuja kunijibu tu eti solar eclipse inatokea Kwa sababu Kuna vitu vina-block Jua na hivyo vitu huvijui na huwezi kuelezea ni Kwa namna Gani, inachekesha sana.
Just imagine majibu kama haya unayonipa👇👇

"Eclipses hazihusishi kabisa Dunia Kwasababu Dunia ipo stationary.... Kimsingi ni kwamba tukiwa Duniani tunachokiona ni effects za objects ambazo zinaogelea kwenye anga ku intercept due to the fact that zinapita kwenye njia moja hivyo kupelekea lunar &Sun Eclipses..."

Halafu compare na haya👇👇
Screenshot_20240306-143736~2.png


5655_Solar_Eclipse_Lunar_Shadow.gif


kipi utakielewa hata kama ni wewe? Use common sense man.

Yaani watu wanatabiri occurance ya lunar eclipse wewe unatoa majibu mepesi,

Mwaka huu itatokea marekani April 8, unadhani wanabahatisha? Au ni maigizo haya?

Screenshot_20240306-143446~2.png


Na kuhusu moon phases Kwa upande wako huna maelezo yoyote, lakini embu angalia haya maelezo👇👇👇

Screenshot_20240306-150126~2.png



moon_phases.jpg


Well explained kabisa👆👆


Kuhusu gravity hiyo ipo wazi muda sana. Kuna applications nyingi tu za gravity

1. Water supply designs:
Design zote za maji zinahusisha Moja Kwa Moja gravity. Flow ya maji kutoka kwenye tank inayohusisha gravity flow sio za kubuniwa Wala kubahatisha, they works. Ili maji yafike kwenye bomba lako Kwa pressure inayotakiwa gravity lazima ihusike Wala maji hayapai.
h = density ×g.
Unadhani hizi calculations wanabahatisha?

PXL_20240306_131140087~2.jpg



PXL_20240306_131236639~2.jpg



2. Gravity exploration: ambayo inatumika kwenye madini na ground water exploration. Au unadhani hizi ni hadithi? Wakati tunazi apply Kila siku na zina work out, sio simulizi kwangu nazi apply kabisa. Labda kama wewe unaona ni filamu za isidingo

PXL_20240306_131605311~2.jpg


PXL_20240306_131709909~2.jpg


3. Trajectory motion pia inatumia gravity, you can't escape gravity kwenye calculations za projection.

Lakini pia kuhusu umbo la Dunia linadhihirishwa na uwepo wa vitu mbali mbali kama;

1. Satellites, ambazo zina-revolve around the earth. Kwako inaweza kuwa hadithi lakini kwangu Mimi naviapply na vina work out japo hapa hata wewe una apply.

PXL_20240306_132409274~2.jpg


2. Gps, ambazo hutumika katika surveying tunazitumia sana,
pia Kuna hand Gps zina work Kwa maana ya Dunia kuwa sphere na inazungukwa na satellites.
And other telecommunication tools zina tumia same principle Kwa satellite.

dgps-service-500x500-1.png



3. Design software mbali mbali, kama Google earth, sewerGems, GIS zinatumia principle za kuwa Dunia ni duara hata location data tunazoingiza Kuna latitude na longtude na eastings na northings.

Mfano tu kwenye GIS Kuna World Geodetic System 1984 au
WGS 1984 datum tunayotumia kwenye GIS kama a reference
ellipsoid
, a standard coordinate system, altitude data, and a geoid.

We unadhani hizi zote ni mbwembwe au maigizo, be serious man.

4.Energy generation: Gravity Ina contributes to renewable energy generation through hydropower, tidal power, and geothermal energy systems. Engineers hutumia gravitational forces ku-produce electricity from water, tides, na underground heat.
Au unadhani ni ngonjera hizi

dxTPr~3.jpg



Sijui ni kipi unahitaji tena, hivi vyote haviwezi kuwepo Kwa bahati mbaya tu.
 

Attachments

  • PXL_20240306_132409274~2.jpg
    PXL_20240306_132409274~2.jpg
    3 MB · Views: 5
So,.umesoma maelezo lakini hujaona ni ipi sababu inayopelekea Eclipses? Sidhani kama unasoma wewe

Narudia hapa kuiweka simple kabisa..... Eclipses zinasababishwa na objects ambazo zipo kwenye movements within the sky Ku intercept,..kitu ambacho kinapelekea mwanga wa object ambayo imepatwa kuwa blocked!

Sasa kama unataka upate majibu sawa na ulichokariri,.sina cha kukusaidia.
Jambo kama huwezi kulijibu huwa unatoa majibu mepesi sana.

Labda namimi nkuulize swali, Japo nlishajitoa kukuuliza chochote,

kwa unavyofahamu NASA wanatumia njia gani kujua muda matukio kama haya ( siku yatakapotokea ) ?
 
Jambo kama huwezi kulijibu huwa unatoa majibu mepesi sana.

Labda namimi nkuulize swali, Japo nlishajitoa kukuuliza chochote,

kwa unavyofahamu NASA wanatumia njia gani kujua muda matukio kama haya ( siku yatakapotokea ) ?
Nimemuuliza pia, ngoja tuone, tatizo lake anashindana ila hafungui ubongo wake.
 
Observation Gani ilikufanya kuona Dunia na mwezi vinazunguka kwenye realm Moja? Observation Gani ilikufanya ukaamini kinachoblock Jua ni other objects rather than moon?
Kwamba kuna sehemu nimesema kinacho block Jua ni other objects rather than moon?

Huu ni uongo sasa,..
 
Jambo kama huwezi kulijibu huwa unatoa majibu mepesi sana.

Labda namimi nkuulize swali, Japo nlishajitoa kukuuliza chochote,

kwa unavyofahamu NASA wanatumia njia gani kujua muda matukio kama haya ( siku yatakapotokea ) ?
Hilo swali nadhani ulipaswa uli adress Kwa NASA wenyewe..
Wao ndiyo wanajua ni njia gani wanatumia.


NB:- Mpaka sasa hivi ninavyoongea hakuna uthibitisho wowote usio na shaka kwamba Dunia ni Tufe 👉🏼🌍... Ni maneno tu theories Kwa wingi.

Ahsante.
 
Back
Top Bottom