Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
1. Gravity nimelijibu ✔️
2. Eclipse✔️ & moon phase ⌛(Ni kweli moon phases sina details zaidi kuhusu, even though moon phases hai support by any means the idea kwamba Dunia ni Tufe.

3. Not only Jua & Mwezi.,..Sina details zaidi ya nini kinafanya celestial bodies zizunguke...&That doesn't mean kwamba theories ndiyo zinaelezea 100% correctly on what drives the celestial bodies.
Unaona unapobanwa, unashindwa hata jitetea,,,
Sasa kama hamna Gravity tueleze basi kinachofanya vitu vianguke chini unabaki kuhaha.
Basi lete hata theory yako ya kuelezea hiko kitu,,
-hivi unajua hata maana ya Gravity mkuu..
-hivi unajua ukikataa uwepo wa Gravity unakataa hata matumizi ya kipimo cha mzani, ,yaani unakataa hata hizo Kilo ulizonazo.
-Je,unajua kuwa kuna special rooms za kuuwa gravity.

Haya kwenye kupatwa kwa jua na mwezi, unashindwa hata jibu, unabaki kuzunguka...
Weka hata reference yako.

Haya kwenye Jua na Mwezi unasema hauna details zake,,Je,utaweza elezea ya dunia.

Ukipewa references za kupitia za kusoma unakataa,
Tukikuomba wewe hauleti...
Usiende kwa hisia lete ushahidi wenu wa picha na mahesabu hapa na siyo falsafa.
 
Mbona Mimi sioni uso wa Dunia ukihama? Kwa mfano sasa hivi saa 12:10,..uso wa Dunia umeelekea wapi?

Jua na Mwezi through observation zinaonyesha kabisa zinafanya movement.... kuhusu kuzunguka kwenye realm moja scientific na religious texts kama Qur'an, Jua na Mwezi zinatajwa kuzunguka kwenye realm/orbit moja.
Tupo hizo scientific texts mkuu...
Leta hapa, siyo kunena tu.
zieleze
1.Kinacho fanya Jua na mwezi kuzungua ni nini
2.Kinacho hold Jua na mwezi kwenye hiyo mihimili nini.
3.Kiseme kasi ya mwezi na jua kuzunguka dunia ni Km ngapi kwa saa.
4.Ziseme kinachofanya Mwezi ubadilike umbo, kutoka Crescent mpaka full moon ni kipi kama vyote vyazunguka jua.
5.Vitueleze vipimo vya ukubwa wa Jua na mwezi.


Leta data mkuu.
 
So, Kwa mfano NASA wangeishia kusema Jua linakua blocked na Mwezi kwenye Solar eclipse, usingeelewa?
Kitu ambacho you can easily observe with your own eyes.

Kimsingi ni kwamba Mimi sitokupa maelezo zaidi ya hayo,.. as that's all what I know labda kama unataka nitunge uongo sasa.

Maelezo yangu yanatokana na observations nilizofanya Mimi mwenyewe....hayapo influenced na taasisi yoyote.,
Sasa mkuu,unadhani NASA ndiyo wamekuja na fact ya Dunia kuzunguka jua...?
mkuu nenda Iran,India,Korea na hata Russia ambao ndiyo kwanza kurusha Rocket angani...
Sasa wewe umeishia na eye Observation,duh, hata experiment moja haujafanya utupe data za majaribio yako. Nasi tujivunue Kuna Mtanzania kaleta kitu kipya.
So,unadhani maugunduzi yote haya ya nadharia za Mechanics,Sumaku,joto,Umeme,Kemikali,Mwanga na sauti yalifanyika kwa kuangalia...?

Ulisoma arts sekondari ama ?
So,ukijiskia utasema ukimwi hautokani na Virusi au ?
 
Njia simple.
1.Soma kuhusu "sea Tides"
2.Foucault pendulum at Pantheon, Paris (google it,tazama video zake na soma articles,halafu kisha uje...)
 
Jambo kama huwezi kulijibu huwa unatoa majibu mepesi sana.

Labda namimi nkuulize swali, Japo nlishajitoa kukuuliza chochote,

kwa unavyofahamu NASA wanatumia njia gani kujua muda matukio kama haya ( siku yatakapotokea ) ?
hateeb10
Usisahau kujibu,

Kuna maswali mengine ntakuuliza baada ya hapo nataka uje kufanya tafiti wewe mwenyewe utapata majibu kuwa Dunia ni tufe.
 
Unaona unapobanwa, unashindwa hata jitetea,,,
Sasa kama hamna Gravity tueleze basi kinachofanya vitu vianguke chini unabaki kuhaha.
Basi lete hata theory yako ya kuelezea hiko kitu,,
-hivi unajua hata maana ya Gravity mkuu..
-hivi unajua ukikataa uwepo wa Gravity unakataa hata matumizi ya kipimo cha mzani, ,yaani unakataa hata hizo Kilo ulizonazo.
-Je,unajua kuwa kuna special rooms za kuuwa gravity.

Haya kwenye kupatwa kwa jua na mwezi, unashindwa hata jibu, unabaki kuzunguka...
Weka hata reference yako.

Haya kwenye Jua na Mwezi unasema hauna details zake,,Je,utaweza elezea ya dunia.

Ukipewa references za kupitia za kusoma unakataa,
Tukikuomba wewe hauleti...
Usiende kwa hisia lete ushahidi wenu wa picha na mahesabu hapa na siyo falsafa.
Asante😄
 
Sasa mkuu,unadhani NASA ndiyo wamekuja na fact ya Dunia kuzunguka jua...?
mkuu nenda Iran,India,Korea na hata Russia ambao ndiyo kwanza kurusha Rocket angani...
Sasa wewe umeishia na eye Observation,duh, hata experiment moja haujafanya utupe data za majaribio yako. Nasi tujivunue Kuna Mtanzania kaleta kitu kipya.
So,unadhani maugunduzi yote haya ya nadharia za Mechanics,Sumaku,joto,Umeme,Kemikali,Mwanga na sauti yalifanyika kwa kuangalia...?

Ulisoma arts sekondari ama ?
So,ukijiskia utasema ukimwi hautokani na Virusi au ?

Usijali ashaanza kuelewa dawa inamuingia taratibu,

ameshakubali Dunia ni sphere ila sio perfect sphere, amekubalii uwepo wa gravity na application zake tunazitumia ila hapendi tu iitwe gravity aka suggest labda tuiite magnetism😄😄 ila effect zake ni zile zile.
 
Nashauri watu wakasome kuhusu.
1.NASA,
-Ilianzishwa mwaka gani
-Inamilikiwa na serikali gani
-Imevumbua nini so far.

2.Theory ya dunia ni tufe
-ilikuwa proposed mwaka gani?
-Nani ali propose
-Na ilikuwaje ikakubaliwa

3.Nchi gani ya kwanza
-kutuma Rocket angani,
-Kutuma Rocket angani
-Kutuma kiumbe hai na binadamu angani.

wake hapa kwenye mjadala.
Msome kwanza, ndiyo mje...
 
Usijali ashaanza kuelewa dawa inamuingia taratibu,

ameshakubali Dunia ni sphere ila sio perfect sphere, amekubalii uwepo wa gravity na application zake tunazitumia ila hapendi tu iitwe gravity aka suggest labda tuiite magnetism😄😄 ila effect zake ni zile zile.
Kwahyo magnetism inayo attract hadi non-ferous objects...🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nashauri watu wakasome kuhusu.
1.NASA,
-Ilianzishwa mwaka gani
-Inamilikiwa na serikali gani
-Imevumbua nini so far.

2.Theory ya dunia ni tufe
-ilikuwa proposed mwaka gani?
-Nani ali propose
-Na ilikuwaje ikakubaliwa

3.Nchi gani ya kwanza
-kutuma Rocket angani,
-Kutuma Rocket angani
-Kutuma kiumbe hai na binadamu angani.

wake hapa kwenye mjadala.
Msome kwanza, ndiyo mje...

Unajua nimegundua Kuna watu tunabishananao humu lakini tatizo ni kuwa hawana uelewa kuhusu Dunia.
 
ila kuna watu maandazi sana jamani,ndio madhara unafundishwa periodic table elements,wewe unaimba "hallow helena lile beberu bora chinja na ondoa figo nene"🤣🤣🤣🤣.yaani ni mwendo wa kumeza,hakuna muda wa kusoma vitu na kuvielewa.

yaani mtu anaambiwa dunia ni tufe anahoji kwanini maji ya habari hayamwagiki,kwanini wanatumia michoro ya flat earth kwenye ndege kusafiria(hapa kasahau hatuwezi kutumia picha kusafiria ni lazima ramani ambayo huwa ni flat ktk karatasi siku zote.

maswali anayouliza mtu yanakupa picha kwamba amefanikiwa kurefuka tu ila akili zake ni za mtoto wa standard one,ndiye akipata wasaa huuliza hivi kwa wazazi wake.
20240305_192602.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
So, Maji yanastick kwenye round-ball Kwa kushikiliwa na gravity?

Una uthibitisho wowote,?..ukileta real video itakua vizuri zaidi au kama ushawahi Ku observe sehemu.
video zote unasema ni 3D zimeundwa na nasa😁😁.
tukikupa picha za outer space za dunia tufe na maji yake unasema NO nataka halisi sio hizi za kuchonga.

mkuu mimi nikubembeleze tu uelewe kwamba ni rahisi sana kukufundisha,ila kukufanya uelewe ni mpaka uwe tayari kuelewa,wewe kuelewa sio jambo ambali unashida nalo.

by the way unajua glavity ni kitu gani??
 
Yes hapo kwenye mfano wa mpira juu ya maji nadhani tutaelewana zaidi..:-
Unapaswa uelewe kwamba maji ni maada na yanaweza ku act kama obstacle Kwa kitu kingine,..na ndiyo maana mpira ukiuweka juu ya maji utaelea instead of kwenda chini kabisa ya bahari kwenye ardhi kwa kuwa tayari maji yame act kama obstacle kwa mpira,.lakini pia Mpira ni less dense kuliko maji hivyo utaelea juu ya maji.

Ukiuweka kwenye air above the ground,.. mpira utadondoka Kwa kuwa upo more dense than air(yaani ni mzito kuliko hewa) hivyo hewa haiwezi Ku act kama obstacle kwa mpira,.. kitu ambacho kitapelekea mpira kudondoka mpaka pale utakapokutana na kizuizi ambacho ni dense than it,. which is earth's ground!
vyema,naona juhudi za waalimu zinazaa matunda.

hii ni topic ya Matter kule form 2 mkuu.hii uliielewa vyema kabisa ila mwalimu akiwa anaendelea mbele ukaacha shule rasmi.
 
ila kuna watu maandazi sana jamani,ndio madhara unafundishwa periodic table elements,wewe unaimba "hallow helena lile beberu bora chinja na ondoa figo nene"🤣🤣🤣🤣.yaani ni mwendo wa kumeza,hakuna muda wa kusoma vitu na kuvielewa.

yaani mtu anaambiwa dunia ni tufe anahoji kwanini maji ya habari hayamwagiki,kwanini wanatumia michoro ya flat earth kwenye ndege kusafiria(hapa kasahau hatuwezi kutumia picha kusafiria ni lazima ramani ambayo huwa ni flat ktk karatasi siku zote.

maswali anayouliza mtu yanakupa picha kwamba amefanikiwa kurefuka tu ila akili zake ni za mtoto wa standard one,ndiye akipata wasaa huuliza hivi kwa wazazi wake.View attachment 2927229
Wewe hata kuandika Kwa usahihi "GRAVITY " hujui,.kisha upo hapa unaongea Kwa ujasiri kabisa..

You are too low for this generational debate!
 
video zote unasema ni 3D zimeundwa na nasa😁😁.
tukikupa picha za outer space za dunia tufe na maji yake unasema NO nataka halisi sio hizi za kuchonga.

mkuu mimi nikubembeleze tu uelewe kwamba ni rahisi sana kukufundisha,ila kukufanya uelewe ni mpaka uwe tayari kuelewa,wewe kuelewa sio jambo ambali unashida nalo.

by the way unajua glavity ni kitu gani??
Glavity Kwa kweli sijui ni kitu gani,...

ila gravity naweza nikaelezea kiasi kuihusu.
 
Wewe hata kuandika Kwa usahihi "GRAVITY " hujui,.kisha upo hapa unaongea Kwa ujasiri kabisa..

You are too low for this generational debate!
wala hamna tatizo,shule ilifaa uielewe gravity maana yake na sio kuishia kushika spelling zake pekee😁😁😁.

kwa sababu hata china ina jina jingine,so muhimu ilikuwa kuelewa kwanza kinachozungumziwa,namna ya kuandika sio ishu.

hakuna debate hapa zaidi ya kumfundisha mtu mzima vitu vya darasa la 2.
 
Safi Sasa unakuja nilipokuwa nataka, nimeshakutoa huko kwenye mechanism ya kupaa Sasa upo kwenye density. Safi😁.

Sasa ipo hivi ni kweli less denser than air lazima kipande juu, higher denser kitashuka chini.
Unajua kwann higher denser kitashuka chini na less denser kitapanda juu and not otherwise?

Ipo hivi, Kuna forces mbili zinakuwa zinaact kwenye huo mpira, bouyancy force na gravity kama hapa chini.
View attachment 2926682

Lakini kumbuka formula ya bouyancy force ni
Fb = density x gravity x volume.
Umeona gravity Bado ipo.

Kwahy Ili mpira uelewe either kwenye air au maji ni lazima bouyancy force iwe Kubwa zaidi ya gravity. Na ndivyo helium balloons zinafanya kazi.
Nitarudi kuhusu hii,..ila Kwa ufupi kabisa kwenye hiyo scenario gravity haihusiki....

Unahisi kwanini nimeelezea na ina make sense bila kuhusisha gravity ndani yake?
 
Back
Top Bottom