Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Gravity inahold vitu vizito kwenye uso wa dunia.Ukishasema maji yanashikiliwa na gravity,... Huna haja tena ya kusema maji ni mazito kuliko hewa.
Au unasema ili iweje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gravity inahold vitu vizito kwenye uso wa dunia.Ukishasema maji yanashikiliwa na gravity,... Huna haja tena ya kusema maji ni mazito kuliko hewa.
Au unasema ili iweje?
Unauhakika sifanyi application ya gravity?Wewe haufanyi application ya gravity ,..
Mtaalamu anthony_art akipambana kuonyesha jinsi gravity inavyofanya kazi 👇🏼HahhNdio maana nasema unashindana ww,
Kinachokuuma ni gravity kuwa overrated? Kwani gravity sio natural phenomenon?
Yaan wewe umeshaelewa ila unakaza fuvu tu hapa😄. Maana umeshaanza kukiri vitu ulivyokuwa unakataa.
Umehamia kwenye meme😄😄Mtaalamu anthony_art akipambana kuonyesha jinsi gravity inavyofanya kazi 👇🏼Hahh
View attachment 2927874
Yes, sahihi..gravity is invisible and non-existing force...Yees😄😄.
Gravity is an invisible force.😄😄
Invisible maana yake ni unable to be seen
Kwahy mpka hapo umekiri gravity ni force ila ni invisible which is ok everyone knows that na all other forces can never be seen.
Okay tuanze😄😄Mtaalamu anthony_art akipambana kuonyesha jinsi gravity inavyofanya kazi 👇🏼Hahh
View attachment 2927874
Kwahiyo kinachoshikilia maji ni hewa au gravity?Gravity inahold vitu vizito kwenye uso wa dunia.
OkKwahiyo kinachoshikilia maji ni hewa au gravity?
Concern yangu ni kwamba ukishasema Maji ni mazito kuliko hewa ndiyo maana yanamwagika... hutakiwi tena kusema kwamba gravity ndiyo inasababisha maji yamwagike.
😄😄😄 Mbona unajichanganya wewe?Yes, sahihi..gravity is invisible and non-existing force...
Hii ni katuni,...ila Ile ya kupambana kuonyesha gravity inavyofanya kazi ndiyo kitu ambacho hasa mnakifanya.Okay tuanze😄😄View attachment 2927883
Hii ni katuni,...ila Ile ya kupambana kuonyesha gravity inavyofanya kazi ndiyo kitu ambacho hasa mnakifanya.
Yani unaamini Kwa bahati mbaya ,.ukiangusha funguo yako chini...eti gravity ndiyo imesababisha🙌🏼
Mwenzako kashaelimika,.kaamua atulie,.wewe ndiyo hutaki kuamini kama gravity unaihusisha sehemu ambazo haipo kabisa.Unahangaika Bure tu huyu ameshakubali
Ni kama demu umemtongoza amekubalii ila hataki kusema nimekubali vitendo anaonesha ushirikiano.
Mwenzako kashaelimika,.kaamue atulie,.wewe ndiyo hutaki kuamini kama gravity unaihusisha sehemu ambazo haipo kabisa.
Natural laws kufanya kazi sio lazima uziundie formula zako.Basi situmii tena neno gravity maana sijui lilikufanya nn?😄
Basi ni bouyant force na density😄.
Naomba formula ya bouyant force 😄😄😄
TshMwenzangu nani?
Chosen Rich njoo huku amekubalii😄😄.Yees😄😄.
Gravity is an invisible force.😄😄
Invisible maana yake ni unable to be seen
Kwahy mpka hapo umekiri gravity ni force ila ni invisible which is ok everyone knows that na all other forces can never be seen.
HahahaUnahangaika Bure tu huyu ameshakubali
Ni kama demu umemtongoza amekubalii ila hataki kusema nimekubali vitendo anaonesha ushirikiano.
Natural laws kufanya kazi sio lazima uziundie formula zako.
Na ndiyo maana zenyewe zimeanza kufanya kazi hata kabla ya hizo formula.
Si amekuacha tu na kiburi chako😄.