Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Sawa,.kwenye mfano wa 2:-
1. Ume ignore force iliyotumika kuupiga huo mpira kwenda juu...Kwasababu ukubwa wa force iliyotumika kuupiga huo mpira kwenda juu,.uta determine how far the ball will go.

2. Automatically, kadri force iliyotumika kuupiga mpira kwenda juu inavyopungua na kuisha... itafanya mpira kushindwa kuendelea kwenda juu.

3. Then,. Kwa kuwa Ile force imeisha,..mpira Kwa kuwa ni denser than air utashindwa kuelea kwenye hewa hivyo utashuka chini,...na sio kwamba gravity ndiyo inaufanya mpira huo urudi chini.

Hivi unajua Newton's first law of motion inasemaje?
 
Sawa,.kwenye mfano wa 2:-
1. Ume ignore force iliyotumika kuupiga huo mpira kwenda juu...Kwasababu ukubwa wa force iliyotumika kuupiga huo mpira kwenda juu,.uta determine how far the ball will go.
Nahisi hujui newton's first law of motion
 
Sawa,.kwenye mfano wa 2:-
1. Ume ignore force iliyotumika kuupiga huo mpira kwenda juu...Kwasababu ukubwa wa force iliyotumika kuupiga huo mpira kwenda juu,.uta determine how far the ball will go.

2. Automatically, kadri force iliyotumika kuupiga mpira kwenda juu inavyopungua na kuisha... itafanya mpira kushindwa kuendelea kwenda juu.

3. Then,. Kwa kuwa Ile force imeisha,..mpira Kwa kuwa ni denser than air utashindwa kuelea kwenye hewa hivyo utashuka chini,...na sio kwamba gravity ndiyo inaufanya mpira huo urudi chini.
Force inaisha vipi?
 
Hivi unajua Newton's first law of motion inasemaje?
Yes naifahamu,...lakini kuna millions ways za kuelezea scenario 1,. kwanini wewe unaamini ya Newton ndiyo sahihi zaidi?

Newton yeye alitoa idea yake,... hiyo haizuii mtu mwingine kutoa idea yake on how natural laws zinafanya kazi....

Tatizo linaanzia pale unapo assume kwamba nadharia za Newton ni sahihi completely,. hivyo unashindwa kufikiria njia nyingine ambazo zinaweza kuleta fikra mpya na innovations kwenye uanda wa Sayansi.
 
Yes naifahamu,...lakini kuna millions ways za kuelezea scenario 1,. kwanini wewe unaamini ya Newton ndiyo sahihi zaidi?

Newton yeye alitoa idea yake,... hiyo haizuii mtu mwingine kutoa idea yake on how natural laws zinafanya kazi....

Tatizo linaanzia pale unapo assume kwamba nadharia za Newton ni sahihi completely,. hivyo unashindwa kufikiria njia nyingine ambazo zinaweza kuleta fikra mpya na innovations kwenye uanda wa Sayansi.

Kumbuka hiyo ni law,
Sasa zielezee hizo millions ways

Wewe umefikria nini? Au elezea observation yoyote ambayo inaipinga hii law.
 
Force inaisha vipi?
Force inaisha Kwa effect yake kupungua kwenye object ambayo imekua acted upon.

Kwa mfano chukulia hivi:-
1. Mtu wa Kwanza karusha jiwe limeenda kutua baada ya meter 20.5

2. Mtu wa pili karusha jiwe,.limeenda kutua baada ya meter 19.2

Hapo kwenye hizo scenario,.. force zilizotumika ni tofauti na ndiyo maana effect ya force hizo kuisha ni kwamba:-
1. force kubwa, imefanya jiwe kwenda umbali mrefu kabla ya effect ya force kuisha.

2. Force ndogo, imefanya jiwe kwenda umbali mfupi kabla ya effect ya force iliyotumika kuisha,..compared na hiyo ya kwanza.

Nadhani nimeiweka sawa.
 
Force inaisha Kwa effect yake kupungua kwenye object ambayo imekua acted upon.

Kwa mfano chukulia hivi:-
1. Mtu wa Kwanza karusha jiwe limeenda kutua baada ya meter 20.5

2. Mtu wa pili karusha jiwe,.limeenda kutua baada ya meter 19.2

Hapo kwenye hizo scenario,.. force zilizotumika ni tofauti na ndiyo maana effect ya force hizo kuisha ni kwamba:-
1. force kubwa, imefanya jiwe kwenda umbali mrefu kabla ya effect ya force kuisha.

2. Force ndogo, imefanya jiwe kwenda umbali mfupi kabla ya effect ya force iliyotumika kuisha,..compared na hiyo ya kwanza.

Nadhani nimeiweka sawa.

Yes umejaribu, lakni Bado unaacha maswali ni nini kinafanya force ipungue?

Kwa mfano nilikupa mfano nikipiga mpira horizontally uta accerates lakin utaenda ukipungua Kasi as time goes Kwa sabab ya friction force mpaka utasimama.
Wakat ukirusha mpira juu utaenda ukipungua Kasi mpaka utafikia point utaanza kurudi chini,
Sasa kwann usisimame hapo hapo badala yake unarudi chini?

Sasa Kwa scenerio yako ni nn kinafanya force ipungue?

Na kwenye mfano mwingne nilikuambia ukichukuwa mpira ukauweka hauta accelerates Kwa sabab hakuna force iliyokuwa acted kwake,
Lakin ukiweka object in air ita fall ni nn kumedrive iyo object I accelerate?
 
Kumbuka hiyo ni law,
Sasa zielezee hizo millions ways

Wewe umefikria nini? Au elezea observation yoyote ambayo inaipinga hii law.
Yes,.ni law aliyo suggest Newton....

Haizuii watu kuja na laws zao nyingine.

NB: Science is evolving.
 
Yes,.ni law aliyo suggest Newton....

Haizuii watu kuja na laws zao nyingine.
Na ndo nimeitumia Kwa sabab ni accepted na Ina uhalisia sio kwamba alitunga maneno Bali ni observations.

Kwahy kama ww unaamini sio ya kweli sema ni wapi sio kweli.
 
Wakat ukirusha mpira juu utaenda ukipungua Kasi mpaka utafikia point utaanza kurudi chini,
Sasa kwann usisimame hapo hapo badala yake unarudi chini?

Sasa Kwa scenerio yako ni nn kinafanya force ipungue?
Mpira hauwezi kusimama hapo hapo kutokana na sababu tofauti tofauti nyingine nishazitaja hapa,.....

Umeuliza kwenye scenario niliyoweka nini kinafanya force ipungue,.ungesoma Kwa makini maelezo niliyoweka ungeelewa...ila Kwa maelezo zaidi as to why force inapungua jaribu kupitia tena hapa 👇🏼..Naamini itakuondolea shaka yote.

Air Resistance: As an object moves through the air, air resistance acts in the opposite direction of its motion, slowing it down. This resistance increases with the speed of the object and the surface area in contact with the air, reducing the force over time.

other factors such as the elasticity of the materials involved, the angle of impact, and the distance over which the force is applied can also affect how quickly a force diminishes when hitting something.
 
Nimekuuliza swali hili mara kibao lakn hujawah kulijibu,
Ni nini kinafanya hiyo denser object Imove downward and not other wise?

Kumbuka object kabla haijadrop kulikuwa na direction nne; kulia, kushoto, juu na chini. Na direction zote hizo Kuna hiyo air tena air iliyotop ya hiyo object ni less zaidi ya iliyochini ya hiyo object kwann isiende juu?.
hateeb10
 
Nimekuuliza swali hili mara kibao lakn hujawah kulijibu,
Ni nini kinafanya hiyo denser object Imove downward and not other wise?

Kumbuka object kabla haijadrop kulikuwa na direction nne; kulia, kushoto, juu na chini. Na direction zote hizo Kuna hiyo air tena air iliyotop ya hiyo object ni less zaidi ya iliyochini ya hiyo object kwann isiende juu?.


Kwanini objects zina move downward and not up, right or left......jibu ni kwamba air resistance ina act in the opposite direction of its motion.👇🏼

Air Resistance: As an object moves through the air, air resistance acts in the opposite direction of its motion, slowing it down. This resistance increases with the speed of the object and the surface area in contact with the air, reducing the force over time.
 
Mpira hauwezi kusimama hapo hapo kutokana na sababu tofauti tofauti nyingine nishazitaja hapa,.....

Umeuliza kwenye scenario niliyoweka nini kinafanya force ipungue,.ungesoma Kwa makini maelezo niliyoweka ungeelewa...ila Kwa maelezo zaidi as to why force inapungua jaribu kupitia tena hapa 👇🏼..Naamini itakuondolea shaka yote.

Air Resistance: As an object moves through the air, air resistance acts in the opposite direction of its motion, slowing it down. This resistance increases with the speed of the object and the surface area in contact with the air, reducing the force over time.

other factors such as the elasticity of the materials involved, the angle of impact, and the distance over which the force is applied can also affect how quickly a force diminishes when hitting something.
Well, after all those factors mpk force ikaisha, we expect object istope, but ghafla inaanza tena kushuka chini, nini sababu.
 
Well, after all those factors mpk force ikaisha, we expect object istope, but ghafla inaanza tena kushuka chini, nini sababu.
Inashuka chini kwasababu "air resistance acts in the opposite direction of its motion,"
 
Kwanini objects zina move downward and not up, right or left......jibu ni kwamba air resistance ina act in the opposite direction of its motion.👇🏼

Air Resistance: As an object moves through the air, air resistance acts in the opposite direction of its motion, slowing it down. This resistance increases with the speed of the object and the surface area in contact with the air, reducing the force over time.
Hujanielewa, umesema density ndo inafanya kitu chenye density Kubwa kishuke chini, Sasa sabab ni nn?

Kama upo sawa, Kwa maelezo yako unamaanisha air resistance ndo inafanya vitu vifall?
 
Back
Top Bottom