Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hivi umeyaelewa hayo maelezo yako hapo juu?

Kwamba :-
1. Equator ina receive the same amount of sun,.. Kwasababu haiwi exposed kwenye Jua.

2. But it only receive direct sun.


Ulipanga uandike hivyo? Au ni error? Kama haiwi exposed kwenye inapokeaje Sun direct sasa?
Wewe ndo huelewi,
Embu angalia hii demo alafu nambie hujaelewa nn?

seasons.en.jpg
 
Sasa hapo hukuelewa nn? Si nimekupa sababu? Seasons of the year nimezielezea kupitia Dunia kuwa Duara na inazunguka Jua. Hujaelewa nn?
Change of seasons haitakiwi kutumiwa kama uthibitisho wa Dunia Tufe linalozunguka,... Kwasababu kuna seasons milele na milele hazipatikani kwenye baadhi ya kanda...

Ingekua seasons zinabadilika Dunia nzima atleast ingeingia akilini kuhusisha change of seasons na kuzunguka Kwa Dunia.

Kwa kuhitimisha,.. kwenye dunia inayozunguka constantly hukutakiwi kuwa na sehemu yoyote inayo experience Jua ndani ya kipindi cha saa24.
 
Hivi ni kwamba umesahau au?
Nilisema vitu vina fall down kutokana na combinations of factors,..nikataja.
a.Air resistance
b. Density ( ambapo hapa unahusisha uzito wa kitu,..& that's why vitu viwili venye uzito tofauti vikirushwa juu Kwa wakati mmoja...kile chenye uzito mkubwa Kita drop haraka zaidi na vice versa.
Air resistance pia ulichemsha,
Unasema mpira ukiwa unafall ni sababu unasukumwa na air resistance,

😁😁 Yaan opposing force, nilikupa mfano wa brake za gari au friction force je zinaweza kufanya kitu au gari imove nyuma?
 
Change of seasons haitakiwi kutumiwa kama uthibitisho wa Dunia Tufe linalozunguka,... Kwasababu kuna seasons milele na milele hazipatikani kwenye baadhi ya kanda...

Ingekua seasons zinabadilika Dunia nzima atleast ingeingia akilini kuhusisha change of seasons na kuzunguka Kwa Dunia.


Kwa kuhitimisha,.. kwenye dunia inayozunguka constantly hukutakiwi kuwa na sehemu yoyote inayo experience Jua ndani ya kipindi cha saa24.
Nimekuuliza kwenye maelezo hukuelewa nn? Maana nakupa majibu ww umengangana tu
 
Air resistance pia ulichemsha,
Unasema mpira ukiwa unafall ni sababu unasukumwa na air resistance,

😁😁 Yaan opposing force, nilikupa mfano wa brake za gari au friction force je zinaweza kufanya kitu au gari imove nyuma?
Wewe ndiyo unachemsha kama hujui,..Air resistance ni tofauti kabisa na breki za Gari...Air resistance ipo capable kusukuma objects vizuri tu...

Sasa unapobisha kwamba Air resistance haina uwezo wa kufanya object imove unachekesha,.... objects zinavyosukumwa na hewa hata Kwa macho tu unaweza Ku observe,.sasa sijui nikusaidie vipi hapa uelewe.
 
Wewe ndiyo unachemsha kama hujui,..Air resistance ni tofauti kabisa na breki za Gari...Air resistance ipo capable kusukuma objects vizuri tu...

Sasa unapobisha kwamba Air resistance haina uwezo wa kufanya object imove unachekesha,.... objects zinavyosukumwa na hewa hata Kwa macho tu unaweza Ku observe,.sasa sijui nikusaidie vipi hapa uelewe.
Hiyo ni air movement, air resistance inaresist motion ya object in opposite direction,
 
Hiyo ni air movement, air resistance inaresist motion ya object in opposite direction,
Sasa hujui kama hewa constantly inafanya movement kwenye anga?

Kiasi ambacho object yoyote ikitaka Ku move towards anga lazima ikutane na movement ya hewa?

Dah Tatizo Una kariri...elewa Kwanza.
 
Lakini kwenye equator always ita receive the same amount of sun Kwa sababu haiwi exposed kwenye Jua but it only receive direct sun.

Kwamba nchi zilizopo karibu na Equator zina receive direct sun....how zina receive direct sun at the same time milele na milele constantly nchi hizo zina experience day & night?
 
Kwahyo kuuliza kwanini mali haymwagiki ww unaona swali la kijinga??
Swali makini kabisa.shida ni kukataa jibu Kwa logic za kibishi tu.

Fikiria mtu huyu anadhani gravity imeletwa na binaadam kumbe binaadam ameipa jina tu,ipo Toka kuumbwa Kwa Dunia.

Hata hao wataalam walikuwa na mitizamo kama hiyo kabla hawajatafiti,ni muumba ndiye aliweka mambo kama ambavyo watu wanayaelezea hapa,sio swala la hisia.
 
Swali makini kabisa.shida ni kukataa jibu Kwa logic za kibishi tu.

Fikiria mtu huyu anadhani gravity imeletwa na binaadam kumbe binaadam ameipa jina tu,ipo Toka kuumbwa Kwa Dunia.

Hata hao wataalam walikuwa na mitizamo kama hiyo kabla hawajatafiti,ni muumba ndiye aliweka mambo kama ambavyo watu wanayaelezea hapa,sio swala la hisia.
Sawa kwanini maji hayamwagiki kwenye dunia Tufe linalozunguka 👉🏼🌍?
 
Kwamba nchi zilizopo karibu na Equator zina receive direct sun....how zina receive direct sun at the same time milele na milele constantly nchi hizo zina experience day & night?
We jamaa ni unaubishi wa kishamba sana.😂😂😂
 
Back
Top Bottom