Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
You are a fool if you believe the earth is flat
Sure thing,..I am a fool if I believe the earth is an imaginary impossi-ball which Is moving for for about 108,000 kilometers per hour..... Even though I don't feel the motion, and there's no single way for me to know if Earth is spinning, I only feel its stationary state.

How much of a fool am I 🙌🏼
 
Maji hayashuki yabaridi,yanashuka yakiwa na joto la mazingira ya kawaida.
Joto la mazingira ya kawaida? Mazingira gani hayo? kumbuka sometimes mvua Inashuka Hadi ya barafu...sasa unasemaje hayashuki yakiwa baridi?
 
Unalimodify ili ukaligoogle vizuri eti eee😀😃
Ndiyo akili yako ilipoishia hapo....mtu yoyote anaeamini tofauti na Jamii inavyoamini hawezi akategemea Google kama source ya majibu yake maana Google kumejaa theories za round ball, evolution, gravity na kadhalika sasa Mtu utawezaje kutumia Google as a source wakati ina contradict unachokiona na kukuamini? Si utakua mjinga sasa
 
Kwa mda huo sehemu nyingine inakuwa na jua lipi kama lime stuck kwa mda huo mrefu?
Sio sahihi kusema Jua lime stuck sehemu moja as it's constantly moving...Bali kinachotokea ni kwamba ndani ya miezi hiyo ambayo midnight sun inatokea,..Jua linakua linazunguka kwenye path inayofanya Jua always liwe lina face(kutazamana) na baadhi ya maeneo kitu ambacho kinafanya maeneo hayo ku experience mwanga wa Jua mpaka nyakati za usiku...so this mysterious scenario inasababishwa na movement ya Jua kwenye path yake.


Kwa kuongezea kutokana na movement ya Jua hata Tanzania hapa kuna kipindi usiku ulikua unawahi kuingia mfano saa 12:20 jioni unakuta Giza tayari.....lakini Kwa kipindi cha hapa karibuni unakuta mpaka saa 1 bado Mwanga wa Jua upo(yaani usiku haujaingia vizuri) so ni mwendo wa Jua ndiyo unasababisha variations of day & night times considering kwamba Dunia ipo stationary & plane!
 
Sio sahihi kusema Jua lime stuck sehemu moja as it's constantly moving...Bali kinachotokea ni kwamba ndani ya miezi hiyo ambayo midnight sun inatokea,..Jua linakua linazunguka kwenye path inayofanya Jua always liwe lina face(kutazamana) na baadhi ya maeneo kitu ambacho kinafanya maeneo hayo ku experience mwanga wa Jua mpaka nyakati za usiku...so this mysterious scenario inasababishwa na movement ya Jua kwenye path yake.


Kwa kuongezea kutokana na movement ya Jua hata Tanzania hapa kuna kipindi usiku ulikua unawahi kuingia mfano saa 12:20 jioni unakuta Giza tayari.....lakini Kwa kipindi cha hapa karibuni unakuta mpaka saa 1 bado Mwanga wa Jua upo(yaani usiku haujaingia vizuri) so ni mwendo wa Jua ndiyo unasababisha variations of day & night times considering kwamba Dunia ipo stationary & plane!
Lakini ni wewe ulisema hamjui hata namna jua linavyofanya mizunguko yake,


Wewe hizi information unazotoa hapa zinakuja how ? Unaweza kuelezea ?
 
Aisee. Haya tupe majibu.
Sawa,...kwanza kimsingi swali lako lina makosa kidogo logically kwasababu umesema kwanini Jua haliyakaushi maji ya mvua.... Kimsingi ni kwamba Maji yakikutana na joto Kali yatayeyuka(melting) na sio kukauka kama ulivyosema.

So,.Kwa kuwa obviously Joto la Jua lina athiri zaidi layer ya Juu ya mawingu basi maji ambayo yapo layer ya juu ya mawingu yata yeyuka haraka compared na maji yaliyo chini ya layer ya mawingu na kufanya maji kuwa mazito kwenye mawingu na ukizingatia maji hayo yashakua kwenye Hali ya unyevu nyevu(precipitation state)., basi ndiyo utaona maji yakishuka ardhini kama mvua(rainfall )au vibarafu vidogo(snow).


DONDOO:- Kwanini huwa tunasema mvua Inashuka chini(rainfall)...then sometimes tunasema kwenye space hakuna juu wala chini......huu ni uthibitisho mwingine kuwa juu(sky) na chini (ardhini) ni vitu real kabisa kama tuonavyo kwenye ardhi yetu tambarare.
 
Sio sahihi kusema Jua lime stuck sehemu moja as it's constantly moving...Bali kinachotokea ni kwamba ndani ya miezi hiyo ambayo midnight sun inatokea,..Jua linakua linazunguka kwenye path inayofanya Jua always liwe lina face(kutazamana) na baadhi ya maeneo kitu ambacho kinafanya maeneo hayo ku experience mwanga wa Jua mpaka nyakati za usiku...so this mysterious scenario inasababishwa na movement ya Jua kwenye path yake.


Kwa kuongezea kutokana na movement ya Jua hata Tanzania hapa kuna kipindi usiku ulikua unawahi kuingia mfano saa 12:20 jioni unakuta Giza tayari.....lakini Kwa kipindi cha hapa karibuni unakuta mpaka saa 1 bado Mwanga wa Jua upo(yaani usiku haujaingia vizuri) so ni mwendo wa Jua ndiyo unasababisha variations of day & night times considering kwamba Dunia ipo stationary & plane!

“Jua ni dogo na haliwezi kumulika kila sehemu ya uso wa dunia” nime quote sentensi yako ya nyuma..

mwanzo ulinikubalia kuwa jua lina stuck sehemu moja kwa muda kidogo (ulidhani ni muda mfupi). Baada ya kwenda kuangalia sehemu ukakuta ni muda mrefu jua linaangaza sehemu ya uso wa dunia then unakuja kubadilisha maelezo ya mwanzo tena kwa kutumia maelezo yaliyopo based on ellipsoidal earth, kwa kureplace dunia na kuweka jua linazunguka kwenye path/ muhimili unao sababisha jua kuangaza sehemu ya uso wa dunia na baadhi ya eneo (baadhi ya maeneo au illumination inakuwepo sehemu kubwa ya dunia kuondoa places ambazo ziko furthest away from the sun?)..

kwa ufupi unaungaunga maelezo kutoka source tofauti tofauti bila kuwa na awareness/experience na logic juu ya mambo halisi yanayotokea duniani mf. Kwanini Marekani hasa ya kaskazini na canada, Europe, nk. seasons zina fluctuate sana.. majira ya joto, baridi na between seasons. Kwann hapa tanzania season hazi fluctuate kama nchi nilizotaja.

Effects za seasons kwenye utofauti wa mchana mrefu kuliko usiku na vice versa.. nini kinasababisha kupwa na kujaa kwa maji, phenomenon kama midnight sun au polar nights, navigation systems (oceanic na hewani) kwanini wanatumia units kama nautical mile na sio mile pekee nk.. according to your hypothesis not theory kila nilichoandika hapo juu ni mysterious..

Kitu cha mwisho majibu yako yanaonesha uko incompetent kwenye uwanda wa science. Na pia hauko open minded au unataka ku challenge. Sioni haja ya kuendelea dialogue hii.
 
“Jua ni dogo na haliwezi kumulika kila sehemu ya uso wa dunia” nime quote sentensi yako ya nyuma..
Ndiyo Jua haliwezi kumulika Dunia nzima at once,...au na hili pia unataka ubishe?
mwanzo ulinikubalia kuwa jua lina stuck sehemu moja kwa muda kidogo (ulidhani ni muda mfupi). Baada ya kwenda kuangalia sehemu ukakuta ni muda mrefu jua linaangaza sehemu ya uso wa dunia then unakuja kubadilisha maelezo ya mwanzo tena kwa kutumia maelezo yaliyopo based on ellipsoidal earth, kwa kureplace dunia na kuweka jua linazunguka kwenye path/ muhimili unao sababisha jua kuangaza sehemu ya uso wa dunia na baadhi ya eneo (baadhi ya maeneo au illumination inakuwepo sehemu kubwa ya dunia kuondoa places ambazo ziko furthest away from the sun?)..

Eti baada ya kwenda kuangalia sehemu daah we Jamaa bhana....kwamba nimereplace Dunia Kwa kuweka Jua? So wewe unaamini Jua lipo stationary? Dunia ndiyo ipo stationary kama unavyoiona.
(i) Lini umeiona Dunia iki move?
(ii) Lini ulihisi Dunia ina move?
(iii) Lini umepima ukagundua Dunia ina move?
(iv) Ulitumia kipimo gani?


Utakuta hakuna hata kimoja Kati ya hivyo hapo juu umefanya,..Then unashangaa watu kuhoji?

Kitu cha mwisho majibu yako yanaonesha uko incompetent kwenye uwanda wa science. Na pia hauko open minded au unataka ku challenge. Sioni haja ya kuendelea dialogue hii.
Wewe unaesema upo competent kwenye science ukiombwa ulete ushahidi wa kwamba Dunia inazunguka utaweza? au umeamua tu kuamini blindly? ....sio kama watu wanataka tu Ku challenge bali kila kitu kinachokua challenged kinapaswa kuwa challenged kutokana na ukweli kwamba still hakuna ushahidi ambao utazuia moja kwa moja watu kuhoji kitu au nadharia hiyo.

NB:- Mimi nipo open minded,..ukitaka uthibitishe hili lete ushahidi wa dunia tufe linalozunguka then nitabadili mtazamo wangu,... ukileta maneno utaonyesha wazi kwamba huna uthibitisho kitu ambacho kitafanya usistahili kuaminika 🤝🏼
 
Ndiyo Jua haliwezi kumulika Dunia nzima at once,...au na hili pia unataka ubishe?


Eti baada ya kwenda kuangalia sehemu daah we Jamaa bhana....kwamba nimereplace Dunia Kwa kuweka Jua? So wewe unaamini Jua lipo stationary? Dunia ndiyo ipo stationary kama unavyoiona.
(i) Lini umeiona Dunia iki move?
(ii) Lini ulihisi Dunia ina move?
(iii) Lini umepima ukagundua Dunia ina move?
(iv) Ulitumia kipimo gani?


Utakuta hakuna hata kimoja Kati ya hivyo hapo juu umefanya,..Then unashangaa watu kuhoji?


Wewe unaesema upo competent kwenye science ukiombwa ulete ushahidi wa kwamba Dunia inazunguka utaweza? au umeamua tu kuamini blindly? ....sio kama watu wanataka tu Ku challenge bali kila kitu kinachokua challenged kinapaswa kuwa challenged kutokana na ukweli kwamba still hakuna ushahidi ambao utazuia moja kwa moja watu kuhoji kitu au nadharia hiyo.

NB:- Mimi nipo open minded,..ukitaka uthibitishe hili lete ushahidi wa dunia tufe linalozunguka then nitabadili mtazamo wangu,... ukileta maneno utaonyesha wazi kwamba huna uthibitisho kitu ambacho kitafanya usistahili kuaminika 🤝🏼

Mbona ushahidi unautumia kujibu hoja za watu humu ndani kwa kuupinduapindua kulazima hypothesis zisizokuwa na majibu ya maswali unayoulizwa? Usikazane kuwa objective while we’re asking very deep and specific questions ambazo ungeelezea moja baada ya nyingine kwa kuzingatia hypothesis unayoikazania.. wewe umekazana na lete ushahidi lete ushahidi.. so childish. Loging off
 
Mbona ushahidi unautumia kujibu hoja za watu humu ndani kwa kuupinduapindua kulazima hypothesis zisizokuwa na majibu ya maswali unayoulizwa? Usikazane kuwa objective while we’re asking very deep and specific questions ambazo ungeelezea moja baada ya nyingine kwa kuzingatia hypothesis unayoikazania.. wewe umekazana na lete ushahidi lete ushahidi.. so childish. Loging off
Ukiwa una log off,. tukubaliane kwamba kuna vitu umeviamini licha ya kuwa huna ushahidi navyo...Kwa mfano nimekuuliza hapo kwamba kipi kimepelekea uamini Dunia inazunguka.,naona hujajibu ukaanza kunituhumu mimi tena.

Lakini pia tukubaliane kwamba sababu kubwa ya kuhoji narratives za aina hiyo ni kwasababu kuna loopholes zinazopelekea watu kuhoji,..mojawapo ni kukosekana Kwa uthibitisho usio na shaka kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka 👉🏼🌍.
 
hateeb10 Pia dunia sio tufe (sphere) badilisha tabia ya kukopi kila kitu.. tufe is a sphere while duara is a circle..
Nimecopy nini sasa mkuu,? Kwani hili sio tufe 👉🏼🌍

Kisha unaposema Dunia sio tufe(sphere) unazidi kujichanganya maana nadharia iliyopo ni kwamba Dunia ni sphere (Tufe) sasa wewe hiyo ya duara (Circle) umeitolea wapi?
 
Screenshot_20240323-053613.png


Chosen Rich Tsh ulijuaje kama Dunia inazunguka mtaalamu ....
 
Ndiyo Jua haliwezi kumulika Dunia nzima at once,...au na hili pia unataka ubishe?


Eti baada ya kwenda kuangalia sehemu daah we Jamaa bhana....kwamba nimereplace Dunia Kwa kuweka Jua? So wewe unaamini Jua lipo stationary? Dunia ndiyo ipo stationary kama unavyoiona.
(i) Lini umeiona Dunia iki move?
(ii) Lini ulihisi Dunia ina move?
(iii) Lini umepima ukagundua Dunia ina move?
(iv) Ulitumia kipimo gani?


Utakuta hakuna hata kimoja Kati ya hivyo hapo juu umefanya,..Then unashangaa watu kuhoji?


Wewe unaesema upo competent kwenye science ukiombwa ulete ushahidi wa kwamba Dunia inazunguka utaweza? au umeamua tu kuamini blindly? ....sio kama watu wanataka tu Ku challenge bali kila kitu kinachokua challenged kinapaswa kuwa challenged kutokana na ukweli kwamba still hakuna ushahidi ambao utazuia moja kwa moja watu kuhoji kitu au nadharia hiyo.

NB:- Mimi nipo open minded,..ukitaka uthibitishe hili lete ushahidi wa dunia tufe linalozunguka then nitabadili mtazamo wangu,... ukileta maneno utaonyesha wazi kwamba huna uthibitisho kitu ambacho kitafanya usistahili kuaminika [emoji1755]
Wewe kuna ushahidi wowote wa nadharia yako ulioleta hapa mkuu ?


Ndio kuwa open minded huko ?
 
Alafu unaaibisha watu wa Mbeya, Mbona huko watu wana akili sana.
Mkuu hivi mtu anayeamini kitu kwa kutumia Common Sense zake mwenyewe na mtu anayeamini kitu baada ya kusimuliwa tu bila kuona kwa macho nani ana akili zaidi?


Tuliambiwa kwamba jua ndiyo kitovu cha mfumo wa sayari, picha zenyewe zinazotumika kuelezea mfumo wa jua ni za kuchora 😂😂😂 Je, kama tulipigwa je?

Tuliambiwa dunia inajizungusha kwenye muhimili wake, ushahidi wa kuonekana unao? (Sio wa vidio za kutengenezwa kwenye Software) nahitaji ushahidi wa uhakika.


Tuliambiwa dunka inazunguka jua, Can you prove it? Unaweza kunithibitishia kwa macho kwamba dunia inazunguka jua?
 
Mkuu hivi mtu anayeamini kitu kwa kutumia Common Sense zake mwenyewe na mtu anayeamini kitu baada ya kusimuliwa tu bila kuona kwa macho nani ana akili zaidi?


Tuliambiwa kwamba jua ndiyo kitovu cha mfumo wa sayari, picha zenyewe zinazotumika kuelezea mfumo wa jua ni za kuchora [emoji23][emoji23][emoji23] Je, kama tulipigwa je?

Tuliambiwa dunia inajizungusha kwenye muhimili wake, ushahidi wa kuonekana unao? (Sio wa vidio za kutengenezwa kwenye Software) nahitaji ushahidi wa uhakika.


Tuliambiwa dunka inazunguka jua, Can you prove it? Unaweza kunithibitishia kwa macho kwamba dunia inazunguka jua?
Kumbe wewe unatumia imani "Unaamini"


Mimi sipo huko mwenye imani wala situmii imani,, Nadhani hatuwezi kujadili pamoja tukaelewana.
 
Mkuu hivi mtu anayeamini kitu kwa kutumia Common Sense zake mwenyewe na mtu anayeamini kitu baada ya kusimuliwa tu bila kuona kwa macho nani ana akili zaidi?


Tuliambiwa kwamba jua ndiyo kitovu cha mfumo wa sayari, picha zenyewe zinazotumika kuelezea mfumo wa jua ni za kuchora [emoji23][emoji23][emoji23] Je, kama tulipigwa je?

Tuliambiwa dunia inajizungusha kwenye muhimili wake, ushahidi wa kuonekana unao? (Sio wa vidio za kutengenezwa kwenye Software) nahitaji ushahidi wa uhakika.


Tuliambiwa dunka inazunguka jua, Can you prove it? Unaweza kunithibitishia kwa macho kwamba dunia inazunguka jua?
Tuliambiwa
Tuliambiwa
Tuliambiwa



Ndio maana huwezi kuelewa kwasababu ya kuambiwa ambiwa, Usipende kuambiwa,

Jifunze, Elewa, jiulize maswali&Uliza maswali, Fanya tafiti mwenyewe zinazowezekana.
 
Natamani sana kuandika kuhusu hii thread lakini sitoweza. Kuna siri kubwa sana kuhusu ukweli wa hii dunia na siri yote ipo kwenye logo ya UN. Kwa mtu ambaye anataka kujua ukweli wa hii dunia tafuta kitabu cha “Eric Dubay” kwa kupata elimu mpya.
 
Back
Top Bottom