NkumbiSon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,483
- 3,492
Nikuache na Swali hili... Je Sumaku inaweza kufanya kitu Kizunguke au Haiwezi?Yes nakubali north na south pole zinafanya usumaku, Sasa swali ni kivipi zosababishe Jua lizunguke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuache na Swali hili... Je Sumaku inaweza kufanya kitu Kizunguke au Haiwezi?Yes nakubali north na south pole zinafanya usumaku, Sasa swali ni kivipi zosababishe Jua lizunguke?
Achana na wasomaji wengine kwani sasa hivi si tunajadili Mimi naww? Unapaswa unielimishe vzr.tuwaachie wasomaji wengine watajua nimejibu hayo maelezo yako au nimepuyanga, maana mi naona nimejibu katika swali husika labda nimekuchanganya kwakusapoti jibu langu kwa mifano
Hapa umetudanganya kaka!! Jua linaonekana Kubwa na linazama hata bila kuwa na hizo obstacles!!vitu tunavyoviona vinapunggua umbo ni kwa msaada wa mwanga mwngine. ila Jua tunaliona kwa msaada wa Mwanga wake lenyewe so kuliona likibadili shape ni mpaka tuwe katika eneo kubwa sana lililo na utambarare. ila katika mazingira yetu humu mijini kwenye majimba miti na vilima inakua ngumu kido, smtimes hata kuzama na kuchomoza hatulioni zaidi ya mwanga tuu na likiwa limeshakamilika lote
ni hivi ndugu, nyota mpaka mchana zipo, tunaziona pindi mwanga wa jua unavyopotea na tuashindwa kuziona pindi mwanga wa jua unavyokuwepo. ni kwasababu mwanga wa jua ni mkali zaidi.Sawa, kama Nyota ni ndogo kuliko Jua na zipo mbali nasisi mbona tunauwezo wa kuziona lakini Jua unasema linaenda mbali linapotea?
itanibidi nirudie maelezo yangu yaleyale na nahisi kutaka kulala, usiku sana muda huuAchana na wasomaji wengine kwani sasa hivi si tunajadili Mimi naww? Unapaswa unielimishe vzr.
Hapa pia umeforce kujibu kaka!! Naamini ulishawah kuobserve mwanga wa taa ukiwa mbali utaona ni just like a spot of light lkn ukisogea karibu utaona ni taa Kubwa tu.vitu tunavyoviona vinapunggua umbo ni kwa msaada wa mwanga mwngine. ila Jua tunaliona kwa msaada wa Mwanga wake lenyewe so kuliona likibadili shape ni mpaka tuwe katika eneo kubwa sana lililo na utambarare.
Sijakulazimisha, na hakuna sehemu niliyokupazimisha.hatukubaliani ila nimekukubalia wewe. halafu kua na mtazamo wakuelimishana zaidi kuliko kukosoana. maana maswali na hoja zako unazonijibu ni kama mtu unaetaka kumlazimisha mtu akubaliane na wewe. wewe niffundishe nikiwa nina swali lijibu then kubali nikufundishe kwa uelewa nilionalo ukiwa na swali uliza.
Ndugu yangu ni swali Gani sijajibu?? Mbona najitahidi kujibu yote? Ni direct wapi sijajibu.nasema haya maana maswali yangu mengi hauyajibu zaidi unakomaa kuyahoji majibu yangu ninayokujibu wewe it means unataka mpaka nikubaliane na wewe. kumbuka elimu ya dunia tufe na mimi nimefundishwa basic yake. so nimekua nikiihoja kwa basic ya Flat Earth inayohusisha zaidi milango ya fahamu tuliyonayo.
ndomana nilikusisitiza tusishindane kujua nani muongo au mkkweli bali tuelimishane... sasa kwa uelewa wako wewe hapo kuna umbali gani haswa wakuweza kuliona hilo jua kua litabadili shapena kua dogo. na bado hiyo picha imehusisha Lens au hilo umejisahaulisha.? Sasa Muongo atakua nani kati ya yule anaetetea kudanganywa na anaeutetea ukweli auoonae kwa macho yake mwenyewe.?Hapa umetudanganya kaka!! Jua linaonekana Kubwa na linazama hata bila kuwa na hizo obstacles!!
View attachment 3181347
Nidirect kwenye hayo maswali unavyosema sijajibu. Siwezi kukukwepa sifaidiki na chochote Dunia ikiwa duara Wala sipungukiwi chochote Dunia ikiwa flat kama usemavyo.sasa kabla hatujaendelea naomba uyajibu maswali yangu yenye alama za viulizo tangu mwanzo wa post zangu za usiku huu, maana kuna mengi umeyakwepa kwakunihoji namna ninavyokujibu. tutakesha bila kuelimishana
gravity haipo kama force ila kama jina la kitu kurudi chini kikirushwa angani kwa kiswahili kuanguka. hapo ndio nikasema kam ni hivyo nakubaliana na wewe. ila gravity kua kama nguvu ya kuvuta vitu chini NIMEKATAA ndio nikauliza Nguvu ya kuyavuta maji ya bahari chini na nguvu ya kunyanyua mguu ipi kubwa?Sijakulazimisha, na hakuna sehemu niliyokupazimisha.
Kama hatujakubaliana ndo nikakuuliza ukiruka juu hautarudi chini? Naamini jibu ni hapana au nakosea? Kama ndio hiyo observation wanasayansi waliita GRAVITY. Sasa nakuuliza tena tunakubaliana kuwa gravity ipo as a phenomenon kabla hatujaanz kuongelea theory behind it?
yakague tuu nimeyawekea alama za viulizoNidirect kwenye hayo maswali unavyosema sijajibu. Siwezi kukukwepa sifaidiki na chochote Dunia ikiwa duara Wala sipungukiwi chochote Dunia ikiwa flat kama usemavyo.
Absolutely sumaku inaweza kufanya kitu kizunguke mfano electric motors.Nikuache na Swali hili... Je Sumaku inaweza kufanya kitu Kizunguke au Haiwezi?
Hujaelewa swali!! Nyota ni ndogo kuliko jua kama ulivyosema na ziko mbali kuliko jua lakini tunaziona sasa kwann Jua tusiweze kuliona hata kama litaenda mbali na ni Kubwa kuliko Nyota na karibu kuliko Nyota ?ni hivi ndugu, nyota mpaka mchana zipo, tunaziona pindi mwanga wa jua unavyopotea na tuashindwa kuziona pindi mwanga wa jua unavyokuwepo. ni kwasababu mwanga wa jua ni mkali zaidi.
Sio maelezo Yale Yale yaweke yawe clearitanibidi nirudie maelezo yangu yaleyale na nahisi kutaka kulala, usiku sana muda huu
Kaka sishindani!! Kama ulivyosema mwenyewe kuwa kwenye hiyo picha hakuna umbali wa kulifanya Jua lipungue SIZE si ndio? Sasa kama ni hivyo Kwann useme linazama au linapotea Kwa sababu ya umbali? Ukiangalia picha unaona Jua lipo half sio full.ndomana nilikusisitiza tusishindane kujua nani muongo au mkkweli bali tuelimishane... sasa kwa uelewa wako wewe hapo kuna umbali gani haswa wakuweza kuliona hilo jua kua litabadili shapena kua dogo. na bado hiyo picha imehusisha Lens au hilo umejisahaulisha.? Sasa Muongo atakua nani kati ya yule anaetetea kudanganywa na anaeutetea ukweli auoonae kwa macho yake mwenyewe.?
Safi, huko kwenye gravity ni force Bado hatujafika. Kwahy mpaka Sasa tuko pamoja kuwa Gravity ipo au utaamua ww utakavyoiita kama unaona neno Gravity linakutatiza???gravity haipo kama force ila kama jina la kitu kurudi chini kikirushwa angani kwa kiswahili kuanguka. hapo ndio nikasema kam ni hivyo nakubaliana na wewe. ila gravity kua kama nguvu ya kuvuta vitu chini NIMEKATAA ndio nikauliza Nguvu ya kuyavuta maji ya bahari chini na nguvu ya kunyanyua mguu ipi kubwa?
Soma vzr swali ulilouliza. Umeuliza nguvu ya kuvuta maji(kustick) na nguvu ya kunyanyua mguu ipi Kubwa?ila gravity kua kama nguvu ya kuvuta vitu chini NIMEKATAA ndio nikauliza Nguvu ya kuyavuta maji ya bahari chini na nguvu ya kunyanyua mguu ipi kubwa
Mimi naona nimejibu maswali yote kama Kuna kitu sijajibu sema hapa kwani Kuna shida Gani?yakague tuu nimeyawekea alama za viulizo
kwanza ondoa dhana ya Jua limesimama/Limetulia katiaka mawazo yako pindi uniulizapo maswali yahusuyo FlatEarth maana nimegundua unashundwa kunielewa kwasababu bado una dhana za ki globe, unakumbuka nilikuambia pitia kidogo hata basic ya Flatearth namna dunia na vitu vyake inavyfanya mambo yatokee.Absolutely sumaku inaweza kufanya kitu kizunguke mfano electric motors.