Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
NkumbiSon
Katika discussion yetu yote Kuna mambo Bado hujayajibu vzr na yanaacha maswali pia.

1. Umesema DENSITY ndo sababu ya vitu kufall down, lakini hujaelezea kwann down⬇️ na sio juu⬆️ ama left ⬅️ or right➡️. Nikakupa mfano uchukue object then iweke juu ya hewa then iachie, lazima hiyo object ishuke chini(fall). Sababu uliyotoa wewe ni sababu ya DENSITY Kwa maana ya kwamba kitu chenye density ndogo kitapanda juu na chenye density Kubwa kitashuka chini swali langu kwann chini na sio pande nyingine? Wakati hiyo object imezungukwa na hewa ambayo ni less dense than that object?

2. Umesema au flat earthers huwa mnasema Jua huonekana linazama(sunset) Kwa sababu ya 'PERSPECTIVE' nanukuu

"Flat Earthers often argue that the sun and moon appear to set due to perspective, as they move further away across the flat disc of the Earth. They claim these celestial bodies don't actually go below the horizon, but simply become too small to see".

Sasa hujanijibu vzr swali langu nililoambatanisha na picha👇 kwann tunaona Jua linazama likiwa Kubwa?
main-qimg-b87dbc2626b68231a38e35866a863761-lq.jpeg
 
Naomba nimsaidie kujibu hilo swali la kuumbwa..,, Jibu ni NDIYO,. "NIMEUMBWA"

Logically,..kama una hakika hujajiumba mwenyewe,..That ,means ni hakika umeumbwa.....
Kwahy wewe hujazaliwa?? Umeumbwa? Kwahy kwasababu hujajiumba basi unaamini umeumbwa? Tuambie umeumbwa wapi? Uliumbiwa wapi?
 
NkumbiSon
Katika discussion yetu yote Kuna mambo Bado hujayajibu vzr na yanaacha maswali pia.

1. Umesema DENSITY ndo sababu ya vitu kufall down, lakini hujaelezea kwann down⬇️ na sio juu⬆️ ama left ⬅️ or right➡️. Nikakupa mfano uchukue object then iweke juu ya hewa then iachie, lazima hiyo object ishuke chini(fall). Sababu uliyotoa wewe ni sababu ya DENSITY Kwa maana ya kwamba kitu chenye density ndogo kitapanda juu na chenye density Kubwa kitashuka chini swali langu kwann chini na sio pande nyingine? Wakati hiyo object imezungukwa na hewa ambayo ni less dense than that object?

2. Umesema au flat earthers huwa mnasema Jua huonekana linazama(sunset) Kwa sababu ya 'PERSPECTIVE' nanukuu

"Flat Earthers often argue that the sun and moon appear to set due to perspective, as they move further away across the flat disc of the Earth. They claim these celestial bodies don't actually go below the horizon, but simply become too small to see".

Sasa hujanijibu vzr swali langu nililoambatanisha na picha👇 kwann tunaona Jua linazama likiwa Kubwa?
View attachment 3181426
ukiuliza maswali soma vizuri majibu, kama hauyaelewi au hayahusiki sema.. hapa nilitegemea uyahoji majibu yangu na sio kurudia maswali niliokwisha kuyajibu. au unataka kubishana?
 
Kwahy wewe hujazaliwa?? Umeumbwa? Kwahy kwasababu hujajiumba basi unaamini umeumbwa? Tuambie umeumbwa wapi? Uliumbiwa wapi?
Kwani kati ya production na reproduction,..kipi kinaanza?

Mimi ni matokeo ya production,. that means nimekua reproduced toka kwenye chanzo,.... KUZALIANA HAKUWEZI KUWEPO BILA KWANZA YA KUWA NA MBEGU YA KIUME & KIKE.......NA HIZO MBEGU ZINATENGENEZWA TOKA KWA MWANAUME NA MWANAMKE, So kabla process ya kuzaliana kuanza Ilibidi awepo Mwanamke na Mwanaume (Mind you, Hawajajiumba/ hawajui hata imekuaje wakawa na macho, miguu and so on) ....umeelewa?


Fikiria vizuri,..haya mambo ni rahisi sana,..
 
Naomba nimsaidie kujibu hilo swali la kuumbwa..,, Jibu ni NDIYO,. "NIMEUMBWA"

Logically,..kama una hakika hujajiumba mwenyewe,..That ,means ni hakika umeumbwa.....
hilo swali nimemjibu ila kwakua yupo hapa kubishana huwa hayaoni majibu ya kimantiki, alitaka nimjibu anavyotaka ili areffushe mjadala. mimi naamini katika kuelimishana kumjibu mtu kwa swali ndio njia bora ya yeye kupata uelewa kwakutumia tafakuri yake mwenyewe.

Nilimjibu hivi, Katiya Mtoto Mchanga na Mtu Mzima kipi kilikua chanzo cha uwepo wa Mwanadamu? maana alinijibu moja ya vitu hai ambavyo havijaumbwa hapa duniani ni Mwanadamu.

So Jamaa yupo hapa kupindisha mada na kutaka kusoma anayoyategemea yeye, ukienda toffauti nae anakesha mpaka apate ushindi utafikiri hapa tunashindana. Nimeuliza maswali mengi sana humu yenye lengo lakumfungua akili ili aweze kuihoji elimu yake ila anadai sio maswali yake ila hayo maelezo yenye hayo maswali anaytumia kuniuliza mimi maswali.

kama maswali sio yake basi na maelezo yangu hayamuhusu pia.
 
ukiuliza maswali soma vizuri majibu, kama hauyaelewi au hayahusiki sema.. hapa nilitegemea uyahoji majibu yangu na sio kurudia maswali niliokwisha kuyajibu. au unataka kubishana?
Kaka kwani hapa nimehoji majibu ya nani? Mbona unakuwa hivyo?
Nimeanza na neno UMESEMA.
1. Umesema DENSITY ndo sababu ya vitu kufall down, lakini hujaelezea kwann down⬇️ na sio juu⬆️ ama left ⬅️ or right➡️. Nikakupa mfano uchukue object then iweke juu ya hewa then iachie, lazima hiyo object ishuke chini(fall). Sababu uliyotoa wewe ni sababu ya DENSITY Kwa maana ya kwamba kitu chenye density ndogo kitapanda juu na chenye density Kubwa kitashuka chini swali langu kwann chini na sio pande nyingine? Wakati hiyo object imezungukwa na hewa ambayo ni less dense than that object?
Au unatafta njia ya kukwepa kujibu?
 
Mimi ni matokeo ya production,. that means nimekua reproduced toka kwenye chanzo,.... KUZALIANA HAKUWEZI KUWEPO BILA KWANZA YA KUWA NA MBEGU YA KIUME & KIKE.......NA HIZO MBEGU ZINATENGENEZWA TOKA KWA MWANAUME NA MWANAMKE, So kabla process ya kuzaliana kuanza Ilibidi awepo Mwanamke na Mwanaume (Mind you, Hawajajiumba/ hawajui hata imekuaje wakawa na macho, miguu and so on) ....umeelewa?
Umeelezea mambo mengi lakini Bado unajichanganya, swali ni kuwa wewe UMEUMBWA au la! Umesema UMEUMBWA nimekuuliza kwahy hujazaliwa Bali umeumbwa?

Ili unielewe vzr jibu swali hili;
1. Adamu amezaliwa au ameumbwa?
2. Je wewe umezaliwa au umeumbwa?
 
Kwanza ondoa dhana ya kwamba nadanganywa nipe elimu yako kwanza then ndo uje useme nadanganywa je kama ww ndo unanidanganya?
hapa nakupa dondoo ili uitafute hiyo elimu maadamu inapatikana, ila kusema mimi nikae hapa kukupa elimu uliyoanza kuipata miaka na miaka sintokua tofauti na mtu anaekwambia mama unayeamini ni mamam yako mzazi kua sio mama yako, utataka akupe vithibitisho kibao wakati hata wewe ukiulizwa uhakika wake utakua hauna zaidi ya kukua ukimuita mama tu.

huo ni mfano tu wa namna ilivyo ngumu kumbadilisha mtu mwenye msimamo kama wako juu ya umbo la dunia mpaka wewe mwenyewe utakapoamua kuyahoji uliyofundishwa, hapo utakua umeitafuta elimu nyingine na kuamua kuifuatilia na sio kwa kunisoma mimi hapa. ndio maana nasisistiza hatubishana tunaelimishana juu ya kutofautiana haya mambo na namna tunavyoyaelewa.
 
Nilimjibu hivi, Katiya Mtoto Mchanga na Mtu Mzima kipi kilikua chanzo cha uwepo wa Mwanadamu? maana alinijibu moja ya vitu hai ambavyo havijaumbwa hapa duniani ni Mwanadamu.
Kaka umeninukuu vibaya niombe RADHI Kwa Hilo, sijasema mwanadamu hajaumbwa, nimekuuliza wewe umeumbwa usigeneralize swali langu. Natambua kabisa Vitabu vya dini vinasema binadamu wakanza aliumbwa na MUNGU(Adam na Eva) je baada ya hapo uumbaji unaendelea? Simple tu.

So Jamaa yupo hapa kupindisha mada na kutaka kusoma anayoyategemea yeye, ukienda toffauti nae anakesha mpaka apate ushindi utafikiri hapa tunashindana. Nimeuliza maswali mengi sana humu yenye lengo lakumfungua akili ili aweze kuihoji elimu yake ila anadai sio maswali yake ila hayo maelezo yenye hayo maswali anaytumia kuniuliza mimi maswali.
Hakuna mahala nimepindisha mada ila wewe unatafta kichaka Cha kukwepa wajibu wako wa kunielimisha Mimi na elimu yako ya Dunia flat. Kwahy unapaswa unijibu hoja zangu mbili hapo

kama maswali sio yake basi na maelezo yangu hayamuhusu pia.
Maswali niliyosema hayanihusi ni Yale ya kutumia simu ama vifaa vya shetani ambalo kimsingi sikuuliza Mimi kwahy sikupaswa kujibu mm Bali aliekuuliza.
 
Kaka kwani hapa nimehoji majibu ya nani? Mbona unakuwa hivyo?
Nimeanza na neno UMESEMA.

Au unatafta njia ya kukwepa kujibu?
siwezi kukwepa majibu ya maswali yako, ninachokwepa nikurudia kuyajibu. labda uyahoji majibu yangu ila sio kurudia swali.
 
hapa nakupa dondoo ili uitafute hiyo elimu maadamu inapatikana, ila kusema mimi nikae hapa kukupa elimu uliyoanza kuipata miaka na miaka sintokua tofauti na mtu anaekwambia mama unayeamini ni mamam yako mzazi kua sio mama yako, utataka akupe vithibitisho kibao wakati hata wewe ukiulizwa uhakika wake utakua hauna zaidi ya kukua ukimuita mama tu.
Usichokijua ni kwamba Elimu ya Dunia Flat nimeisoma na naendelea kuisoma lakini kwangu haimake sense Bado na ndio maana nimekuuliza vitu ambavyo kwangu naona haviko sawa kuhusu Dunia kuwa flat.


huo ni mfano tu wa namna ilivyo ngumu kumbadilisha mtu mwenye msimamo kama wako juu ya umbo la dunia mpaka wewe mwenyewe utakapoamua kuyahoji uliyofundishwa, hapo utakua umeitafuta elimu nyingine na kuamua kuifuatilia na sio kwa kunisoma mimi hapa. ndio maana nasisistiza hatubishana tunaelimishana juu ya kutofautiana haya mambo na namna tunavyoyaelewa.
Mimi sipo hapa kubishana, shida umeanzisha mwenyewe baada ya Mimi kukuuliza maswali halafu hutaki kuyajibu unakimbilia kwenye hoja ya kuwa nabishana mbn mm sisemi unabishana Bali najaribu kujibu hoja zako humu? Mpk nimerudia hoja zako upya na kuzijibu mahali nilipoparuka?.
Kama kweli unataka tuelimishane nipo tayari unielimishe au unataka nisiulize maswali?
 
Kaka umeninukuu vibaya niombe RADHI Kwa Hilo, sijasema mwanadamu hajaumbwa, nimekuuliza wewe umeumbwa usigeneralize swali langu. Natambua kabisa Vitabu vya dini vinasema binadamu wakanza aliumbwa na MUNGU(Adam na Eva) je baada ya hapo uumbaji unaendelea? Simple tu.


Hakuna mahala nimepindisha mada ila wewe unatafta kichaka Cha kukwepa wajibu wako wa kunielimisha Mimi na elimu yako ya Dunia flat. Kwahy unapaswa unijibu hoja zangu mbili hapo


Maswali niliyosema hayanihusi ni Yale ya kutumia simu ama vifaa vya shetani ambalo kimsingi sikuuliza Mimi kwahy sikupaswa kujibu mm Bali aliekuuliza.
unakumbuka tulipoanzia lakini. nilikuuliza kuna kitu gani cha asili hapa duniani ambacho hakijaumbwa? ukajibu mwanadamu.
Nikakuuliza chanzo chake kati ya utu uzima na mtoto mchanga ni kipi.. UKALIKIMBIA SWALI.
so ni ngumu kueleweshana na wewe ambaye unakwepa kujifunza kwa makusudi. Kama unataka kubishana mi ni mtupu katika hilo.
 
siwezi kukwepa majibu ya maswali yako, ninachokwepa nikurudia kuyajibu. labda uyahoji majibu yangu ila sio kurudia swali.
Ni wapi nimerudia swali
Nambie ni wapi umejibu hili swali?👇
1. Umesema DENSITY ndo sababu ya vitu kufall down, lakini hujaelezea kwann down⬇️ na sio juu⬆️ ama left ⬅️ or right➡️. Nikakupa mfano uchukue object then iweke juu ya hewa then iachie, lazima hiyo object ishuke chini(fall). Sababu uliyotoa wewe ni sababu ya DENSITY Kwa maana ya kwamba kitu chenye density ndogo kitapanda juu na chenye density Kubwa kitashuka chini swali langu kwann chini na sio pande nyingine? Wakati hiyo object imezungukwa na hewa ambayo ni less dense than that object?
Na hili swali👇 umetoa majibu hayaridhishi na nimekueleza ni jinsi Gani hayaridhishi
Mfano nikikuuliza unavyosema Jua halipungui size Kwa sababu linatoa mwanga wake na vingne vinapungua size hayo maelezo umeyatoa wapi? Na nini sababu ya kuwa hivyo kwamba Kwa sabab hiki kitu kinatoa mwanga wake basi kamwe halipungui size yake, na kama hakipungui size yake Bado unaacha swali kuwa KAMA HALIPUNGUI SIZE LINAPOTEAJE SASA? AU HUJUI KAMA MNATUMIA DHANA YA PERSPECTIVE AMBAYO INAELEZEA KUWA JUA LINAPUNGUA SIZE HADI LINAPOTEA KWENYE UPEO WETU WA MACHO?
 
Umeelezea mambo mengi lakini Bado unajichanganya, swali ni kuwa wewe UMEUMBWA au la! Umesema UMEUMBWA nimekuuliza kwahy hujazaliwa Bali umeumbwa?

Ili unielewe vzr jibu swali hili;
1. Adamu amezaliwa au ameumbwa?
2. Je wewe umezaliwa au umeumbwa?
Mimi ni copy ya Uumbaji au unaweza kusema Uundaji,. Adam ni Original/source.
 
Usichokijua ni kwamba Elimu ya Dunia Flat nimeisoma na naendelea kuisoma lakini kwangu haimake sense Bado na ndio maana nimekuuliza vitu ambavyo kwangu naona haviko sawa kuhusu Dunia kuwa flat.



Mimi sipo hapa kubishana, shida umeanzisha mwenyewe baada ya Mimi kukuuliza maswali halafu hutaki kuyajibu unakimbilia kwenye hoja ya kuwa nabishana mbn mm sisemi unabishana Bali najaribu kujibu hoja zako humu? Mpk nimerudia hoja zako upya na kuzijibu mahali nilipoparuka?.
Kama kweli unataka tuelimishane nipo tayari unielimishe au unataka nisiulize maswali?
kama tayari una hiyo elimu ya flat earth na unaona ni vitu ambavyo haviko sawa, sasa unakataa vipi kua upo hapa kubishana?
 
unakumbuka tulipoanzia lakini. nilikuuliza kuna kitu gani cha asili hapa duniani ambacho hakijaumbwa? ukajibu mwanadamu.
Nikakuuliza chanzo chake kati ya utu uzima na mtoto mchanga ni kipi.. UKALIKIMBIA SWALI.
so ni ngumu kueleweshana na wewe ambaye unakwepa kujifunza kwa makusudi. Kama unataka kubishana mi ni mtupu katika hilo.
Acha uongo, au huna kumbukumbu vzr?
Usinibadirishie maneno yangu tafadhali.
Screenshot_20241221-103958~2.png
 
Ni wapi nimerudia swali
Nambie ni wapi umejibu hili swali?👇

Na hili swali👇 umetoa majibu hayaridhishi na nimekueleza ni jinsi Gani hayaridhishi
ule mfano wakutupa jiwe ulilolishika mkononi na kulitupa jiwe hilohilo ukiwa gorofani, nilikua najibu nini?
 
Kwahiyo unakubali Kwamba Production (Uumbaji) unaanza kisha copies za uumbaji ndiyo sisi?
Nakubaliana naww kwenye uumbaji kuanza Kwa maana ya kwamba Adam na Eva ndio binadamu pekee alieumbwa na MUNGU. Ila kusema sisi ni copy tafta neno lingine la kutumia. Sisi ni fusion ya cells za hao Ancestry.

Kwahy unakubali sisi(Mimi na ww) hatujaumbwa?
 
Back
Top Bottom