hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Huna hoja za msingi,..๐๐๐ Wakat ww upo humu na kujibu hoja zangu umeshindwa et huna muda, me nimeshamalizana naww kama ulivyosema awali kuwa NIMESHINDA,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja za msingi,..๐๐๐ Wakat ww upo humu na kujibu hoja zangu umeshindwa et huna muda, me nimeshamalizana naww kama ulivyosema awali kuwa NIMESHINDA,
kwanini hakuna life?Ujangwa wa hiyo Sayari ni Kwa sabab hakuna mimea iliyopo huko, yaan hakuna life
Sasa kama Kila sehem ni mkunjo utauonaje huo mkunjo kwenye sehem ambayo ww upo?? Na ndio maana huwa tunaitumia maneno kama "mkunjo inaanzia miles kazaa away" Kwa maana ya kwamba after every x miles mkunjo unaanzia.Kwahiyo unaamini hapo ulipo kuna mkunjo,..ila kwa kuwa wewe ni tiny sana ndiyo maana huoni huo mkunjo?
Sina hoja za msingi ma umeshindwa kuzijibu???๐๐. Onesha ni kivipi sio za msingi.Huna hoja za msingi,..
Kwann kuwe na life???kwanini hakuna life?
Haupo flexible ubongo wako una NTA,Mimi nipo flexible,..nikipata uthibitisho ambao utafuta mashaka yangu juu ya kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,..basi nitabadili mtazamo wangu hata sasa hivi.
Swali lako ni la kijinga sana!! Unajua msemo wa "penye miti hakuna wajenzi"??kwanini hakuna life?
Unajua maana ya Ramani??? Embu nambie how can you represent milima na mabonde kwenye map?? Mito na bahari?? Kama unavyodai kwenye curvature,au ukichora ramani ya Tanzania utahusisha na curve cause Zanzibar ipo below the earth's curvature., Hahh
Siku ukijua tofauti ya akili na elimu utaomba na utatamani uongozewe akili zaidi...Sasa nchi zote zitaonekana vipi??๐๐ Akili akili akili
Projection!! Projection!! Elimu huna kuhusu kitu kaa kimya!!
Sasa kwann hutoi majibu kwenye vitu vinavyotatiza kuhusu hoja yako ya Dunia tambarare?? Nilikuuliza Jua huwa linapungua size?? Hujajibu.Hapana mkuu,..mimi lengo langu kujifunza ndiyo maana huwa napenda kuuliza maswali kwenye vitu vinavyotatiza,..
Basi usiwe mbishi unapoelekezwaLengo kubwa ni kujifunza,..maana hakuna chochote mtu ataongeza kwa kushinda mjadala.
Akili yako ndogo ndiyo maana unaona swali la kijinga,..Swali lako ni la kijinga sana!! Unajua msemo wa "penye miti hakuna wajenzi"??
Mfano hata hapa Duniani palivyo,, pana support life, lkn kama kusingekuwa na mbegu(either za mimea au wanyama) kusingekuwa na life regardless kwamba panasupport life.
Mfano mwingne wa kukuelewesha chukulia mwanamke mwenye uwezo mzuri tu wa kubeba mimba, lakin kama hakuna mbegu itayayopandwa ndani ya mfumo wake wa uzazi hatozaa, Japokuwa anauwezo wa kuzaa!!๐
Mimi sio mbishi,...nipo hapa kuipa mwanga akili yako.Sasa kwann hutoi majibu kwenye vitu vinavyotatiza kuhusu hoja yako ya Dunia tambarare?? Nilikuuliza Jua huwa linapungua size?? Hujajibu.
Basi usiwe mbishi unapoelekezwa
sawa vizuri,.Unajua maana ya Ramani??? Embu nambie how can you represent milima na mabonde kwenye map?? Mito na bahari?? Kama unavyodai kwenye curvature,
basi nam ntakwambia kwann kwenye ramani tusione mliman? Yaa waweke kijimlima kumaanisha mlima? Au waweke maji kumaanisha chanzo Cha maji?? Badala yake Kuna symbols na colors kuwakilisha vitu hivyo?? Map ni a projection of the globe in 2D,
map sio only drawing kama unavyomchora mtu, ni lazima uiproject Ili kuonesha mabara yote kwenye mchoro mmoja, unachodai ww mi sawa na nikwambie unichore mm halafu uoneshe Kila kitu yaan kisogo, uso, mgongo na tumbo n.k Kwenye mchoro mmoja, utafanyaje?? Kama sio kuproject??
Tatizo huna Elimu na vitu unavyobishania, sidhani hata kama umeshawahi kuwa mchoraji wa maumbo mbali mbali na kuyaproject(Technical drawing).
Lastly, nimegundua huna ulijualo kuhusu usemacho!!
Nani kakwambia sijui!! Kwanza ww huna Akili!! Kwann? Kwasababu unashindwa kuelewa point ndogo tu unazoeleweshwa na kuskip unapoona patakuumbua.Siku ukijua tofauti ya akili na elimu utaomba utatamani uongozewe akili zaidi...
Ndivyo kabisa!! Lkn kabla hujanipa hii challenge yako Kuna hoja zangu huko nyuma hujajibu๐๐Ngoja nikupe challenge nyingine;-
Wewe unaamini kwamba Curvature ya Dunia ndiyo sababu inayofanya Jua lionekane limezama/kuchomoza na kupelekea either usiku au mchana(kwamba Jua likiwa below/above the curvature inapelekea usiku/mchana),..si ndiyo?
Sijawahi kufika hiyo pwani unayosema kwahy Sina majibu kuhusu Hilo either ni curvature au Kuna kitu kimezuiaat the same time,. unaamini kwamba Mtu akiwa pwani ya Dar Es Salam hawezi kuiona Zanzibar kwa kuwa kuna curvature,.. si ndiyo?
Ila ntakujibu usijali!!๐๐Sasa kama macho yako yanakuambia Zanzibar ipo below the curve that's why huioni ukiwa Dar Es Salaam,...jiulize kwanini Dar es Salaam na Zanzibar zina experience Sunrise na Sunset pamoja?
Unaona sasa๐๐๐, mwanzo umesema upo kijifunza lkn saiv unasema kuipa mwanga akili yangu!! Haya majibu yanadhihirisha haupo na hautokuwa tayari kijifunza. OVER.Mimi sio mbishi,...nipo hapa kuipa mwanga akili yako.
Umeelewa???sawa vizuri,.
Nilitegemea utaniuliza hili swali๐๐ Kwa sababu ww ni mjinga.."Ni nini kilifanya Dunia kuwe na mbegu za either wanyama/mimea,...?
Nature!! Kwann wewe ulizaliwa mwanaume?? Kwann ww ulizaliwa na mama ako ma sio mama mwingine?? And so on!!Kwanini kwenye hizo objects nyingine mars, na kadhalika hakuna mbegu za either Wanyama/mimea?
Basi hiyo challenge haikufai,.utajibu kwa nadharia tu.Sijawahi kufika hiyo pwani unayosema kwahy Sina majibu kuhusu Hilo either ni curvature au Kuna kitu kimezuia
Akili yako ndogo ndiyo maana unaona hayo maswali ya kijinga,..Nilitegemea utaniuliza hili swali๐๐ Kwa sababu ww ni mjinga..
Kama Kila mtu angekuwa na akili kama yako nadhani kungekuwa na maswali mengi sana Duniani ya kijinga kama haya,
Mfano hata Mimi naweza kukuuliza kwann mwanamke anabeba mimba na sio mwanaume? Kwann ndege anapaa na sisi hatupai?? Kwann mlima Kilimanjaro upo Tanzania na sio marekani?? Na mengine mengi yasiyo maana yoyote!!
Hiyo ni Nature, wote tumeikuta ipo hivyo!! So kuniuliza mm sitokupa majibu yenye uthibitisho zaidi ya hadithi za mababu.
Nature!! Kwann wewe ulizaliwa mwanaume?? Kwann ww ulizaliwa na mama ako ma sio mama mwingine?? And so on!!
Pamoja na kwamba nakuelimisha,..hiyo hainizuii mimi kujifunza kwako pia.Unaona sasa๐๐๐, mwanzo umesema upo kijifunza lkn saiv unasema kuipa mwanga akili yangu!! Haya majibu yanadhihirisha haupo na hautokuwa tayari kijifunza. OVER.