Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hapo ipo kweli angani kwasababu ya gravitational force,..Hahh (joking)

Hizo picha zenyewe ni edited,..
Wewe sio mzma kichwani, Nadhani hata hao wenzako wanaoamini Dunia ni flat kuna vitu vingine wanakushangaa

Yani hiki kitendo unaona ni edit ???

Hapa tunapoteza mda kujadili na wewe
 
🤣🤣, ww unajua nilivyoielewa mpk useme umeelewa kama nilivyoielewa Mimi??????

Umeanza kuchanganyikiwa Sasa eeh?? Na unaposema hata kwenye flat surface inawezekana kivipi sasa?? Wakati kwenye definition Kuna condition inayosema
"Passing through the center of the sphere" sasa kwenye flat surface kuna center of the sphere???🤣🤣
Wote tumeelewa sawa,..utofauti wangu mimi na wewe ni kwamba mimi naona hiyo scenario ni possible kwenye flat surface wakati huo wewe unaamini definition imemaliza kila kitu hutaki tena kufikiria beyond the definition.

Na mfano mzuri,...ramani inayotumika ku apply hiyo route ni flat pia,.. hence proved kwamba kwenye flat surfce its possible....

Hata ukiwa unaendesha Gari,..unaweza ukaamua usiende destination husika kwa kutumia straight line,....na ukafika haraka zaidi tofauti na ungeamua kunyoosha moja kwa moja,.. NB; Mifano kama hii huwezi kufikiria kwasababu ya tabia ya kukariri.
 
Wewe sio mzma kichwani, Nadhani hata hao wenzako wanaoamini Dunia ni flat kuna vitu vingine wanakushangaa
Hahh tuseme ukweli,..mimi na wewe nani sio mzima kichwani?

wewe unaamini vitu ambavyo huwezi kuthibitisha,..mimi nikikuhoji unaniona kichaa.....
 
😎😎😎😎

Kwahy unataka kusema barabarani hakuna muingiliano wa tabaka?? Na kwamba baharini air condition siku zote Iko vile vile??? Yaani temperature huwa haichange???
Bahari ina uwezo mkubwa wa kuhifadhi temperature condition(s),..tofauti na nchi kavu mzee... yaani temperature change ya baharini ni tofauti na nchi kavu,. umeelewa?
 
Hapo ipo kweli angani kwasababu ya gravitational force,..Hahh (joking)

Hizo picha zenyewe ni edited,..
🤣🤣🤣🤣 Kwahy hizi picha zote ni edited ?? Ili iweje sasa??
0_SWNS_FLOATING_SHIP_001.jpg


omar.jpg


E50AD7DC-846E-4039-A058-E94F8B667D6B.jpeg
 
Hahh tuseme ukweli,..mimi na wewe nani sio mzima kichwani?

wewe unaamini vitu ambavyo huwezi kuthibitisha,..mimi nikikuhoji unaniona kichaa.....
Basi elezea, Kwanini hicho kitendo kwenye picha umeona ni edit ? Unaweza ukatoa maelezo wote tukaelewa
 
Bahari ina uwezo mkubwa wa kuhifadhi temperature condition(s),..tofauti na nchi kavu mzee... yaani temperature change ya baharini ni tofauti na nchi kavu,. umeelewa?
Vzr, kama inauwezo wa kuhifadhi temperature it means inaweza kuhifadhi either temperature ndogo au Kubwa si ndioo??🤣🤣 Sasa during cold temperature maana yake itatunza hiyo temperature si ndioo🤣?? Sasa kwann Bado ship zitaendelea ku-disappear????
 
Vzr, kama inauwezo wa kuhifadhi temperature it means inaweza kuhifadhi either temperature ndogo au Kubwa si ndioo??🤣🤣 Sasa during cold temperature maana yake itatunza hiyo temperature si ndioo🤣?? Sasa kwann Bado ship zitaendelea ku-disappear????
Hahh duh hapa ndiyo nimejua kwanini unaamini vitu usivyoweza kuthibitisha;-

Ipo hivi,.. unapoambiwa kwamba Bahari ina uwezo mkubwa wa ku maintain temperature conditions maana yake muda wote temperature baharini haibadiliki sana it remains almost the same haibadiliki kama ilivyo nchi kavu,.. na ndiyo maana hiyo hali ya kudhania Meli zinazama down the curvature utaona ikiendelea.
 
Wote tumeelewa sawa,
🤣🤣🤣 Usiseme tumeelewa sawa, kwahy unamaanisha nitakachokielezea ndio naww unamaanisha hivo hivo??
..utofauti wangu mimi na wewe ni kwamba mimi naona hiyo scenario ni possible kwenye flat surface wakati huo wewe unaamini definition imemaliza kila kitu hutaki tena kufikiria beyond the definition.
Sasa ww unaona upo sawa?? Huoni kama unakuwa unaharibu dfn, dfn imesema kwenye sphere surface ww unakuja kusema hata kwenye flat surface🤣🤣
Na mfano mzuri,...ramani inayotumika ku apply hiyo route ni flat pia,.. hence proved kwamba kwenye flat surfce its possible....
Kwani Kuna ramani ambayo sio flat 🤣🤣🤣 au upo uwezekano wa kuchora ramani Moja na ikaonesha mabara yote na hiyo raman isiwe flat???
Hata ukiwa unaendesha Gari,..unaweza ukaamua usiende destination husika kwa kutumia straight line,..
Sasa hii sio maana ya great circle, na ndio maana nikasema we hujui maana ya great circle, mfano nilikuuliza swali👇👇
Huo msitari mwekundu ndio great circle na huo yellow ni rhumb line Sasa je ni route gan kati ya hizo zinaonekana ndefu katika hiyo picha?? Hukujibu🤣
download (5).jpeg

..na ukafika haraka zaidi tofauti na ungeamua kunyoosha moja kwa moja,.. NB; Mifano kama hii huwezi kufikiria kwasababu ya tabia ya kukariri.
Hii sio maana ya great circle, hujasoma geametry na ndio maana huelewi
 
Basi elezea, Kwanini hicho kitendo kwenye picha umeona ni edit ? Unaweza ukatoa maelezo wote tukaelewa
Picha hii ni edited,.. huwezi ukaiona Meli ipo juu away from water level kiasi hicho,..Tazama distance kubwa iliyopo kati ya Maji na Meli ndiyo utajua kwanini hiyo picha ni edited.... ⤵️

Screenshot_20250111-150819.png
 
Hahh duh hapa ndiyo nimejua kwanini unaamini vitu usivyoweza kuthibitisha;-

Ipo hivi,.. unapoambiwa kwamba Bahari ina uwezo mkubwa wa ku maintain temperature conditions maana yake muda wote temperature baharini haibadiliki sana it remains almost the same haibadiliki kama ilivyo nchi kavu,.. na ndiyo maana hiyo hali ya kudhania Meli zinazama down the curvature utaona ikiendelea.
We kilaza kweli, 👇👇 air condition/ temperature haibadiriki??? Hakuna bahari ambazo ni cold mpk kunakuwa na barafu?? Sasa unataka unidanganye vipi hapo??🤣🤣
Bahari ina uwezo mkubwa wa kuhifadhi temperature condition(s),..tofauti na nchi kavu mzee... yaani temperature change ya baharini ni tofauti na nchi kavu,. umeelewa?
 
Picha hii ni edited,.. huwezi ukaiona Meli ipo juu away from water level kiasi hicho,..Tazama distance kubwa iliyopo kati ya Maji na Meli ndiyo utajua kwanini hiyo picha ni edited.... ⤵️

View attachment 3198684
Ila uwezekano wa meli nzima kupotea Kwa sababu hiyo hiyo upo???🤣🤣🤣. Yaani mpk meli ipotee yote unajua ni distance Gani hapo ??
 
Picha hii ni edited,.. huwezi ukaiona Meli ipo juu away from water level kiasi hicho,..Tazama distance kubwa iliyopo kati ya Maji na Meli ndiyo utajua kwanini hiyo picha ni edited.... ⤵️

View attachment 3198684
Hiyo picha si tukio halisi kwa maana ya sio kweli meli inaelea hewani,

Ila ni illusion tu na tukio hili linaitwa "fata morgana"

Kama haujui kitu uwe unauliza kwanza sio kukurupuka

Kama kuna maelezo zaidi unahitaji unasema na sio kubisha bisha tu
 
Hiyo picha si tukio halisi kwa maana ya sio kweli meli inaelea hewani,

Ila ni illusion tu na tukio hili linaitwa "fata morgana"

Kama haujui kitu uwe unauliza kwanza sio kukurupuka

Kama kuna maelezo zaidi unahitaji unasema na sio kubisha bisha tu
Jamaa mjinga, haelewi vitu ila anajifanya anajua,
 
Hiyo picha si tukio halisi kwa maana ya sio kweli meli inaelea hewani,

Ila ni illusion tu na tukio hili linaitwa "fata morgana"

Kama haujui kitu uwe unauliza kwanza sio kukurupuka

Kama kuna maelezo zaidi unahitaji unasema na sio kubisha bisha tu
Ndiyo nakuambia mirage effect haiwezi kuwa to that extent,... hiyo picha ipo exaggarated.
 
Anachoniacha hoi anasema tutumie akili zetu ila yeye kila muda anakuja na maelezo aliyopaste kutokea google sijui wapi anapojua yeye,

Hiki kichwa cha huyu jamaa walimu wake walipata tabu sana
Basi sisemi tena mtumie akili zenu,..... msitumie akili zenu.
 
Ndiyo nakuambia mirage effect haiwezi kuwa to that extent,... hiyo picha ipo exaggarated.
Tafuta clip za matukio ya namna hii utaona, zipo nyingi tu na imeshazoeleka ni jambo la kawaida ( jamii ya watu wa zamani waliona ni uchawi na ndio chanzo cha hilo tukio kuitwa jina la "fata morgana" )
 
Back
Top Bottom