Siri kubwa ya wapemba na wachaga kumpisha Mkinga ni mkinga kuuza kwa faida ndogo, umoja, bidii, kuheshimu wateja na nidhamu ya matumizi ya fedha

90% ya Wakinga wajasoma,nadhani wote mnajua hulka za watu ambapo hawajasoma-ushirikina ndio nguzo yao.
 
Vipi pisi za kikinga, na zenyewe zimetanguliza mingo mbele kama pisi za..........
 
Ukweli mchungu.

1. Wakinga wanayo nidhamu kubwa sana ya biashara na kwenye customer care wapo vizuri, ni mara chache sana utakwaruzana na mkinga dukani kwake.

2. Wakinga wanakuwa boosted na mtaji wa mauzo ya miti au ndugu zao ambao tayari wamefanikiwa kwenye biashara. Yaani mkinga akisikia kuna hotel ya mkinga mwenzake atamletea wateja mpaka ashindwe mwenyewe kuwahudumia


3. Stage waliyopo wakinga wachagga walishakuwepo late 90's na early 2000's, sahizi wachagga wengi wamehamia kwenye real estate, lodge/hotels, makampuni ya ujenzi n.k

4. Wakinga na wachagga ni wapambanaji sana kiasili, hawana destruri ya uvivu na kubweteka hovyo hovyo.
 
Duh
 
Sio kariakoo tu. Mkinga akiingia sehemu yoyote mchaga hakai,mhindi hakai wala mpemba hakai. Hawa hawachangamani,sababu staili ya mkinga ya ufanyaji biashara ni unique sana.
Mswahili bwana. Wewe unadhani wahindi wamekimbia biashara ya maduka! Hawajakimbia ila wameshapitia hiyo hatua. Hao wakinga ndiyo kwao kunakucha sasa hivi wakati wahindi ni jioni.
 
Mkinga ni kabila linalopatikana mkoa gani?
 
Wana meli zao ipi mkuu hiyo mkuu na ni mkinga yupi yupo Guanzhou?
 
Emu anza ubahili baada ya 20 years uje hapa uniambie kama umekuwa tajiri.
Wanajidanganya ivyo awajui yakwamba awa matajiri kupitia biashara zao zinawajngizia faida kubwa ila kwenye matumizi ni watumiaji wazuri wa pesa kuliko hata masikini.
 
We utakuwa mchaga hupendi mtu mwingine anayefanya vizuri asifiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…