Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Nani kakudanganya wachaga wanaofanya biashara wamesoma? Hiyo reaserch ulifanyia wapiWachaga wapo mbali sana kibiashara. Elimu imewasaidia, huwezi kufananisha na kabila lolote Tanzania.
Mchaga hataki mazoea na mteja ...hii ndio imekuwa fursa ya mkinga na Mbena kufanya vizuri sokoniMchaga anamuheshimu mteja kabla hajanunua. Mteja akishanunua bidhaa, hata wakati anaaga haambiwi karibu tena
Huku kwetu kuna mchaga ana duka la nguo na viatu,kwanza hataki inshu za kujalibia kuvaa kiatu au nguo,pili akitamka bei ndo hyo hyo hapunguzi na ukiendelea kujiliza liza pale anakwambia kwa ukari kuwa "siuzi"Mchaga anamuheshimu mteja kabla hajanunua. Mteja akishanunua bidhaa, hata wakati anaaga haambiwi karibu tena
Hatari! Sijui anawezaje ku survive ushindaniHuku kwetu kuna mchaga ana duka la nguo na viatu,kwanza hataki inshu za kujalibia kuvaa kiatu au nguo,pili akitamka bei ndo hyo hyo hapunguzi na ukiendelea kujiliza liza pale anakwambia kwa ukari kuwa "siuzi"
Cha ajabu yupo siku nyingi na anaendelea na wateja anapata
Sasa hapo tatizo nini?Hao wakinga 90% waliiteka Tunduma saivi wamehamia kariakoo
Kuna mkinga mwenye mahotel ya "WANYAMA HOTEL" alikuwa tajiri balaaa ana maghorofa zaidi ya 5 hapa kariakoo
Lakini jamaa alipofariki wakasafirisha maiti kupeleka huko kwao walikosa hata pakulaza jeneza, jamaa hana hata kinyumba cha chumba kimoja hapo kwao
Iliwabidi maiti walaze kwenye nyumba ya babaake mdogo
Wachaga wanaabudu pesa,wapo tayari kuua kwa ajili ya pesaWachaga ibaki tu kwamba ndio wa kuigwa. KWAMBA KILA KABILA LAZIMA KUIGA NA KUJIFUNZA KWA WACHAGA.
Unajenga pa kuishi au pa kuzikwa? Huu upumbavu unatakiwa ukome.Ila ndo muwe mnajenga makwenu sasa.
Siyo kuwa vishimba mjini alafu mkifa Hata pa kuweka Jeneza hakuna
Unajua hizi mizania zenu haziko sawa ila umeamua tu kujidanganya mwenyewe.Ila wakinga ni wachache ila wanakuja na moto wamekuwa fame ivi karibuni na kweli wanateka soko nawasifu coz ni kabila dogo hata Kwa idadi ya watu na kihistoria
Bado unaamini utajiri wa kichawi? Pira hakukisea kukuita primitive.Uneducated & witches sana, alafu acha kuwa over rate hao wakinga, they are not at all business tycoons..!!
Yani mbena utamjua tu kwenye hii mijadala, penye wakinga wanapenda kuweka "wakinga / wabena" yani ukimkuta mbena kwenye hii mijadala atatumia nguvu kubwa sana ionekane mkinga na mbena ni kitu kimoja wakati wahege ndio ndugu za wabena maan hata lugha zinafanana ππ.Nimezunguka siku 32 Tanzania nzima kwenye miji mikuu na midogo inayofikika kwa lami kasoro Kigoma na Kagera
Nilikuwa na Kampuni moja hivi ya nje kwenye reaserch flani
Na nikafanya reaserch ya siri mimi nilitaka nione kama ni kweli wachaga wamesambaa Kila mahali na wanafanya vizuri kuliko watu wengine Nikakuta sio kweli
1. Kariakoo. Nilikuta wamekutana na upinzani mkali wamezidiwa na Wakinga
2. Tanga , Lushoto na Handeni ...ni mchanganyiko Kila mtu anapambana
Kama lushoto wenyeji wako moto sana ndio wakulima wakubwa wa Matunda na mboga mboga na wasafirishaji pia.
3. Handeni ..Mchanganyiko kidogo ila nimeona mchaga mmoja ni Mama mwenye duka kubwa la agrovet ndio aliyechangamka pale wengine ni Mchanganyiko
3. Lindi. Kondeboys wanafanya vizuri na wabena ingawa huu mji nao sijakuelewa vizuri
Pamepoa sana.
4.Masasi. Pako vizuri sana. Wafanyabiasha wakubwa hapa ni wabena na Wakinga na Kondeboys kidogo wanajitahidi.
5. Mtwara yote hii Wakinga / Wabena
6. SONGEA. Wakinga/ wabena
Labda huyu mwenye La chazz night club
Sijamjua Challes Hilary ni kabila gani
7. Njombe. Wenyeji wako very active Wakinga / Wabena
Mahotel mazuri, lodges nzuri wanatawala vizuri
8. Makambako . Wahehe/ Wakinga
9. Iringa. Vile vile ila niliingia kwenye bar moja ya mchaga inafanya vizuri
10.Mafinga. Wakinga. Na ndio Fredy vunja bei amekita mzizi kama home na kuweka Chachu kwa vijana wengi
11. Mbeya . Changanyikeni wachaga wapo, wanyakyusa wapo wahehe , wabena, Kila mtu yupo huko
12. Tunduma. Wakinga / Wabena na Mchanganyiko
13. Sumbawanga. Hakuna bingwa biashara kubwa zimeshikwa na waarabu wa Tawakall
Hawa wenye Dew Drop Kampuni ya maji
14. Mpanda. Pamechangamka sana ila hakuna bingwa Kila mtu anagusa kidogo kidogo maendeleo yanakuja
15. Tabora. Mji mkongwe ....sijaona chochote kilichonivutia
16. Nzega. Lodge nyingi tu ..Na vijana wengi kutoka singida wanyaturu na wanyiramba ndio wapambanaji hapa
17. Kahama. Hapa ni amazing. Kila kabila lipo na Kila mchunguli fursa.
Nililala submarine hotel nikafeel kama Niko Arusha uchumi ni kunyang'anyana hakuja shujaa
18.Singida. Wachaga wamevamia kidogo kwa Kasi hata manyoni hapo wapo Nililala Narumu hotel ni ya mchaga
19.Dodoma.
Ngoma droo Kila mtu anazama pango jipya
20.Moro. Changanyikeni
Wacha nipumzuke kidogo nitarudi tumalizie ziwani.
Unamaamini uchawi unaweza kuwa nguzo?90% ya Wakinga wajasoma,nadhani wote mnajua hulka za watu ambapo hawajasoma-ushirikina ndio nguzo yao.
SAWA ila sio kiivyo useme Kila Kona kutoka a na idadi yao kuwa wengi na biashara tunazungumzia kubwa zile kiasi Cha kuteka masoko wachaga ni wengi Kwa population ndo Kila Kona wapo hata wasukuma ndo namba moja kila kona wapoUnajua hizi mizania zenu haziko sawa ila umeamua tu kujidanganya mwenyewe.
Wachaga wako wengi mno na ni miongoni mwa makabila makubwa matatu Tanzania.
1. Wasukuma (sisi)
2. Wanyakyusa
3. Wachaga
Mchaga yupo hadi vijiji ambavyo huwezi kudhani atakuwepo na anaendesha biashara zake huyo mkinga ataweza kutapakaa hivyo? Kariakoo wapo ni kweli wanafanya biashara gani kama si ndogondogo?
Wabena na wakinga ni kama hawana utofauti Sana wote wanamiliki uchumi mkubwa na familia boraYani mbena utamjua tu kwenye hii mijadala, penye wakinga wanapenda juweka "wakinga / wabena" yani ukimkuta mbena atatumia nguvu kubwa sana ionekane mkinga na mbena ni kitu kimoja ππ.
wabena waache starehe wafanye kazi aisee.
nipo mbeya huku nawajua wakinga na Dar naowajua ni wakinga, kuna wakunga sio awkinga / wabena π
Nyumba ya kuishi.Unajenga pa kuishi au pa kuzikwa? Huu upumbavu unatakiwa ukome.