Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Nawasalimia wana JF wote.

Katika mwendelezo wangu wa kuwafundisha na kuwafungua macho watu, leo nimeonelea nilete siri iliyomo katika kufunga.

Kwanza kabisa nawaomba muelewe kwamba, kuna namna nyingi sana ya kufunga lakini nitaongelea namna tatu:-
1. Kufunga kwa malengo
2. Kufunga kwa mujibu wa utaratibu au sheria
3. Kufunga kwa mkumbo

Sitaelezea kila moja maana lengo la waraka huu ni kuongelea siri iliyomo katika kufunga.

Kuna njia nyingi ambazo hutumika katika kufunga lakini mimi leo ninaongelea njia moja ambayo huwa naitumia katika kufunga siku 21.

Mara ya kwanza kabisa nilifunga siku tatu mfululizo pasipi kula wala kunywa. Nilikuwa nimefunga na nimejifungia sehemu kwa ajili ya kusali na kuomba. Katika mfungo huo niligundua kuwa:-
1. Unapofunga unaufanya mwili uweze kukutii na kuanza kusikiliza kutoka ndani

2. Unapofunga unapata muda wa kuwasiliana na high self.

3. Kufunga holela pasipo utaratibu unaweza ukaathiri afya ya mwili wako.

4. Kufunga pasipo kufundishwa njia zilizomo katika ulimwengu wa roho, unaweza ukajikuta unarukwa na akili baada ya mfungo.

Ikumbukwe unapofunga unaufisha mwili ili uweze kuingia katika ulimwengu wa roho. Katika ulimwengu wa roho kuna levels 6, as I know mpaka sasa. Katika level ya kwanza utakutana na vurugu za kila namna. Hapajatulia, maana ni rahisi kwenda. Level hiyo kwa mara nyingi huwa tunaiita PEPO. Kwahiyo usipofundishwa namna ya kutembea katika ulimwengu huo; unaweza ukajikuta baada ya mfungo unakuwa mtu wa ajabu, au mara nyingine unarukwa na akili.

JINSI YA KUFUNGA UNAINGIA ROHONI PASIPO KUATHIRI AFYA

Niliweza kujifunza namna ya kufanya na kuniwezesha kila mwaka kufunga siku 21 mfululizo. Unatakiwa uwe na asali, sukari na maji.

Kila siku baada kufanya maombi ya asubuhi; chemsha maji, baada ya maji kuchemka kiwango cha chai, tia asali na sukari, kuywa kikombe kimoja mpaka viwili (Kikombe cha chai).

Ikifika jioni kama saa 12 au saa moja fanya hivyo hivyo, yaani chemsha maji tia sukari na asali.

Fanya hivyo kila siku mpaka siku 21. Mwili wako utaendelea kufanya kazi na hapo hapo utaweza kuingia ulimwengu wa Roho.

UWE NA JAMBO(MAMBO) LINALOKUFANYA UFUNGE

Utakapokuwa na jambo lililokufanya ufunge, litakusaidia kwamba utakapokuwa kwenye maombi na sala utajikita katika jambo lililokufanya ufunge. Sasa basi hii itakusaidia utakapikuwa katika level ya kwanza ya ulimwengu wa roho, hutababaika na yale yatakayokuwa yanatokea. Maana ukifunga pasipokuwa na jambo lolote, utajikuta unazagaa tu kwenye huo ulimwengu, kwahiyo chochote kitakachokuwa kinatokea ni halali yako.

Kuna nguvu katika kutamka. Tamka kwa kurudia rudia jambo unalotaka (Chanting). Liongea kwa sauti au ikiwezekana tengeneza wimbo.

Wakati wa kusali na kuomba, tafuta sehemu ya faradha.


NITAENDELEA NA SOMO HILI....
 
Nasubiria funga aina nyingine.. nimewahi kuweka nia ya kufunga na nkafunga mwaka jana kipindi cha kwa resima.

Ila ilivyofika saa 9 ntapambana na njaa na hasira na myu naye qkaja akanivuruga end of the story nkashusha hasira na kitimoto
 
ULIMWENGU WA ROHO

Pale utakapofunga, utaufanya mwili uwe dhaifu. Mwili utaanza ku regulate namna ya kutuzakisha energy kwenye mwili kwa matumizi madogo ya chakula kilichopo kwenye mwili wako.

Kwakuwa unatumia asali na sukari huku ukiwa umevichanganya na maji, mwili utakuwa unapata kiwango kidogo cha chakula, kwahiyo mwili utaacha ku process unnecessary activities. Ndipo hapo milango ya fahamu na thought zitapunguza utendaji wake wa kazi. Ndipo hapo ulimwengu wa roho utakapoanza kuchukua nafasi.

Unaweza usiingie katika ulimwengu wa roho at the first week, lakini utakapoendelea kutenga muda wa faragha utaanza kuingia taratibu. Nakuhakikishia kabla ya siku hizo 21 kuisha utakuwa umekutana na mambo mengi.

Katika ulimwengu wa roho level one. Kuna vurugu za kila aina. Utakutana na kuzungumza na kila aina ya roho. Hakikisha lengo lako lililokufanya ufunge unalizingatia. Chanting inakuwa kama gateway ya kuingia huko.

Ni kwambie ukweli, usipo kuwa makini na kuwa mwangalifu, baada ya siku hizo utarukwa na akili. Utagudua mambo mengi ikiwamo kwamba uhalisia wetu ni ulimwengu wa roho. Utaweza kukutana na watu waliokufa na kuongea nao ana kwa ana. Na ukiwauliza wakupe evidences ya hayo wanayo yaongea watakupatia, na uta prove.

Utaweza kutembea (utaweza hata kuwasiliana na nafsi ya mtu aliyehai na kufanya jambo fulani). Hapa sasa baada ya mfungo wengine hugeuka na kuwa wachawi, wasoma nyota na waonaji.

Kumeibuka na kundi kubwa la walokole wanaojiita manabii. Ukweli ni kwamba hao ni waonaji sawa na wapiga ramli. Hao watu wanauwezo wa kukuelezea matukio yako yote yaliyopita.

Hata wewe ukifika katika ulimwengu wa roho jicho lako la tatu(spiritual eye) litaanza kufunguka. Lakini my WARNING tafuta kwenda mbali zaidi katika ulimwengu wa roho, usiishie hapo tu. Go to the most higher ili uweze kuwa enlighten. Katika level ya kwanza utakuwa na uwezo wa kuwasiliana na watu waliokufa na kuwa muonaji. Hii siyo enlightenment, enlightenment ni kujua siri kuu za spiritual world.

Utakapoanza kuona, unakutana waliokufa zamani na kuongea nao; USIOGOPE upo katika safari ya kuelekea ulimwengu wa roho level ya juu zaidi.

USIWAPE MBWA CHAKULA CHA WATOTO.

Nitatoa summary but not details.

NITAENDELEA.....
 
Nawasalimia wana JF wote.

Katika mwendelezo wangu wa kuwafundisha na kuwafungua macho watu, leo nimeonelea nilete siri iliyomo katika kufunga.

Kwanza kabisa nawaomba muelewe kwamba, kuna namna nyingi sana ya kufunga lakini nitaongelea namna tatu:-
1. Kufunga kwa malengo
2. Kufunga kwa mujibu wa utaratibu au sheria
3. Kufunga kwa mkumbo

Sitaelezea kila moja maana lengo la waraka huu ni kuongelea siri iliyomo katika kufunga.

Kuna njia nyingi ambazo hutumika katika kufunga lakini mimi leo ninaongelea njia moja ambayo huwa naitumia katika kufunga siku 21.

Mara ya kwanza kabisa nilifunga siku tatu mfululizo pasipi kula wala kunywa. Nilikuwa nimefunga na nimejifungia sehemu kwa ajili ya kusali na kuomba. Katika mfungo huo niligundua kuwa:-
1. Unapofunga unaufanya mwili uweze kukutii na kuanza kusikiliza kutoka ndani

2. Unapofunga unapata muda wa kuwasiliana na high self.

3. Kufunga holela pasipo utaratibu unaweza ukaathiri afya ya mwili wako.

4. Kufunga pasipo kufundishwa njia zilizomo katika ulimwengu wa roho, unaweza ukajikuta unarukwa na akili baada ya mfungo.

Ikumbukwe unapofunga unaufisha mwili ili uweze kuingia katika ulimwengu wa roho. Katika ulimwengu wa roho kuna levels 6, as I know mpaka sasa. Katika level ya kwanza utakutana na vurugu za kila namna. Hapajatulia, maana ni rahisi kwenda. Level hiyo kwa mara nyingi huwa tunaiita PEPO. Kwahiyo usipofundishwa namna ya kutembea katika ulimwengu huo; unaweza ukajikuta baada ya mfungo unakuwa mtu wa ajabu, au mara nyingine unarukwa na akili.

JINSI YA KUFUNGA UNAINGIA ROHONI PASIPO KUATHIRI AFYA

Niliweza kujifunza namna ya kufanya na kuniwezesha kila mwaka kufunga siku 21 mfululizo. Unatakiwa uwe na asali, sukari na maji.

Kila siku baada kufanya maombi ya asubuhi; chemsha maji, baada ya maji kuchemka kiwango cha chai, tia asali na sukari, kuywa kikombe kimoja mpaka viwili (Kikombe cha chai).

Ikifika jioni kama saa 12 au saa moja fanya hivyo hivyo, yaani chemsha maji tia sukari na asali.

Fanya hivyo kila siku mpaka siku 21. Mwili wako utaendelea kufanya kazi na hapo hapo utaweza kuingia ulimwengu wa Roho.

UWE NA JAMBO(MAMBO) LINALOKUFANYA UFUNGE

Utakapokuwa na jambo lililokufanya ufunge, litakusaidia kwamba utakapokuwa kwenye maombi na sala utajikita katika jambo lililokufanya ufunge. Sasa basi hii itakusaidia utakapikuwa katika level ya kwanza ya ulimwengu wa roho, hutababaika na yale yatakayokuwa yanatokea. Maana ukifunga pasipokuwa na jambo lolote, utajikuta unazagaa tu kwenye huo ulimwengu, kwahiyo chochote kitakachokuwa kinatokea ni halali yako.

Kuna nguvu katika kutamka. Tamka kwa kurudia rudia jambo unalotaka (Chanting). Liongea kwa sauti au ikiwezekana tengeneza wimbo.

Wakati wa kusali na kuomba, tafuta sehemu ya faradha.


NITAENDELEA NA SOMO HILI....
Nataka nifunge bila kula kwa siku 5, nataka nafsi yangu iniambie mimi ni nani.
 
Asante sana kwa mafundisho.Hapa nilipo nimefunga siku 7. Namalizia leo mfungo wangu. Lakini si mfungo kama unavyoeleza wewe. Nimefunga kula na kunywa,ila nakula mara moja tu saa 2 usiku.

Na maombi yangu ni mchanganyiko. Yaani ninayo hayapungui matatu yote nayawasirisha. Muda wangu wa kusali sana ni kuanzia saa 2,3 usiku. Lakini si zaidi ya saa moja nikiingia kuomba. Asubuhi nikiamka pia nasali. Naenda kazini. Kwa hiyo hapo nimekosea?
 
IMG_20220204_115925_877.jpg
 
ULIMWENGU WA ROHO

Pale utakapofunga, utaufanya mwili uwe dhaifu. Mwili utaanza ku regulate namna ya kutuzakisha energy kwenye mwili kwa matumizi madogo ya chakula kilichopo kwenye mwili wako.

Kwakuwa unatumia asali na sukari huku ukiwa umevichanganya na maji, mwili utakuwa unapata kiwango kidogo cha chakula, kwahiyo mwili utaacha ku process unnecessary activities. Ndipo hapo milango ya fahamu na thought zitapunguza utendaji wake wa kazi. Ndipo hapo ulimwengu wa roho utakapoanza kuchukua nafasi.

Unaweza usiingie katika ulimwengu wa roho at the first week, lakini utakapoendelea kutenga muda wa faragha utaanza kuingia taratibu. Nakuhakikishia kabla ya siku hizo 21 kuisha utakuwa umekutana na mambo mengi.

Katika ulimwengu wa roho level one. Kuna vurugu za kila aina. Utakutana na kuzungumza na kila aina ya roho. Hakikisha lengo lako lililokufanya ufunge unalizingatia. Chanting inakuwa kama gateway ya kuingia huko.

Ni kwambie ukweli, usipo kuwa makini na kuwa mwangalifu, baada ya siku hizo utarukwa na akili. Utagudua mambo mengi ikiwamo kwamba uhalisia wetu ni ulimwengu wa roho. Utaweza kukutana na watu waliokufa na kuongea nao ana kwa ana. Na ukiwauliza wakupe evidences ya hayo wanayo yaongea watakupatia, na uta prove.

Utaweza kutembea (utaweza hata kuwasiliana na nafsi ya mtu aliyehai na kufanya jambo fulani). Hapa sasa baada ya mfungo wengine hugeuka na kuwa wachawi, wasoma nyota na waonaji.

Kumeibuka na kundi kubwa la walokole wanaojiita manabii. Ukweli ni kwamba hao ni waonaji sawa na wapiga ramli. Hao watu wanauwezo wa kukuelezea matukio yako yote yaliyopita.

Hata wewe ukifika katika ulimwengu wa roho jicho lako la tatu(spiritual eye) litaanza kufunguka. Lakini my WARNING tafuta kwenda mbali zaidi katika ulimwengu wa roho, usiishie hapo tu. Go to the most higher ili uweze kuwa enlighten. Katika level ya kwanza utakuwa na uwezo wa kuwasiliana na watu waliokufa na kuwa muonaji. Hii siyo enlightenment, enlightenment ni kujua siri kuu za spiritual world.

Utakapoanza kuona, unakutana waliokufa zamani na kuongea nao; USIOGOPE upo katika safari ya kuelekea ulimwengu wa roho level ya juu zaidi.

USIWAPE MBWA CHAKULA CHA WATOTO.

Nitatoa summary but not details.

NITAENDELEA.....
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa huu uziefu ninao ila nashaurri kama huna elimu hii usifanye hivyoo,inaweza kukuchanganya
 
Nawasalimia wana JF wote.

Katika mwendelezo wangu wa kuwafundisha na kuwafungua macho watu, leo nimeonelea nilete siri iliyomo katika kufunga.

Kwanza kabisa nawaomba muelewe kwamba, kuna namna nyingi sana ya kufunga lakini nitaongelea namna tatu:-
1. Kufunga kwa malengo
2. Kufunga kwa mujibu wa utaratibu au sheria
3. Kufunga kwa mkumbo

Sitaelezea kila moja maana lengo la waraka huu ni kuongelea siri iliyomo katika kufunga.

Kuna njia nyingi ambazo hutumika katika kufunga lakini mimi leo ninaongelea njia moja ambayo huwa naitumia katika kufunga siku 21.

Mara ya kwanza kabisa nilifunga siku tatu mfululizo pasipi kula wala kunywa. Nilikuwa nimefunga na nimejifungia sehemu kwa ajili ya kusali na kuomba. Katika mfungo huo niligundua kuwa:-
1. Unapofunga unaufanya mwili uweze kukutii na kuanza kusikiliza kutoka ndani

2. Unapofunga unapata muda wa kuwasiliana na high self.

3. Kufunga holela pasipo utaratibu unaweza ukaathiri afya ya mwili wako.

4. Kufunga pasipo kufundishwa njia zilizomo katika ulimwengu wa roho, unaweza ukajikuta unarukwa na akili baada ya mfungo.

Ikumbukwe unapofunga unaufisha mwili ili uweze kuingia katika ulimwengu wa roho. Katika ulimwengu wa roho kuna levels 6, as I know mpaka sasa. Katika level ya kwanza utakutana na vurugu za kila namna. Hapajatulia, maana ni rahisi kwenda. Level hiyo kwa mara nyingi huwa tunaiita PEPO. Kwahiyo usipofundishwa namna ya kutembea katika ulimwengu huo; unaweza ukajikuta baada ya mfungo unakuwa mtu wa ajabu, au mara nyingine unarukwa na akili.

JINSI YA KUFUNGA UNAINGIA ROHONI PASIPO KUATHIRI AFYA

Niliweza kujifunza namna ya kufanya na kuniwezesha kila mwaka kufunga siku 21 mfululizo. Unatakiwa uwe na asali, sukari na maji.

Kila siku baada kufanya maombi ya asubuhi; chemsha maji, baada ya maji kuchemka kiwango cha chai, tia asali na sukari, kuywa kikombe kimoja mpaka viwili (Kikombe cha chai).

Ikifika jioni kama saa 12 au saa moja fanya hivyo hivyo, yaani chemsha maji tia sukari na asali.

Fanya hivyo kila siku mpaka siku 21. Mwili wako utaendelea kufanya kazi na hapo hapo utaweza kuingia ulimwengu wa Roho.

UWE NA JAMBO(MAMBO) LINALOKUFANYA UFUNGE

Utakapokuwa na jambo lililokufanya ufunge, litakusaidia kwamba utakapokuwa kwenye maombi na sala utajikita katika jambo lililokufanya ufunge. Sasa basi hii itakusaidia utakapikuwa katika level ya kwanza ya ulimwengu wa roho, hutababaika na yale yatakayokuwa yanatokea. Maana ukifunga pasipokuwa na jambo lolote, utajikuta unazagaa tu kwenye huo ulimwengu, kwahiyo chochote kitakachokuwa kinatokea ni halali yako.

Kuna nguvu katika kutamka. Tamka kwa kurudia rudia jambo unalotaka (Chanting). Liongea kwa sauti au ikiwezekana tengeneza wimbo.

Wakati wa kusali na kuomba, tafuta sehemu ya faradha.


NITAENDELEA NA SOMO HILI....
Nipo siti ya mbele mkuu nasubiri [emoji120]
 
ULIMWENGU WA ROHO

Pale utakapofunga, utaufanya mwili uwe dhaifu. Mwili utaanza ku regulate namna ya kutuzakisha energy kwenye mwili kwa matumizi madogo ya chakula kilichopo kwenye mwili wako.

Kwakuwa unatumia asali na sukari huku ukiwa umevichanganya na maji, mwili utakuwa unapata kiwango kidogo cha chakula, kwahiyo mwili utaacha ku process unnecessary activities. Ndipo hapo milango ya fahamu na thought zitapunguza utendaji wake wa kazi. Ndipo hapo ulimwengu wa roho utakapoanza kuchukua nafasi.

Unaweza usiingie katika ulimwengu wa roho at the first week, lakini utakapoendelea kutenga muda wa faragha utaanza kuingia taratibu. Nakuhakikishia kabla ya siku hizo 21 kuisha utakuwa umekutana na mambo mengi.

Katika ulimwengu wa roho level one. Kuna vurugu za kila aina. Utakutana na kuzungumza na kila aina ya roho. Hakikisha lengo lako lililokufanya ufunge unalizingatia. Chanting inakuwa kama gateway ya kuingia huko.

Ni kwambie ukweli, usipo kuwa makini na kuwa mwangalifu, baada ya siku hizo utarukwa na akili. Utagudua mambo mengi ikiwamo kwamba uhalisia wetu ni ulimwengu wa roho. Utaweza kukutana na watu waliokufa na kuongea nao ana kwa ana. Na ukiwauliza wakupe evidences ya hayo wanayo yaongea watakupatia, na uta prove.

Utaweza kutembea (utaweza hata kuwasiliana na nafsi ya mtu aliyehai na kufanya jambo fulani). Hapa sasa baada ya mfungo wengine hugeuka na kuwa wachawi, wasoma nyota na waonaji.

Kumeibuka na kundi kubwa la walokole wanaojiita manabii. Ukweli ni kwamba hao ni waonaji sawa na wapiga ramli. Hao watu wanauwezo wa kukuelezea matukio yako yote yaliyopita.

Hata wewe ukifika katika ulimwengu wa roho jicho lako la tatu(spiritual eye) litaanza kufunguka. Lakini my WARNING tafuta kwenda mbali zaidi katika ulimwengu wa roho, usiishie hapo tu. Go to the most higher ili uweze kuwa enlighten. Katika level ya kwanza utakuwa na uwezo wa kuwasiliana na watu waliokufa na kuwa muonaji. Hii siyo enlightenment, enlightenment ni kujua siri kuu za spiritual world.

Utakapoanza kuona, unakutana waliokufa zamani na kuongea nao; USIOGOPE upo katika safari ya kuelekea ulimwengu wa roho level ya juu zaidi.

USIWAPE MBWA CHAKULA CHA WATOTO.

Nitatoa summary but not details.

NITAENDELEA.....
Nafasi ya Mungu ni IPI mpaka hapo? Ina maana huwezi kuwa rohoni mpaka ufunge hizo siku 21?
 
Nafasi ya Mungu ni IPI mpaka hapo? Ina maana huwezi kuwa rohoni mpaka ufunge hizo siku 21?
Na wewe mkuu tumia hata akili za kuzaliwa basi,utawezaje kuwa Rohoni wakati umeshiba kitimoto rost na ndizi? Halafu mbele yako anapita mwanamke mrembo mwenye matako makubwa concentration yako yote inahamia kwake.
Kufunga maana yake ni kwamba,unaunyima mwili mahitaji yake ya msingi, yaani unautesa mwili ili Roho ipate wasaa wa kuwasiliana na MUNGU kwa sababu Mungu ni Roho,siyo mwili.
 
Nawasalimia wana JF wote.

Katika mwendelezo wangu wa kuwafundisha na kuwafungua macho watu, leo nimeonelea nilete siri iliyomo katika kufunga.

Kwanza kabisa nawaomba muelewe kwamba, kuna namna nyingi sana ya kufunga lakini nitaongelea namna tatu:-
1. Kufunga kwa malengo
2. Kufunga kwa mujibu wa utaratibu au sheria
3. Kufunga kwa mkumbo

Sitaelezea kila moja maana lengo la waraka huu ni kuongelea siri iliyomo katika kufunga.

Kuna njia nyingi ambazo hutumika katika kufunga lakini mimi leo ninaongelea njia moja ambayo huwa naitumia katika kufunga siku 21.

Mara ya kwanza kabisa nilifunga siku tatu mfululizo pasipi kula wala kunywa. Nilikuwa nimefunga na nimejifungia sehemu kwa ajili ya kusali na kuomba. Katika mfungo huo niligundua kuwa:-
1. Unapofunga unaufanya mwili uweze kukutii na kuanza kusikiliza kutoka ndani

2. Unapofunga unapata muda wa kuwasiliana na high self.

3. Kufunga holela pasipo utaratibu unaweza ukaathiri afya ya mwili wako.

4. Kufunga pasipo kufundishwa njia zilizomo katika ulimwengu wa roho, unaweza ukajikuta unarukwa na akili baada ya mfungo.

Ikumbukwe unapofunga unaufisha mwili ili uweze kuingia katika ulimwengu wa roho. Katika ulimwengu wa roho kuna levels 6, as I know mpaka sasa. Katika level ya kwanza utakutana na vurugu za kila namna. Hapajatulia, maana ni rahisi kwenda. Level hiyo kwa mara nyingi huwa tunaiita PEPO. Kwahiyo usipofundishwa namna ya kutembea katika ulimwengu huo; unaweza ukajikuta baada ya mfungo unakuwa mtu wa ajabu, au mara nyingine unarukwa na akili.

JINSI YA KUFUNGA UNAINGIA ROHONI PASIPO KUATHIRI AFYA

Niliweza kujifunza namna ya kufanya na kuniwezesha kila mwaka kufunga siku 21 mfululizo. Unatakiwa uwe na asali, sukari na maji.

Kila siku baada kufanya maombi ya asubuhi; chemsha maji, baada ya maji kuchemka kiwango cha chai, tia asali na sukari, kuywa kikombe kimoja mpaka viwili (Kikombe cha chai).

Ikifika jioni kama saa 12 au saa moja fanya hivyo hivyo, yaani chemsha maji tia sukari na asali.

Fanya hivyo kila siku mpaka siku 21. Mwili wako utaendelea kufanya kazi na hapo hapo utaweza kuingia ulimwengu wa Roho.

UWE NA JAMBO(MAMBO) LINALOKUFANYA UFUNGE

Utakapokuwa na jambo lililokufanya ufunge, litakusaidia kwamba utakapokuwa kwenye maombi na sala utajikita katika jambo lililokufanya ufunge. Sasa basi hii itakusaidia utakapikuwa katika level ya kwanza ya ulimwengu wa roho, hutababaika na yale yatakayokuwa yanatokea. Maana ukifunga pasipokuwa na jambo lolote, utajikuta unazagaa tu kwenye huo ulimwengu, kwahiyo chochote kitakachokuwa kinatokea ni halali yako.

Kuna nguvu katika kutamka. Tamka kwa kurudia rudia jambo unalotaka (Chanting). Liongea kwa sauti au ikiwezekana tengeneza wimbo.

Wakati wa kusali na kuomba, tafuta sehemu ya faradha.


NITAENDELEA NA SOMO HILI....
Mkuu PM imefungwa. Na humu umekaa kimya pia
 
Back
Top Bottom