TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Nilifanya hii.. Kwa kweli unakuwa mtu tofauti sanaNataka nifunge bila kula kwa siku 5, nataka nafsi yangu iniambie mimi ni nani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilifanya hii.. Kwa kweli unakuwa mtu tofauti sanaNataka nifunge bila kula kwa siku 5, nataka nafsi yangu iniambie mimi ni nani.
Umesema Utaweza Kuzungumza na Waliokufa...Sasa mbona Maandiko yanasema hakuana ushirika Kati ya walio hai na Wafu....ULIMWENGU WA ROHO
Pale utakapofunga, utaufanya mwili uwe dhaifu. Mwili utaanza ku regulate namna ya kutuzakisha energy kwenye mwili kwa matumizi madogo ya chakula kilichopo kwenye mwili wako.
Kwakuwa unatumia asali na sukari huku ukiwa umevichanganya na maji, mwili utakuwa unapata kiwango kidogo cha chakula, kwahiyo mwili utaacha ku process unnecessary activities. Ndipo hapo milango ya fahamu na thought zitapunguza utendaji wake wa kazi. Ndipo hapo ulimwengu wa roho utakapoanza kuchukua nafasi.
Unaweza usiingie katika ulimwengu wa roho at the first week, lakini utakapoendelea kutenga muda wa faragha utaanza kuingia taratibu. Nakuhakikishia kabla ya siku hizo 21 kuisha utakuwa umekutana na mambo mengi.
Katika ulimwengu wa roho level one. Kuna vurugu za kila aina. Utakutana na kuzungumza na kila aina ya roho. Hakikisha lengo lako lililokufanya ufunge unalizingatia. Chanting inakuwa kama gateway ya kuingia huko.
Ni kwambie ukweli, usipo kuwa makini na kuwa mwangalifu, baada ya siku hizo utarukwa na akili. Utagudua mambo mengi ikiwamo kwamba uhalisia wetu ni ulimwengu wa roho. Utaweza kukutana na watu waliokufa na kuongea nao ana kwa ana. Na ukiwauliza wakupe evidences ya hayo wanayo yaongea watakupatia, na uta prove.
Utaweza kutembea (utaweza hata kuwasiliana na nafsi ya mtu aliyehai na kufanya jambo fulani). Hapa sasa baada ya mfungo wengine hugeuka na kuwa wachawi, wasoma nyota na waonaji.
Kumeibuka na kundi kubwa la walokole wanaojiita manabii. Ukweli ni kwamba hao ni waonaji sawa na wapiga ramli. Hao watu wanauwezo wa kukuelezea matukio yako yote yaliyopita.
Hata wewe ukifika katika ulimwengu wa roho jicho lako la tatu(spiritual eye) litaanza kufunguka. Lakini my WARNING tafuta kwenda mbali zaidi katika ulimwengu wa roho, usiishie hapo tu. Go to the most higher ili uweze kuwa enlighten. Katika level ya kwanza utakuwa na uwezo wa kuwasiliana na watu waliokufa na kuwa muonaji. Hii siyo enlightenment, enlightenment ni kujua siri kuu za spiritual world.
Utakapoanza kuona, unakutana waliokufa zamani na kuongea nao; USIOGOPE upo katika safari ya kuelekea ulimwengu wa roho level ya juu zaidi.
USIWAPE MBWA CHAKULA CHA WATOTO.
Nitatoa summary but not details.
NITAENDELEA.....
Ngoja nianze kwa kusema.Umesema Utaweza Kuzungumza na Waliokufa...Sasa mbona Maandiko yanasema hakuana ushirika Kati ya walio hai na Wafu....
Na Ni Jambo gani hasa unazungumza na Wafu...?
Sisi maustadh vipi inatuhusu?KAMA KUNA MTU ANALO SWALI KUHUSU TOPIC HII AULIZE
Unaweza ukauliza tu.Sisi maustadh vipi inatuhusu?
Unakuwaj mkuu me nasukumwa ndan yangu kufunga Tatu kavu lkn sijui nianzie wapiNilifanya hii.. Kwa kweli unakuwa mtu tofauti sana
Mfungo wa tatu kavu unaendaje nidadavulie tafadhali mkuuKAMA KUNA MTU ANALO SWALI KUHUSU TOPIC HII AULIZE
Kwa mfungo mzuri usioweza kuathiri afya nivyema ukawa unachemsha maji asubuhi na jioni na kuweka asali na sukari. Unatumia kikombe kimoja cha chai.Mfungo wa tatu kavu unaendaje nidadavulie tafadhali mkuu
Asante mkuuKwa mfungo mzuri usioweza kuathiri afya nivyema ukawa unachemsha maji asubuhi na jioni na kuweka asali na sukari. Unatumia kikombe kimoja cha chai.
Tenga muda wa kufanya sala na maombi.
Mimi nashauri uweze kuamka saa nane za usiku. Muda huo utakuwa umetulia.
Na SAA Tisa ndo mida ya mkuu wa angaKwa mfungo mzuri usioweza kuathiri afya nivyema ukawa unachemsha maji asubuhi na jioni na kuweka asali na sukari. Unatumia kikombe kimoja cha chai.
Tenga muda wa kufanya sala na maombi.
Mimi nashauri uweze kuamka saa nane za usiku. Muda huo utakuwa umetulia.