Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #61
JAMBO NI KUFANYA SIYO KUONGEA
Mambo haya siyo ya kuongea tu.
Mimi ninachokisema kipo kinafanyika. Wewe ni uchaguzi wako. Maarifa haya yapo na wengi huyatumia.
Kuna dini na madhehebu yapo yameandaa SALA na DUA katika maandishi. Wale watu wakikaa wiki au zaidi ya wiki wamejifungia kwa jambo hilo hilo huku wamefunga, hakika nakuambia litatokea.
Halafu haya mambo ninayoyaongelea hapa ni masuala ya IMANI. IMANI(Hisia) lazima ihusiane na MATAKWA(will)
FAITH AND WILL
vikiungana kwa pamoja lazima jambo litokee.
Wengine wanasema huwezi kumshawishi Mungu kupitia kufunga na kusali.
Watu hapa wanaongelea kitu tofauti kabisa. Hapa tunaongelea kuingia katika ulimwengu wa roho.
Mambo haya siyo ya kuongea tu.
Mimi ninachokisema kipo kinafanyika. Wewe ni uchaguzi wako. Maarifa haya yapo na wengi huyatumia.
Kuna dini na madhehebu yapo yameandaa SALA na DUA katika maandishi. Wale watu wakikaa wiki au zaidi ya wiki wamejifungia kwa jambo hilo hilo huku wamefunga, hakika nakuambia litatokea.
Halafu haya mambo ninayoyaongelea hapa ni masuala ya IMANI. IMANI(Hisia) lazima ihusiane na MATAKWA(will)
FAITH AND WILL
vikiungana kwa pamoja lazima jambo litokee.
Wengine wanasema huwezi kumshawishi Mungu kupitia kufunga na kusali.
Watu hapa wanaongelea kitu tofauti kabisa. Hapa tunaongelea kuingia katika ulimwengu wa roho.