Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #41
Kuwa mwanga au mchawi ni application ya spiritual power. Unafanya mida ya usiku kwa sababu hali ya hewa na kuna utulivu.Na SAA Tisa ndo mida ya mkuu wa anga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa mwanga au mchawi ni application ya spiritual power. Unafanya mida ya usiku kwa sababu hali ya hewa na kuna utulivu.Na SAA Tisa ndo mida ya mkuu wa anga
Mkuu sorry, uzi wako una hang sana. Sijafahamu hata una base kwa Mungu au miungu ufundishapo hapa kuingia katika ulimwengu wa kiroho ili kupata matokeo.Kuwa mwanga au mchawi ni application ya spiritual power. Unafanya mida ya usiku kwa sababu hali ya hewa na kuna utulivu.
Mkuu samahani bado sijaelewa yaani swali langu hujaninibu...Hilo la Sauli kumwendea mwanamke mchawi ili Kujua ya Rohoni Ni baada ya Mungu kutokumjibu Sauli kwa Lolote....ndipo saulinakaamua kuwaendea wenye pepo wa UtambuziNgoja nianze kwa kusema.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.
Kisha niongezee kwa kusema Andiko linaua bali Roho anahuisha.
Sasa hebu soma katika biblia upate kujua mzimu wa Samweli ulivyopandishwa.
11 Ndipo yule mwanamke aliposema, Je! Ni nani nitakayekupandishia? Naye akasema, Nipandishie Samweli.
1 Samweli 28:11
13 Mfalme akamwambia Usiogope; waona nini? Yule mwanamke akamwambia Sauli, Naona mungu anatoka katika nchi.
1 Samweli 28:13
14 Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia.
1 Samweli 28:14
Mkuu, Mungu ana_operate kwenye ulimwengu wa kiroho na miungu pia ni hivyo hivyo. Kwahiyo itategemea dhamira/nia yako ipi. Na ndio maana mwenye uzi ameweka wazi kuwa mmoja anaweza kutumia hizo nguvu kwa nia ovu na mwingine akazitumia kwa nia njema.Mkuu sorry, uzi wako una hang sana. Sijafahamu hata una base kwa Mungu au miungu ufundishapo hapa kuingia katika ulimwengu wa kiroho ili kupata matokeo.
Nadhani hapa unaongelea kitu tofauti kabisa na kile ninachokiongelea.Mkuu samahani bado sijaelewa yaani swali langu hujaninibu...Hilo la Sauli kumwendea mwanamke mchawi ili Kujua ya Rohoni Ni baada ya Mungu kutokumjibu Sauli kwa Lolote....ndipo saulinakaamua kuwaendea wenye pepo wa Utambuzi
Sasa tuko kwenye Agano lililo Bora zaidi...na njia ya Kupakaribia patakatifu uko wazi kwa kila aaminiye....
Sasa Ni Jambo gani au siri gani ambayo Roho Mtakatifu ameshindwa kutufunulia Mpaka tukaitafute kwa Kuzungumza na Wafu??
Na Ni Siri gani ambayo Roho Mtakatifu haijui Mpaka kufikia Hatua ya Kuzungumza na Wafu??
Hata Bwana Yesu alituambia Huyo Roho atawafunulia Yote hata Siri na Mafumbo ya Mungu
1 Wakorintho 2:10
[10]Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.
But God hath revealed them unto us by his Spirit: for the Spirit searcheth all things, yea, the deep things of God.
Heeee!!!! Mkuu wa anga nani na anafanya nn mda huo? Na je mtu akiamka mda huo akaomba nn kitatokea???Na SAA Tisa ndo mida ya mkuu wa anga
Asee! Sikua nafahamu hili. Mtu afunga tatu kavu kwa Bwana halafu anaingia ulimwengu wa kiroho kufanya ushirika na miungu na kuongea na marehemu.Mkuu, Mungu ana_operate kwenye ulimwengu wa kiroho na miungu pia ni hivyo hivyo. Kwahiyo itategemea dhamira/nia yako ipi. Na ndio maana mwenye uzi ameweka wazi kuwa mmoja anaweza kutumia hizo nguvu kwa nia ovu na mwingine akazitumia kwa nia njema.
Nawasalimia wana JF wote.
Katika mwendelezo wangu wa kuwafundisha na kuwafungua macho watu, leo nimeonelea nilete siri iliyomo katika kufunga.
Kwanza kabisa nawaomba muelewe kwamba, kuna namna nyingi sana ya kufunga lakini nitaongelea namna tatu:-
1. Kufunga kwa malengo
2. Kufunga kwa mujibu wa utaratibu au sheria
3. Kufunga kwa mkumbo
Sitaelezea kila moja maana lengo la waraka huu ni kuongelea siri iliyomo katika kufunga.
Kuna njia nyingi ambazo hutumika katika kufunga lakini mimi leo ninaongelea njia moja ambayo huwa naitumia katika kufunga siku 21.
Mara ya kwanza kabisa nilifunga siku tatu mfululizo pasipi kula wala kunywa. Nilikuwa nimefunga na nimejifungia sehemu kwa ajili ya kusali na kuomba. Katika mfungo huo niligundua kuwa:-
1. Unapofunga unaufanya mwili uweze kukutii na kuanza kusikiliza kutoka ndani
2. Unapofunga unapata muda wa kuwasiliana na high self.
3. Kufunga holela pasipo utaratibu unaweza ukaathiri afya ya mwili wako.
4. Kufunga pasipo kufundishwa njia zilizomo katika ulimwengu wa roho, unaweza ukajikuta unarukwa na akili baada ya mfungo.
Ikumbukwe unapofunga unaufisha mwili ili uweze kuingia katika ulimwengu wa roho. Katika ulimwengu wa roho kuna levels 6, as I know mpaka sasa. Katika level ya kwanza utakutana na vurugu za kila namna. Hapajatulia, maana ni rahisi kwenda. Level hiyo kwa mara nyingi huwa tunaiita PEPO. Kwahiyo usipofundishwa namna ya kutembea katika ulimwengu huo; unaweza ukajikuta baada ya mfungo unakuwa mtu wa ajabu, au mara nyingine unarukwa na akili.
JINSI YA KUFUNGA UNAINGIA ROHONI PASIPO KUATHIRI AFYA
Niliweza kujifunza namna ya kufanya na kuniwezesha kila mwaka kufunga siku 21 mfululizo. Unatakiwa uwe na asali, sukari na maji.
Kila siku baada kufanya maombi ya asubuhi; chemsha maji, baada ya maji kuchemka kiwango cha chai, tia asali na sukari, kuywa kikombe kimoja mpaka viwili (Kikombe cha chai).
Ikifika jioni kama saa 12 au saa moja fanya hivyo hivyo, yaani chemsha maji tia sukari na asali.
Fanya hivyo kila siku mpaka siku 21. Mwili wako utaendelea kufanya kazi na hapo hapo utaweza kuingia ulimwengu wa Roho.
UWE NA JAMBO(MAMBO) LINALOKUFANYA UFUNGE
Utakapokuwa na jambo lililokufanya ufunge, litakusaidia kwamba utakapokuwa kwenye maombi na sala utajikita katika jambo lililokufanya ufunge. Sasa basi hii itakusaidia utakapikuwa katika level ya kwanza ya ulimwengu wa roho, hutababaika na yale yatakayokuwa yanatokea. Maana ukifunga pasipokuwa na jambo lolote, utajikuta unazagaa tu kwenye huo ulimwengu, kwahiyo chochote kitakachokuwa kinatokea ni halali yako.
Kuna nguvu katika kutamka. Tamka kwa kurudia rudia jambo unalotaka (Chanting). Liongea kwa sauti au ikiwezekana tengeneza wimbo.
Wakati wa kusali na kuomba, tafuta sehemu ya faradha.
NITAENDELEA NA SOMO HILI....
Kuna maandiko yanasema mida hiyo roho ya Mungu inashuka karibu na anga la dunia, na pia kwa upande wa giza na wenyewe unakuwa kwenye peak ya utendaji wake. Kwa maana nyingine, wakati huo anga la dunia linakuwa neutral ground... sasa itategemea wewe umepanga kujihusisha na nguvu ya upande gani kwa muda huo.Heeee!!!! Mkuu wa anga nani na anafanya nn mda huo? Na je mtu akiamka mda huo akaomba nn kitatokea???
ubarikiwe. yote unasema ya kweli. ila mimi nilichojifunza kwenye kufunga na kuthibitisha kuwa ndicho cha kweli ni hiki:Nawasalimia wana JF wote.
Katika mwendelezo wangu wa kuwafundisha na kuwafungua macho watu, leo nimeonelea nilete siri iliyomo katika kufunga.
Kwanza kabisa nawaomba muelewe kwamba, kuna namna nyingi sana ya kufunga lakini nitaongelea namna tatu:-
1. Kufunga kwa malengo
2. Kufunga kwa mujibu wa utaratibu au sheria
3. Kufunga kwa mkumbo
Sitaelezea kila moja maana lengo la waraka huu ni kuongelea siri iliyomo katika kufunga.
Kuna njia nyingi ambazo hutumika katika kufunga lakini mimi leo ninaongelea njia moja ambayo huwa naitumia katika kufunga siku 21.
Mara ya kwanza kabisa nilifunga siku tatu mfululizo pasipi kula wala kunywa. Nilikuwa nimefunga na nimejifungia sehemu kwa ajili ya kusali na kuomba. Katika mfungo huo niligundua kuwa:-
1. Unapofunga unaufanya mwili uweze kukutii na kuanza kusikiliza kutoka ndani
2. Unapofunga unapata muda wa kuwasiliana na high self.
3. Kufunga holela pasipo utaratibu unaweza ukaathiri afya ya mwili wako.
4. Kufunga pasipo kufundishwa njia zilizomo katika ulimwengu wa roho, unaweza ukajikuta unarukwa na akili baada ya mfungo.
Ikumbukwe unapofunga unaufisha mwili ili uweze kuingia katika ulimwengu wa roho. Katika ulimwengu wa roho kuna levels 6, as I know mpaka sasa. Katika level ya kwanza utakutana na vurugu za kila namna. Hapajatulia, maana ni rahisi kwenda. Level hiyo kwa mara nyingi huwa tunaiita PEPO. Kwahiyo usipofundishwa namna ya kutembea katika ulimwengu huo; unaweza ukajikuta baada ya mfungo unakuwa mtu wa ajabu, au mara nyingine unarukwa na akili.
JINSI YA KUFUNGA UNAINGIA ROHONI PASIPO KUATHIRI AFYA
Niliweza kujifunza namna ya kufanya na kuniwezesha kila mwaka kufunga siku 21 mfululizo. Unatakiwa uwe na asali, sukari na maji.
Kila siku baada kufanya maombi ya asubuhi; chemsha maji, baada ya maji kuchemka kiwango cha chai, tia asali na sukari, kuywa kikombe kimoja mpaka viwili (Kikombe cha chai).
Ikifika jioni kama saa 12 au saa moja fanya hivyo hivyo, yaani chemsha maji tia sukari na asali.
Fanya hivyo kila siku mpaka siku 21. Mwili wako utaendelea kufanya kazi na hapo hapo utaweza kuingia ulimwengu wa Roho.
UWE NA JAMBO(MAMBO) LINALOKUFANYA UFUNGE
Utakapokuwa na jambo lililokufanya ufunge, litakusaidia kwamba utakapokuwa kwenye maombi na sala utajikita katika jambo lililokufanya ufunge. Sasa basi hii itakusaidia utakapikuwa katika level ya kwanza ya ulimwengu wa roho, hutababaika na yale yatakayokuwa yanatokea. Maana ukifunga pasipokuwa na jambo lolote, utajikuta unazagaa tu kwenye huo ulimwengu, kwahiyo chochote kitakachokuwa kinatokea ni halali yako.
Kuna nguvu katika kutamka. Tamka kwa kurudia rudia jambo unalotaka (Chanting). Liongea kwa sauti au ikiwezekana tengeneza wimbo.
Wakati wa kusali na kuomba, tafuta sehemu ya faradha.
NITAENDELEA NA SOMO HILI....
mzee, sisi tunafunga, hatuahirishi kula, tunafunga kiukwelikweli. mwamini Yesu ili uponye roho yako na uondokane na dini.Kwani wakristo mnafungaga?
mmh !...Kuwa mwanga au mchawi ni application ya spiritual power. Unafanya mida ya usiku kwa sababu hali ya hewa na kuna utulivu.
Mkuu, ni kipi unashangaa hapo?mmh !...
Dhambi umezishinda? Unaogopa kutembea usiku pekeyako, alafu unataka kuingia ulimwengu ambao hao unaowaogopa ndiko makazi yao?? Kijana achana na haya mambo utapoteaNasubiri madini haya, mimi najua kufunga kwa kawaida , ile ya kula usiku. Namna ya kuingia ulimwengu wa Roho ndo nataka nielewe hapo
Wew sijui nikuite mtumishi ama nani, em tafakari kabla hujawaletea hawa izo mbinu zako za kiroho kama zina madhara ama la!.Tunaendelea...
Kama nilivyosema kufunga ni hatua ya kuutiisha mwili. Watu huweza kufanya mambo ya mwili wanapokuwa wamekula.
Lakini ninataka mpate kujua ya kwamba kufunga na kujinyima chakula pekee haitoshi. Unatakiwa unapofunga utenge muda kwa ajili ya Sala na Maombi.
SALA NI NINI
SALA ni neno la ujumla linalojumuisha maombi yote, iwe ya shukrani, mahitaji, ibada, sifa, toba,ulinzi, Baraka n.k…Kwamfano yale maombi ya Baba yetu uliye mbinguni Yesu aliyowafundisha wanafunzi wake….Ni mfano wa SALA.
KUSIFU
Unapoanza sala ni vyema ukaanza kwa kusifu. Kusifu ni pamoja na kukubali mazingira mazuri yanayokuzunguka. Nyota, wanyama, ndege na vitu vingine kuwa wewe huna uwezo wa kuvitengeneza. Unaweza kusifu kwa kuongea au kuimba. Kubali kushuka kwa kuna mambo mengi yapo juu ya uwezo wako. Hivi vyote tunavifanya ni vitendo vya kiimani. Unaweza ukataja masuala kadha wa kadha kulingana na imani yako. Lengo kuu ni kuweza kuhamisha hisia kutoka katika mwili na kuelekeza katika roho.
TOBA
Kitu kinachoweza kukukwamisha kuingia kwenye ulimwengu wa roho ni kuwa na ila ndani yako. Ile hali ya kujikataa na kuona kwamba wewe upo na makosa kadha wa kadha. Inaweza ikawa kikwazo kwako kuingia katika ulimwengu wa roho.
Kama kuna mtu amekukosea au umemkosea, tamka maneno ya toba na weka katika imani kuwa jambo hilo limekwisha. Kuna namna nyingine ya kujikataa mwenyewe. Jaribu kuongea maneno "NIPO SAFI" kwa kurudia rudia (Chanting) mpaka akili itakapo amini kuwa huna ila tena.
MAOMBI
Tamka maneno ya kutaka unachokihitaji. Iwe ni kutaka baraka, iwe ni kutaka ulinzi au kuomba kitu.
Inakuwa ni vizuri sana kama ukiwa umeandika na kuyaweka kichwani maombi yako. Yatamke hayo maombi kwa kurudia rudia. Ukiweza tengeneza wimbo wa hayo maombi yako.
Unajua mtu anaweza kukulaani au kukubariki kama atayaandika maneno fulani na kuyaongea kwa kurudia rudia kila kwa muda mrefu.
NENO HUUMBA
Ongea maneno hayo, iache hisia ivume, kama ni maneno ya kusikitisha iruhusu hisia ifanye hivyo. Ruhusu hisia itawale.
Ukiendelea hivyo kwa muda utajikuta midomo inaanza kutetemeka tu, wakati mwingine mwili utaanza kutetemeka. Wengine huwa wanahisi umeme unapita kwenye mwili wao. Mwili utakuwa haufanyi kazi tena, huwezi kusikia, huwezi kuona, huwezi kuhisi chochote katika mwili.
Ndipo sasa utaanza kuona, kusikia na kuhisi kupitia viungo vya ulimwengu wa roho. Acha ububunije.
TUTAENDELEA.....
Siku hizi kila mtu ni mwalimu, ndiomaana hawana uchungu wanafunzi wao wakipotoka na kupotea...kamwe usije tamani kufanya jambo ambalo huna uwakika nalo, haswa kama lahusu haya Mambo ya rohoniMleta huu Uzi siku ukifika kuzimu utaikuta hivi kazi unayoifanya...maana unayatumia maarifa vibaya ... Unafundisha mfungo wa siku 21 afu unawaambia watu wachague uchawi au (....) Mabano haujisemi wewe ni nani - mlokole au mpagani... Neno la msalaba ni upuzi kwao wanaopotea Bali kwetu sisi tunaokolewa ni nguvu ya Mungu .. Siionei haya injili ni uwezo uletao wokovu..Kol 3;
16-17 Na kila mfanyalo kwa neno au kwa tendo fanyeni yote ktk Jina la Bw Yesu mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye...Mimi ni mlokole !
Tatizo unajifanya mjuaji. Una okoteza maneno/terms huko na kuja kuwatisha watu.Wew sijui nikuite mtumishi ama nani, em tafakari kabla hujawaletea hawa izo mbinu zako za kiroho kama zina madhara ama la!.
Huwez kuingia huko kiholela namna hiyo, or otherwise uingie kupitia mind tricks kama vile Third eye opening, meditation and astral projection, accidentally unapokuwa umelala, vinginevyo haiwezekani acha kuwalisha watu watango pori