Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

Mkuu endelea kumwaga nondo, tuoneshe njia tukazurule huko ulimwenguni, tumewashtukia hao wanataka waende wao kila siku... Au ndio imeishia hapo?
huu uzi ulikuwa mzuri sana tatizo wafia dini wamekuja kuuvuruga😕
 
Ngoja nianze kwa kusema.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.

Kisha niongezee kwa kusema Andiko linaua bali Roho anahuisha.

Sasa hebu soma katika biblia upate kujua mzimu wa Samweli ulivyopandishwa.
11 Ndipo yule mwanamke aliposema, Je! Ni nani nitakayekupandishia? Naye akasema, Nipandishie Samweli.
1 Samweli 28:11

13 Mfalme akamwambia Usiogope; waona nini? Yule mwanamke akamwambia Sauli, Naona mungu anatoka katika nchi.
1 Samweli 28:13

14 Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia.
1 Samweli 28:14
Dah Asante mkuu

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Venus Star mbona umeutelekeza uzi wako? Hebu umalizie kuna kitu najifunza hapa[emoji120][emoji120]
 
Kwa mfungo mzuri usioweza kuathiri afya nivyema ukawa unachemsha maji asubuhi na jioni na kuweka asali na sukari. Unatumia kikombe kimoja cha chai.

Tenga muda wa kufanya sala na maombi.
Mimi nashauri uweze kuamka saa nane za usiku. Muda huo utakuwa umetulia.
Naomba kujuzwa, Kiasi cha asali na sukari kwa kikombe kimoja
 
Umesema Utaweza Kuzungumza na Waliokufa...Sasa mbona Maandiko yanasema hakuana ushirika Kati ya walio hai na Wafu....
Na Ni Jambo gani hasa unazungumza na Wafu...?
Hapo hapo, ukishtuka jua hiyo ndio salama yako. Mimi ninavyojua waganga wa kienyeji au upande ule watakuambia inawezekana, jini pia linaweza kujifanya ni babu wa babu yako likaongea. Baba wa uongo ni shetani.
 
Nawasalimia wana JF wote.

Katika mwendelezo wangu wa kuwafundisha na kuwafungua macho watu, leo nimeonelea nilete siri iliyomo katika kufunga.

Kwanza kabisa nawaomba muelewe kwamba, kuna namna nyingi sana ya kufunga lakini nitaongelea namna tatu:-
1. Kufunga kwa malengo
2. Kufunga kwa mujibu wa utaratibu au sheria
3. Kufunga kwa mkumbo

Sitaelezea kila moja maana lengo la waraka huu ni kuongelea siri iliyomo katika kufunga.

Kuna njia nyingi ambazo hutumika katika kufunga lakini mimi leo ninaongelea njia moja ambayo huwa naitumia katika kufunga siku 21.

Mara ya kwanza kabisa nilifunga siku tatu mfululizo pasipi kula wala kunywa. Nilikuwa nimefunga na nimejifungia sehemu kwa ajili ya kusali na kuomba. Katika mfungo huo niligundua kuwa:-
1. Unapofunga unaufanya mwili uweze kukutii na kuanza kusikiliza kutoka ndani

2. Unapofunga unapata muda wa kuwasiliana na high self.

3. Kufunga holela pasipo utaratibu unaweza ukaathiri afya ya mwili wako.

4. Kufunga pasipo kufundishwa njia zilizomo katika ulimwengu wa roho, unaweza ukajikuta unarukwa na akili baada ya mfungo.

Ikumbukwe unapofunga unaufisha mwili ili uweze kuingia katika ulimwengu wa roho. Katika ulimwengu wa roho kuna levels 6, as I know mpaka sasa. Katika level ya kwanza utakutana na vurugu za kila namna. Hapajatulia, maana ni rahisi kwenda. Level hiyo kwa mara nyingi huwa tunaiita PEPO. Kwahiyo usipofundishwa namna ya kutembea katika ulimwengu huo; unaweza ukajikuta baada ya mfungo unakuwa mtu wa ajabu, au mara nyingine unarukwa na akili.

JINSI YA KUFUNGA UNAINGIA ROHONI PASIPO KUATHIRI AFYA

Niliweza kujifunza namna ya kufanya na kuniwezesha kila mwaka kufunga siku 21 mfululizo. Unatakiwa uwe na asali, sukari na maji.

Kila siku baada kufanya maombi ya asubuhi; chemsha maji, baada ya maji kuchemka kiwango cha chai, tia asali na sukari, kuywa kikombe kimoja mpaka viwili (Kikombe cha chai).

Ikifika jioni kama saa 12 au saa moja fanya hivyo hivyo, yaani chemsha maji tia sukari na asali.

Fanya hivyo kila siku mpaka siku 21. Mwili wako utaendelea kufanya kazi na hapo hapo utaweza kuingia ulimwengu wa Roho.

UWE NA JAMBO(MAMBO) LINALOKUFANYA UFUNGE

Utakapokuwa na jambo lililokufanya ufunge, litakusaidia kwamba utakapokuwa kwenye maombi na sala utajikita katika jambo lililokufanya ufunge. Sasa basi hii itakusaidia utakapikuwa katika level ya kwanza ya ulimwengu wa roho, hutababaika na yale yatakayokuwa yanatokea. Maana ukifunga pasipokuwa na jambo lolote, utajikuta unazagaa tu kwenye huo ulimwengu, kwahiyo chochote kitakachokuwa kinatokea ni halali yako.

Kuna nguvu katika kutamka. Tamka kwa kurudia rudia jambo unalotaka (Chanting). Liongea kwa sauti au ikiwezekana tengeneza wimbo.

Wakati wa kusali na kuomba, tafuta sehemu ya faradha.


NITAENDELEA NA SOMO HILI....
[emoji106]
 
Nawasalimia wana JF wote.

Katika mwendelezo wangu wa kuwafundisha na kuwafungua macho watu, leo nimeonelea nilete siri iliyomo katika kufunga.

Kwanza kabisa nawaomba muelewe kwamba, kuna namna nyingi sana ya kufunga lakini nitaongelea namna tatu:-
1. Kufunga kwa malengo
2. Kufunga kwa mujibu wa utaratibu au sheria
3. Kufunga kwa mkumbo

Sitaelezea kila moja maana lengo la waraka huu ni kuongelea siri iliyomo katika kufunga.

Kuna njia nyingi ambazo hutumika katika kufunga lakini mimi leo ninaongelea njia moja ambayo huwa naitumia katika kufunga siku 21.

Mara ya kwanza kabisa nilifunga siku tatu mfululizo pasipi kula wala kunywa. Nilikuwa nimefunga na nimejifungia sehemu kwa ajili ya kusali na kuomba. Katika mfungo huo niligundua kuwa:-
1. Unapofunga unaufanya mwili uweze kukutii na kuanza kusikiliza kutoka ndani

2. Unapofunga unapata muda wa kuwasiliana na high self.

3. Kufunga holela pasipo utaratibu unaweza ukaathiri afya ya mwili wako.

4. Kufunga pasipo kufundishwa njia zilizomo katika ulimwengu wa roho, unaweza ukajikuta unarukwa na akili baada ya mfungo.

Ikumbukwe unapofunga unaufisha mwili ili uweze kuingia katika ulimwengu wa roho. Katika ulimwengu wa roho kuna levels 6, as I know mpaka sasa. Katika level ya kwanza utakutana na vurugu za kila namna. Hapajatulia, maana ni rahisi kwenda. Level hiyo kwa mara nyingi huwa tunaiita PEPO. Kwahiyo usipofundishwa namna ya kutembea katika ulimwengu huo; unaweza ukajikuta baada ya mfungo unakuwa mtu wa ajabu, au mara nyingine unarukwa na akili.

JINSI YA KUFUNGA UNAINGIA ROHONI PASIPO KUATHIRI AFYA

Niliweza kujifunza namna ya kufanya na kuniwezesha kila mwaka kufunga siku 21 mfululizo. Unatakiwa uwe na asali, sukari na maji.

Kila siku baada kufanya maombi ya asubuhi; chemsha maji, baada ya maji kuchemka kiwango cha chai, tia asali na sukari, kuywa kikombe kimoja mpaka viwili (Kikombe cha chai).

Ikifika jioni kama saa 12 au saa moja fanya hivyo hivyo, yaani chemsha maji tia sukari na asali.

Fanya hivyo kila siku mpaka siku 21. Mwili wako utaendelea kufanya kazi na hapo hapo utaweza kuingia ulimwengu wa Roho.

UWE NA JAMBO(MAMBO) LINALOKUFANYA UFUNGE

Utakapokuwa na jambo lililokufanya ufunge, litakusaidia kwamba utakapokuwa kwenye maombi na sala utajikita katika jambo lililokufanya ufunge. Sasa basi hii itakusaidia utakapikuwa katika level ya kwanza ya ulimwengu wa roho, hutababaika na yale yatakayokuwa yanatokea. Maana ukifunga pasipokuwa na jambo lolote, utajikuta unazagaa tu kwenye huo ulimwengu, kwahiyo chochote kitakachokuwa kinatokea ni halali yako.

Kuna nguvu katika kutamka. Tamka kwa kurudia rudia jambo unalotaka (Chanting). Liongea kwa sauti au ikiwezekana tengeneza wimbo.

Wakati wa kusali na kuomba, tafuta sehemu ya faradha.


NITAENDELEA NA SOMO HILI....
Ubarikiwe sana kwa mafundisho haya, wengi huwa tunakurupuka kufunga pasipo kufanya maandalizi kiroho, kuna jambo hapo ningeomba ufafanuzi wa kina naweza kuku Pm
 
Sasa mzee unasema watu waliokufa hatuwezi kuwasiliana nao. Je, huo mzimu ni kitu gani!? Mzee usitafsiri biblia unavyotaka wewe mwenyewe.

Hapa tunaongelea experience na uhalisia dhidi ya dogmas. Wewe unazoongea hapa ni dogma kutaka kulazimisha kile ulichokalili kuwa ni ukweli

Mzee hujui kuwa Mungu ndiye akiweka roho mbaya kwa Sauli!?
Kwanini Mungu amuwekee roho mbaya sauli!? Maswali ni mengi mno.
Ukitaka tuweze kuchambua biblia, utajikuta unakasilika tu bila sababu mwenzangu.
Mwambie huyo mshika Mistari Michache Ya Biblia Nakutaka kutupotosha.Mungu Pia Aliweka Roho Yakikatili Kwa Farao.
 
Back
Top Bottom