Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

Sasa mzee unasema watu waliokufa hatuwezi kuwasiliana nao. Je, huo mzimu ni kitu gani!? Mzee usitafsiri biblia unavyotaka wewe mwenyewe.
Mizimu ni malaika wachafu waliofukuzwa mbinguni na joka, someni maandiko jamani mbona mnapotezwa, mnaabudu mizimu

Ufu 12:7-10 SUV​

Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye

MHUBIRI 9:5 inasemaje??????????????

"kwa sababu walio HAI WANAJUA ya kwamba watakufa; lakini WAFU HAWAJUI neno lo lote, wala HAWANA ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa."
 
WAFU HAWASOMI STATUS KWA WHATSAP WALA INSTAGRAM.....

...endeleeni kuwaandikia BARUA WAFU WENU MAANA WANAZISOMA NA WANAUONA UPENDO WENU HAKIKA....


Isaya:8.19 inasema,
"Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong'ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?"
Mimi ninaheshimu imani yako mzee. Na wapo wanaonielewa. Kwahiyo mistari yako ya kwenye biblia haina mantic yoyote katika uzi huu. Hapa hatuongelei ukristo mzee. Hapa tunaongelea mambo ya kiroho kwa ujumla.

Dogma ya kikristo endelea nayo kwa faida yako mwenyewe. Sitaki kuanza kukuwekea mistari mbalimbali kutoka kwenye biblia kwa lengo la mabishano. Maana nimeshaona welekeo wako. Upo hapa kwaajili ya kubishana lakini mimi nimeanzisha uzi kwaajili ya kuelimisha kutokana na yale niliyo experience kwenye ulimwengu wa roho.

Je, upotayari kujifunza au unaleta vita ya ubishani!?
 
Mizimu ni malaika wachafu waliofukuzwa mbinguni na joka, someni maandiko jamani mbona mnapotezwa, mnaabudu mizimu

Ufu 12:7-10 SUV​

Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye

MHUBIRI 9:5 inasemaje??????????????

"kwa sababu walio HAI WANAJUA ya kwamba watakufa; lakini WAFU HAWAJUI neno lo lote, wala HAWANA ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa."
Ni kuulize swali dogo tu. Uhai ni nini!?
 
Mimi ninaheshimu imani yako mzee. Na wapo wanaonielewa. Kwahiyo mistari yako ya kwenye biblia haina mantic yoyote katika uzi huu. Hapa hatuongelei ukristo mzee. Hapa tunaongelea mambo ya kiroho kwa ujumla.

Ufunuo 16:14 SRUV​

Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
 
Dogma ya kikristo endelea nayo kwa faida yako mwenyewe. Sitaki kuanza kukuwekea mistari mbalimbali kutoka kwenye biblia kwa lengo la mabishano. Maana nimeshaona welekeo wako. Upo hapa kwaajili ya kubishana lakini mimi nimeanzisha uzi kwaajili ya kuelimisha kutokana na yale niliyo experience kwenye ulimwengu wa roho.
Ni vivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke; hata wakati wa mbingu kutokuwako tena, hawataamka, wala kuamshwa usingizini.” “Wanawe hufkilia heshima, wala yeye hajui; kisha wao huaibishwa, lakini yeye hana habari zao.” Ayu. 14:12,21.

“Wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.” Mhu. 9:6
 
Mimi ninaheshimu imani yako mzee. Na wapo wanaonielewa. Kwahiyo mistari yako ya kwenye biblia haina mantic yoyote katika uzi huu. Hapa hatuongelei ukristo mzee. Hapa tunaongelea mambo ya kiroho kwa ujumla.
Wafu hawawezi kuwasiliana na walio hai. Wamekufa. Mawazo yao yamepotea (Zab. 146:4).
 
mimi nimeanzisha uzi kwaajili ya kuelimisha kutokana na yale niliyo experience kwenye ulimwengu wa roho.

Je, upotayari kujifunza au unaleta vita ya ubishani!?
Isaya:8.19 inasema,

"Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong'ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?"
 
Hii imani yako mzee. Hongera
IMANI NI HISIA.
Je unaweza kutumia hata kidogo akili ukaunganisha na hisia!?

Hata hivyo soma biblia usilete mabishano ambayo hayamo kwenye biblia.

Soma biblia Ligth and Dark are there to compliment siyo kushindana
Mizuka: Kutokewa na Wafu

➡
Maandiko yanasema kuwa mtu akifa hawezi kurudi tena akaonekana kwa watu.
Ayubu 7:9: “Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, ni vivyo huyo ashukaye kuzimuni hatazuka tena kabisa”
Ayubu 16:22: “Kwani ikiisha pita miaka michache, Nitakwenda njia hiyo ambayo sitarudi tena.” Ayubu 14:14: “Mtu akifa, je! Atakuwa hai tena?”

➡
Kuna visa vingi sana vya watu waliokufa, kwa hali isiyokuwa ya kawaida, walikuja nyumbani mwao baada ya kufa na kuwasemesha ndugu zao na mara kutoweka!! Sikiliza ujue tangu sasa: Biblia inasema mizimu hii inayowatokea watu baada ya kifo ni roho ya mashetani. Haijalishi mtu anatokewa na mzimu katika sura ya mtakatifu gani!! Maandiko yanasema: “Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, …” Ufunuo 16:14.
Tena maandiko yanasema: “Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru” 2 Wakorintho 11:14
 
Sasa mzee unasema watu waliokufa hatuwezi kuwasiliana nao. Je, huo mzimu ni kitu gani!? Mzee usitafsiri biblia unavyotaka wewe mwenyewe.
Kuna visa vingi sana vya watu waliokufa, kwa hali isiyokuwa ya kawaida, walikuja nyumbani mwao baada ya kufa na kuwasemesha ndugu zao na mara kutoweka!! Sikiliza ujue tangu sasa: Biblia inasema mizimu hii inayowatokea watu baada ya kifo ni roho ya mashetani. Haijalishi mtu anatokewa na mzimu katika sura ya mtakatifu gani!! Maandiko yanasema:

Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, …” Ufunuo 16:14.

Tena maandiko yanasema:

Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru”
2 Wakorintho 11:14

Mwandishi maarufu aitwaye J. Arthur Hill katika kitabu chake kiitwacho Spiritism: history, phenomena and doctrine. uk 25; anasema:

“Msingi muhimu wa ibada ya mizimu ni kwamba watu huendelea kuishi baada ya mwili kufa, na kwamba mara kwa mara, katika hali ambayo haijaeleweka, tunaweza kuwasiliana na wale waliotutangalia”

➡
Kimsingi imani hii haitofautiani na imani kuwa mtu akifa roho yake inakwenda peponi! kuwa mtu akifa "ametangulia mbele za haki"! Hawa wote wanaamini fundisho hilo hilo moja, fundisho lile lile lililotolewa katika bustani ya Edeni kuwa “hakika hamtakufa.” Je, ni watu wengi kiasi gani wameanguka katika hili?


➡
Kwa sababu roho haina mifumo ya fahamu, na kwa kuwa mtu akifa mifumo yake yote huoza na kuwa udongo, tunaweza kusema kwa hakika kuwa kwenda makaburini kuomba mtu aliyekufa ili akuombee kwa Mungu na kutambika ni sawa na kuuomba udongo ukuombee au ukusaidie katika matatizo yako! Mtu anaweza akaamini sana lakini kwa hakika udongo huo hautamsaidia kwa lo lote. Hakuna mwongozo kama huu katika maandiko.
 

Ufunuo 16:14 SRUV​

Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
Mzee unahangaika sana kuandika mistari kutoka kwenye biblia.

Unatakiwa uelewe mimi nimesoma theology 3 years. Kwahiyo huwezi kuniambia chochote kuhusu biblia. Ndio maana ninakuuliza maswali simple sana unashindwa kuyajibu.

Nimekuuliza hayo mashetani ni nani kayaumba!?
Kama yaliumbwa na Mungu, aliyaumba kwa makusudi!?
Na kama hakuyaumba kwa makusudi je, kuasi kwa mashetani hayo ilikuwa surprise kwa Mungu!?
Kama ni surprise inamaana Mungu hajui yote!?

THINK, THINK, THINK don't use emotions to answer my questions.
 
Ni vivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke; hata wakati wa mbingu kutokuwako tena, hawataamka, wala kuamshwa usingizini.” “Wanawe hufkilia heshima, wala yeye hajui; kisha wao huaibishwa, lakini yeye hana habari zao.” Ayu. 14:12,21.

“Wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.” Mhu. 9:6

Mkuu Aaron Arsenal hebu jaribu basi kumuelewa, hapa mwenzio hahubili injili kama ulivyokalilishwa.
Yeye ameielezea experience yake, hebu na wewe lete yako nje ya hayo maandiko uliyokalilishwa.
Kumbuka humu Kuna wakristo, waislamu na wasioamini katika hizo Imani, ndio maana mtoa mada amelizingatia hilo tangu mwanzo. Sasa kila mmoja akileta hapa maandiko yake (illusion) aliyomezeshwa tangu amezaliwa patatosha kweli!? Ndio maana Kuna jukwaa la dini.

Nakupa tu akiba ya maneno, kwenye dunia hii ukitaka kupata knowledge wakati mwingine inakubidi ukubali tu kujifunza maarifa nje ya imani yako ambayo hata ukiambiwa thibitisha huwezi.

Mtoa mada endelea kushusha vitu...
 
ULIMWENGU WA ROHO

Pale utakapofunga, utaufanya mwili uwe dhaifu. Mwili utaanza ku regulate namna ya kutuzakisha energy kwenye mwili kwa matumizi madogo ya chakula kilichopo kwenye mwili wako.

Kwakuwa unatumia asali na sukari huku ukiwa umevichanganya na maji, mwili utakuwa unapata kiwango kidogo cha chakula, kwahiyo mwili utaacha ku process unnecessary activities. Ndipo hapo milango ya fahamu na thought zitapunguza utendaji wake wa kazi. Ndipo hapo ulimwengu wa roho utakapoanza kuchukua nafasi.

Unaweza usiingie katika ulimwengu wa roho at the first week, lakini utakapoendelea kutenga muda wa faragha utaanza kuingia taratibu. Nakuhakikishia kabla ya siku hizo 21 kuisha utakuwa umekutana na mambo mengi.

Katika ulimwengu wa roho level one. Kuna vurugu za kila aina. Utakutana na kuzungumza na kila aina ya roho. Hakikisha lengo lako lililokufanya ufunge unalizingatia. Chanting inakuwa kama gateway ya kuingia huko.

Ni kwambie ukweli, usipo kuwa makini na kuwa mwangalifu, baada ya siku hizo utarukwa na akili. Utagudua mambo mengi ikiwamo kwamba uhalisia wetu ni ulimwengu wa roho. Utaweza kukutana na watu waliokufa na kuongea nao ana kwa ana. Na ukiwauliza wakupe evidences ya hayo wanayo yaongea watakupatia, na uta prove.

Utaweza kutembea (utaweza hata kuwasiliana na nafsi ya mtu aliyehai na kufanya jambo fulani). Hapa sasa baada ya mfungo wengine hugeuka na kuwa wachawi, wasoma nyota na waonaji.

Kumeibuka na kundi kubwa la walokole wanaojiita manabii. Ukweli ni kwamba hao ni waonaji sawa na wapiga ramli. Hao watu wanauwezo wa kukuelezea matukio yako yote yaliyopita.

Hata wewe ukifika katika ulimwengu wa roho jicho lako la tatu(spiritual eye) litaanza kufunguka. Lakini my WARNING tafuta kwenda mbali zaidi katika ulimwengu wa roho, usiishie hapo tu. Go to the most higher ili uweze kuwa enlighten. Katika level ya kwanza utakuwa na uwezo wa kuwasiliana na watu waliokufa na kuwa muonaji. Hii siyo enlightenment, enlightenment ni kujua siri kuu za spiritual world.

Utakapoanza kuona, unakutana waliokufa zamani na kuongea nao; USIOGOPE upo katika safari ya kuelekea ulimwengu wa roho level ya juu zaidi.

USIWAPE MBWA CHAKULA CHA WATOTO.

Nitatoa summary but not details.

NITAENDELEA.....
Hebu ingia kwenye ulimwengu wa kiroho wa kwangu uone kuna nini ndani ya wiki mbili zijazo!!unaweza ukanijibu pm!!
 
Hebu ingia kwenye ulimwengu wa kiroho wa kwangu uone kuna nini ndani ya wiki mbili zijazo!!unaweza ukanijibu pm!!
Hello. Hakuna ulimwengu wa roho wa mtu binafsi. Ulimwengi wa roho ni open space for everybody.

Siwezi kuingia kwenye ulimwengu wa roho kwaajili ya prediction of future. Ingia ulimwengu wa roho kwa faida yako mwenyewe. Si vyema kumwambia mtu akuamulie mambo yako binafsi.
 
Mzee unahangaika sana kuandika mistari kutoka kwenye biblia.

Unatakiwa uelewe mimi nimesoma theology 3 years. Kwahiyo huwezi kuniambia chochote kuhusu biblia. Ndio maana ninakuuliza maswali simple sana unashindwa kuyajibu.

Nimekuuliza hayo mashetani ni nani kayaumba!?
Kama yaliumbwa na Mungu, aliyaumba kwa makusudi!?
Na kama hakuyaumba kwa makusudi je, kuasi kwa mashetani hayo ilikuwa surprise kwa Mungu!?
Kama ni surprise inamaana Mungu hajui yote!?

THINK, THINK, THINK don't use emotions to answer my questions.
Very logical questions! Kama huwezi kufikiri kamwe huwezi jiuliza maswali kama haya
 
MTOA MADA ENDELEA KUDANGANYA WATU

Isaya:8.19 inasema,

"Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong'ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?"

WATU WALIOKUFA HAWANA SMARTPHONE haha hahaha hahahah


🔥ETI MAREHEMU KANITOKEA AKANAMBIA KESHO NISIENDE SHULE.... NENDA KAUZE MITUMBA WEWE haha haha hahah

........kuna mtu alimwandikia mpendwa wake aliyekufa BARUA YA KUMUELEZEA HALI YA KISIASA YA TANZANIA haha hahaha hahaha


📚IN JESUS NAME, BE FREE INDEED. USIKUBALI KUTUMIKISHWA NA WAFU NA MAFUNDISHO YA MASHETANI.

-SHETANI HUTUMIA SURA ZA WATU TUNAOWAPENDA WALIOKUFA NA KUJA KUTUTABIRIA MAMBO AMBAYO NI YA KWELI KWA LENGO LA KUTUCHOTA AKILI ZETU ILI TUWAAMINI WAFU MPAKA KUWAFANYIA IBADA.


"SHETANI ALIPOMFUATA EVA HAKUMDANGANYA, ALIMWAMBIA UKWELI NUSU NA UONGO NUSU."


HAKUNA USHIRIKA KATI YA WAFU NA WALIO HAI, BE VERY CAREFUL. I DONT CARE NI KANISA LAKO LIMEKWAMBIA KUWA NI SAWA AU NI BABA, AU NI MTUME NA NABII AU NI NANI SIJUI. HAWEZI KUSHINDANA NA NENO LA MUNGU. HAWEZI KUSEMA ANACHOSEMA YEYE KWA MAFUNDISHO YA MASHETANI NI CHA KWELI KULIKO NENO LA MUNGU.

KWANI UTAPUNGUKIWA NINI UKIMWABUDU MUNGU WA KWELI NA WA PEKEE? MPAKA UKAZANE NA WAFU? JEHOVA IS NOT ENOUGH FOR YOU? WHY DO YOU STILL NEED AN ATTACHMENT SPIRIT? KWA JINA LA YESU.
 
MTOA MADA ENDELEA KUDANGANYA WATU

Isaya:8.19 inasema,

"Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong'ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?"

WATU WALIOKUFA HAWANA SMARTPHONE haha hahaha hahahah


🔥ETI MAREHEMU KANITOKEA AKANAMBIA KESHO NISIENDE SHULE.... NENDA KAUZE MITUMBA WEWE haha haha hahah

........kuna mtu alimwandikia mpendwa wake aliyekufa BARUA YA KUMUELEZEA HALI YA KISIASA YA TANZANIA haha hahaha hahaha


📚IN JESUS NAME, BE FREE INDEED. USIKUBALI KUTUMIKISHWA NA WAFU NA MAFUNDISHO YA MASHETANI.

-SHETANI HUTUMIA SURA ZA WATU TUNAOWAPENDA WALIOKUFA NA KUJA KUTUTABIRIA MAMBO AMBAYO NI YA KWELI KWA LENGO LA KUTUCHOTA AKILI ZETU ILI TUWAAMINI WAFU MPAKA KUWAFANYIA IBADA.


"SHETANI ALIPOMFUATA EVA HAKUMDANGANYA, ALIMWAMBIA UKWELI NUSU NA UONGO NUSU."


HAKUNA USHIRIKA KATI YA WAFU NA WALIO HAI, BE VERY CAREFUL. I DONT CARE NI KANISA LAKO LIMEKWAMBIA KUWA NI SAWA AU NI BABA, AU NI MTUME NA NABII AU NI NANI SIJUI. HAWEZI KUSHINDANA NA NENO LA MUNGU. HAWEZI KUSEMA ANACHOSEMA YEYE KWA MAFUNDISHO YA MASHETANI NI CHA KWELI KULIKO NENO LA MUNGU.

KWANI UTAPUNGUKIWA NINI UKIMWABUDU MUNGU WA KWELI NA WA PEKEE? MPAKA UKAZANE NA WAFU? JEHOVA IS NOT ENOUGH FOR YOU? WHY DO YOU STILL NEED AN ATTACHMENT SPIRIT? KWA JINA LA YESU.
Uwe na heshima basi ndugu. Sisi tunaheshimu imani yako. Wewe kama unampango wa kwenda mbinguni ni issue yako binafsi. Heshimu mawazo ya wengine na uwe mstaarabu.

Asante.
 
mzee, sisi tunafunga, hatuahirishi kula, tunafunga kiukwelikweli. mwamini Yesu ili uponye roho yako na uondokane na dini.

Kwahiyo mkifunga mnakula sasa si mfunge siku zote..
Kina Nani wanafunga kiuwongouwongo?
 
Hello. Hakuna ulimwengu wa roho wa mtu binafsi. Ulimwengi wa roho ni open space for everybody.

Siwezi kuingia kwenye ulimwengu wa roho kwaajili ya prediction of future. Ingia ulimwengu wa roho kwa faida yako mwenyewe. Si vyema kumwambia mtu akuamulie mambo yako binafsi.
Venus star
Mfano mtu ana maradhi ambayo mi ngumu kuyajua na kutibia kwake no mtihani.je mtu huyu anaweza kuutafuta uponyaji wake mwenyewe?afanye nini?
Kama vile mtu anaombewa hapohapo kuna nguvu ya uponyaji inamshukia maradhi yanaondoka.

Pili mtu kuota hali tofauti na aliyopo maanake nini.mfano mie Nina shida ya kutembea lakini kula nnapolala usiku najiota mzima natembea fresh barabarani,mtaani nk.hii humaanisha nini?
 
Venus star
Mfano mtu ana maradhi ambayo mi ngumu kuyajua na kutibia kwake no mtihani.je mtu huyu anaweza kuutafuta uponyaji wake mwenyewe?afanye nini?
Kama vile mtu anaombewa hapohapo kuna nguvu ya uponyaji inamshukia maradhi yanaondoka.

Pili mtu kuota hali tofauti na aliyopo maanake nini.mfano mie Nina shida ya kutembea lakini kula nnapolala usiku najiota mzima natembea fresh barabarani,mtaani nk.hii humaanisha nini?
Pole sana ndugu yangu.
Kuna maradhi ambayo chanzo chake ni ulimwengu wa roho tiba yake ni kutoka ulimwengu wa roho. Yapo mengine yatokanayo na saikolojia tiba yake ni vivyo hivyo kisaikolojia.
Lakini yapo yanayotokana na ulimwengu wa mwili, tiba yake ni kwenda hospital na kupata matibabu.

Kuna aina mbili kuu za mdoto:-
1. Ndoto inayotokana na jambo unaloliwaza mara kwa mara.
2. Ujumbe kutoka ulimwengu wa roho.

Ushauri wangu:-
Kwanza ninatakiwa kujua chanzo cha tatizo lako. Hatua hizo tunaita DELIVERANCE. Nikishafahamu chanzo cha tatizo, nijua kama ni la kiroho au la kimwili. Kama ni tatizo la kimwili utaombewa sana na halitaweza kutatulika ni muhimu kwenda hospital kwa uchunguzi wa kitabibu.

Kama ni la kiroho, hatua za kufanya DELIVERANCE zitasaidia. Na utapona hakika.
 
Back
Top Bottom