Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

Pole sana ndugu yangu.
Kuna maradhi ambayo chanzo chake ni ulimwengu wa roho tiba yake ni kutoka ulimwengu wa roho. Yapo mengine yatokanayo na saikolojia tiba yake ni vivyo hivyo kisaikolojia.
Lakini yapo yanayotokana na ulimwengu wa mwili, tiba yake ni kwenda hospital na kupata matibabu.

Kuna aina mbili kuu za mdoto:-
1. Ndoto inayotokana na jambo unaloliwaza mara kwa mara.
2. Ujumbe kutoka ulimwengu wa roho.

Ushauri wangu:-
Kwanza ninatakiwa kujua chanzo cha tatizo lako. Hatua hizo tunaita DELIVERANCE. Nikishafahamu chanzo cha tatizo, nijua kama ni la kiroho au la kimwili. Kama ni tatizo la kimwili utaombewa sana na halitaweza kutatulika ni muhimu kwenda hospital kwa uchunguzi wa kitabibu.

Kama ni la kiroho, hatua za kufanya DELIVERANCE zitasaidia. Na utapona hakika.
Asante kwa maelezo mazuri
Mpaka sasa sijajua ni La kiroho ama La kimwili.kote kote holla.
Sio hospital sio maombezi
 

je! wafu hawawezi kuwasiliana na walio hai, na je! hawajui mambo ambayo walio hai wanayafanya?​

“Ni vivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke; hata wakati wa mbingu kutokuwako tena, hawataamka, wala kuamshwa usingizini.” “Wanawe hufkilia heshima, wala yeye hajui; kisha wao huaibishwa, lakini yeye hana habari zao.” Ayu. 14:12,21. “Wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.” Mhu. 9:6.

Wafu hawawezi kuwasiliana na walio hai. Wamekufa. Mawazo yao yamepotea (Zab. 146:4).

Usabato the cult kazini
 
mzimu ni roho chafu, shetani huchukua sura hata za waliokufa, je hili hujui ndugu...

2 Kor 11:14 SUV​

Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

Wakati wa Musa, Mungu aliamuru watu wanaofundisha kuwa wafu wako hai wafanywe nini?​

“Tena mtu mume au mtu mke aliye na pepo, au aliye mchawi, hakika atauawa; watawapiga kwa mawe.” Law. 20:27.

Mungu alisisitiza kuwa wachawi na wengine waliokuwa na pepo (waliodai kuwa wanaweza kuwasiliana na waliokufa) ni lazima wauawe.

KWA MUJIBU WA MAANDIKO HUYO MCHAWI ALIYELET AMZIMU WA SAMWELI ALITAKIWA AUWAWE

Shetani na malaika zake watawadanganya mabilioni ya watu kwa kuja kama wapendwa waliomcha Mungu waliokufa, wachungaji wacha Mungu ambao sasa wamekufa, manabii wa Biblia, au hata mitume au wanafunzi wa Kristo (2 Kor. 11:13-15). Wanaweza pia kuja kama watu maarufu waliokufa kama wafalme na Maraisi. Wale wanaosadiki kwamba wafu wako hai, katika umbile lo lote lile, kwa hakika watadanganyika kabisa.

Kwa sharia za sabato. Pia tofautisha mzimu na shetani
 
Hello. Hakuna ulimwengu wa roho wa mtu binafsi. Ulimwengi wa roho ni open space for everybody.

Siwezi kuingia kwenye ulimwengu wa roho kwaajili ya prediction of future. Ingia ulimwengu wa roho kwa faida yako mwenyewe. Si vyema kumwambia mtu akuamulie mambo yako binafsi.
Venus mimi nimefuatilia makala zako sana,
Vitu vilivyonivutia niendelee kukufuatilia ni hivi hapa,
1. Maandiko yako hayafungaman na dini yoyote,
Unajua watu wanachanganya iman na dini, kitu ambacho ni tofaut kabisa, unaweza enda siku kanisani na usikuwe kiiiman,
Mimi ni mtu nayeamin mungu mweusi, najua wachache watanielewa, I mean ukisoma neno utamadan, unahushisha dini pia, mavazi, lifestyle, worship, etc , so Sisi watu weusi tuna utamaduni wetu, naamin pia tuna dini zetu, tofaut na hizi dini za kikoloni zilizokuja zikatutawala na kutufanya watumwa,
Kwa wale wanaoamin Biblia au Quran, nawashauri wakitaka kujua mambo mengi kiiman inabid watoke nje ya hilo box, wakasome vitabu vingine zaid ya hivo Ili waujue ukweli wao na asili zao, na na nguvu zao,
Naomba uendelee na somo lako na asikukatishe mtu tamaa, maana sisi tunataka kujua mambo mengi, hao wanaobisha hawataki kujifunza, mbaya zaid wanabisha bila kuja na evidence zozote kama hicho unachokisema ni uongo, huwa napenda kuwaita Wana akili fupi, maana hawataki kujifunza,
Kuna mzungu mmoja ni best yangu aliwah kuniambia nyie Waafrika kwann mnawatupa ndugu zenu wanapofariki, kwann mnatelekeza makaburi ya ndugu zenu, Baraka mnazitoa wapi?
Akadai wao wanapowazika ndugu zao huwa wapo karibu na makaburu ya ndugu zao, huenda kusali pale na kuongea na ndugu zao,
Mizim si watu wabaya , ni ndugu zoey tuliokuwa tukiishi nao, tukila nao na kulala nao, leo hii unawaitaje wabaya kwako? Hiyo ni akili kweli, leo hii mzazi kafariki kawa mbaya ? Nonesense,
 
Leo ni may 17 Huu Uzi uliishaje?
Kuna wafiq dini wanaleta mapingamizi. Inabidi jamaa awaelimishe ila nimegundua hawataki kuelimika. Tumshauri ndugu yetu huyu awateme wanatupoteza
 
Ndugu Venus Star hebu endelea kutupa madini. Hao jamaa wana lengo la kukosesha watu mambo muhimu usiwajibu
 
Na wewe mkuu tumia hata akili za kuzaliwa basi,utawezaje kuwa Rohoni wakati umeshiba kitimoto rost na ndizi? Halafu mbele yako anapita mwanamke mrembo mwenye matako makubwa concentration yako yote inahamia kwake.
Kufunga maana yake ni kwamba,unaunyima mwili mahitaji yake ya msingi, yaani unautesa mwili ili Roho ipate wasaa wa kuwasiliana na MUNGU kwa sababu Mungu ni Roho,siyo mwili.
Hapa ndipo watu wanashindwa kujua ukweli halisi wa kufunga.Maelekezo ya kufunga yamebainishwa wazi kwenye Biblia na utiisho unatakiwa uufanye Rohoni.
Isaiah 58:5-8
Je! Kufunga namna hii ni saumu niliyoichagua mimi? Je! Ni siku ya mtu kujitaabisha nafsi yake? Ni kuinama kichwa kama unyasi, na kutanda nguo za magunia na majivu chini yake? Je! Utasema ni siku ya kufunga, na ya kukubaliwa na BWANA?

Isaiah 58:6
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?........ENDELEA KUSOMA HADI MMSATARI WA 10.

Kuitiisha Roho kutoka kwenye Tamaa au chakula ambacho si cha Kimungu ni Bora zaidi kuliko kushinda njaa.

Tunaupa Mateso ya njaa Mwili ili iwe alama ya kumbukumbu mbele za Mwenyezi Mungu haswa kwa mtu anayetaka kuondoka kwenye changamoto ya kiroho kama uzinzi,ulevi,na vitu vingine vingi.Hivyo kumthibitishia Mwenyezi Mungu kuwa unatoka uko na alama ya uthibitisho mojawapo ni kuutesa Mwili wako.
Mimi kwa asilimia karibu 90 nafunga nikiwa naulisha mwili chakula kama kawaida ,na Majibu yanatokea na namshukuru Mwenyezi Mungu ananipa nafasi ya kunisikiliza.
Mara nyingi nisipopata chochote nakuwa kama mtu ambae naongea na Mgeni wa muhimu sana lakini pembeni kuna Mtoto anapiga kelele au analia kwa njaa.

Si kwamba msifunge kwa kuunyima mwili chakula,ila fungeni kwa kuinyima Roho chakula ambacho si kitakatifu.
 
Pole sana ndugu yangu.
Kuna maradhi ambayo chanzo chake ni ulimwengu wa roho tiba yake ni kutoka ulimwengu wa roho. Yapo mengine yatokanayo na saikolojia tiba yake ni vivyo hivyo kisaikolojia.
Lakini yapo yanayotokana na ulimwengu wa mwili, tiba yake ni kwenda hospital na kupata matibabu.

Kuna aina mbili kuu za mdoto:-
1. Ndoto inayotokana na jambo unaloliwaza mara kwa mara.
2. Ujumbe kutoka ulimwengu wa roho.

Ushauri wangu:-
Kwanza ninatakiwa kujua chanzo cha tatizo lako. Hatua hizo tunaita DELIVERANCE. Nikishafahamu chanzo cha tatizo, nijua kama ni la kiroho au la kimwili. Kama ni tatizo la kimwili utaombewa sana na halitaweza kutatulika ni muhimu kwenda hospital kwa uchunguzi wa kitabibu.

Kama ni la kiroho, hatua za kufanya DELIVERANCE zitasaidia. Na utapona hakika.
Kulingana na biblia
Ndoto Ina vyanzo 4
Ayuhu 33:14-17

1.shughuli nyingi...mawazo mengi.....unaipata kwenye mhubiri hapo...
2.kutoka kwa Mungu...check Yusuf,nebkadreza,kuzaliwa Kwa Yesu ....
3.kutoka Kwa shetani....soma kutoka....sikumbuki vzr mistari..ila we msomaji neno najua hitkupa shida...
4.kutokana na hali ya kiroho ya mahali unapolala... check alipokua amelala Yakobo kwenye jiwe pale...
 
Tatizo la wafia dini wao hawaanzishi Mada wanasubiri watu waanzishe Mada wao ndio waje kuleta vimistar vyao kutoka kwenye Bible, SIKILIZENI NYIE WAFIA DINI ANZISHENI THREAD ZENU HUKO ZA KUELIMISHA WATU SUO KUDANDIA NYUZI ZA WATU NA KUHARIBU MANTIKI YAKE.
 
Mimi ninaheshimu imani yako mzee. Na wapo wanaonielewa. Kwahiyo mistari yako ya kwenye biblia haina mantic yoyote katika uzi huu. Hapa hatuongelei ukristo mzee. Hapa tunaongelea mambo ya kiroho kwa ujumla.

Dogma ya kikristo endelea nayo kwa faida yako mwenyewe. Sitaki kuanza kukuwekea mistari mbalimbali kutoka kwenye biblia kwa lengo la mabishano. Maana nimeshaona welekeo wako. Upo hapa kwaajili ya kubishana lakini mimi nimeanzisha uzi kwaajili ya kuelimisha kutokana na yale niliyo experience kwenye ulimwengu wa roho.

Je, upotayari kujifunza au unaleta vita ya ubishani!?
Mm naona wanaokupinga ni wale ambao hawataki watu wajue ukweli juu ya ulimwengu wa roho hatuwezi kuendelea kuendeshwa na mapepo na wachawi Funguo tutazitumia kufunga kila nia ovu ya shetani tutafunga na kuomba Kama Yesu alivyosema mpaka kieleweke .nakuunga mkono katika hili kiongozi
 
A
Umesema Utaweza Kuzungumza na Waliokufa...Sasa mbona Maandiko yanasema hakuana ushirika Kati ya walio hai na Wafu....
Na Ni Jambo gani hasa unazungumza na Wafu...?
Level hiyo huongea na wachawi, misukule, mapepo na majini ktk Ulimwengu wa GIZA, ndomana asema ni Rahisi kuwa mchawi.
 
Mkuu sorry, uzi wako una hang sana. Sijafahamu hata una base kwa Mungu au miungu ufundishapo hapa kuingia katika ulimwengu wa kiroho ili kupata matokeo.
Anaingia kupitia GIZA , Si ktk NURU.
 
Back
Top Bottom