Siri: Njia rahisi ya kupata mganga wa kweli

Siri: Njia rahisi ya kupata mganga wa kweli

Kifulu

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
557
Reaction score
2,064
Nasema kwamba dar es salaam hakuna waganga Kuna wafanya biashara na matapeli

Waganga wapo Huko vichakani vijijini ambao hawataki pesa mana wanaishi kwa kilimo na ufugaji
Laki moja kijijini ni hela ambayo inaweza kukupa manufaa makubwa.

Fanya hivi
Panda gari kutoka dar mpaka sumbawanga mjini, lala gesti ahsubui panda gari lolote kwenda Kijiji Chochote Cha mbali,

Ukifika mwambie bodaboda nataka kuongea na wewe mnunulie supu mwambie akupeleke kwa mganga wa kweli utampa nauli mara mbili.

Mpaka hapo itakuwa umepata connection ya mganga

Hakuna ndugu au rafiki atakuambia mganga aliempa mafanikio yake

Uzi tayari
Matusi ruksa ukinitukana nabouble
 
Nasema kwamba dar es salaam hakuna waganga Kuna wafanya biashara na matapeli

Waganga wapo Huko vichakani vijijini ambao hawataki pesa mana wanaishi kwa kilimo na ufugaji
Laki moja kijijini ni hela ambayo inaweza kukupa manufaa makubwa.

Fanya hivi
Panda gari kutoka dar mpaka sumbawanga mjini, lala gesti ahsubui panda gari lolote kwenda Kijiji Chochote Cha mbali,

Ukifika mwambie bodaboda nataka kuongea na wewe mnunulie supu mwambie akupeleke kwa mganga wa kweli utampa nauli mara mbili.

Mpaka hapo itakuwa umepata connection ya mganga

Hakuna ndugu au rafiki atakuambia mganga aliempa mafanikio yake

Uzi tayari
Matusi ruksa ukinitukana nabouble
Hehehe
 
Haya mambo huwa hayavuki kabila au ukoo( na hata kama utafanikiwa kupitia kabila lingine itachukua mda sana mpaka ufanikiwe) , ukitaka ufanikiwe kwa njia ya haraka na udumu kwenye mambo hayo lazima upate Mtaalam ndani ya kabila lako. Vinginevyo utapoteza sana pesa kutafuta waganga kila pembe ya nchi bila mafanikio.
 
Haya mambo huwa hayavuki kabila au ukoo( na hata kama utafanikiwa kupitia kabila lingine itachukua mda sana mpaka ufanikiwe) , ukitaka ufanikiwe kwa njia ya haraka na udumu kwenye mambo hayo lazima upate Mtaalam ndani ya kabila lako. Vinginevyo utapoteza sana pesa bila mafanikio.
Hili nalo ni neno mkuu, ila inategemea na aina ya mtaalamu Kuna utaalamu mwingine unakubali popote bila kujali kabila
 
Mganga mimi!!!
FB_IMG_1737663506846.jpg

Jichanganye nikutoe upepo!
 
Hili nalo ni neno mkuu, ila inategemea na aina ya mtaalamu Kuna utaalamu mwingine unakubali popote bila kujali kabila
. Ndiyo, kabila lingine kwenda kabila lingine inahitaji Mtaalam akuzoee, akuchimbe tabia zako( na hii huchukua mda kidogo usiopungua mwaka mmoja au miaka miwili, Sasa kama huna uvumilivu utajikuta ndani ya mwaka huo huo unatafuta mganga mpya 😁😁) ,

. Na mganga mpya tena atafanya hivyo hivyo kama yule wa mwanzo, so utajikuta wewe ni mtu wa kuzulula tu kila nyumba ya makuti..

. Mpaka Mtaalam akukabidhi mabomu ya kuvunja milima siyo rahisi kabisa,
 
. Ndiyo, kabila lingine kwenda kabila lingine inahitaji Mtaalam akuzoee, akuchimbe tabia zako( na hii huchukua mda kidogo usiopungua mwaka mmoja au miaka miwili, Sasa kama huna uvumilivu utajikuta ndani ya mwaka huo huo unatafuta mganga mpya 😁😁) ,

. Na mganga mpya tena atafanya hivyo hivyo kama yule wa mwanzo, so utajikuta wewe ni mtu wa kuzulula tu kila nyumba ya makuti..

. Mpaka Mtaalam akukabidhi mabomu ya kuvunja milima siyo rahisi kabisa,
Mtaalamu inaonekana una exposer kubwa sana kuhusu haya mambo naomba kukuuliza mkoa gani ni the best kwa waganga wakali
 
Wewe unaetumia akili Yako umefika wapi mpaka Leo? Kila mtu ana Imani zake ntaenda motoni kwa ushirikina wewe utakuja motoni kwa kusema uongo
Hata hivyo hayajawakuta waache wajifany hamnazo, Ni juzi tu ndugu mmoja katoa ushuhuda kukuta mchungaji na mke wake wako wanaroga kanisani.....
 
Back
Top Bottom