Siri: Njia rahisi ya kupata mganga wa kweli

Siri: Njia rahisi ya kupata mganga wa kweli

Nimekuelewa mkuu.
Sasa mbona nimeona unagawa chimbo kwa mtoa uzi, ama kuna cha juu utapata kama mtu kati? ๐Ÿ˜
Ningekuwa na nia ya cha juu ningemfuata inbox direct, ila kuna vijana lukuki wanataka hizo mambo, ndo maana nimeamua kutoa code live bila chenga.. ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹

. Nimetaja machimbo ila sijataja majina ya wataalam kwa sababu ya usalama wao..

. Kwa hiyo ukifika hilo eneo/ mkoa/ wilaya pamabana kumpata huyo mhusika

. Siyo huyo tu, kuna mwingine yupo mtwara hapo, ila uwe tayari kukatwa kidole.. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜. Hii ni serous issue.
 
Haya mambo huwa hayavuki kabila au ukoo( na hata kama utafanikiwa kupitia kabila lingine itachukua mda sana mpaka ufanikiwe) , ukitaka ufanikiwe kwa njia ya haraka na udumu kwenye mambo hayo lazima upate Mtaalam ndani ya kabila lako. Vinginevyo utapoteza sana pesa kutafuta waganga kila pembe ya nchi bila mafanikio.
Hii naipa 50/50๐Ÿ˜ถ๐Ÿ˜ถ
 
Ningekuwa na nia ya cha juu ningemfuata inbox direct, ila kuna vijana lukuki wanataka hizo mambo, ndo maana nimeamua kutoa code live bila chenga.. ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹

. Nimetaja machimbo ila sijataja majina ya wataalam kwa sababu ya usalama wao..

. Kwa hiyo ukifika hilo eneo/ mkoa/ wilaya pamabana kumpata huyo mhusika

. Siyo huyo tu, kuna mwingine yupo mtwara hapo, ila uwe tayari kukatwa kidole.. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜. Hii ni serous issue.

Nimekuelewa mkuu
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Nasema kwamba dar es salaam hakuna waganga Kuna wafanya biashara na matapeli

Waganga wapo Huko vichakani vijijini ambao hawataki pesa mana wanaishi kwa kilimo na ufugaji
Laki moja kijijini ni hela ambayo inaweza kukupa manufaa makubwa.

Fanya hivi
Panda gari kutoka dar mpaka sumbawanga mjini, lala gesti ahsubui panda gari lolote kwenda Kijiji Chochote Cha mbali,

Ukifika mwambie bodaboda nataka kuongea na wewe mnunulie supu mwambie akupeleke kwa mganga wa kweli utampa nauli mara mbili.

Mpaka hapo itakuwa umepata connection ya mganga

Hakuna ndugu au rafiki atakuambia mganga aliempa mafanikio yake

Uzi tayari
Matusi ruksa ukinitukana nabouble
Uganga ni ujuzi, unaweza ukapata mganga mkweli ila hana ujuzi sana na sio kila mganga ana yuko vizuri kwenye kila kitu kwenye masuala ya uganga.
 
Maajabu makubwa ya ushirikina! Wanaweza kukufanyia mchezo usipate pesa ila wasiweze kuiba Bank watajirike wao
Mbona kuna chuma ulete wanaiba hela au wewe unataka waibe bank tu? Ila kuna pesa za majini
 
ni ajabu sana, wanawezaje kumpa mtu utajiri na wao maisha yao pangu pakavu tia mchuzi
Kwanza ujue mkuu waganga wengi sio kwamba walipenda kuwa waganga bali wengi wamelazimika kuwa waganga.
 
1. Nenda Mbeya - tukuyu - kyela - panda pantoni - Ziwa nyasa- mbamba bay... Huko ni uhakika ukifaulu mitihani yao. ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ฃ๐Ÿ’ฃ๐Ÿ’ฃ

2. Nenda Tanga - handeni - Kwa msisi, kuna dingi hapo ni wa moto sana, ila mashart yake ni mgumu mnoo... ๐Ÿฅบ ๐Ÿฅบ.

Hizi codes mbili zinakutosha kwa Sasa.
Kwa msisi anaitwa mzee nani,hana ghalama kubwa kweli,
 
Mi nataka niwe napata mademu qenye chura tu
 
Ningekuwa na nia ya cha juu ningemfuata inbox direct, ila kuna vijana lukuki wanataka hizo mambo, ndo maana nimeamua kutoa code live bila chenga.. ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹

. Nimetaja machimbo ila sijataja majina ya wataalam kwa sababu ya usalama wao..

. Kwa hiyo ukifika hilo eneo/ mkoa/ wilaya pamabana kumpata huyo mhusika

. Siyo huyo tu, kuna mwingine yupo mtwara hapo, ila uwe tayari kukatwa kidole.. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜. Hii ni serous issue.
Mkuu nielekeze huyo wa mtwara hata kwa PM, Kukatwa kidole sio tatizo,kidole anakikata kwa kutumia nini kwanza!?
 
Ni sawa ushetani uhusike hatukatai, mbona mganga hana nguvu ya kutajirika kama anavoweza kuwapa uwezo wengine watajirike?
Swali zuri sana hili. Kumbuka kila fani/kazi ina masharti na Utaratibu wake. (Wenyewe wanaita vigezo na masharti) mfano mzuri ni Hizi kampuni za e.g. YAS au wale wanaochezesha Tatu mzuka n.k. usishangae hao wachezeshaji wanagwa mamilioni ilhali wao kama wao hali ni tete. Ni waajiriwa tu -wanategemea mishahara tena ni midogo na haiwatoshelezi mahitaji.
 
Mganga aache kuwapa ndugu zake utajiri aje akupe wewe kwamba anakupenda sana?! Yeye mwenyewe life linampiga chenga adi anakuomba wewe umpelekee jogoo au mbuzi, sasa km ni rahisi ivyo si angefanya uganga wake tu umletee kila kitu daily awe anakula kuku na misosi ya kusaza?! Mleta mada atakua dalali wa waganga huko Sumbawanga๐Ÿ™‚
 
1. Nenda Mbeya - tukuyu - kyela - panda pantoni - Ziwa nyasa- mbamba bay... Huko ni uhakika ukifaulu mitihani yao. ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ฃ๐Ÿ’ฃ๐Ÿ’ฃ

2. Nenda Tanga - handeni - Kwa msisi, kuna dingi hapo ni wa moto sana, ila mashart yake ni mgumu mnoo... ๐Ÿฅบ ๐Ÿฅบ.

Hizi codes mbili zinakutosha kwa Sasa.
Mkuu kwa Msisi ni ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
 
Mganga aache kuwapa ndugu zake utajiri aje akupe wewe kwamba anakupenda sana?! Yeye mwenyewe life linampiga chenga adi anakuomba wewe umpelekee jogoo au mbuzi, sasa km ni rahisi ivyo si angefanya uganga wake tu umletee kila kitu daily awe anakula kuku na misosi ya kusaza?! Mleta mada atakua dalali wa waganga huko Sumbawanga๐Ÿ™‚
Sidhani kama ndo wa hivyo. Mm naona amethubutu/amehiari kutushirikisha uzoefu wake. Wapo watu wengi saana kwenye harakati hizo za kutumia waganga lakini ni wachache wanaokuwa huru na kukubali kuelezea wahangaikaji wenzao ktk magonjwa au kuisaka sent ni wapi na ni kwa jinsi gani walivyofanikiwa. Inakuwa ni siri sirini.
 
Back
Top Bottom