Siri: Njia rahisi ya kupata mganga wa kweli

Siri: Njia rahisi ya kupata mganga wa kweli

Mtaalamu inaonekana una exposer kubwa sana kuhusu haya mambo naomba kukuuliza mkoa gani ni the best kwa waganga wakali
1. Nenda Mbeya - tukuyu - kyela - panda pantoni - Ziwa nyasa- mbamba bay... Huko ni uhakika ukifaulu mitihani yao. 🔥💣💣💣

2. Nenda Tanga - handeni - Kwa msisi, kuna dingi hapo ni wa moto sana, ila mashart yake ni mgumu mnoo... 🥺 🥺.

Hizi codes mbili zinakutosha kwa Sasa.
 
Nimezunguka miaka mingi Kwa waganga,

nimetumia pesa nyingi Kwa waganga,

Kuna muda nilijenga Imani nikiona kama waganga Wana msaada,kumbe ni mambo tu yamejiseti kutokana na jitihada zangu

Itoshe kusema juhudi na maarifa itatufikisha kwenye kilele cha mafanikio na si mganga wa kienyeji.
 
1. Nenda Mbeya - tukuyu - kyela - panda pantoni - Ziwa nyasa- mbamba bay... Huko ni uhakika ukifaulu mitihani yao. 🔥💣💣💣

2. Nenda Tanga - handeni - Kwa msisi, kuna dingi hapo ni wa moto sana, ila mashart yake ni mgumu mnoo... 🥺 🥺.

Hizi codes mbili zinakutosha kwa Sasa.
Mkuu hii comment Yako naiscreenshot, naitoa lamination alafu naibandika gheto, ntakupa mrejesho kwakuwa nipo dar naanza na tanga
 
Ni sawa ushetani uhusike hatukatai, mbona mganga hana nguvu ya kutajirika kama anavoweza kuwapa uwezo wengine watajirike?
Mkuu badirika hata mwalimu wa biashara anafundisha masomo ya biashara hali ya kua yete hana biashara hata moja.

Pia walimu wangapi wamekufundisha kuhusu uongozi hali ya kua wao sio viongoz

Zingatia nafasi yako na majukumu katika jamii na ndio maan wanasema mganga hajigangi
 
. Ndiyo, kabila lingine kwenda kabila lingine inahitaji Mtaalam akuzoee, akuchimbe tabia zako( na hii huchukua mda kidogo usiopungua mwaka mmoja au miaka miwili, Sasa kama huna uvumilivu utajikuta ndani ya mwaka huo huo unatafuta mganga mpya 😁😁) ,

. Na mganga mpya tena atafanya hivyo hivyo kama yule wa mwanzo, so utajikuta wewe ni mtu wa kuzulula tu kila nyumba ya makuti..

. Mpaka Mtaalam akukabidhi mabomu ya kuvunja milima siyo rahisi kabisa,

Mkuu, kama yeye ni mganga wa kweli kwanini anizoee ndo aweze kuzijua tabia zangu? Kwanini asizijue kupitia darubini yake? Ama madude yake?
 
Wanaowapiga vita waganga hawana akili. Waganga ndio watu wanaoaminika zaidi kuliko mtu yeyote hapa AFRICA achana na sarakasi za wachungaji na mitume hewa makanisani. uganga ni asili yetu dini ni za kuletewa tu, nikufumbue macho, tajiri yeyote unayemjua afrika,huo utajiri ameupata kutoka kwa waganga. niamini mimi bro.
 
Mkuu, kama yeye ni mganga wa kweli kwanini anizoee ndo aweze kuzijua tabia zangu? Kwanini asizijue kupitia darubini yake? Ama madude yake?
. Mganga hatoi Pesa/utajiri,, wale ni madalali kama madalali wengine tu na ndo maana utawaona ni watu wa kawaida tu, hawana nyumba za maana, hawana gari, mda mwingine hata kununua viatu inakuwa ni issue, siyo kwamba hawawezi kumiliki hizo hela ila wanaziogopa( usiwaone wajinga, maagano na shetani ni hatari sana 😁😁) .

. Yeye kazi yake kuu ni kukuunganisha na mashetani kupitia lugha zao wanazotumia kuwasiliana nao mpaka wanaelewana, na ndo maana ukivunja mashart huwa hawana uwezo wa kurekebisha ulichokosea( pale unakuwa umekula kiapo na shetani ambaye hajawahi kumuonea huruma binadamu hata siku moja, .

. Madalali/waganga huwa wanangalia uthubutu na kifua Cha mtu kama kinaweza kuhifadhi jambo Fulani kwenye roho bila kuropoka kwa mtu yeyote yule ili siri zisitoke nje bila mipangilio.


. Hata wachawi wa mitaani ni hivyo hivyo, hawezi kukushirikisha jambo la kumiliki matunguli au kukuunga kwenye chama mpaka wakuchunguze kwa mda Fulani ili waangalie mienendo yako ya kutunza siri na mambo mengine.( siyo upewe nyama ya mtu usiku Alafu Kesho tusikie mtaa mzima umesambaza habari kuwa ulipewa nyama ya mtu.. 😁😁)
 
. Mganga hatoi Pesa/utajiri,, wale ni madalali kama madalali wengine tu na ndo maana utawaona ni watu wa kawaida tu, hawana nyumba za maana, hawana gari, mda mwingine hata kununua viatu inakuwa ni issue, siyo kwamba hawawezi kumiliki hizo hela ila wanaziogopa( usiwaone wajinga, maagano na shetani ni hatari sana 😁😁) .

. Yeye kazi yake kuu ni kukuunganisha na mashetani kupitia lugha zao wanazotumia kuwasiliana nao mpaka wanaelewana, na ndo maana ukivunja mashart huwa hawana uwezo wa kurekebisha ulichokosea( pale unakuwa umekula kiapo na shetani ambaye hajawahi kumuonea huruma binadamu hata siku moja, .

. Madalali/waganga huwa wanangalia uthubutu na kifua Cha mtu kama kinaweza kuhifadhi jambo Fulani kwenye roho bila kuropoka kwa mtu yeyote yule ili siri zisitoke nje bila mipangilio.


. Hata wachawi wa mitaani ni hivyo hivyo, hawezi kukushirikisha jambo la kumiliki matunguli au kukuunga kwenye chama mpaka wakuchunguze kwa mda Fulani ili waangalie mienendo yako ya kutunza siri na mambo mengine.
Nimekuelewa mkuu.
Sasa mbona nimeona unagawa chimbo kwa mtoa uzi, ama kuna cha juu utapata kama mtu kati? 😁
 
Back
Top Bottom