Ningekuwa na nia ya cha juu ningemfuata inbox direct, ila kuna vijana lukuki wanataka hizo mambo, ndo maana nimeamua kutoa code live bila chenga.. ๐๐๐Nimekuelewa mkuu.
Sasa mbona nimeona unagawa chimbo kwa mtoa uzi, ama kuna cha juu utapata kama mtu kati? ๐
Hii naipa 50/50๐ถ๐ถHaya mambo huwa hayavuki kabila au ukoo( na hata kama utafanikiwa kupitia kabila lingine itachukua mda sana mpaka ufanikiwe) , ukitaka ufanikiwe kwa njia ya haraka na udumu kwenye mambo hayo lazima upate Mtaalam ndani ya kabila lako. Vinginevyo utapoteza sana pesa kutafuta waganga kila pembe ya nchi bila mafanikio.
Ningekuwa na nia ya cha juu ningemfuata inbox direct, ila kuna vijana lukuki wanataka hizo mambo, ndo maana nimeamua kutoa code live bila chenga.. ๐๐๐
. Nimetaja machimbo ila sijataja majina ya wataalam kwa sababu ya usalama wao..
. Kwa hiyo ukifika hilo eneo/ mkoa/ wilaya pamabana kumpata huyo mhusika
. Siyo huyo tu, kuna mwingine yupo mtwara hapo, ila uwe tayari kukatwa kidole.. ๐๐. Hii ni serous issue.
Usiombe YAKUKUTE.huyo mganga mwenye anaishi machakani huko yeye mafanikio hayataki?
Uganga ni ujuzi, unaweza ukapata mganga mkweli ila hana ujuzi sana na sio kila mganga ana yuko vizuri kwenye kila kitu kwenye masuala ya uganga.Nasema kwamba dar es salaam hakuna waganga Kuna wafanya biashara na matapeli
Waganga wapo Huko vichakani vijijini ambao hawataki pesa mana wanaishi kwa kilimo na ufugaji
Laki moja kijijini ni hela ambayo inaweza kukupa manufaa makubwa.
Fanya hivi
Panda gari kutoka dar mpaka sumbawanga mjini, lala gesti ahsubui panda gari lolote kwenda Kijiji Chochote Cha mbali,
Ukifika mwambie bodaboda nataka kuongea na wewe mnunulie supu mwambie akupeleke kwa mganga wa kweli utampa nauli mara mbili.
Mpaka hapo itakuwa umepata connection ya mganga
Hakuna ndugu au rafiki atakuambia mganga aliempa mafanikio yake
Uzi tayari
Matusi ruksa ukinitukana nabouble
Mbona kuna chuma ulete wanaiba hela au wewe unataka waibe bank tu? Ila kuna pesa za majiniMaajabu makubwa ya ushirikina! Wanaweza kukufanyia mchezo usipate pesa ila wasiweze kuiba Bank watajirike wao
Kwanza ujue mkuu waganga wengi sio kwamba walipenda kuwa waganga bali wengi wamelazimika kuwa waganga.ni ajabu sana, wanawezaje kumpa mtu utajiri na wao maisha yao pangu pakavu tia mchuzi
Kwa msisi anaitwa mzee nani,hana ghalama kubwa kweli,1. Nenda Mbeya - tukuyu - kyela - panda pantoni - Ziwa nyasa- mbamba bay... Huko ni uhakika ukifaulu mitihani yao. ๐ฅ๐ฃ๐ฃ๐ฃ
2. Nenda Tanga - handeni - Kwa msisi, kuna dingi hapo ni wa moto sana, ila mashart yake ni mgumu mnoo... ๐ฅบ ๐ฅบ.
Hizi codes mbili zinakutosha kwa Sasa.
Mkuu nielekeze huyo wa mtwara hata kwa PM, Kukatwa kidole sio tatizo,kidole anakikata kwa kutumia nini kwanza!?Ningekuwa na nia ya cha juu ningemfuata inbox direct, ila kuna vijana lukuki wanataka hizo mambo, ndo maana nimeamua kutoa code live bila chenga.. ๐๐๐
. Nimetaja machimbo ila sijataja majina ya wataalam kwa sababu ya usalama wao..
. Kwa hiyo ukifika hilo eneo/ mkoa/ wilaya pamabana kumpata huyo mhusika
. Siyo huyo tu, kuna mwingine yupo mtwara hapo, ila uwe tayari kukatwa kidole.. ๐๐. Hii ni serous issue.
Kwa msisi anaitwa mzee nani,hana ghalama kubwa kweli,
๐๐๐, unaamka tu kidole hakipo.Mkuu nielekeze huyo wa mtwara hata kwa PM, Kukatwa kidole sio tatizo,kidole anakikata kwa kutumia nini kwanza!?
Ooh,kumbe simple๐๐๐, unaamka tu kidole hakipo.
Siyo rahisi hivyo unavyo fikiria..Ooh,kumbe simple
eeh,mkuu si kidole wanakikata usiku majini, sasa ugumu unakujaje hapo na hakuna maumivu!!Siyo rahisi hivyo unavyo fikiria..
Twende wote๐Mkuu hii comment Yako naiscreenshot, naitoa lamination alafu naibandika gheto, ntakupa mrejesho kwakuwa nipo dar naanza na tanga
Konekshen tafazaliMbona kuna chuma ulete wanaiba hela au wewe unataka waibe bank tu? Ila kuna pesa za majini
Swali zuri sana hili. Kumbuka kila fani/kazi ina masharti na Utaratibu wake. (Wenyewe wanaita vigezo na masharti) mfano mzuri ni Hizi kampuni za e.g. YAS au wale wanaochezesha Tatu mzuka n.k. usishangae hao wachezeshaji wanagwa mamilioni ilhali wao kama wao hali ni tete. Ni waajiriwa tu -wanategemea mishahara tena ni midogo na haiwatoshelezi mahitaji.Ni sawa ushetani uhusike hatukatai, mbona mganga hana nguvu ya kutajirika kama anavoweza kuwapa uwezo wengine watajirike?
Mkuu kwa Msisi ni ๐ฅ๐ฅ1. Nenda Mbeya - tukuyu - kyela - panda pantoni - Ziwa nyasa- mbamba bay... Huko ni uhakika ukifaulu mitihani yao. ๐ฅ๐ฃ๐ฃ๐ฃ
2. Nenda Tanga - handeni - Kwa msisi, kuna dingi hapo ni wa moto sana, ila mashart yake ni mgumu mnoo... ๐ฅบ ๐ฅบ.
Hizi codes mbili zinakutosha kwa Sasa.
Sidhani kama ndo wa hivyo. Mm naona amethubutu/amehiari kutushirikisha uzoefu wake. Wapo watu wengi saana kwenye harakati hizo za kutumia waganga lakini ni wachache wanaokuwa huru na kukubali kuelezea wahangaikaji wenzao ktk magonjwa au kuisaka sent ni wapi na ni kwa jinsi gani walivyofanikiwa. Inakuwa ni siri sirini.Mganga aache kuwapa ndugu zake utajiri aje akupe wewe kwamba anakupenda sana?! Yeye mwenyewe life linampiga chenga adi anakuomba wewe umpelekee jogoo au mbuzi, sasa km ni rahisi ivyo si angefanya uganga wake tu umletee kila kitu daily awe anakula kuku na misosi ya kusaza?! Mleta mada atakua dalali wa waganga huko Sumbawanga๐