Agenda ya ufisadi Tz haipo tena? Huyu ex sieji kafichua mambo mengi tu,aaah hii Tz ni ileile tu ila kila awamu inawanufaika wake
Kwamba CAG akakagua mahesabu lakini hakugundua upotevu wa 1.5T TZS mpaka Zitto alipompelekea!!! Huu ujinga wenu muongee na wale mnaofananao mavazi na akili
Asante kwa kejeri yako ila uelewa wako ni mdogo sana maana unashindwa kuielewa vitu vidogo sanaAcha ubwege kazi ya upinzani ni nini? Tambua kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kuanzia vitu vidogo kiki matukio makubwa madogo, mapungufu yote hawatakiwi kuacha kitu, lusiwapangie cha kukosoa ajenda za ufisadi zipo ndiyo maana wanahoji ununuzi wa Ndege kwa cash kifisadi, Tilion 1.5, ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, 10% kwenye madini na miradi yote mikubwa.
Yaani wewe kuvuta Bangi hapo ghetto ndiyo unajiona una uelewa mkubwa? Ebu tuoneshe mfano mmoja tu wa upeo wako mkubwa tuoneAsante kwa kejeri yako ila uelewa wako ni mdogo sana maana unashindwa kuielewa vitu vidogo sana
Watetezi wa CCM ni shiiida hawajielewiPost Ya Kijinga Iliyowekwa Na Mjinga.
Apoteza muda bure kubishana na mjinga,haya sieji kachere tutaona kama atakuwa na jipya la kumzidi Assaad,muda mwingine tuwe na akili timamu watzYaani wewe kuvuta Bangi hapo ghetto ndiyo unajiona una uelewa mkubwa? Ebu tuoneshe mfano mmoja tu wa upeo wako mkubwa tuone