Siri nzito sakata la Okrah na Dejan ndani ya Simba

Siri nzito sakata la Okrah na Dejan ndani ya Simba

Yes inawezekana ikawa hivyo, lakini pia uenda kuna matabaka ndan ya timu unajua mzungu kulalamika sio mara moja kuna mechi moja hiv yeye na peter banda ten mzungu alilalamika na hapo kisa ni pasi akupewa inawezekana kuna ka hali cha kumtenga mzungu hapo 🙆🏻‍♂️
Mimi nililiona hili jambo mwanzo kabisa toka mzungu anaingia mechi ya kwanza.Kuna watu wametengeneza tabaka ndani ya timu kuhakikisha huyu mzungu hawiki ndani ya simba.Kuna wachezaji wanataka watajwe wao tu kila siku ila wasichojua kuwa mzungu ana nyota kali inayong'aa sana, hawawezi kuifunika na ngoja aje kocha anaejielewa uone kama mzungu atakaa benchi.

Kila kocha mwenye kujielewa lazima atataka awe na striker mrefu,mwenye nguvu, skills na shooting accuracy kubwa. Dejan ni complete package .

Simba ifanye mchakato ilete kocha mzungu.
 
Mtu anakosa goli za wazi hata mimi simpi pasi nikiwa na mpira
 
Anaandika Shaffi Dauda

Simba kuna vitu havipo sawa, lakini ni zile zile stori za kuvalishana suti kwenye vumbi au kuifunga Bugati injini ya bajaj ila haibadili kuwa kuna mengi hayapo sawa.

Tazama vyema hii clip, tazama namna Dejan na Okrah walivyotoshana nguvu, haya tunayaona sisi uwanjani vipi ya nyuma ya camera?? Iko sawa?





Matokeo ya mpira wa miguu yanapatikana na mambo mengi sana, matokeo ya mpira wa miguu moja wapo ni harmony na upendo baina ya wachezaji, hii haina picha nzuri tena kwenye mchezo tu wa kirafiki.

Time will tell.

Hamuna lolote hapo!
Bingwa Simba!
 
Mimi nililiona hili jambo mwanzo kabisa toka mzungu anaingia mechi ya kwanza.Kuna watu wametengeneza tabaka ndani ya timu kuhakikisha huyu mzungu hawiki ndani ya simba.Kuna wachezaji wanataka watajwe wao tu kila siku ila wasichojua kuwa mzungu ana nyota kali inayong'aa sana, hawawezi kuifunika na ngoja aje kocha anaejielewa uone kama mzungu atakaa benchi.

Kila kocha mwenye kujielewa lazima atataka awe na striker mrefu,mwenye nguvu, skills na shooting accuracy kubwa. Dejan ni complete package .

Simba ifanye mchakato ilete kocha mzungu.
Kwa mzungu hata mie mwanasimba simtetei hata sasa akitaka aondoke tyu!
 
Anaandika Shaffi Dauda

Simba kuna vitu havipo sawa, lakini ni zile zile stori za kuvalishana suti kwenye vumbi au kuifunga Bugati injini ya bajaj ila haibadili kuwa kuna mengi hayapo sawa.

Tazama vyema hii clip, tazama namna Dejan na Okrah walivyotoshana nguvu, haya tunayaona sisi uwanjani vipi ya nyuma ya camera?? Iko sawa?





Matokeo ya mpira wa miguu yanapatikana na mambo mengi sana, matokeo ya mpira wa miguu moja wapo ni harmony na upendo baina ya wachezaji, hii haina picha nzuri tena kwenye mchezo tu wa kirafiki.

Time will tell.

Et hawa ndo wandishi wa habar wenye weledi..... Shaffih anaitumia Simba kupata viewers wengi but ngoma ngumu!
Et time will tell... time ya Nyoko!
 
Vitu vingine vinakuzwa kwakuwa tu watu akili zao wameshazi tune kujadili vitu vidogo vidogo! Kama wanandoa wanagombana ndani ya nyumba sembuse wachezaji?
 
Mimi nililiona hili jambo mwanzo kabisa toka mzungu anaingia mechi ya kwanza.Kuna watu wametengeneza tabaka ndani ya timu kuhakikisha huyu mzungu hawiki ndani ya simba.Kuna wachezaji wanataka watajwe wao tu kila siku ila wasichojua kuwa mzungu ana nyota kali inayong'aa sana, hawawezi kuifunika na ngoja aje kocha anaejielewa uone kama mzungu atakaa benchi.

Kila kocha mwenye kujielewa lazima atataka awe na striker mrefu,mwenye nguvu, skills na shooting accuracy kubwa. Dejan ni complete package .

Simba ifanye mchakato ilete kocha mzungu.
Uko sahihi kuhusu uwezo wa Mzungu, ila hauko sahihi kuhusu kuja kocha mpya. Sababu hata akija kocha mpya still atampanga Mzungu na wale wale jamaa ambao ndio wanaombania.

Hapa solutions ni either uongozi wa Simba kuwapiga mkwara Wachezaji au kufumua kikosi ulete wengine kama hawa wana chuki. Otherwise Simba italazimika kuachana na Mzungu ili kuwaridhisha Wachezaji wengine waliobaki.
 
Back
Top Bottom