EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Mambo ya kuendekeza ndoto naonaga ni upuuzi tu unaweza hata kuugua wazimu ukiyaendekeza hata nikiota nazikwa I dont give a fu**
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jambo la aibu linakukabili katika maisha yako mostly ni kukosa kazi au kujihisi umekwama kimaisha at the moment nakuishia kulala au kuwaza muda wote ukiwa na uwalakini maisha yataendeleaje please usiumize sana ndonga mitihani yote utaishinda.Kuota uko uchi mbele za watu na unapambana kuijisitiri ila unashindwa hadi ukishtuka unaona kama nikweli. Hii imekaaje Mkuu!!?
Pia kuota kila mara uko kwenye kipindi cha mitihani na unakua hujajiandaa,unakua na hofu mpaka ukishtuka inakua kama kweli vile,nayo vipi?
Kuna jambo unalikwepa na utaki kuliweka wazi hivyo katika fikra zako unajaribu kutoroka japo linasumbua saikolojia yako tafakari ni kipi kinakupa wakati mgumu nafunguka usaidiweMkuu habari Mimi huwa naota nimekunja miguu napaa hewani kunakundi lawatu linanikimbiza hao watu siwa jui.huwa wananikimbiza hawanikamati Ila wao hawapai angani Mimi tuu ndo huwa napaa nikiwa nimekunja miguu.
Kuota unakula nyama yeyote kwenye ndoto ni ishara ya mikosi nakulingana na ndoto yako kuna mazingira ya usaliti hivyo kuwa makiniBaba yangu jana aliota kuwa nimezungukwa na maaskari, na mimi nikaota nimemeza nyama iliyokuwa imekaangwa kwenye mafuta bila kuitafuna. Nikaota tena kuna sehemu nilikuwa nimekaa ghafla nikajihisi kama kuwashwa flani hivi, kuja kucheki nikaona kama kinyonga flani hivi kikiwa kimevimba hatari
Ndoto zote ulizoota hazina maana yeyote kubwa zaidi ya kuna mambo unatamani ungekuwa na uwezo yangefanyika lakini ndo hivyo haiwezekaniMwaka jana kati sikumbuki ni mwezi gani ila kati ya june-august hivi. Kuna ndoto niliota aisee niliogopa kuwahadithia watu, maana kama kakichekesho wewe sasa ukutane na wazito hivyo ukae nao ah wapi sikuipa umuhimu.
NDOTO YA KWANZA
Niliota nipo sebleni mimi Hayati Magufuli (R.I.P) na Lowasa sikua muongeaji hata huko ndotoni baada ya muda Lowasa akatoka ndani nikajikuta nina kisu nikamchoma nacho Magufuli tumbuni nikakivuta kutoka upande a kwenda upande b (mf. kutoka kushoto kwenda kulia) sikuumia wala kushtuka wala kuona kuumizwa na tukio hilo huko ndotoni ndipo nikashtuka kurudi mwilini. Hii naikumbuka vyema.
Ndoto nyingine ya pili ni hii;
Usiku wa kuamkia jana.
Niliota nipo na mdada(namjua) mmoja hivi mahali kwenye watu gafla nikamshikana mkono nikaanza kumkimbia nae tunaelekea pori flani hivi ila tukafanye ngono. Tukafika huko, nikawa namchezea mwili wake ile hali ya kuiba iba sasa shughuli ikawa kufanya nae ngono anataka na mimi nataka ila hatufanikiwi kufikia lengo...
Baada ya muda kidogo nikashtuka.
Nini hasa maana ya hizi ndoto.?
Lengo la kuchimba nikuzika, nakuzika jambo lolote nikulisahau hivyo wakati huko mzima sasa usisahau kuwa kuna mema wapaswa kumtendea marehemu mf. kama alikuwa na familia tafadhali ijali na utoe msaada au kama akuwa na familia mtembelee japo kaburini kwake kumjulia hali.Niliota tunachimba Kaburi pembeni ya kaburi la Ndugu yangu, halafu nikakutana na Mifupa ya Ndugu yangu inaporomokea kwenye Kaburi tunalochimba la karibu.
Naomba tafsiri yake Mkuu!
Mpaka leo inanitesa maana ilinistua saana.
Inaweza isiwe na maana kubwa zaidi ya kuota mawazo au hisia zako mwenyew juu ya hofu uliyonayo kila siku kuhusiana na ajali au chombo chakoNiliota nimepata ajali ya gari nikatoka salama,nikaona gari inaendelea kunguruma ikiwa chini nikaenda kuizima nilipo lizima hapo hapo likawaka moto hii inamaana gani.maana kweli natumia gari kila siku.
Bliss ni ishara ya kipindi cha amani ya nafsi na huna kinachokukwaza moyoni kwa sasa hivyo endelea kufurahia kile ambacho maisha yanakuzawadia.Mimi nimeota nipo shule na nilikuwa nataniana na wenzangu kuhusu maswali ya shairi, Mimi nikatania kuwa utakuta swali linasema mstari wa pili katika ubeti wa 50 na ngapi huko unasemaje au baada ya nukta Fulani yanafuata maneno gani? Yaani nikawa natania vitu ambavyo sidhani Kama vipo ,mwishowe nimecheka kicheko kitamu kweli na kicheko kile sijawahi kukicheka maishani mwangu hatimaye nikashituka (hii ndoto Ina maana gani boss?)
Unapitia kipindi cha mpito wa sintofahamu ya kimaisha/ugumu ila bahati nzuri una-ambitions kubwa na hakika utakwea na kufikia kwenye kilele cha mafanikioVipi na ndoto za kupanda milima Hadi juu, au kuota mlima mrefu na theluji yake?
Inamaanisha achana na mambo yaliopita hayatokusaidia zaidi ya kukusababishia machungu, hivyo ishi maisha yakoMimi nimeota mwanamke niliyeachana nae ndio mpenzi wangu kwa kipindI hiki lakini ana mwanaume mwingine ikafikia kipindi akaniacha akapata nae mtoto je hii ina maana gani
Boss naitaj tafsiri hii pliz: usiku sa kuamkia leo nimeota nimesalitiwa. watu wangu ww mtaani kwetu nika amua kulipiza kisasi kwa wote walio nisaliti walikua 4 nikawasulubu then nika anza kuwadunga visu kila mmoja shingoni na kufariki... bada ya tukio hilo nika anza kutafutwa ili namimi niuliwe ila nikafanisha kutoroka jiji letu ambapo nilizaliwa nika elekea sehem mbali ambapo nika pokewa na askari wa2 waasi icho kijiji nimefika kulikuwepo vita ila mapigano yakawa yamesitishwa kwa kipindi ambacho nilikua huko na hivi karibuni kuliwahi kutoke mafuriko.....Mana ya ndoto hiyo nini nilipokua na tafutwa kwa kutukio ilibd mke wangu pia na yy akakusanye kila kitu chetu akashirikiana na mimi piaa!!! Nimeoa nina watoto2
Tafsiri ya madini ni thamani na nyoka huwa ni adui hivyo kuokota madini nikupata thamani au kibali mbele ya watesi wako ambao hawali walikuchukulia ndivyo sivyo na pia ni ishara ya mambo yako kukunyookea au kufanikiwa.Nisaidie hii,
Mimi ni mwalimu,
Miaka mitatu iliyopita niliota nimeokota madini ya thamani kubwa njiani wakati narudi kutoka shule ninayofundisha ambayo ipo pembezoni mwa mji. Madini hayo yalikuwa yanalindwa na nyoka mkubwa wa brown lakini sikumbuki kama alinidhuru.
niliota baba yangu mkubwa na babu yangu (wote ni marehemu) tulikua sehemu ambayo inaonekana ilikua ni nyumbani kwa ba mkubwa nikamwambia nataka kwenda shule (me ni mtu mzima saivi shule nlishamaliza mpaka chuo) akanambia nenda ndani sehemu fulaani utakuta hela chukua nenda shule kweli nikaenda nikachukua zile hela ila sikumbuki kama nlienda shule
ndoto nyingine nliota huyohuyo baba mkubwa ameacha familia yake na kwenda kusikojulikana na hakuna anaejua alipo/anafanya nini na roho ilikua inaniuma sana kumbe alienda kuanzisha maisha yake sehemu nyingine ila hakuoa mke mwingine na hakutaka mtu ajue yuko wapi na anafanya nn ila kumbe huko alikoenda alikua anaendelea na kazi yake ya ualimu na alikua anaishi mwenyewe tu hakutaka kujiusisha na mtu yaani kama alijitenga tu
Naomba unifafanulie ndoto hizi ambazo huota Mara kwa Mara
1) Nliwahi kuota Mara kadhaa ngombe wa nyumbani kwetu maziwa yamejaa then akazaa nkastuka usingizini
2)Ngombe kwa zizi letu wako wanne akatokea mmoja akazaa boma likajaa then mama angu akaniuliza huyu ndama aliezaliwa hakuna pakumweka mm nkamjibu tupunguze ngombe mmoja tumuze then nkastuka usingizini.
3) Nliota ngombe mzuri wakike maziwa yamejaa ana ngozi ya kuteleza anazaa ila akikua kipofu hua sielewi maana zake kwa ulimwengu wa roho
4) Juzi juzi nliota kua kuna mama mmoja(sikumfaham) alizaa mtoto wa kiume na mtoto yule akakua gafla na kuanza ktumbea pale pale. Naomba tafsiri yake mkuu
Maji ni ishara ya hisia zako mwenyewe hivyo jaribu kuzikabili hisia zako ambazo pengine ukutia woga au hofu au huzuni nakuwa kikwazo cha kufanikiwa mambo mengi maishani mwako hivyo jiamini na uishi kwa furaha.Habari mkuu,
Nina miaka zaidi ya miwili sasa naota ndoto zinazohusiana na maji, either kuna mafuriko napita kwenye hayo maji ila kabla sijavuka ng'ambo ya pili maji yanakuwa yameisha, na ndoto zingine napita sehemu kuna maji mengi sana yanatembea kwa kasi nawaongoza rafikizi zangu au ndugu zangu kuvuka, ndoto nyingine naenda sehemu nakuta hapo napoenda pamezungukwa na maji mengi sana kama bahari. Hizi ndoto huwa zinajirudia sana kwa mwezi naweza kuota hata mara tatu na zaidi. Tafsiri yake nini?
Unaroho wa kufeli kimaisha in whatever you are doing is doomed to fail, hivyo ushauri wangu zidisha maombi na acha dhambi au kiri tokea moyoni kwa kutubu na kujivua roho chafu ulizojivika au kuvikwa na watu waovu na utokaa ukwame tena kimaisha na wala kuota ndoto hizoMkuu nimejaribu kuchukua muda kukusoma na nimeona kuna sehemu unapitia mule mule hivyo nikakosa cha kukuuliza,kwani niliwahi kuota kusalitiwa na kweli nikafiwa na baba,
Ila Nina ndoto tatu naomba tafsiri zake mbili zimeshajirudia mara nyingi ,ya kwanza:niliwahi kuota nimeunguliwa na magari mawili mapya mpaka yakawa majivu nikabaki na moja la zamani na baadae nikaota tena kuwa nimenunua gari mpya na zoote zikapata ajali na kupoteabkabisa nikarudi to zero ground yaani apeche alolo
Ndoto ya pili huwa naota mara nyingi nachezea kinyesi ktk mitindo tofauti tofauti
Bi mkubwa wangu nilishamzika miaka mingi mno ila nikamuota akiwa hai akaanza kuumwa na kumzika,hii imenitokea Mara moja pekee
Naomba unipe codes zake na nahisi zitanisaidia
Una upendo pure kwa familia yenu na wao pia wanakupenda hivyo mnatakiana mafanikio au mnaombeana mema kila siku kwa Mungu hivyo ni ishara njema.Habari wakuu,
Kabla sijalala nilimuomba MUNGU anifunulie jambo fulani kupitia ndoto, sasa nilipolala nimeota Niko na kaka yangu namsindikiza safari akanipa dumu/galoni limejaa divai/whine nikawa nakunywa kwa kulimiminia mdomoni huku tukiendelea kupiga story. Itakuwa na maana gani?
Tafsiri yake ni kuwa ukiota safari yeyote uwakilisha maisha, barabara ikionekana ni ishara ya njia utakayopitia au unayopitia na gari ni wewe hivyo kama wewe ndo dereva ina maana nzuri kuwa wewe ndiye kiongozi au mwenye maamuzi juu ya maisha yako mwenyewe kama mshika usukani, lakini ukijiona ni abiria jua kuna mtu ndiye anayecontrol maisha yako.Ukiota unaendesha gari
Hapo kwa Magu nadhani umechomekea kutest kina cha maji!!Mwaka jana kati sikumbuki ni mwezi gani ila kati ya june-august hivi. Kuna ndoto niliota aisee niliogopa kuwahadithia watu, maana kama kakichekesho wewe sasa ukutane na wazito hivyo ukae nao ah wapi sikuipa umuhimu.
NDOTO YA KWANZA
Niliota nipo sebleni mimi Hayati Magufuli (R.I.P) na Lowasa sikua muongeaji hata huko ndotoni baada ya muda Lowasa akatoka ndani nikajikuta nina kisu nikamchoma nacho Magufuli tumbuni nikakivuta kutoka upande a kwenda upande b (mf. kutoka kushoto kwenda kulia) sikuumia wala kushtuka wala kuona kuumizwa na tukio hilo huko ndotoni ndipo nikashtuka kurudi mwilini. Hii naikumbuka vyema.
Ndoto nyingine ya pili ni hii;
Usiku wa kuamkia jana.
Niliota nipo na mdada(namjua) mmoja hivi mahali kwenye watu gafla nikamshikana mkono nikaanza kumkimbia nae tunaelekea pori flani hivi ila tukafanye ngono. Tukafika huko, nikawa namchezea mwili wake ile hali ya kuiba iba sasa shughuli ikawa kufanya nae ngono anataka na mimi nataka ila hatufanikiwi kufikia lengo...
Baada ya muda kidogo nikashtuka.
Nini hasa maana ya hizi ndoto.?