Mwingine kakuzid tu miaka mitano lakin sasa ni kauzu hata ufanyeje yaan hata uweke jitihada gani muwe washikaji inashindikana sababu ndivyo alivyo, basi unabaki kujitesekea[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] lakin kuoa/kuolewa na rafikiako ni muhimu sana maana kuna wakati mapenzi huisha mnabaki kama marafiki tuMkiwa marafiki ni raha sana. Kimbembe pale unadate na mtu umri sawa na baba ako urafiki sijui utaanzia wapi
Hapo sasa na mlipokutania panachangia [emoji23][emoji23][emoji23]Mwingine kakuzid tu miaka mitano lakin sasa ni kauzu hata ufanyeje yaan hata uweke jitihada gani muwe washikaji inashindikana sababu ndivyo alivyo, basi unabaki kujitesekea[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] lakin kuoa/kuolewa na rafikiako ni muhimu sana maana kuna wakati mapenzi huisha mnabaki kama marafiki tu
So, tuwe tunasema ^50/50, excluding financial matters^?
Baada ya mume Kuwa Na hela Za kutosha huo urafiki ndo wawezekana!
Sio kweli,hata kutokutimiza majukumu ni suala la makubaliano pia.
Kwa sababu kuna baadhi ya situation mwanandoa anaweza kushindwa kutimiza majukumu kwa mwenzie,hapo mkikubaliana kutokutimiza majukumu kwa mmoja wenu wala hakuna shida.
Mfano mnaweza kukubaliana kwamba baba ndie atakayefua nguo za mtoto,atakosha vyombo asubuhi na kupika chai kisha ataenda kazini,haya mambo ilikuwa kikawaida ayafanye mwanamke ila mtu anaweza kukubaliana na mkewe kwamba majukumu haya atimize mume.
Hhhh unakusudia nini hapa ?
Makubaliano yanaanza kabla ya kuwajibika,na sio wawajibike kisha ndo wakubaliane.
Unamaanisha nn mkuu,MTU wanyota yakoUkimpata wa nyota yako ndoa tamu
Kwakweli mheshimiwa umeongea point bila kupepesa macho,ukweli mchungu Nikua mwanaume binafsi inahitajika uwe stable financiallly,Ktk kutimiza majukumu yakifamilia,kuna jamaa flani ktk mtaaa,mkewe kaugua akashindwa kumuhudumia Hadi akamuambia mkewe aende kwao,akatibiwe ,baada yakupona ameeenda kumchukua,Jct cellulitis ktk mguu!Sijui anaongelea pesa kwa misingi ipi ila mwanaume anapoamua kuingia kwenye jukumu la familia anatakiwa kujua kwamba ili familia yake iweze kuishi lazima iweze kupata mahitaji ya kijamii. Na hayo majukumu yanaweza kuwa yanahitaji pesa au mali ili yatekelezeke.
Mwanaume kichwa cha familia akiwa na pesa akapata na mke aliye msaidizi sahihi maisha ni mazuri sanaà
Mtu mnaefanana mnaendanaUnamaanisha nn mkuu,MTU wanyota yako
Unaweza kuwa na rafiki hana chura?!!Jana nimempikia mshkaji wangu pilau la kitimoto.
Nimeoa muda mrefu sana na nina mtoto.
Naongea kwa experience my dada
Kwakweli mheshimiwa umeongea point bila kupepesa macho,ukweli mchungu Nikua mwanaume binafsi inahitajika uwe stable financiallly,Ktk kutimiza majukumu yakifamilia,kuna jamaa flani ktk mtaaa,mkewe kaugua akashindwa kumuhudumia Hadi akamuambia mkewe aende kwao,akatibiwe ,baada yakupona ameeenda kumchukua,Jct cellulitis ktk mguu!
Unawezaje ku-date au kuolewa na mtu asie 'rafiki yako' ? age aint nothingMkiwa marafiki ni raha sana. Kimbembe pale unadate na mtu umri sawa na baba ako urafiki sijui utaanzia wapi
Jana nimempikia mshkaji wangu pilau la kitimoto.
Sugar sukari!🤗🤗🤗Happy new year Behaviourist
Hongera kwa pilau ya kitimoto🤣🤣
Sugar sukari!🤗🤗🤗
Hiyo sentensi ya mwisho imenichekesha sana...Ndoa ikiunganishwa na ngono kuna vipindi vya mmoja kuugua magonjwa makubwa yanayofanya ngono isifanyike,au ifanyike chini ya kiwango ,hapo ndoa inaingia shakani kwa mmoja kuchepuka au kuwa na mahusiano nje.
Ikiunganishwa na fedha kuna kufilisika na kuunguliwa moto biashara kama soko la karume,ndoa inakuwa shakani.
Ila ikiunganishwa na upendo na urafiki inadumu sana kwakuwa mnakuwa huru,urafiki ndoani unapunguza sana chuki na usaliti kwakuwa asilimia kubwa mnakuwa wawazi.
Sio unakuwa na mwenza mkilala kitandani unaogopa hata kujamba.
Ndoa ni unnatural. Ipo against nature ya binadamu lakini acha nikae kimya na upendo feki wa wanandoa utamalaki kwenye hili jukwaa.Umeshawahi kujiuliza kwa nini kuna jamaa mke wake unamuona wa kawaida sana lakini wanaishi kwa amani kabisa na wanapendana?
Ni kwa sababu wamekuwa marafiki ndani ya ndoa, siri ya rafiki hata awe mbaya kiasi gani hauwezi kuchagua sura yake akiwa mshkaji ndio mshkaji huyo.
Kuna watu wana marafiki ambao hawataki wenza wao wawe kama marafiki zao. Mtu ana rafiki mlemavu lakini hataki mwenza wake awe mlemavu, Mtu ana rafiki kipofu lakini hataki awe na mwenza kipofu, mtu ana rafiki mzee saana lakini hataki mwenza wake awe mzee.
Hii ni kwa sababu urafiki una nguvu ya kuwaunganisha watu kwa muda mrefu kuliko ngono yenyewe. Lakini pia jiulize kwamba mbona suala la urafiki inawezekana kuwa watu wa jinsia moja wakawa marafiki?
Kuonesha namna ambavyo urafiki una nguvu kubwa ya kuwaunganisha watu na kuwafanya waendelee kuwa wamoja. Mwanandoa mwenzio anapokuwa rafiki yako kuna uwezekano mkubwa sana wa nyinyi kuishi kwa muda mrefu katika ndoa yenu kwa sababu ndoa yenu imeunganishwa na jambo la urafiki ndani yake.
Urafiki una nguvu kuliko ngono ndio maana kuna talaka kwa wanandoa na wala hakuna talaka kwa marafiki. Kwa sababu marafiki hawatengani kwa sababu ya ugomvi bali wanatengana kwa sababu ya umbali ndio maana una washkaji zako wa shule hamjawahi kugombana ila kwa sababu ya umbali una washkaji wengine.
Lakini kwenye ndoa watu hawatengani hivi hivi tu lazima wakorofishane wengi wao ndipo waachane. Ngono unaweza kupata kwa siku moja lakini urafiki hauwezi kupata kwa siku moja. Hivyo mwanandoa usijisahau sana ukahisi kwamba ngono ndio ishu kubwa katika ndoa, bali urafiki hasa ndio jambo kubwa.
Wanandoa msiconcetrate kwenye ngono kwa sababu ngono sio ishu tenconcetrate katika mahusiano mazuri ya urafiki na mkeo. Kinachowatenganisha wanandoa ni mahusiano ya kingono na wala sio mahusiano ya kirafiki. Ngono katika ndoa ni dharura endapo utakuwa na hamu ndipo unamaliza haja zako,ila kuna mambo mengi ya kufanya na kujadili na rafiki yako wa ndoa ukiacha ngono.
Mahusiano yanayotegemea ngono hudumu kwa muda mfupi na kuishia kwenye michepuko,mahusiano yanayounganishwa na urafiki hudumu muda mrefu sana.
Mke/mume wako ndiye rafiki yako.