Siri ya kibaiolojia katika mwili wa mwanamke ambayo wengi hawaifahamu

Watu hawajui siri za kibaiolojia 😂😂😂
 
Ukiona umeingia katika uzi then ukaona maudhui yake yanakukwaza ama yanakukera then jua umekosea Forum. Ni sawa na kwenda kwa mama ntilie ukataka uhudumiwe huduma za Bar au Pub utahisi wanakukosea kumbe umekosea l
Uzoeshe ubongo kuandika vitu vya msingi mkuu
 
Hapo Kwa watu wazima unawafundisha nin?? Siwez elimika na jambo kama Hilo kamwe
Huu sasa ndio ubinafsi. Umezungukwa na watoto wa kike wangapi,wewe hauna ndugu zako wenye watoto wa kike,wewe binafsi hauna mtoto wa kike?

Ukitafakari nilichoandika hapa utakosa busara au hekima ya kumfunda binti mdogo kuheshimu mwili wake na kuutunza kwasababu ya hiki nilichokielimisha leo hapo?

Kwamba wewe kwasababu umeshapita huku chini na umeshakuwa mtu mzima baada ya kuharibu enzi za usichana wako hauoni umuhimu wa hii elimu hapa katika kuwasaidia mabinti kujitambua na kujitunza?

Kwamba kesho utakaa na binti yako au mtoto wa kike na hautataka ajue chochote kuhusu hii elimu ya kimwili?🤔
 
Hapo Kwa watu wazima unawafundisha nin?? Siwez elimika na jambo kama Hilo kamwe
Huu sasa ndio ubinafsi. Umezungukwa na watoto wa kike wangapi,wewe hauna ndugu zako wenye watoto wa kike,wewe binafsi hauna mtoto wa kike?

Ukitafakari nilichoandika hapa utakosa busara au hekima ya kumfunda binti mdogo kuheshimu mwili wake na kuutunza kwasababu ya hiki nilichokielimisha leo hapo?

Kwamba wewe kwasababu umeshapita huku chini na umeshakuwa mtu mzima baada ya kuharibu enzi za usichana wako hauoni umuhimu wa hii elimu hapa katika kuwasaidia mabinti kujitambua na kujitunza?

Kwamba kesho utakaa na binti yako au mtoto wa kike na hautataka ajue chochote kuhusu hii elimu ya kimwili?
Uzoeshe ubongo kuandika vitu vya msingi mkuu
 
Uzoeshe ubongo kuandika vitu vya msingi mkuu
Msingi wa ghorofa na msingi wa nyumba ya chini ni tofauti. Pengine mimi najenga ghorofa wewe umezoea ujenzi wa nyumba za chini so umekuja hapa kunambia nakosea kumbe ujenzi wangu na wako ni watofauti sana.

Jifunze utofauti wa mitazamo utaelewa namna ya kunavigate kwenye mijadala bila kupanic.
 
Katika vitu ambavyo namshukuru mungu ni kwamba usichana wangu niliujenga vizur hakuna majuto niliyopata kingine sio tu wadogo Nina mtoto wa kike na mtoto wangu atafata nyayo zangu nilizopita Hilo nimeshaweka dhahiri lakin sitokuja mfundisha vitu kama kilichoandikwa hapo Kuna mambo yakumfundisha na ataelewa sio lazma nijieleze had ambavyo hapaswi kusikia Kwa Sasa

Kipenzi sijaona busara Wala hekima yoyote kwakile kilichoandikwa kama unahisi Sina busara kisa kukosoa hayo mandiko Soo sorry
 
Umeanndika kimapokeo sana.

Lakini andiko lako linaashiria mantiki ya kisayansi, hivyo basi uaweza kuweka mambo sawa kwa kuleta uthibitisho.

Usipoleta ama ukazua ubishi basi mtu yeyote mwenye akili timamu lazima atapuuza hili andiko.
 
Hormorn zina majina yanayoeleweka. Hebu tujuze majina ya hizo hormones ili tuzijue kwa uhakika.
 
Mahangaiko ni mengi ila mwisho ni ule ule. Kuzaana na kufa.
 
Nonsense
 
Waarabu issue yao na wanawake ni controlling tuu, na wanawake wao utakuta wana bikira lakini marinda hakuna
 
We si huwa unasema haujaolewa,watoto umetoa wapi sasa?🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…