Siri ya kwanini Lissu anaungwa mkono na Wanaharakati na siyo Mbowe

Siri ya kwanini Lissu anaungwa mkono na Wanaharakati na siyo Mbowe

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Wakuu habari za Dominica,

Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.

Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.

Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.

Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.

Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.

Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
 
Wakuu habari za Dominica,

Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile smbacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipota mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.

Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.

Mimi soyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jadusi Chahali.

Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.

Lisu pia ni aina ya hawa wanahatakati ambao wanaamini ili ajenda zao zofanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitwaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.

Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
 
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Huyu huyu ndiye mlitaka mumkabidhi kitufe cha kuamrisha majeshi yetu na tulipokataa kuwa si Presidential Material mkatujia juu....!!! Mnatuonaje lakini???
 
Ndugu TL bingwa wa "kuropoka" ,kupayuka ,mkosa uvumilivu ,mwenye kukopi siasa hamaniko za "tug of wars" za busubusu za demokrasia ya ULAYA"...

Kumpa "kipaza sauti" mtu wa aina hii ni kuliingiza gari "highway" huku ukiwa UMEVAA MIWANI YA BATI....

#Nchi Kwanza!
 
Acha maneno mingi, andika tu kwa kifupi...Mbowe ni king'ang'anizi wa madaraka sawa tu na Lipumba!.
Hawa ndio wafuasi wa Lisu ambao hawana uwezo wa kumpa kura kwa nafasi anayotamani.
 
Wakuu habari za Dominica,

Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile smbacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipota mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.

Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.

Mimi soyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jadusi Chahali.

Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.

Lisu pia ni aina ya hawa wanahatakati ambao wanaamini ili ajenda zao zofanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitwaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.

Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Matola wewe ni mchaga tunafahamu. Ukisema namuunga mkono Mbowe sababu ni wanyumbani kuna ubaya gani?

Acha kuokoteza vijisababu Lissu alipogombea urais hamkuyaona haya!!
 
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Uo ndo ukweli mkuu,waambie hao wasiotaka kuelewa hilo,huwa najiuliza kwani mtu kutembelea mara moja moja uko ughaibuni,ndo anapoteza sifa za kugombea au kuwa raia wa Tz?, mbona wengine wanaenda uko lkn hatuwasemi kiivyo?!!
 

Mkuu Pascal Mayalla ameelezea vizuri.

Lissu angekuwa mtu sahihi, wa kuivaa CCM. Iła hana skills za kuongoza chama

Na kupitia campaign zake za awali za kuwania nafasi ya uenyekiti ameonyesha uwezo wake mdogo wa uongozi.

Hana sifa ya kuongoza chama, let alone a nation.

Kiongozi uwezi kuwa na ‘ułimi usio na brake’ huo ni utoto na wala uwezi ‘kukosa uvumilivu’ wa mitazamo tofauti na wanachama wenzako. Ndio maana leadership inataka democratic skills na patient.

Lissu hana sifa za uongozi.

Kwa mtazamo wa ‘Meredith Belbin’ team theory Lissu ni ‘shaper’ sio team leader.
 
Ndugu TL bingwa wa "kuropoka" ,kupayuka ,mkosa uvumilivu ,mwenye kukopi siasa hamaniko za "tug of wars" za busubusu za demokrasia ya ULAYA"...

Kumpa "kipaza sauti" mtu wa aina hii ni kuliingiza gari "highway" huku ukiwa UMEVAA MIWANI YA BATI....

#Nchi Kwanza!
Ni ngumu sana kwa hawa wafuata mkumbo wa wanaharakati kuelewa ulichoandika hapa.

Hata Tiss hawawezi kumkubali Tundu Lisu kuwa kwenye nafasi ya juu, kuropoka siyo haiba ya kiongozi wa juu au kiongozi mkuu.
 
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Hawa watukanaji mitandaoni ndio wafuasi wa Lisu, lakini wapiga kura ni wafuasi wa Mbowe.

Ndio mtajuwa tofauti ya mwanasiasa na mwanaharakati, Mbowe ameweka base kwenye chama, nyinyi endeleeni kutukana watu sanduku la kura litawajibu.
Tuko pamoja na Mbowe mpaka chama life au Mbowe afe
Mbowe ni pandikizi la Tiss, yupo upinzani kwa 'kazi maalumu.'

Tundu Lissu ni mpinzani wa kweli, ni vyema akaondoka Chadema, nyoka yupo ameingia ndani mwao
 
Wakuu habari za Dominica,

Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile smbacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipota mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.

Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.

Mimi soyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jadusi Chahali.

Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.

Lisu pia ni aina ya hawa wanahatakati ambao wanaamini ili ajenda zao zofanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitwaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.

Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Kwene maandamano hao wanaharakati huwa wanatokea? Kule Kenya wana harakati huwa wako front line wanapigwa mabomu vibaya mno
 
Back
Top Bottom