Maoni yako ni dhahiri japo mimi si muumini wa siasa ni kweli kwamba TAL si mtulivu na mvumilivu katika siasa matokeo yake itapelekea yeye kuvuka taratibu na hatimaye atatumia muda mwingi kupambana na vyombo vya Dora, hali hiyo itadhoofisha harakati za kukipeleka chama mbele.
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
..kwa kuongezea kwa yaliyompata Lisu ni km amejitoa rehani na hajali maumivu yanayowapata wengine kutokana na msimamo wake..ni mtu ambaye hajali hata familia yake mwenyewe, binadamu tuna mipaka..huwezi kuwa km loose dog halafu utarajie amani, itoke wapi..hao unaowajeruhi miili yao ina maji? Mungu ndie anafahamu kiwango ambacho binadamu anapaswa kujipambania yanayobaki yeye anamalizia..siasa za harakati Mandela zilimfikisha wapi? Je siasa za ubaguzi ziliisha sababu ya harakati za Mandela? Lkn wakati ulipofika bila hata ya uwepo wa Mandela barabarani ubaguzi ulifikia kikomo! Lisu hawezi kufanya lolote peke yake..mangapi amefanya Lisu akafanikiwa..
..kwa kuongezea kwa yaliyompata Lisu ni km amejitoa rehani na hajali maumivu yanayowapata wengine kutokana na msimamo wake..ni mtu ambaye hajali hata familia yake mwenyewe, binadamu tuna mipaka..huwezi kuwa km loose dog halafu utarajie amani, itoke wapi..hao unaowajeruhi miili yao ina maji? Mungu ndie anafahamu kiwango ambacho binadamu anapaswa kujipambania yanayobaki yeye anamalizia..siasa za harakati Mandela zilimfikisha wapi? Je siasa za ubaguzi ziliisha sababu ya harakati za Mandela? Lkn wakati ulipofika bila hata ya uwepo wa Mandela barabarani ubaguzi ulifikia kikomo! Lisu hawezi kufanya lolote peke yake..mangapi amefanya Lisu akafanikiwa..
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Yote usemayo sio lazima yawe ya kweli,Maria ni mdogo wangu nimesoma nae shule moja, nimemtangulia madarasa primary,ni mzalendo wa kweli wa nchi hii kuliko wengi wetu!。
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Kama Lissu anaona Mbowe anamchelewesha aondoke akaanzishe chama chake kama ni rahisi! Hatuwezi kukubali kuua chama kwa mambo ya kijinga! Lissu hana sifa za kuwa kiongozi mkuu wa CHADEMA!
Wanabodi, Leo nawaendeshea somo la kitu kinachoitwa assets and liabilities, kwenye siasa. Kwenye biashara assets ni mtaji na rasilimali na liabilities ni madeni, na hasara, biashara ikiwa nzuri, assets ni faida, biashara ikianguka, una dispose some of your assets into liabilities kuiokoa...
Lissu angekuwa mtu sahihi, wa kuivaa CCM. Iła hana skills za kuongoza chama
Na kupitia campaign zake za awali za kuwania nafasi ya uenyekiti ameonyesha uwezo wake mdogo wa uongozi.
Hana sifa ya kuongoza chama, let alone a nation.
Kiongozi uwezi kuwa na ‘ułimi usio na brake’ huo ni utoto na wala uwezi ‘kukosa uvumilivu’ wa mitazamo tofauti na wanachama wenzako. Ndio maana leadership inataka democratic skills na patient.
Lissu hana sifa za uongozi.
Kwa mtazamo wa ‘Meredith Belbin’ team theory Lissu ni ‘shaper’ sio team leader.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.