Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nyie UWT mapenzi yameanza lini kwa Mbowe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anafanya biashara ya siasa wala hana nia ya kushika dolaMbowe ni pandikizi la Tiss, yupo upinzani kwa 'kazi maalumu.'
Tundu Lissu ni mpinzani wa kweli, ni vyema akaondoka Chadema, nyoka yupo ameingia ndani mwao
Acha ukabila wachaga wengi tu wanampiga MboweMatola wewe ni mchaga tunafahamu. Ukisema namuunga mkono Mbowe sababu ni wanyumbani kuna ubaya gani?
Acha kuokoteza vijisababu Lissu alipogombea urais hamkuyaona haya!!
Ni Lissu au Mbowe? Mbona unajichanganya sanaLisu anarudia kosa lilelile la Magufuli kuamini ni yeye tu ndio muarobaini wa jambo fulani.
In future tense Lisu ni awaiting Dictator.
....rafiki kipenzi wa Robert Amsterdam !Arudi ubeligiji
Ha ha ha ha !Wapiga ramli bado mpo? Wenzako wengine walikuwa wananiita Baba Samira.
Halafu for your information mimi siyo Chadema na wala sijawahi hata kufikiria kuwa mwanachama wa Chadema.
Kuna mwanachadema anayetukana watu hovyo kumzidi Martin Masese, kama hukujua basi nakujuza Martin Masese ni chawa kindakindaki wa Freeman Mbowe na bingwa wa kutukana watu hovyo kama kuku aliyekatwa kichwa.Hawa watukanaji mitandaoni ndio wafuasi wa Lisu, lakini wapiga kura ni wafuasi wa Mbowe.
Ndio mtajuwa tofauti ya mwanasiasa na mwanaharakati, Mbowe ameweka base kwenye chama, nyinyi endeleeni kutukana watu sanduku la kura litawajibu.
Watu kama ninyi mnampenda Lissu kwa uanaharakati wake, lakini siku akitangaza maandamano mtampamba kweri kweri na mwisho wa siku atajikuta yuko Ubeleji na nyie nyuma key boards mkikiwasha JF, lakini mtaani hampo? Wajinga sana ninyi!Itoshe Kusema wewe ni MPUMBAVU SABA
Siasa za saizi zimebadilika zinawahitaji akina Lissu.Wakuu habari za Dominica,
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Nimekujua kwa sababu kale ka-barmaid unakochukuwaga kalikuona una-post kwenye simu yako.Wapiga ramli bado mpo? Wenzako wengine walikuwa wananiita Baba Samira.
Halafu for your information mimi siyo Chadema na wala sijawahi hata kufikiria kuwa mwanachama wa Chadema.
Msiri wake....rafiki kipenzi wa Robert Amsterdam !
Kundi la Lowasa ndio lilimpigia kura Magufuli kumkomowa Kikwete, fuatilieni vizuri siasa mzielewe.Yule mzee wa machame apumzike bwana, wale wapiga kura nawaombea sana mumchague TL, mimi napenda mabadiliko. Mbona upande wa pili walimchagua Magu na walisema hana sifa za kuwa rais kipindi alipokuwa waziri.