Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Mbowe ana wafuasi wengi ndani ya CDM, siasa za uchaguzi zina divisions.Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Wala hiyo siyo issue, robo tatu ya Watanzania sisi wote ni maadkari, kwahiyo Mbowe kama ana mahusiano na Tiss hiyo ni habari njema kwangu maana yake anaaminika na mfumo.Mbowe ni pandikizi la Tiss, yupo upinzani kwa 'kazi maalumu.'
Poor analysis.Wakuu habari za Dominica,
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile smbacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipota mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi soyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jadusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanahatakati ambao wanaamini ili ajenda zao zofanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitwaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Hao ni nyoka hatari, wamemgonga mzee Kibao, Ben Saa8, Mawazo, n.kWala hiyo siyo issue, robo tatu ya Watanzania sisi wote ni maadkari, kwahiyo Mbowe kama ana mahusiano na Tiss hiyo ni habari njema kwangu maana yake anaaminika na mfumo.
Ateue mtu mwingine (damu changa) kwenye chama mwenye misimamo kama yake agombee hiyo nafasi, yeye abaki kuwa mshauri.Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitwaumiza kivyovyote viongozi wa ccm
Bahati nzuri naijuwa vizuri mifumo ya nchi, tukio hata wakifanya Uvccm mtawasingizia Tiss, wengi hamjui oparesheni za Tiss mnaropokwa tu.Hao ni nyoka hatari, wamemgonga mzee Kibao, Ben Saa8, Mawazo, n.k
Lisu ni kama TrumpWakuu habari za Dominica,
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Kwani vijana wa uvccm siyo tisi? πBahati nzuri naijuwa vizuri mifumo ya nchi, tukio hata wakifanya Uvccm mtawasingizia Tiss, wengi hamjui oparesheni za Tiss mnaropokwa tu.
Mitano tena, huyo kijana ndio aandaliwe sasa au wajiamdae wenyewe kuanzia sasa, hii ni term yake ya mwisho Freeman Mbowe.Ateue mtu mwingine (damu changa) kwenye chama mwenye misimamo kama yake agombee hiyo nafasi, yeye abaki kuwa mshauri.
Hawa Uvccm na Tiss wapi na wapi? hao si green gurd? hata wakipelekwa kulinda kwenye migodi ya Jitegemee wanavalishwa kombat za JKT wanajifanya na wao ni wanajeshi wasengerema sana.Kwani vijana wa uvccm siyo tisi? π
Steve Nyerere akikusikia atacheka sana πππHawa Uvccm na Tiss wapi na wapi? hao si green gurd? hata wakipelekwa kulinda kwenye migodi ya Jitegemee wanavalishwa kombat za JKT wanajifanya na wao ni wanajeshi wasengerema sana.
Wakati tunakula unga wa Yanga, tunashona nguo midabwada na sukari ya mgao NMC ulikuwa umeshazaliwa?Sasa bora kipi
Kupata misaada, mikopo na kutokuwekewa vikwazo halafu pesa wanagawana kama njugu akina Bashite na Abdul huku wapinzani wakiuwawa au kuwekewa vikwazo vya kimataifa ili tubadilike tuishi kama binadamu wenye akili timamu?
Huyu mnyalukolo kulikana jina la Baba yake mzazi na kudandia jina la Nyerere wewe unadhani huyu ana akili kichwani?Steve Nyerere akikusikia atacheka sana πππ
Dominica njema πΉ
Neno "Chekechekea" lina maana gani katika sentensi yako?. Ukiwa unakosoa wenzako angalia pia na wewe usifanye makosa yaleyale.Adha ni nini? Mbona unajidhalilisha mwenyewe? Somo la kuandika ni basic kuanzia chekechekea.
Tusitegemee lolote jipya toka Chadema ndani ya miaka 5 ijayo!Mitano tena, huyo kijana ndio aandaliwe sasa au wajiamdae wenyewe kuanzia sasa, hii ni term yake ya mwisho Freeman Mbowe.
Mnaotaka mabadiriko mmepewa muda na fursa ya kujiandaa mapema msije kulialia tena kwamba Mbowe kastaafu kaweka pandikizi lake, andaeni hao vijana sasa for next five years siyo mbali.
Makosa yanaendelea, "Kafika"Neno "Chekechekea" lina maana gani katika sentensi yako?. Ukiwa ukosoa wenzako angalia pia na wewe usifanye makosa yaleyale.
Wanaharakati wengi ni wachumia tumboWakuu habari za Dominica,
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Maoni yako ni dhahiri japo mimi si muumini wa siasa ni kweli kwamba TAL si mtulivu na mvumilivu katika siasa matokeo yake itapelekea yeye kuvuka taratibu na hatimaye atatumia muda mwingi kupambana na vyombo vya Dora, hali hiyo itadhoofisha harakati za kukipeleka chama mbele.Wakuu habari za Dominica,
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.