Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #41
Exellent.Maoni yako ni dhahiri japo mimi si muumini wa siasa ni kweli kwamba TAL si mtulivu na mvumilivu katika siasa matokeo yake itapelekea yeye kuvuka taratibu na hatimaye atatumia muda mwingi kupambana na vyombo vya Dora, hali hiyo itadhoofisha harakati za kukipeleka chama mbele.
Hawa ndio wafuasi wa Lisu wanaodhani Lisu anaweza kupata Uenyekiti kwa kutukana watu au kuungwa mkono na keyboard warriors ambao si wapiga kura.We ni kubwa jinga
..kwa kuongezea kwa yaliyompata Lisu ni km amejitoa rehani na hajali maumivu yanayowapata wengine kutokana na msimamo wake..ni mtu ambaye hajali hata familia yake mwenyewe, binadamu tuna mipaka..huwezi kuwa km loose dog halafu utarajie amani, itoke wapi..hao unaowajeruhi miili yao ina maji? Mungu ndie anafahamu kiwango ambacho binadamu anapaswa kujipambania yanayobaki yeye anamalizia..siasa za harakati Mandela zilimfikisha wapi? Je siasa za ubaguzi ziliisha sababu ya harakati za Mandela? Lkn wakati ulipofika bila hata ya uwepo wa Mandela barabarani ubaguzi ulifikia kikomo! Lisu hawezi kufanya lolote peke yake..mangapi amefanya Lisu akafanikiwa..Wakuu habari za Dominica,
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Wewe ni kubwa jinga umekua mwili akili zeroHawa ndio wafuasi wa Lisu wanaodhani Lisu anaweza kupata Uenyekiti kwa kutukana watu au kuungwa mkono na keyboard warriors ambao si wapiga kura.
Lisu anarudia kosa lilelile la Magufuli kuamini ni yeye tu ndio muarobaini wa jambo fulani...kwa kuongezea kwa yaliyompata Lisu ni km amejitoa rehani na hajali maumivu yanayowapata wengine kutokana na msimamo wake..ni mtu ambaye hajali hata familia yake mwenyewe, binadamu tuna mipaka..huwezi kuwa km loose dog halafu utarajie amani, itoke wapi..hao unaowajeruhi miili yao ina maji? Mungu ndie anafahamu kiwango ambacho binadamu anapaswa kujipambania yanayobaki yeye anamalizia..siasa za harakati Mandela zilimfikisha wapi? Je siasa za ubaguzi ziliisha sababu ya harakati za Mandela? Lkn wakati ulipofika bila hata ya uwepo wa Mandela barabarani ubaguzi ulifikia kikomo! Lisu hawezi kufanya lolote peke yake..mangapi amefanya Lisu akafanikiwa..
Nina akili za kumzalisha mama yako mzazi tu.Wewe ni kubwa jinga umekua mwili akili zero
Wewe ni kubwa jinga endelea kubwekaNina akili za kumzalisha mama yako mzazi tu.
Wafuata MKUMBO hawataki kujitafakarisha juu ya GHARAMA HASI ya uropokaji.....Ni ngumu sana kwa hawa wafuata mkumbo wa wanaharakati kuelewa ulichoandika hapa.
Hata Tiss hawawezi kumkubali Tundu Lisu kuwa kwenye nafasi ya juu, kuropoka siyo haiba ya kiongozi wa juu au kiongozi mkuu.
Very true..Lisu anarudia kosa lilelile la Magufuli kuamini ni yeye tu ndio muarobaini wa jambo fulani.
In future tense Lisu ni awaiting Dictator.
Yote usemayo sio lazima yawe ya kweli,Maria ni mdogo wangu nimesoma nae shule moja, nimemtangulia madarasa primary,ni mzalendo wa kweli wa nchi hii kuliko wengi wetu!。Wakuu habari za Dominica,
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Hivi kuna kiongozi anaropoka kama mama Abdul!!!na bado Hao Tiss wanamkumbatia,Acheni basi aaaaNi ngumu sana kwa hawa wafuata mkumbo wa wanaharakati kuelewa ulichoandika hapa.
Hata Tiss hawawezi kumkubali Tundu Lisu kuwa kwenye nafasi ya juu, kuropoka siyo haiba ya kiongozi wa juu au kiongozi mkuu.
George habari yako?Wakuu habari za Dominica,
Moja kwa moja na mimi nawiwa kuwamegea kile ambacho nimekigunduwa baada ya Mbowe kutangaza kugombea nilipita mitandaoni na siri ni hii, usifuate mkumbo.
Freeman Mbowe ni State Man, mwenye siasa za kistaarabu lakini anapambana na chama cha wahuni ccm, nilitamani wahuni wapambane na anayeweza kwenda mwendo uleule wa kihuni hapa Lisu ndio anafit kabisa pasi na shaka.
Mimi siyo oyaoya, ila wakati nazama deep mitandaoni kuangalia maoni ya Watanzania nimebaini Lisu anaungwa mkono sana na watu kama Maria Sarungi na Jasusi Chahali.
Hawa ni aina ya watu mambo mabaya yakitokea Tanzania kwao ni furaha na tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi wao kwao ni furaha zaidi kuhalalisha status zao za kuishi nchi za wazungu wapate makaratasi.
Lisu pia ni aina ya hawa wanaharakati ambao wanaamini ili ajenda zao zifanikiwe Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi lakini Mbowe ni stateman hana misimamo hii, anajuwa wazi vikwazo vyovyote vya kiuchumi havitawaumiza kivyovyote viongozi wa ccm wala wa Chadema, nadhani wote tunamjuwa mzee wa tutashtakiwa MIGA mdomo wake hauna breki, akiachiwa chama na wanaharakati wenzake ccm haiwezi kukaa naye mezani jukumu wataachiwa Polisi na yeye atakimbilia Ubelgiji na kumtuma Amsterdam kufunguwa makesi.
Kwa kifupi Lisu anahitajika sana Chadema lakini siyo kuwa kiongozi mkuu wa chama kwahilo Lisu hana hiyo Charismatic, mdomo wake hauna breki.
Kama Lissu anaona Mbowe anamchelewesha aondoke akaanzishe chama chake kama ni rahisi! Hatuwezi kukubali kuua chama kwa mambo ya kijinga! Lissu hana sifa za kuwa kiongozi mkuu wa CHADEMA!Mbowe ni pandikizi la Tiss, yupo upinzani kwa 'kazi maalumu.'
Tundu Lissu ni mpinzani wa kweli, ni vyema akaondoka Chadema, nyoka yupo ameingia ndani mwao
Ndugu Lissu hana sifa za UONGOZI...Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
Wanabodi, Leo nawaendeshea somo la kitu kinachoitwa assets and liabilities, kwenye siasa. Kwenye biashara assets ni mtaji na rasilimali na liabilities ni madeni, na hasara, biashara ikiwa nzuri, assets ni faida, biashara ikianguka, una dispose some of your assets into liabilities kuiokoa...www.jamiiforums.com
Mkuu Pascal Mayalla ameelezea vizuri.
Lissu angekuwa mtu sahihi, wa kuivaa CCM. Iła hana skills za kuongoza chama
Na kupitia campaign zake za awali za kuwania nafasi ya uenyekiti ameonyesha uwezo wake mdogo wa uongozi.
Hana sifa ya kuongoza chama, let alone a nation.
Kiongozi uwezi kuwa na ‘ułimi usio na brake’ huo ni utoto na wala uwezi ‘kukosa uvumilivu’ wa mitazamo tofauti na wanachama wenzako. Ndio maana leadership inataka democratic skills na patient.
Lissu hana sifa za uongozi.
Kwa mtazamo wa ‘Meredith Belbin’ team theory Lissu ni ‘shaper’ sio team leader.